< Wakolosai 4 >

1 Mabwana, toeni kwa watumwa mambo yaliyo haki na ya adili. Mnajua pia kwamba mnaye Bwana mbinguni.
Akulu, pumyi ku atugwa i makani ni taiane nu ulingi. Mulingile kina mukete ga nu Mukulu kilunde.
2 Endeleeni kuwa thabiti katika maombi. Kaeni macho katika hilo kwa shukrani.
Longoleki kutula akomo mu malompi. Ikii miho mu nilanso ku ilumbiilyo.
3 Ombeni pamoja kwa ajili yetu pia, ili kwamba Mungu afungue mlango kwa ajili ya neno, kunena siri ya ukweli ya Kristo. Kwa sababu ya hili nimefungwa minyororo.
Lompi palung'wi ku nsoko itu ga, iti kina Itunda alugule i mimpita kunsoko a lukani, kitunta i kinkunku nika tai ang'wa Kristo. Kunsoko a ili natungilwe minyororo.
4 Na ombeni kwamba niweze kuliweka wazi, kama inavyonipasa kusema.
Hangi lompi kina nihume kuliika kihenga anga ni isingigwe kuligitigwa.
5 Enenda kwa hekima kwa wale walioko nje, na muukomboe wakati.
Longola ku upolo ku awo ni akoli kunzi, hangi muligunie itungo.
6 Maneno yenu na yawe na neema wakati wote, na yakolee chumvi majira yote, ili kwamba mweze kujua jinsi inavyowapasa kumjibu kila mtu.
iMakani anyu atule nu ukende matungo ihi, nu kulungila u munyu matungo ohi, iti kina muhume kulinga iti ni imutakile kumusukiilya kila u muntu.
7 Kwa mambo yanayonihusu mimi, Tikiko atayafanya yajulikane kwenu. Yeye ni ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, na mtumwa mwenzetu katika Bwana.
Ku makani na antuile unene, uTikiko ukituma akumuke kitalanyu. uNg'wenso ingi muluna mulowa, munyamilimo nu muhuiili, hangi mutugwa mi itu ku Mukulu.
8 Namtuma kwenu kwa ajili ya hili, kwamba mweze kujua mambo kuhusu sisi na pia kwamba aweze kuwatia moyo.
Kumulagiilya kitalanyu kunsoko a ili, kina muhume kulinga i makani kutula u sese ga ni kina ahume kumukinyila.
9 Namtuma pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa mwaminifu, na mmoja wenu. Watawaambia kila kitu kilichotokea hapa.
Kumulagiilya palung'wi nu Onesmo, muluna itu mulowa nu muhuiili, hangi ung'wi anyu. Akumutambuila kila i kintu nai kipumie apa.
10 Aristarko, mfungwa mwenzangu, anawasalimu, pia na Marko binamu yake na Barnaba mliyepokea utaratibu kutoka kwake, “kama akija kwenu, mpokeeni,”
Aristarko, mutungwa miane, ukumulamusha, ga nu Marko muyala nuang'wa Barnaba nai musingiiye u ulingasi kupuma kitalakwe, “Anga waza kitalanyu, musingiilyi”
11 Na pia Yesu aitwaye Yusto. Hawa peke yao wa tohara ni watendakazi wenzangu kwa jili ya ufalme wa Mungu. Wamekuwa ni faraja kwangu.
Nu Yesu ga nuitangwaa Yusto. Awa ing'wene du ni anya kidamu ingi ituma milimo iane ku nsoko a utemi nuang'wa Itunda. Atuile ipoeelya kitalane.
12 Epafra anawasalimu. Yeye ni mmoja wenu na mtumwa wa Kristo Yesu. Yeye hufanya bidii katika maombi kwa ajili, ili kwamba mweze kusimama kwa ukamilifu na kuhakishwa kikamilifu katika mapenzi yote ya Mungu.
Epafra ukumulamusha, uNg'wenso ingi ung'wi anyu hangi mutugwa wang'wa Kristo Yesu. uNg'wenso witumila ngulu mu malompi kunsoko iti kina muhume kimika ku ukomo nu kigeeleka ikaminkanu mu ulowa wihi nuang'wa Itunda.
13 Kwa kuwa ninamshuhudia, kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa hao walioko Laodekia, na kwa hao walioko Hierapoli.
Kunsoko kumukuiila, kina witumaa milimo ku ngulu kunsoko anyu, ku awo niakoli ku Laodekia, nu ku awo niakoli ku Hierapoli.
14 Luka yule tabibu mpendwa, na Dema wanawasalimu.
uLuka uyo u mukiliki mulowa, nu Dema akumulamusha.
15 Wasalimu ndugu zangu walioko Laodekia, na Nimfa, na kanisa lile lililoko nyumbani kwake.
Alamushe i aluna ane niakoli ku Laodekia, nuku Mimfa, ni itekeelo ilo ni likoli mi ito kitalakwe.
16 Barua hii itakapokuwa imesomwa miongoni mwenu, isomwe pia kwa kanisa la walaodekia, nanyi pia hakikisheni mnaisoma ile barua kutoka Laodekia.
Ibada ili ni likatula likusong'wa mukati anyu, lisong'we ga nu kitekeelo nila a Laodekia, nu nyenye ga mu komaniilye mukulisoma ibada kupuma ku Laodekia.
17 Sema kwa Arkipo, ''Angalia ile huduma ambayo umeipokea katika Bwana, kwamba unapaswa kuitimiza.”
Ligitya kung'wa Arkipo, “Goza uwu u uaiilya naiza u usingiiye mu Mukulu, kina utakiwe ku utimilya.”
18 Salamu hii ni kwa mkono wangu mwenyewe - Paulo. Ikuumbukeni minyororo yangu. Neema na iwe nanyi.
uMulamo uwu ingi ku mukono nuane mukola - Paulo. Kimbukiilyi i minyororo ane. Ukende nu utule nu yenye.

< Wakolosai 4 >