< Wakolosai 4 >

1 Mabwana, toeni kwa watumwa mambo yaliyo haki na ya adili. Mnajua pia kwamba mnaye Bwana mbinguni.
Dilia ouligisu dunu! Dilia hawa: hamosu dunu ilima asigiwane hamoma. Mae gogolema! Dilia amola da Hina esala. E da Hebene ganodini esala.
2 Endeleeni kuwa thabiti katika maombi. Kaeni macho katika hilo kwa shukrani.
Mae fisili, Godema sia: ne gadoma. Sia: ne gadosea, mae golale Godema nodone sia: ma.
3 Ombeni pamoja kwa ajili yetu pia, ili kwamba Mungu afungue mlango kwa ajili ya neno, kunena siri ya ukweli ya Kristo. Kwa sababu ya hili nimefungwa minyororo.
Dilia sia: ne gadosea, nini fidima: ne, Godema sia: ne gadoma. Gode Ea Sia: da Yesu Gelesu Ea wamolegei hou olelesa. Gode da nini amo sia: olelemusa: ninima logo doasima: ne, Godema sia: ne gadoma. Bai na da Gode Ea Sia: olelebeba: le, wali se iasu diasu ganodini esala.
4 Na ombeni kwamba niweze kuliweka wazi, kama inavyonipasa kusema.
Amaiba: le, dunu eno noga: le nabima: ne amola na da moloiwane Gode Sia: olelema: ne, amo Gode fidima: ne Ema sia: ne gadoma.
5 Enenda kwa hekima kwa wale walioko nje, na muukomboe wakati.
Hame lalegagui dunu da dilia hou ba: lalebeba: le, dawa: iwane hamoma. Olelemu logo ba: sea, defea, eso huluane olelema.
6 Maneno yenu na yawe na neema wakati wote, na yakolee chumvi majira yote, ili kwamba mweze kujua jinsi inavyowapasa kumjibu kila mtu.
Dilia sia: da eso huluane hahawane amola noga: iwane nabimu da defea. Amola dunu da dilima adole ba: sea, dilia da ilima bu adole ima: ne eso huluane defele esalumu da defea.
7 Kwa mambo yanayonihusu mimi, Tikiko atayafanya yajulikane kwenu. Yeye ni ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, na mtumwa mwenzetu katika Bwana.
Ninia sama Digigase, e da mae yolesili, ida: iwane hawa: hamosu dunu. Ania gilisili Hina Gode Ea hawa: hamonana. Digigase da na hou huluane dilima olelemu.
8 Namtuma kwenu kwa ajili ya hili, kwamba mweze kujua mambo kuhusu sisi na pia kwamba aweze kuwatia moyo.
Dilia da ninia hou nabasea, dogo denesini hahawane ba: mu. Amaiba: le na da e dilima asula ahoa.
9 Namtuma pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa mwaminifu, na mmoja wenu. Watawaambia kila kitu kilichotokea hapa.
Ounisimase da dilia fi dunu amola na dogolegei hahawane hawa: hamosa sama. E amola da Digigase sigi masunu. Ela da gui hamonana hou huluane dilima olelemu.
10 Aristarko, mfungwa mwenzangu, anawasalimu, pia na Marko binamu yake na Barnaba mliyepokea utaratibu kutoka kwake, “kama akija kwenu, mpokeeni,”
A: lisadagase, ani gilisili se iasu diasu ganodini esala, dilima asigi sia: olelesa. Maga (Banaba: se gawiya) e da dilima asigi sia: adosisa. (Na musa: olelei agoane, Maga da dilima doaga: sea, hahawane yosia: ma.)
11 Na pia Yesu aitwaye Yusto. Hawa peke yao wa tohara ni watendakazi wenzangu kwa jili ya ufalme wa Mungu. Wamekuwa ni faraja kwangu.
Yosiua (eno dio Yasadase), ea asigi sia: dilima olelesa. Amo dunu udiana ilia fawane da Yu fi ilia dafawaneyale dawa: su yolesili, Yesu Gelesu Ea hou lalegaguli, na gilisili Gode Ea Hinadafa Hou misa: ne hamonana. Ilia da na noga: le fidisu.
12 Epafra anawasalimu. Yeye ni mmoja wenu na mtumwa wa Kristo Yesu. Yeye hufanya bidii katika maombi kwa ajili, ili kwamba mweze kusimama kwa ukamilifu na kuhakishwa kikamilifu katika mapenzi yote ya Mungu.
Dilia fi dunu eno ea dio amo Eba: fala: se, Yesu Gelesu Ea hawa: hamosu dunu, da dilima asigi sia: olelesa. Dilia da Gode fidibiba: le noga: le leloma: ne amola dafawaneyale dawa: beba: le asigilaiwane Gode Ea hanai hou eso huluane hamonanoma: ne, e da eso huluane ha: giwane sia: ne gadolala.
13 Kwa kuwa ninamshuhudia, kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa hao walioko Laodekia, na kwa hao walioko Hierapoli.
Na da dafawane sia: sa. E da dili amola La: ioudisia dunu amola Haila: bolisi dunu fidima: ne, gasa bagade hawa: hamosa.
14 Luka yule tabibu mpendwa, na Dema wanawasalimu.
Luge, ninia dogolegei manoma legesu dunu amola Dima: se, ela asigi sia: dilima adosisa.
15 Wasalimu ndugu zangu walioko Laodekia, na Nimfa, na kanisa lile lililoko nyumbani kwake.
Ninia fi dunu huluane La: ioudisia moilai bai bagade ganodini esala, ilima ninia asigi sia: adosima. Uda ea dio amo Nimifa: , (Gode Ea fa: no bobogesu dunu ilia ea diasuga sia: ne gadomusa: gilisisa), ema ninia asigi sia: olelema.
16 Barua hii itakapokuwa imesomwa miongoni mwenu, isomwe pia kwa kanisa la walaodekia, nanyi pia hakikisheni mnaisoma ile barua kutoka Laodekia.
Wali meloa dedei dilia idi dagoiba: le, La: ioudisia Yesu Ea fa: no bobogesu fi dunu idima: ne iasima. Amola dilia meloa dedei amo ninia La: ioudisia fi dunuma i, amo ilia da dilima iasisia, idima.
17 Sema kwa Arkipo, ''Angalia ile huduma ambayo umeipokea katika Bwana, kwamba unapaswa kuitimiza.”
Agiba: sema olelema, “Dia hawa: hamosu amo Gode da dima olelei liligi, amo mae yolesili dagolesima!”
18 Salamu hii ni kwa mkono wangu mwenyewe - Paulo. Ikuumbukeni minyororo yangu. Neema na iwe nanyi.
Amo meloa na loboga nisu dedesa. Na, Bolo, dilima asigi sia: adosisa. Na se iasu diasu ganodini sia: inega lala: gi esala, mae gogolema. Gode Ea hahawane dogolegele iasu dilima dialumu da defea. Sia: Ama Dagoi

< Wakolosai 4 >