< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,
Pauli n'tumwa ghwa Kiristu ghwa mapenzi gha k'yara, ni Timoti ndongo bhitu,
2 kwa waumini na ndugu waaminifu katika Kristo walioko Kolosai. Neema iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
kwa bhaumini ni bhalongo bhaaminifu mu Kiristu bha bhaji'hele kolosai. Neema ij'helayi kwa mwenga, ni amani kuliomela kwa k'yara dadi yitu.
3 Tunatoa shukrani kwa Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, na tunawaombea mara kwa mara.
Twih'omesya kabhombelilu kwa k'yara, Dadi ghwa Bwana bhitu Yesu Kristu, na twikabhas'omela mara siyoha.
4 Tumesikia imani yenu katika Yesu Kristo na upendo mlionao kwa wale wote waliotengwa kwa ajili ya Mungu.
Tup'heliki imani j'hamwenga mu Yesu Kristu ni luganu lwa mj'he na lu kwa bhala bhoha bhabhatengibhu kwa ndabha j'ha k'yara.
5 Mna upendo huu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu. Mlisikia kuhusu taraja hiyo ya uhakika kabla katika neno la kweli, injili,
Muyele ni luganu obho kwa ndabha j'ha litaraja lya bhuhakika lyalibhekibhu kunani kwa ndabha j'ha mwenga. Mwap'heliki kuhusu litaraja e'lu lyabhuhakika kabla j'ha lineno lya bhukweli, injili,
6 ambayo imekuja kwenu. Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni kote. Imekuwa ikifanya hivi ndani yenu pia tangu siku mlipoisikia na kujifunza kuhusu neema ya Mungu katika kweli.
ambaho j'haj'hididili kwa mwenga. Injili ej'he j'hihogola litunda na liyenela pakisu poha. ij'hele j'hik'heta naha mugati mwah mwenga piano kuliomela ligono mp'heliki ni kumanyila kuhusu neema j'ha k'yara mubhu kuweli.
7 Hii ndiyo injili mliyojifunza kutoka kwa Epafra, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
E'jhe ndo injili j'ha mumanyili kuh'oma kwa Epafra n'ganwa ghwitu ntumwili njitu, ambajhe ndo n'tumishi n'kweli ghwa kiristu kwa ndabha j'ha twenga.
8 Epafra ameufanya ujulikane kwetu upendo wenu katika Roho.
Epafra auk'hetili umenyikanayi kwa tete luganu lwa mwenga mu Roho.
9 Kwa sababu ya upendo huu, tangu siku tuliposikia hivi, hatujaacha kuwaombea. Tumekuwa tukiomba kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa kiroho.
Kwa ndabha j'ha luganu o'lo, kuliomela ligono lyatup'eleghe naha, tulekili lepi kubha j'ohomela. Tujhele twis'oma kuj'ha mbeta kumemesibhiwa ni bhuj'huzi bhuwa mapenzi ghake muhekima yioha ni bhumanyanu bhwa Roho.
10 Tumekuwa tukiomba kwamba mtatembea kwa ustahimilivu wa Bwana katika njia zipendezazo. Tumekuwa tukiomba kwamba mtazaa tunda katika kila tendo jema na kwamba mtakua katika maarifa ya Mungu.
Tujhele twis'oma kuj'ha mbeta kugenda kwa j'hilondeka kwa Bwana much NJ'hela syasilondeka. Tuyele twisoma kuj'ha mmbeta kuhogola litunda mu kila lihengu linofu nikuj'ha mbeta kuj'ha mu maarifa gha K'yara.
11 Tunaomba mweze kutiwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu za utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu wote.
Twisoma mbwesiyayi kusopibhiwa ng'ofu mu kila bhuwezo kulengana ni ng'hofusya bhutukufu bhwake mu bhuvumilivu ni bhwabhwisindamalu bhwoha.
12 Tunaomba kwamba, kwa furaha, mtatoa shukrani kwa Baba, aliyewafanya ninyi mweze kuwa na sehemu katika urithi wa waumini katika nuru.
Twis'oma kuj'ha, kwa kuhobhoka, m'beta kuh'omesya kabhombesitu kwa dadi, yeabhakhetili mwenga muyelayi ni sehemu mu urithi bhwa bhaumini mu nuru.
13 Ametuokoa kutoka katika utawala wa giza na kutuhamishia katika ufalme wa Mwana wake mpendwa.
Atuokwili kulioma much bhutawala bhwa ngisi nikutusamisya much bhufalme bhwa mwana munu n'ganwa.
14 Katika Mwanae tuna ukombozi, msamaha wa dhambi.
Mwa mwana munu tuyele ni bhukombozi msamaha bhwa dhambi.
15 Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana. Ni mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote.
Muana ndo mfuano bhwa K`yara yaibela kubhonekana. Ndo ghwa kuanza kuhogoleka au bhuumbaji bhuoha.
16 Kwakuwa kwa yeye vitu vyote viliumbwa, vile vilivyoko mbinguni na vilivyoko duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. ikiwa ni vya enzi au mamlaka au utawala au wenye nguvu, vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
kwa kuj'ha kwa muene fenu fyoha fya bho mbiki, f'hela fya fiye kumbinguni ni fya fiyela paduniani, f'hemu fyafibhonekana ni fyafibela kubhonekana. Ikayela ifya enzi au mamlaka au bhutawala au bhwabhuye ni nghofu, f'hemu fyoha fyabhombibhu ni muene kwa ndabha j'ha muene.
17 Yeye amekuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Muene aj'hele kabula j'ha f'hemu fyoha, ni kuj'ha kwa muene f'hemu fyoha fikamulana pamonga.
18 Na yeye ndiye kichwa cha mwili yaani kanisa, yeye ni mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka miongoni mwa wafu, hivyo, ana nafasi ya kwanza miongoni mwa vitu vyote.
Na muene ndo mutual ghwa mbhele yaani kanisa, muene ndo mwanzo ni mzalibhwa ghwa kubhwandelu kulioma mu bhafu, henu, ayele ni nafasi j'ha kubhwandelu mu f'henu fyoha.
19 Kwa kuwa Mungu alipendezwa kwamba utimilifu wake wote uishi ndani yake,
Kwa kuj'ha K'yara aganilikuj'ha bhutimilifu bhwake bhwoha bhutamai mugati mwah muene.
20 na kupatanisha vitu vyote kwake kwa njia ya Mwanawe. Mungu alifanya amani kupitia damu ya msalaba wake. Mungu alipatanisha vitu vyote kwake mwenyewe, ikiwa ni vitu vya duniani au vitu vya mbinguni.
Ni kupatanisya f'hemu fyoha kwa muene kwa NJ'hela j'ha mwanamunu. K'yara abhombili amani kup'hetela muasi bhwa nsalaba bhwake. k'yara apatanisi f'henu fyoha kwa muene, ikayelai ni f'henu fya paduniani, au f'henu fyafya kumbinguni.
21 Nanyi pia, kwa wakati mmoja mlikuwa wageni kwa Mungu na mlikuwa maadui wake katika akili na matendo maovu.
Ni mwenga pia, kwa bhwakati bhumonga mwaj'hele bhageni kwa K'yara na mwaj'hele bhasomani bhamuene much akili ni matendo ghaghaleli kuj'ha manufu.
22 Lakini sasa amewapatanisha ninyi kwa mwili wake kupitia kifo. Alifanya hivi ili kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama na bila dosari mbele yake,
Lakini henu abhapatanisi mu enga mu mb'hele bhwa muene kup'hetela kufwa. Akhetili neha idi kubhelete mwenga bhatakatifu, bhabhabelikuya ni lawama ni bilateral dosari palongolo pa muene.
23 kama mkiendelea katika imani, mliyoimarishwa na kuwa thabiti, pasipo kuondoshwa mbali kutoka kwenye taraja la ujasiri la injili mliyoisikia. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Hii ndiyo injili ambayo kwayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi.
Kama mbete kuyendelela mu imani ya mkomele ni j'ha kinofu, bilateral kubhosibhwa patali kulioma mutaraja lya bhaisisya lya injili j'hamu yipeliki. Enya ndo injili ambaho kwayo nene Pauli, njele mmbombeli.
24 Sasa nafurahia mateso yangu kwa ajili yenu. Nami natimiliza katika mwili wangu kinachopungua kwa mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Henu nihobhokili matesu ghangu kwa ndabha j'hinu. Nani ni timisya mu m'mbele bhuangu kyakip'honghoka kwa matesu gha Kiristu kwa ndabha j'ha m'mbele bhwa muene, ambabho ndo kanisa.
25 Mimi ni mtumishi wa kanisa hili, sawasawa na wajibu niliopewa kutoka kwa Mungu kwa ajili yenu, kulijaza neno la Mungu.
Nene ne mmbombeli bhwa likanisa e`le sawasawa ni bhua jibu bhwanipelibhu kuh'oma kwa K'yara kwa ndabha j'hinu, kulimemesya lilobhi lya K'yara.
26 Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
O'bho ndo bhukweli bhwa siri j'haiyele j'hifighibhu kwa miaka mingi ni kwavizazi. Lakini henu j'hifunuhbhu kwa bhona bhabhikiera kwa muene. (aiōn g165)
27 Ni kwa wale ambao Mungu alitaka kufunua kulivyo utajiri wa utukufu wa siri ya ukweli huu miongoni mwa Mataifa. Ni kwamba Kristo yumo ndani yenu, ujasiri wa utukufu ujao.
Ni kwa bhala ambabho K'yara alondeghe kufunula kwa kuj'hele ni bhutajiri bhwa utukufu bhwa siri j'ha bhukweli O'bho mugati mu mataifa. Ndo kujobha Kristu ajihele mugati mwinu, bhujasiri bhwa bhutukufu bhwa wihida.
28 Huyu ndiye tunayemtangaza. Tunamwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote, ili kwamba tumlete kila mtu mkamilifu katika Kristo.
O'yo ndo j'hatukantangasya. Tukansihi kila munu, ni kummanyisya kila munu kwa hekima j'hioha, ili kwamba tundetaj'hi kila munu nkamilifu kwa Kristu.
29 Kwa jili hii, mimi najibidisha na kujitahidi kulingana na nguvu yake ifanyayo kazi ndani yangu katika uweza.
Kwa ndabha e`jhe nene nikajitenga ni kujitangatila kul'engana ni nghofu j'ha muene j'hajhifuanya mbombo mugati mwa nene mu bhuweza.

< Wakolosai 1 >