< Amosi 1 >

1 Haya ni mambo yanayoihusu Israeli ambayo Amosi, mmoja wa wachungaji katika Tekoa, aliyapokea katika ufunuo. Alipokea haya mambo katika siku za Uzia mfalme wa Yuda, na pia katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la aridhi.
Las palabras de Amós, que estaba entre los pastores de Tecoa, que vio sobre Israel en los días de Uzías, rey de Judá, y en los días de Jeroboam, hijo de Joás, rey de Israel, dos años antes del terremoto.
2 Alisema, “Yahwe atanguruma kutoka Sayuni; atainua sauti yake kutoka Yerusalemu. Malisho ya wachungaji yatanyamaza kimya; kilele cha Karmeli kitanyauka.”
Dijo: “Yahvé rugirá desde Sión, y pronuncie su voz desde Jerusalén; y los pastos de los pastores estarán de luto, y la cima del Carmelo se marchitará”.
3 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Damaskasi, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameipura Gileadi kwa vyombo vya chuma.
Yahvé dice: “Por tres transgresiones de Damasco, sí, por cuatro, No rechazaré su castigo, porque han trillado Galaad con trillos de hierro;
4 Nitapeleka moto kwenye nyumba ya Hazaeli, na utaiteketeza ngome za Ben Hadadi.
pero enviaré fuego a la casa de Hazael, y devorará los palacios de Ben Hadad.
5 Nitazivunja komeo za Damaskasi na kumkatilia mbali mtu ambaye aishiye katika Biqati Aveni, na pia yule mtu ashikaye fimbo ya kifalme katika Beth Edeni. Na watu wa shamu watakwenda utumwani hata Kiri,” asema Yahwe.
Romperé la barra de Damasco, y cortar el habitante del valle de Aven, y el que tiene el cetro de la casa del Edén; y el pueblo de Siria irá en cautiverio a Kir,” dice Yahvé.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu waliwachukua mateka watu wote, kuwaweka juu ya mkono wa Edomu.
Yahvé dice: “Por tres transgresiones de Gaza, sí, por cuatro, No rechazaré su castigo, porque se llevaron cautiva a toda la comunidad, para entregarlos a Edom;
7 Nitatuma moto kwenye kuta za Gaza, na kuziteketeza ngome zake.
pero enviaré un fuego sobre el muro de Gaza, y devorará sus palacios.
8 Nitamkatilia mbali yule mtu aishiye katika Ashdodi na mtu ashikaye fimbo ya kifalme kutoka Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, na mabaki ya Wafilisti wataangamia,” asema Bwana Yahwe.
Cortaré al habitante de Asdod, y el que tiene el cetro de Ashkelon; y volveré mi mano contra Ecrón; y el remanente de los filisteos perecerá”. dice el Señor Yahvé.
9 Hivi ndivyo Yhawe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa nne, sintobadili adhabu, kwa sababu waliwapelekea watu wote wa Edomu, na wamevunja agano lao la undugu.
Yahvé dice: “Por tres transgresiones de Tiro, sí, por cuatro, No rechazaré su castigo; porque entregaron toda la comunidad a Edom, y no recordaba el pacto entre hermanos;
10 Nitapeleka moto kwenye kuta za Tiro, nao utaziteketeza ngome zake.”
pero enviaré un fuego sobre el muro de Tiro, y devorará sus palacios”.
11 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake kwa upanga na kutupilia mbali huruma zote. Hasira yake ikaendelea kuwa kali, na ghadhabu yake ikabaki milele.
Yahvé dice: “Por tres transgresiones de Edom, sí, por cuatro, No rechazaré su castigo, porque persiguió a su hermano con la espada y desechar toda piedad, y su cólera no cesaba, y guardó su ira para siempre;
12 Nitapeleka moto juu ya Temani, na utaziteketeza nyumb a za kifalme za Bozra.”
pero enviaré un fuego sobre Temán, y devorará los palacios de Bozra”.
13 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Kwa dhambi tatu za watu wa Amoni, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewapasua wanawake wa Gileadi wenye mimba, ili waweze kupanua mipaka yao.
Yahvé dice: “Por tres transgresiones de los hijos de Amón, sí, por cuatro, No rechazaré su castigo, porque han desgarrado a las mujeres embarazadas de Galaad, para que puedan ampliar su frontera.
14 Nitawasha moto katika kuta za Raba, nao utaziteketeza nyumba za kifalme, pamoja na kupiga kelele katika siku ya vita, pamoja na dhoruba katika siku ya kimbunga.
Pero yo encenderé un fuego en el muro de Rabá, y devorará sus palacios, con gritos en el día de la batalla, con una tormenta en el día del torbellino;
15 Mfalme wao ataenda utumwani, yeye na maafisa wake pamoja,” asema Yahwe.
y su rey irán al cautiverio, él y sus príncipes juntos,” dice Yahvé.

< Amosi 1 >