< Amosi 8 >

1 Hiki ndicho ambacho bwana Yahwe amenionyesha. Tazama, kikapu cha matunda ya hari!
O Senhor Jehovah assim me mostrou: e eis aqui um cesto de fructos do verão.
2 Akasema, “Unaona nini, Amosi?” Nikasema, “Kikapu cha matunda ya hari.” Kisha Yahwe akanambia, “Mwisho umefika kwa watu wangu Israeli; sintowaumiza tena.
E disse: Que vês, Amós? E eu disse: Um cesto de fructos do verão. Então o Senhor me disse: Tem vindo o fim sobre o meu povo Israel; d'aqui por diante nunca mais passarei por elle.
3 Nyimbo za kwenye hekalu zitakuwa vilio. Katika siku hiyo-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe. Mizoga itakuwa mingi, katika kila sehemu wataitupa katika ukimya!”
Mas os canticos do templo serão ouvidos n'aquelle dia, diz o Senhor Jehovah: multiplicar-se-hão os cadaveres, em todos os logares, serão lançados fóra em silencio.
4 Lisikilizeni hili, ninyi mkanyagao maskini na kumuondoa fukara wa nchi.
Ouvi isto, vós que anhelaes o abatimento do necessitado; e isto para destruirdes os miseraveis da terra:
5 wakisema, “Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu.
Dizendo: Quando passará a lua nova, para vendermos o grão? e o sabbado, para abrirmos os celleiros de trigo? diminuindo o epha, e augmentando o siclo, e falsificando as balanças enganosas;
6 Hivi ndivyo ambavyo tunaweza kuuza ngano mbaya, kununua fukara kwa fedha, na masikini kwa jozi moja ya kubadhi.”
Para comprarmos os pobres por dinheiro, e os necessitados por um par de sapatos? então venderemos as cascas do trigo.
7 Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo, “Hakika sintoweza kusahau kazi zao hata moja.”
Jurou o Senhor pela gloria de Jacob: Eu me não esquecerei de todas as suas obras para sempre.
8 Je nchi haitatetemeka kwa hili, na kila mmoja aishiye kuombolezea? Yote hayo yatainuka kama Mto Naili, nayo itataabika juu na kupwa tena, kama mto wa Misri.
Por causa d'isto não se commoveria a terra? e não choraria todo aquelle que habita n'ella? certamente levantar-se-ha toda como um rio, e será arrojada, e será fundida como pelo rio do Egypto.
9 “Itakuja siku ambayo -huu ndio usemi wa Bwana Yahwe- kwamba nitafanya jua litue wakati wa mchana, na nitaiweka giza dunia wakati wa mchana.
E succederá que, n'aquelle dia, diz o Senhor, farei que o sol se ponha ao meio dia, e a terra se entenebreça no dia da luz.
10 Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo na nyimbo zenu zote kuwa masikitiko. Nitawafanya wote kuvaa nguo za magunia na kipara juu ya kila kichwa. Nitayafanya haya kama maombolezo kwa mwana pekee, na siku ya uchungu mwisho wake.
E tornarei as vossas festas em luto, e todos os vossos canticos em lamentações, e farei pôr sacco sobre todos os lombos, e calva sobre toda a cabeça; e farei que isso seja como luto do filho unico, e o seu fim como dia de amarguras.
11 Tazama, siku zinakuja -asema Bwana Yahwe- wakati nitakapoleta njaa katika nchi, sio njaa ya mkate, wala kiu ya maji, ila kusikia maneno ya Yahwe.
Eis que veem dias, diz o Senhor Jehovah, em que enviarei fome sobre a terra, não fome de pão, nem sêde de agua, mas de ouvir as palavras do Senhor.
12 watatangatanga kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno la Yahwe, lakini hawatalipata.
E irão vagabundos de um mar até outro mar, e do norte até ao oriente: correrão por toda a parte, buscando a palavra do Senhor, mas não a acharão.
13 Katika siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kutokana na njaa.
N'aquelle dia as virgens formosas e os mancebos desmaiarão á sêde.
14 Wale waapao kwa dhambi ya Samaria wataanguka na hawatainuka tena.”
Os que juram pelo delicto de Samaria, e dizem: Vive o teu deus, ó Dan, e: Vive o caminho de Berseba; e cairão, e não se levantarão mais.

< Amosi 8 >