< Amosi 8 >

1 Hiki ndicho ambacho bwana Yahwe amenionyesha. Tazama, kikapu cha matunda ya hari!
主耶和华又指示我一件事:我看见一筐夏天的果子。
2 Akasema, “Unaona nini, Amosi?” Nikasema, “Kikapu cha matunda ya hari.” Kisha Yahwe akanambia, “Mwisho umefika kwa watu wangu Israeli; sintowaumiza tena.
他说:“阿摩司啊,你看见什么?”我说:“看见一筐夏天的果子。”耶和华说:“我民以色列的结局到了,我必不再宽恕他们。”
3 Nyimbo za kwenye hekalu zitakuwa vilio. Katika siku hiyo-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe. Mizoga itakuwa mingi, katika kila sehemu wataitupa katika ukimya!”
主耶和华说:“那日,殿中的诗歌变为哀号;必有许多尸首在各处抛弃,无人作声。”
4 Lisikilizeni hili, ninyi mkanyagao maskini na kumuondoa fukara wa nchi.
你们这些要吞吃穷乏人、 使困苦人衰败的,当听我的话!
5 wakisema, “Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu.
你们说:月朔几时过去, 我们好卖粮; 安息日几时过去, 我们好摆开麦子; 卖出用小升斗, 收银用大戥子, 用诡诈的天平欺哄人,
6 Hivi ndivyo ambavyo tunaweza kuuza ngano mbaya, kununua fukara kwa fedha, na masikini kwa jozi moja ya kubadhi.”
好用银子买贫寒人, 用一双鞋换穷乏人, 将坏了的麦子卖给人。
7 Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo, “Hakika sintoweza kusahau kazi zao hata moja.”
耶和华指着雅各的荣耀起誓说: 他们的一切行为,我必永远不忘。
8 Je nchi haitatetemeka kwa hili, na kila mmoja aishiye kuombolezea? Yote hayo yatainuka kama Mto Naili, nayo itataabika juu na kupwa tena, kama mto wa Misri.
地岂不因这事震动? 其上的居民不也悲哀吗? 地必全然像尼罗河涨起, 如同埃及河涌上落下。
9 “Itakuja siku ambayo -huu ndio usemi wa Bwana Yahwe- kwamba nitafanya jua litue wakati wa mchana, na nitaiweka giza dunia wakati wa mchana.
主耶和华说:到那日, 我必使日头在午间落下, 使地在白昼黑暗。
10 Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo na nyimbo zenu zote kuwa masikitiko. Nitawafanya wote kuvaa nguo za magunia na kipara juu ya kila kichwa. Nitayafanya haya kama maombolezo kwa mwana pekee, na siku ya uchungu mwisho wake.
我必使你们的节期变为悲哀, 歌曲变为哀歌。 众人腰束麻布,头上光秃, 使这场悲哀如丧独生子, 至终如痛苦的日子一样。
11 Tazama, siku zinakuja -asema Bwana Yahwe- wakati nitakapoleta njaa katika nchi, sio njaa ya mkate, wala kiu ya maji, ila kusikia maneno ya Yahwe.
主耶和华说:日子将到, 我必命饥荒降在地上。 人饥饿非因无饼,干渴非因无水, 乃因不听耶和华的话。
12 watatangatanga kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno la Yahwe, lakini hawatalipata.
他们必飘流,从这海到那海, 从北边到东边,往来奔跑, 寻求耶和华的话,却寻不着。
13 Katika siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kutokana na njaa.
当那日,美貌的处女 和少年的男子必因干渴发昏。
14 Wale waapao kwa dhambi ya Samaria wataanguka na hawatainuka tena.”
那指着撒马利亚牛犊起誓的说: 但哪,我们指着你那里的活神起誓; 又说:我们指着别是巴的神道起誓。 这些人都必仆倒,永不再起来。

< Amosi 8 >