< Amosi 7 >
1 Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha. Tazama, aliumba kundi kubwa la nzige wakati wa kuchipuka kwa mmea, na, tazama, ulikuwa ni mmea wa mwisho baada ya mavuno ya mfalme.
Dette syn lot Herren, Israels Gud, mig se: Det var en som skapte gresshopper, da håen begynte å skyte op; det var håen efter kongens slått.
2 Wakati walipomaliza kula mbogamboga za nchi, kisha nikasema, “Bwana Yahwe, tafadhali nisamehe; Je Yakobo ataishije? kwa kuwa yeye ni mdogo sana.”
Og da de vel hadde ett op alle urter i landet, da sa jeg: Herre, Israels Gud, tilgi! Hvorledes skal Jakob kunne bli i live, han som er så liten?
3 Yahwe akapunguza hasira kuhusu hili. “Haitatokea,” akasema.
Da angret Herren det. Det skal ikke skje, sa Herren.
4 Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha: Tazama, Bwana Yahwe aliita juu ya moto kuhukumu. Nao ukakausha sana, kilindi chini ya dunia na kutaka kuitekeza nchi, pia.
Så lot Herren, Israels Gud, mig se dette syn: Herren, Israels Gud, kalte på ilden til straff, og den fortærte det store vanndyp, og den holdt på å fortære hans arvelodd.
5 Lakini nikasema, “Bwana Yahwe, acha tafadhali; Yakobo ataishije? Kwa kuwa yeye ni mdigo sana.”
Da sa jeg: Herre, Israels Gud, hold op! Hvorledes skal Jakob kunne bli i live, han som er så liten?
6 Yahwe akagairi kuhusiana na hili, “Hili halitajitokeza pia,” asema Bwana Yahwe.
Da angret Herren det. Heller ikke det skal skje, sa Herren, Israels Gud.
7 Hivi ndivyo ambavyo Yahwe alivyo nionyesha: Tazama, Bwana amesimama karibu na ukuta, pamoja na uzi wa timiza kwenye mkono wake.
Så lot han mig se dette syn: Herren stod på en loddrett mur, og i hånden hadde han et blylodd.
8 Yahwe akanambia, “Amosi, unaona nini?” nikasema, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, nitaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli. Sintowaharibu tena.
Og Herren sa til mig: Hvad ser du, Amos? Jeg svarte: Et blylodd. Da sa Herren: Se, jeg vil bruke et blylodd iblandt mitt folk Israel; jeg vil ikke lenger bære over med dets synd.
9 Mahala pa juu pa Isaka pataharibiwa, patakatifu pa Israeli pataangamia, na nitainuka juu ya nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”
Isaks offerhauger skal ødelegges, og Israels helligdommer synke i grus, og jeg vil reise mig med sverdet mot Jeroboams hus.
10 Kisha Amazia, yule kuhani wa Betheli, akatuma ujumbe kwa Yeroboamu, mfalme wa Israeli: “amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli. Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya.
Da sendte Amasja, presten i Betel, bud til Jeroboam, Israels konge, og lot si: Amos har fått i stand en sammensvergelse mot dig midt i Israels hus; landet kan ikke tåle alt det han sier.
11 Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Amosi, 'Yeroboamu atakufa kwa upanga, na hakika Israeli itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
For så har Amos sagt: Jeroboam skal dø for sverdet, og Israel skal bli bortført fra sitt land.
12 Amazia akamwambia Amosi, “Mwonaji, nenda, kimbia irudie nchi ya Yuda, na hapo ule mkate na kutabiri.
Og Amasja sa til Amos: Gå din vei, du seer, fly til Juda land og et ditt brød der; der kan du være profet!
13 Lakini usitabiri tena hapa katika Betheli, kwa kuwa ni patakatifu pa mfalme na nyumba ya kifalme.”
Men i Betel skal du ikke mere holde på å profetere; for det er en kongelig helligdom og et rikstempel.
14 Kisha Amosi akamwambia Amazia, “Mimi sio nabii wala mwana wa nabii. Mimi ni mchungaji wa mifugo, na mtunza mikuyu.
Da svarte Amos Amasja således: Jeg er ikke nogen profet, heller ikke disippel av nogen profet; jeg er bare en fehyrde, som sanker frukten av morbærtreet.
15 Lakini Yahwe akanichukua kutoka kuchunga mifugo na kunambia, 'Nenda, katabiri kwa watu wangu Israeli.'
Men Herren tok mig fra hjorden, og Herren sa til mig: Gå og vær profet for mitt folk Israel!
16 Sasa sikia neno la Yahwe. Wewe usemaye, 'Usitabiri juu ya Israeli, na usiongee juu ya nyumba ya Isaka.
Så hør nu Herrens ord! Du sier: Du skal ikke profetere mot Israel og ikke tale mot Isaks hus.
17 Kwa hiyo hivi ndivyo Yahwe asemavyo, 'Mke wako atakuwa kahaba katika mji; wana wako waume na binti zako wataanguka kwa upanga; nchi yako itapimwa na kugawanywa; utakufa katika nchi najisi, na Israeli hakika itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
Derfor sier Herren så: Din hustru skal drive hor i byen, og dine sønner og døtre skal falle for sverdet, og din jord skal deles med målesnor, og du selv skal dø i et urent land, og Israel skal bli bortført fra sitt land.