< Amosi 7 >
1 Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha. Tazama, aliumba kundi kubwa la nzige wakati wa kuchipuka kwa mmea, na, tazama, ulikuwa ni mmea wa mwisho baada ya mavuno ya mfalme.
Thus Lord YHWH has showed me, and behold, He is forming locusts at the beginning of the ascending of the latter growth, and behold, the latter growth [is] after the mowings of the king [[or King Gog]];
2 Wakati walipomaliza kula mbogamboga za nchi, kisha nikasema, “Bwana Yahwe, tafadhali nisamehe; Je Yakobo ataishije? kwa kuwa yeye ni mdogo sana.”
and it has come to pass, when it has finished to consume the herb of the land, that I say, “Lord YHWH, please forgive, How does Jacob arise—for he [is] small?”
3 Yahwe akapunguza hasira kuhusu hili. “Haitatokea,” akasema.
YHWH has relented of this, “It will not be,” said YHWH.
4 Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha: Tazama, Bwana Yahwe aliita juu ya moto kuhukumu. Nao ukakausha sana, kilindi chini ya dunia na kutaka kuitekeza nchi, pia.
Thus has Lord YHWH showed me, and behold, Lord YHWH is calling to contend by the fire, and it consumes the great deep, indeed, it has consumed the portion, and I say,
5 Lakini nikasema, “Bwana Yahwe, acha tafadhali; Yakobo ataishije? Kwa kuwa yeye ni mdigo sana.”
“Lord YHWH, please cease, How does Jacob arise—for he [is] small?”
6 Yahwe akagairi kuhusiana na hili, “Hili halitajitokeza pia,” asema Bwana Yahwe.
YHWH has relented of this, “It also will not be,” said Lord YHWH.
7 Hivi ndivyo ambavyo Yahwe alivyo nionyesha: Tazama, Bwana amesimama karibu na ukuta, pamoja na uzi wa timiza kwenye mkono wake.
Thus has He showed me, and behold, the Lord is standing by a wall [made according to] a plumb-line, and in His hand a plumb-line;
8 Yahwe akanambia, “Amosi, unaona nini?” nikasema, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, nitaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli. Sintowaharibu tena.
and YHWH says to me, “What are you seeing, Amos?” And I say, “A plumb-line”; and the Lord says: “Behold, I am setting a plumb-line in the midst of My people Israel, I no longer pass over to it.
9 Mahala pa juu pa Isaka pataharibiwa, patakatifu pa Israeli pataangamia, na nitainuka juu ya nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”
And high places of Isaac have been desolated, And sanctuaries of Israel are dried up, And I have risen against the house of Jeroboam with a sword.”
10 Kisha Amazia, yule kuhani wa Betheli, akatuma ujumbe kwa Yeroboamu, mfalme wa Israeli: “amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli. Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya.
And Amaziah priest of Beth-El sends to Jeroboam king of Israel, saying, “Amos has conspired against you in the midst of the house of Israel; the land is not able to bear all his words,
11 Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Amosi, 'Yeroboamu atakufa kwa upanga, na hakika Israeli itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
for thus said Amos: Jeroboam dies by sword, And Israel certainly removes from off its land.”
12 Amazia akamwambia Amosi, “Mwonaji, nenda, kimbia irudie nchi ya Yuda, na hapo ule mkate na kutabiri.
And Amaziah says to Amos, “Seer, go, flee to the land of Judah for yourself, and eat bread there, and there you prophesy;
13 Lakini usitabiri tena hapa katika Betheli, kwa kuwa ni patakatifu pa mfalme na nyumba ya kifalme.”
and no longer prophesy [at] Beth-El anymore, for it [is] the king’s sanctuary, and it [is] the royal house.”
14 Kisha Amosi akamwambia Amazia, “Mimi sio nabii wala mwana wa nabii. Mimi ni mchungaji wa mifugo, na mtunza mikuyu.
And Amos answers and says to Amaziah, “I [am] no prophet, nor [am] I a prophet’s son, but I [am] a herdsman, and a cultivator of sycamores,
15 Lakini Yahwe akanichukua kutoka kuchunga mifugo na kunambia, 'Nenda, katabiri kwa watu wangu Israeli.'
and YHWH takes me from after the flock, and YHWH says to me, Go, prophesy to My people Israel.
16 Sasa sikia neno la Yahwe. Wewe usemaye, 'Usitabiri juu ya Israeli, na usiongee juu ya nyumba ya Isaka.
And now, hear a word of YHWH: You are saying, Do not prophesy against Israel, nor drop [anything] against the house of Isaac,
17 Kwa hiyo hivi ndivyo Yahwe asemavyo, 'Mke wako atakuwa kahaba katika mji; wana wako waume na binti zako wataanguka kwa upanga; nchi yako itapimwa na kugawanywa; utakufa katika nchi najisi, na Israeli hakika itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
therefore, thus said YHWH: Your wife goes whoring in the city, And your sons and your daughters fall by sword, And your land is apportioned by line, And you die on an unclean land, And Israel certainly removes from off its land.”