< Amosi 6 >
1 Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
Люте уничижающым Сиона и уповающым на гору Самарийскую: оымаша начатки языков, и внидоша к ним дом Израилев.
2 Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
Мимоидите Халану вси и видите, и прейдите оттуду во Емаф великий и снидите оттуду в Геф иноплеменников, крепчайшыя от всех царств сих, аще болши суть пределы их предел ваших?
3 Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
Приходящии в день зол, приближающиися и прикасающиися субботам лживым,
4 Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
спящии на одрех от костей слоновых и ласкосердствующии на постелех своих, ядущии козлища от паств и телцы млеком питаемы от среды стад:
5 Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
плещущии ко гласу пищалей, аки стояща мнеша, а не яко бежаща:
6 Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
пиющии процеженое вино и первыми вонями мажущиися, и не страдаху ничесоже в сокрушении Иосифове.
7 Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
Сего ради ныне пленницы будут от начала сильных, и отимется ржание конско от Ефрема.
8 “Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
Яко клятся Господь Собою, глаголет Господь Бог Сил: понеже гнушаюся аз всею укоризною Иакова и села его возненавидех, и отвергу град со всеми живущими в нем.
9 Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
И будет, аще останутся десять мужей во единем дому, умрут, и останутся остаточнии:
10 Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
и возмут свои их, и понудятся изнести кости их из дому. И речет настоятелем дому: еще ли есть у тебе? И речет: несть еще. И речет: молчи, не именования ради имене Господня.
11 Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
Понеже, се, Господь заповедает и побиет дом великий толчением и дом малый разседением.
12 Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
Аще поженут в камениях кони? И аще умолкнут в женстем полу? Яко обратисте на гнев суд, и плод правды на горесть,
13 Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
веселящиися ни о единем слове блазе, глаголющии: не крепостию ли нашею имамы роги?
14 Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”
Темже, се, Аз воздвигну на вы, доме Израилев, язык, глаголет Господь Бог Сил, и сокрушат вас еже не внити во Емаф и до водотечи западов.