< Amosi 6 >
1 Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
Terrible things will happen to you people in Jerusalem who are not worried about anything, and also to you leaders who live on Samaria Hill who think that you are safe. [You think that] [IRO] you are the most important people [in the world], people to whom Israeli people [MTY] go [to get help].
2 Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
But go to Calneh [city] and see [what happened there]. Then go to [see] the great [city] Hamath [and see what happened there]. Then go down to Gath [city] in Philistia [and see what happened to their city walls]. Your land/country is certainly not [RHQ] larger or more powerful than their countries were, [but they were all destroyed].
3 Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
You are trying to not think about a day when you will experience disasters, when [your enemies will come and] violently attack you.
4 Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
You lie on beds [decorated with expensive] ivory, and on [soft] couches. You eat [the tender meat of] lambs and fat calves.
5 Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
You create/compose new songs and play them on your harps like [King] David did.
6 Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
You drink entire bowlfuls of wine and you put expensive oils/perfumes on your bodies, but you do not grieve about [your country of] Israel [MTY], which is about to be destroyed.
7 Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
Your feasting and lounging [on soft couches] will soon end, and you will be among the first ones to be forced [by your enemies] to go (into exile/to another country).
8 “Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
Yahweh the Lord has solemnly declared this: “I hate the people of Israel because they are very proud; I detest their fortresses. I will enable [their enemies] to capture their [capital] city and everything in it.”
9 Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
[When that happens, ] if there are ten people in one house, they will all die.
10 Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
If a relative who (has the task of/is responsible for) burning their corpses comes to the house and inquires of anyone who is still hiding there, “Is there anyone here with you?”, and that person replies “No,” [the one who inquired] will say, “Be quiet! We must not mention the name of Yahweh, [lest he cause us also to be killed]!”
11 Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
[Terrible things like that will happen] because Yahweh has commanded that large houses [in Israel] must be smashed into pieces, and small houses must be smashed into tiny bits.
12 Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
Horses certainly do not [RHQ] run on big rocks, and certainly people do not [RHQ] plow the sea with oxen. But you have [done things that no one should do]: You have distorted what is fair/right and caused it to be considered like poison [MET]; you have changed what is right and consider it to be like things that are bitter.
13 Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
You are proud because you have captured Lo-Debar [town], and you have said, “We captured Karnaim by our own power!”
14 Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”
But the Commander of the armies of angels declares, “I will cause another nation to attack you people [MTY] of Israel; they will (oppress you/cause you to suffer) all the way from Hamath Pass [in the northwest] to the Dead Sea [in the southeast].”