< Amosi 6 >
1 Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
Asigi bagadedafa, dilia Yelusaleme soge ganodini noga: ledafa esalusu amola Samelia fi ganodini dilia da agoane dawa: sa, “Nowa da nini wadela: lesima: bela: ?’ Isala: ili fi da fi bagade amola ilia asigilai dunu da bagadeba: le, dunu eno da ilima fidisu lama: ne maha, ilisu da agoane dawa: sa. Be ilia da se bagade nabimu.
2 Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
Asili amola Ga: lane moilai bai bagade fi amo ba: la masa. Amalu Ha: ima: de osobo dogone fi bagade amoga masa, amola Filisidini soge ganodini Ga: de moilai bai bagade fi amo ba: la masa. Amo osobo dogone fi ilia hou Yuda amola Isala: ili ilia hou baligibala: ? Ma ilia soge alalo ilegei amo da dilia soge alalo ilegei baligibala: ? Hame mabu!
3 Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
Dilia soge da wadela: mu amo dilia da dafawaneyale hame dawa: Be dilia wadela: i hou da amo wadela: mu eso hedolo misa: ne fidisa.
4 Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
Dilia muni bagade gagui dunu dilia noga: le sesei da: iya goladiaha amola bulamagau mano amola sibi mano hu noga: le naha, be dilia dawa: ma! Dilia da se bagade nabimu.
5 Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
Dilia da gesami hea: musa: gesami gaheabolo muni hamosa, amo da Da: ibidi ea hamoi defele, amola dusu amo duni hea: sa.
6 Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
Dilia da ofodo waini hano amo nabale dili naha, amola dilia da: i amoma gabusiga: waea ulawane noga: i ba: sa, be Isala: ili fi da wadela: lesi dagoiba: le dilia da ilima hame asigisa.
7 Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
Amaiba: le dili da hidadea ga se iasu diasu soge ganodini amoga mugululi masunu. Amola dilia lolo nabe dilia da bu hame ba: mu.
8 “Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da amo sisasudafa sia: i dagoi, “Na da Isala: ili fi dunu ilia hidale gasa fi hou bagade higasa. Na da ilia diasu noga: idafa amola higasa. Na da ilia diasu osobo dogone bagade amola amo ganodini liligi huluane amo ilia ha lai dunu ilima imunu.”
9 Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
Be sosogo fi ganodini, dunu nabuane agoane hame bogoi esalebe ba: sea, ilia da huluane bogomu.
10 Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
Dunu bogoi amo ea sosogo fi amola bogoi da: iya misi amo ouligisu dunu e da bogoi da: i amo diasu ganodini dialebe amo lale moiga agoane masunu. Amola bogoi amoea sosogo fi ilima ea amane naba ba: mu, “Diasu ganodini da nowa fawane yolesibala?” E da sia: amane nabimu, “Hame!” sosogo fi ilia da amane sia: mu. Amasea, bogoi da: iya ouligisu da agoane sia: mu. “Ouiya: ma! Ninia da noga: le dawa: mu da defea. Hina Gode Ea Dio mae sia: ma.”
11 Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
Hina Gode da liligi wadela: lesima: ne sia: sea, diasu bagade amola fonobahadi amo mugululi fofonobone, goudai dagoi ba: mu.
12 Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
Hosi ea da igi bagade gilisi amodili da hehenaia masa: bela: ? Ma dunu ilia da hano wayabo bagade amogai osobo gidinasuga, wayabo amogai da dogoma: bela: ? Be dilia da hou noga: i amo afadenene, fedege agoane medosu hano defele hamoi, amola molole fofada: su amo wadela: lesi dagoi.
13 Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
Dilia da Loudiba osobo dogone fi amoga hasalasiba: le hidale sia: sa. Amaiba: le, dilisu dilia hou amo gadodafa hidale gaguia gadoi, amola gasa fi bagade hamosa. Dilia da gasa fili agoane sia: sa, “Ninia da Gana: ime osobo dogone fi ilima hasalasili ouligimu defele esala.”
14 Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”
Hina Gode Bagadedafa Hisu da amane sia: sa, “Isala: ili fi dunu! Na da gegesu dunu soge enoga fi amo dilia soge bagade gogami asunasimu amola dilia da soge hame ganumu. Amo gegesu dunu da dilima hasalasimu. Ilia da dilia soge huluane amo ganodini dili banenesimu - amo soge da Ha: ima: de adobo gigadofa ahoasu ga (north) la: di asili la: di goega (south) alalo A: laba Fago doaga: sa.”