< Amosi 4 >

1 Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
Janjiño o tsara zao ry añombe’ i Basane ambohi’ i Sameroneo, ie forekeke’ areo o rarakeo, naho pirite’ areo o poi’eo, vaho manao amo roandriañeo ty hoe: Añendeso hinoman-tika.
2 Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
Fa nifanta ty amy hamasiña’ey t’Iehovà, Talè: Toe ho tsatok’ ama’ areo ty andro t’ie hasese mb’eo am-porengotse, ty sehanga’ areo am-bintañe.
3 Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
Hipororoak’ amo heba’eo nahareo songa rakemba hifanoitoy mb’eo, vaho hahifike mb’e Karmone añe hoe t’Iehovà.
4 “Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
Mb’e Betele mb’atoy, le mandilara; mb’e Gilgale le ampitombò hakeo; banabanao o enga’ areoo te maraindray, ty faha-folo’e añ’andro fahatelo’e;
5 Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
naho añengao sorom-pandrengeañe milaro lalivay, le tseizo o banabanan-tsatrin-trokeo, vaho isengeo, fa izay ty tea’ areo, ry ana’Israeleo, hoe t’Iehovà, Talè.
6 Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Fa nitolorako nife malio amo rova’ areo iabio, naho tsy fahampeañe mofo añ’anjomba’ areo, fe tsy nimpoly amako nahareo, hoe t’Iehovà.
7 Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
Nampihakañeko ama’ areo ty orañe, te mbe volañe telo añe i fitatahañey, le nampahaviako orañe ty rova raike fa tsy nampahaviako ka ty rova raike; toetse raike ty nahazo orañe, niforejeje ka i tsy nahavia’ey.
8 Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
Aa le nitoha rano hinoma’e mb’ an-drova raike añe ty rova telo ndra roe, fa tsy nahaeneñe, mboe tsy nimpoly amako avao nahareo, hoe t’Iehovà.
9 Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
F’ie linafako an-tio-maike naho an-tromambo; le nabotse’ ty kijeja ty hamaroa’ o golobo’ areoo, naho o tanem-bahe’ areoo, vaho o voanio’ areoo; fe tsy nimpoly amako, hoe t’Iehovà.
10 Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
Nahitriko ama’ areo ty angorosy manahake o tan-tane Mitsraime añeo, zinamako am-pibara o ajalahi’ areoo, naho tinavako o soavala’ areoo, nampionjoneko mb’am-pian­tsona’ areo ao ty fitrotròra’e; fe tsy nimpoly amako, hoe t’Iehovà.
11 Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
Finongoko ty ila’e ama’ areo manahake ty namongoran’Añahare i Sedome naho i Amorà, ie nihoe foroha mirekake tsinoake amy afoy ao; fe mboe tsy nimpoly amako hoe t’Iehovà.
12 Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
Toly ndra inao ty hanoeko ama’o ry Israele; kanao tsy mete tsy hanoeko, le mihentseña hifañaoñe aman’ Añahare’o ry Israele.
13 Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”
Inao, i mpitsene o vohitseo naho mpamboatse o tiokeoy, I mampiborake o vetsevetse’eo am’ondatioy. I mampiboake ty manjirik’andro ami’ty fimoromoroñe, I midraidraitse amo toets’ambone’ ty tane toioy; Iehovà Andrianañahare’ i màroy ty tahina’e.

< Amosi 4 >