< Amosi 4 >

1 Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
Dengarlah, hai wanita-wanita Samaria yang bertambah gemuk seperti sapi-sapi tambun di Basan! Kamu menindas orang lemah, memeras orang miskin, dan menuntut supaya suamimu selalu menyediakan minuman keras bagimu!
2 Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
Aku, TUHAN Yang Mahatinggi adalah TUHAN yang suci, dan Aku telah berjanji bahwa kelak kamu diseret dengan kaitan; kamu semua akan seperti ikan pada mata kail.
3 Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
Kamu akan diseret ke arah Hermon dan dilempar keluar, masing-masing melalui celah tembok yang terdekat. Aku TUHAN telah berbicara."
4 “Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
TUHAN Yang Mahatinggi berkata, "Hai umat Israel! Pergilah saja ke tempat ibadah di Betel, dan berbuatlah dosa di situ! Pergilah ke Gilgal, dan berbuatlah dosa sesuka hatimu! Silakan mempersembahkan kurban setiap pagi, dan membawa sepersepuluh dari segala penghasilanmu setiap tiga hari!
5 Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Silakan mempersembahkan roti sebagai ucapan terima kasihmu kepada-Ku, dan silakan membual bahwa kamu sudah membawa tambahan persembahan! Pasti itulah yang kamu senang lakukan!
6 Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Akulah yang menimpakan bencana kelaparan ke atas semua kotamu, tapi kamu tidak kembali kepada-Ku.
7 Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
Aku mencegah turunnya hujan ketika tanamanmu sangat memerlukan air. Aku menurunkan hujan ke kota yang satu dan tidak ke kota yang lain. Ladang yang satu mendapat curahan hujan, sedangkan ladang yang lain kekeringan.
8 Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
Di beberapa kota, penduduknya yang sudah lemah kehausan, mencari air di kota yang lain, tapi air di situ tidak cukup. Meskipun begitu, kamu tidak juga kembali kepada-Ku.
9 Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Aku menghembuskan angin panas dan mengirim hama yang merusak tanaman-tanaman serta kebun-kebun anggurmu. Pohon-pohon ara, dan pohon-pohon zaitunmu telah habis dimakan belalang. Namun demikian kamu tidak juga kembali kepada-Ku.
10 Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
Aku mengirim wabah penyakit kepadamu seperti yang Kukirim ke Mesir. Orang-orang mudamu Kutewaskan dalam pertempuran, dan kuda-kudamu dirampas. Aku mengisi perkemahanmu dengan bangkai-bangkai yang baunya menusuk hidung. Meskipun begitu, kamu tidak juga kembali kepada-Ku.
11 Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
Sebagian dari kamu Kubinasakan seperti Aku membinasakan Sodom dan Gomora. Yang masih hidup di antara kamu adalah seperti puntung kayu yang diambil dari api. Meskipun begitu, kamu tidak juga kembali kepada-Ku.
12 Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
Karena itu, hai umat Israel, Aku akan menghukum kamu. Jadi, bersiap-siaplah menghadapi hukuman yang akan Kutimpakan kepadamu!"
13 Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”
Gunung dan angin, Tuhanlah penciptanya; rencana-Nya dinyatakan-Nya kepada manusia. Ia membuat siang dan malam; di atas puncak-puncak bumi Ia berjalan. TUHAN Allah Yang Mahakuasa, itulah nama-Nya.

< Amosi 4 >