< Amosi 4 >

1 Lisikilizeni neno hili, ninyi ng'ombe wa Bashani, ninyi mliomo katika mlima wa Samaria, ninyi mnaowakandamiza maskini, ninyi mnaowaponda wahitaji, ninyi muwaambiao waume zenu, “Tuleteeni vinywaji.”
You [wealthy women] of Samaria [have grown fat like] [MET] the fat cows of the Bashan [region]. You oppress poor people and you cause needy people to suffer. And you say to your husbands, “Bring us [more wine] to drink!”
2 Bwana Yahwe ameapa kwa utukufu wake, “Tazama, siku zitakuja kwenu wakati watakapowaondoa kwa ndoana, wa mwisho wenu na ndoana za kuvulia samaki.
But Yahweh [our] God has said this: “Because I am holy, I solemnly promise this: It will [soon] be the time when you all will be taken [to another country]; [your enemies will take you away as though they are] using sharp hooks [DOU] [to grab you].
3 Mtatoka kupitia mahali palipo bomolewa kwenye kuta za mji, kila mmoja wenu kwenda moja kwa moja kupitia hapo, na mtajitupa mbele ya Harmoni -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.”
[Your enemies] will drag you out through breaks/holes [in your city walls], and they will throw you outside the city. [That will surely happen because I], Yahweh, have said it!
4 “Nendeni Betheli na uovu, hata Gilgali mkaongeza dhambi, leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila baada ya siku tatu.
Go to Bethel and Gilgal [towns where many people worship me] and sin more and more [SAR]! [I say that not because I want you to do it], [but because it is what you have always been doing]! Offer sacrifices on the morning [after you arrive], [and bring me] (a tithe/one tenth) of your crops the next day.
5 Toeni dhabihu za shukurani pamoja na mkate; tangazeni sadaka za hiari; watangazieni, kwa kuwa hii ndiyo iwapendezayo, ninyi watu wa Israeli -hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Bring offerings of bread to thank me, and [other] offerings that are not required/commanded, and boast about [these offerings that you bring], because that is what you like to do, [but you do it to impress others, not to please me]. [That is certainly true, because I], Yahweh, have said it.
6 Nawapatia usafi wa meno katika miji yenu na na kupungukiwa na mkate katika sehemu zenu zote. Bado hamkurudi kwangu -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
I [am the one who] caused there to be no food in any of your cities and towns [DOU], but you rejected me in spite of that.
7 Pia nimeizuia mvua kutoka kwenu wakati bado kulikuwa na miezi mitatu kwa mavuno. Nikaifanya inyeshe juu ya mji, na kuifanya isinyeshe katika mji mwingine. Kipande kimoja cha nchi ilinyesha, lakini kipande kingine cha nchi ambapo haikunyesha palikuwa pakavu.
When it was still three months before [the time of] harvesting [crops], [at the time when your crops needed rain the most], I prevented rain from falling. [Sometimes] I allowed rain to fall on some towns and prevented it from falling on other towns. Rain fell on some fields, but it did not fall on other fields, with the result that [the soil in] those fields [where it did not rain] dried up.
8 Walizunguka miji miwili au mitatu kwenda mji mwingine kunywa maji, lakini hawakutosheka. Bado hawakunirudia mimi -asema Yahwe.
People would stagger from one town to another town to find water, but they could not even get enough water to drink, but in spite of that, you have not returned to me. [That is certainly true because I], Yahweh, have said it!
9 Nimewapiga kwa maradhi yanayosababisha kuvu. Wingi wa bustani, mashamba yenu ya zabibu, mitini yenu, na mizaituni-kuteketeza yote. Bado hamkunirudia hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
I caused your grain fields to dry up; I caused your gardens and vineyards to be struck/destroyed by (blight/hot winds) and mildew. [I sent] locusts to eat [the leaves on] your fig trees and olive trees, but in spite of that, you rejected me. [That is certainly true because I], Yahweh, have said it!
10 Nimetuma tauni kwenu kama ya Misri. Nimewaua watoto wenu kwa upanga, kubeba farasi zenu, na kuufanya uvundo wa kambi zenu na kuingiza kwenye pua zenu. Bado hamkunirudia mimi -hivi ndivyo asemavyo Yahwe.
I caused you to experience (plagues/severe sicknesses) like the plagues [that I sent to the people] of Egypt. I caused [many of] your young men to die in battles. I allowed [your enemies] to capture your horses. [Many of your soldiers were killed, ] and I caused your camps to be filled with the smell/stink of their [decaying] corpses. But in spite of that, you rejected me. [That is certainly true, because] I, Yahweh, have said it!
11 Nimeiangamiza miji miongoni mwenu, kama wakati Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijinga kilichonyakuliwa kutoka kwenye moto. Bado hamkunirudia - asema Yahwe.
I got rid of many of you, like I got rid of [the people in] Sodom and Gomorrah. [Those of] you who [did not die] were like [SIM] a burning stick that was snatched from a fire [so that it would not burn completely]. But in spite of that, you rejected me. [That is certainly true, because I], Yahweh, have said it!
12 Kwa hiyo nitafanya jambo baya kwako, Israeli; na kwa sababu nitafanya jambo baya kwako, jiandae kukutana na Mungu, Israeli!
So [now], you [people of] Israel, I am going to punish you. Prepare to stand in front of me, your God, [when I judge you]!
13 Kwa kuwa, tazama, yeye atangenezaye milima pia ndiye aumbaye upepo, humfunulia mawazo yake mwanadamu, hufanya asubuhi kuwa giza, na kupakanyaga mahala pa juu ya dunia. Yahwe, Mungu wa majeshi, ndilo jina lake.”
I created the mountains, and [I] created winds. I reveal to humans what I am thinking. I [sometimes] cause the daylight to become dark [like the night]. I [rule over everything]; I [even] walk on the highest mountains on the earth! I am the Commander of the armies of angels!”

< Amosi 4 >