< Amosi 2 >
1 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Moabu i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ spalił kości króla Edomu na wapno.
2 Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
Ale ześlę ogień na Moab, który strawi pałace Keriotu. I umrze Moab wśród wrzawy, wśród krzyku [i] przy dźwięku trąby.
3 Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
I wytracę sędziów spośród niego, i zabiję wraz z nim wszystkich jego książąt, mówi PAN.
4 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Judy i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ odrzucili prawo PANA i nie przestrzegali jego przykazań, a dali się zwieść swoim kłamstwom, za którymi chodzili ich ojcowie.
5 Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
Ale ześlę ogień na Judę, który strawi pałace Jerozolimy.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
Tak mówi PAN: Z powodu trzech występków Izraela i z powodu czterech nie przepuszczę mu, ponieważ sprzedali sprawiedliwego za srebro, a ubogiego za parę sandałów;
7 Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
Którzy dążą do tego, aby w prochu deptać głowy ubogich i drogę pokornych wypaczają. Ponadto syn i jego ojciec obcują z [tą samą] dziewczyną, aby splamić moje święte imię.
8 Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
I na szatach danych im w zastaw kładą się przy każdym ołtarzu, a wino ukaranych piją w domu swoich bogów.
9 Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
A przecież wytraciłem przed nimi Amorytę, który był wysoki jak cedry, a mocny jak dęby. Zniszczyłem jednak jego owoc od góry, a z dołu jego korzenie.
10 Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
A was wyprowadziłem z ziemi Egiptu i prowadziłem przez pustynię czterdzieści lat, abyście posiedli ziemię Amoryty.
11 Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
I wzbudzałem spośród waszych synów proroków i spośród waszych młodzieńców nazirejczyków. Czy nie jest tak, synowie Izraela? – mówi PAN.
12 Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
Ale wy poiliście nazirejczyków winem, a prorokom rozkazywaliście, mówiąc: Nie prorokujcie.
13 Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
Oto ścisnę waszą ziemię, tak jak ciśnie wóz pełen snopów.
14 Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
Szybkiemu nie uda się ucieczka, mocny nie doda sobie sił i mocarz nie wybawi swojej duszy.
15 Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
A ten, który trzyma łuk, nie ostoi się, i szybki na nogach nie ucieknie, a jeździec na koniu nie zachowa swojej duszy.
16 Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”
A najodważniejszy spośród mocarzy ucieknie w tym dniu nagi, mówi PAN.