< Amosi 2 >

1 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
Voici ce que dit le Seigneur: À cause des trois et même des quatre crimes de Moab, je ne le convertirai pas, parce qu’ils ont brûlé les os du roi d’Edom, jusqu’à les réduire en cendres.
2 Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
Et j’enverrai un feu dans Moab, et il dévorera les édifices de Carioth; et Moab mourra au milieu du bruit des armes et au son de la trompette;
3 Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
Et j’exterminerai le juge du milieu de Moab, et tous ses princes, je les ferai périr avec lui, dit le Seigneur.
4 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
Voici ce que dit le Seigneur: À cause des trois et même des quatre crimes de Juda, je ne le convertirai pas, parce qu’ils ont rejeté la loi du Seigneur, et n’ont pas gardé ses commandements; car leurs idoles les ont trompés, ces idoles après lesquelles avaient couru leurs pères.
5 Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
Et j’en verrai un feu dans Juda, et il dévorera les édifices de Jérusalem.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
Voici ce que dit le Seigneur: À cause des trois et même des quatre crimes d’Israël, je ne le convertirai pas; parce qu’il a vendu le juste pour de l’argent, et le pauvre pour une chaussure.
7 Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
Ils brisent sur la poussière les têtes des pauvres et détournent la voie des humbles; le père et le fils sont allés vers une jeune fille, afin de violer mon nom saint.
8 Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
Et c’est sur des vêtements reçus en gage qu’ils se sont couchés près de tout autel; et ils buvaient le vin des condamnés dans le temple de leur Dieu.
9 Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
Cependant c’est moi qui ai exterminé à leur face l’Amorrhéen, dont la hauteur était la hauteur des cèdres, et il était fort lui-même comme un chêne; et j’ai détruit son fruit en haut, et ses racines en bas.
10 Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
C’est moi qui vous ai fait monter de la terre d’Egypte, et vous ai conduits dans le désert pendant quarante années, afin que vous possédiez la terre de l’Amorrhéen.
11 Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Et d’entre vos fils j’ai suscité des prophètes, et d’entre vos jeunes hommes des Nazaréens. Est-ce qu’il n’en est pas ainsi, ô fils d’Israël? dit le Seigneur.
12 Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
Et vous offrirez du vin à boire aux Nazaréens, et vous commanderez aux prophètes, disant: Ne prophétisez point.
13 Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
Voilà que moi, je crierai sous vous, comme crie le chariot chargé de foin.
14 Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
Et la fuite manquera au plus rapide, et le brave ne jouira pas de sa valeur, et le fort ne sauvera pas son âme;
15 Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
Et celui qui manie l’arc ne résistera pas, et le plus vite de ses pieds ne se sauvera pas, et le cavalier ne sauvera pas son âme.
16 Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”
Et le plus hardi entre les braves s’enfuira nu en ce jour-là, dit le Seigneur.

< Amosi 2 >