< Amosi 2 >

1 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés de Moab que Je le prendrai en aversion, c'est parce qu'il a brûlé les os du roi de l'Idumée, jusqu'à les réduire en poudre.
2 Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
Et Je lancerai la flamme sur Moab; et elle dévorera les fondations de ses villes, et Moab périra dans l'impuissance, au milieu des cris et au son des trompettes.
3 Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
Et Je détruira son juge, et J'exterminerai ses princes avec lui, dit le Seigneur.
4 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés des fils de Juda que Je les prendrai en aversion, c'est parce qu'ils ont répudié la loi du Seigneur, et qu'ils n'ont point gardé les commandements, et que les vaines idoles qu'ils avaient fabriquées et qu'avaient suivies leurs pères les ont eux-mêmes égarés.
5 Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
Et Je lancerai la flamme sur Juda, et elle dévorera les fondations de Jérusalem.
6 Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
Voici ce que dit le Seigneur: Ce n'est point à cause des triples et quadruples impiétés d'Israël que Je le prendrai en aversion; c'est parce qu'il a livré le juste à prix d'argent, et le pauvre pour des sandales
7 Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
que l'on traîne dans la poussière des chemins; c'est parce qu'ils ont frappé du poing la tête de l'indigent, qu'ils ont fait dévier le faible, et que le fils et le père ont eu la même concubine, afin de profaner le Nom de leur Dieu,
8 Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
et parce que, liant avec des cordes leurs manteaux, ils en ont voilé l'autel, et bu le vin des calomnies, dans le temple de leur Dieu.
9 Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
Cependant c'est Moi qui ai, devant leur face, chassé l'Amorrhéen d'où il était; sa taille était celle du cèdre, sa force celle du chêne; et J'ai desséché ses fruits au-dessus de la terre, et ses racines au-dessous.
10 Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
Et vous, Je vous ai ramenés de la terre d'Égypte, et Je vous ai conduits çà et là dans le désert, pendant quarante ans, pour vous donner ensuite en héritage la terre des Amorrhéens.
11 Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
Et J'ai pris de vos fils pour en faire des prophètes, et de vos jeunes enfants pour Me les consacrer; tout cela n'est-il pas vrai, fils d'Israël? dit le Seigneur.
12 Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
Et vous faites boire du vin aux Nazaréens, et vous donnez des ordres aux prophètes, disant: Ne prophétisez pas!
13 Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
Et, à cause de cela, voilà que Je vais rouler sur vous, comme un chariot rempli de paille.
14 Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
Et il n'y aura pas de fuite pour le coureur, et le fort ne pourra se prévaloir de sa force, et le guerrier ne sauvera pas sa vie;
15 Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
et l'archer ne résistera pas, et l'homme aux pieds légers ne saura s'échapper, et le cavalier ne sauvera pas sa vie.
16 Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”
Et le fort ne mettra plus son cœur en ses forces; et, nu, il s'enfuira en ce jour, dit le Seigneur.

< Amosi 2 >