< Matendo 8 >
1 Sauli alikuwa kwenye makubaliano ya kifo chake. siku hiyo ndipo alipoanza kuwatesa kinyume cha kanisa lililokuwa Yerusalemu; na waaminio wote waliotawanyika katika majimbo ya Yudea na Samaria, isipokuwa mitume.
Sauli ajhele makubaliano gha kifo kya muene. Legono elu ndo ajhandili kubhatesya kinyume kya kanisa lya lyejhele Yerusalemu; na bhoha jha bhiamini bhabhatawanyiki mu majimbo gha Yudea ni Samaria, isipokujha mitume.
2 Watu wachamungu walimzika Stefano na kufanya maombolezo makubwa juu yake.
Bhanu bhacha mungu bhan'syelili Stefano ni kubhomba maombolez mabhaha juu jha muene.
3 Lakini Sauli alilidhuru sana kanisa. Alikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza nje wanawake na waume, na kuwatupia gerezani.
Lakini Sauli alilizuru likanisa. Alotili nyumba kwa nyumba nikubhabuniza kwibhala bhadala ni bhagosi, ni kubhasopa mu ligereza.
4 waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
Bhabhikeera ambabho bhatawanyiki bado bhalihubiri lilobhi.
5 Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
Filipo asalili katika mji bhwa Samaria ni kun'tangasya Kristu okhu.
6 Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.
Baada jha makutano kup'eleka ni ishara syaabhombi Filipo; bhakabheka umakini juu jha khela kyaajobhili.
7 Kutoka hapo watu wengi waliosikia, pepo wachafu waliwatoka watu huku wakilia kwa sauti kubwa, na wengi waliopooza na viwete waliponywa.
Kuhomela apu bhanu bhingi bhabhap'eliki pepo bhachafu bhakabhabhoka bhanu khoni bhilela kwa sauti mbaha, ni bhingi bhabhapoozili ni fiwete bhaponyisibhu.
8 Na kulikuwa na furaha kubwa katika mji.
Na kwajhele ni furaha mbaha mu mji.
9 Lakini palikuwa na mtu mmoja katika mji ule jina lake Simon, ambaye alikuwa akifanya uchawi; ambao aliutumia kuwashangaza watu wa taifa la Samaria, wakati akisema kuwa yeye ni mtu wa muhimu.
Lakini pajhele ni munu mmonga mu mji bhola lihina lya muene Simoni ambajhe abhombeghe uhabhi; ambabho abhutimili kubhashangasya bhanu bha taifa la Samaria, wakati ijobha kujha muene ndo munu muhimu.
10 Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa, wakamsikiliza; wakasema;”mtu huyu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni kuu.”
Bhasamaria bhoha kuhomela bhana hata bhabhaha, bhakamp'elekesya, bhakajobha, “Munu ojho ndo jhela nghofu jha K'yara ambajho ndo mbaha.”
11 Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mrefu kwa uchawi wake.
Bhakamp'elekesya, kwa ndabha abhesyangese mda mrefu kwa uhabhi bhwa muene.
12 Lakini wakati walipoamini kuwa Filipo alihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake.
Lakini wakati bhakyeriri kujha Filipo ahubiriri juu jha ufalme bhwa K'yara ni juu jhalihina lya Yesu Kristu, bhabatisibhu bhagosi kwa bhadala.
13 Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.
Ni Simoni muene akyeriri; baada jha kubatisibhwa ajhendelili kujha ni Filipo; bho abhuene ishara ni miujiza jhaijhele jhibhombekeghe, ashangele.
14 Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana.
Wakati mitume bha Yerusalemu bho bhap'eliki kujha samaria ipokili lilobhi lya K'yara bhakabhautma Petro ni Yohana.
15 Wakati walipokuwa wakishuka wakawaombea; kwamba wampokee Roho Mtakatifu.
Wakati bhiselela bhakabhaombela; kujha bhampokelayi Roho mtakatifu.
16 Mpaka muda huo, Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
Mpaka mda obhu, Roho mtakatifu ajhele akona kubhaselelela hata mmonga ghwa bhene; bhabatisibhu lu kwa lihina lya Bwana Yesu.
17 Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
Ndipo Petro ni Yohana bhakabhabhekela mabhoko ni bhene bhakampokela Roho mtakatifu.
18 Wakati Simoni alipoona kwamba Roho Mtakatifu ametolewa kupitia kuwekewa mikono na mitume; akataka kuwapa pesa,
Wakati Simoni abhwena Roho mtakatifu abhosibhu kupetelakubhekibhwa mabhoko ni mitume; alondeghe kubhapela hela,
19 Akasema, “Nipeni hii nguvu, ili kila nitakayemwekea mikono apokee Roho Mtakatifu.”
Akajobha, “Nipelayi nghofu ejhe, ili kila jha nibetakumbeka mabhoko paokelayi Roho mtakatifu.”
20 Lakini Petro akamwambia; pesa yako pamoja na wewe ipotelee mbali, kwa sababu umedhani kuwa karama ya Mungu inapatikana kwa pesa.
Lakini Petro akan'jobhela; hela jha jhobhi pamonga ni bhebhe ijhaghanikilayi patali, kwa ndabha udhanili kujha karama jha K'yara jhipalikana kwa hela.
21 Hauna sehemu katika jambo hili, kwa sababu moyo wako si mnyoofu mbele za Mungu.
Ujhelepi ni sehemu kulijambo e'le, n'nofu lepi mbele sya K'yara.
22 Hivyo basi tubu maovu yako na kumwomba Mungu labda utasamehewe fikra za moyo wako.
Hivyo basi, tubuayi maovu gha jhobhi ni kun'soka K'yara labda wibeta kusamehebhwa fikra sya muoyo ghwa jhobhi.
23 Kwa maana naona uko katika sumu ya uchungu na kifungo cha dhambi.”
Kwa maana nibhona ujhele mu sumu jha bhuchungu ni kifungu kya dhambi.”
24 Simoni akajibu na kusema, “Mwombeni Bwana kwa ajili yangu, kwa kuwa mambo yote mliyozungumza yaweza kunitokea.
Simoni akajibu ni kujobha, “Mun'sokayi Bwana kwa ndabha jha nene kwa kujha mambo ghoha ghamulongelili ghibhwesya kunitokela.
25 Wakati Petro na Yohana walipokuwa wameshuhudia na kuhubiri neno la Bwana, walirudi Yerusalemu kwa njia hiyo; walihubiri injili katika vijiji vingi vya Wasamaria.
Wakati Petro ni Yohana bho bhashuhudili ni kuhubiri lilobhi lya Bwana, bhakakerebhuka Yerusalemu kwa njela ejhu; bhahubiri injili mu fijiji fingi fya bhasamaria.
26 Basi malaika wa Bwana akanena na Filipo na kusema, “Angaza na uende kusini katika njia iendayo chini ya Yerusalemu kuelekea Gaza.” ( Njia hii iko katika jangwa).
Basi malaika bha Bwana anenili ni Filipo ni kujobha, “Jhangasiajhi na ulotayi kusini kwa njela jhajhilota kusika jha Yerusalemu kulotela Gaza.” (Njela ejhe jhijhe mujangwa).
27 Akaangaza na kwenda. Tazama, kulikuwa na mtu wa Ethiopia, towashi mwenye mamlaka kuu chini ya kandase; malkia wa Ethiopia. Aliyewekwa juu ya hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu.
Akajhangasya ni kulota. Langayi, kwajhele ni munu ghwa Ethiopia, towashi mwenye mamlaka mbaha pasi pa kandese; Malkia ghwa Ethiopia. Jhaabhekibhu panani pa hazina jha muene jhioha; nu muene akalota Yerusalemu kuabudu.
28 Alikuwa akirejea ameketi garini mwake akisoma chuo cha nabii Isaya.
Wakati ikerebhuka atamili mu ligari lyamuene isoma chuo kya nabii Isaya.
29 Roho akasema na Filipo, “Sogea karibu na gari hili ukashikamane nalo.
Roho akajobha ni Filipo, “Hegelelayi karibu ni ligari e'le ukakamulana nalu.
30 “Hivyo Filipo akaenda mbio, akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya; akasema, Je unafahamu unachosoma?”
“Efyo Filipo akalota mbio, akampeleka isoma mu chuo kya nabii Isaya; akajobha, umanyili kya wisoma?”
31 Muethiopia akasema, “nitawezaje mtu asiponiongoza?” Akamsihi Filipo apande garini na kuketi pamoja naye.
Muethiopia akajobha, “nibebhwesya bhuli munu kama andongwisi lepi?” Akan'sihi Filipo akwela mu ligari ni kutama pamonga ni muene.
32 Sasa fungu la maandiko alilokuwa akisoma Muethiopia ni hili; Aliongozwa kama kondoo kwenda machinjioni kuchinjwa; na kama kondoo alinyamaza kimya, hakufungua kinywa chake:
Henu lifungu lya maandiku lya asomeghe Muethiopia ndo e'le, Alongosibhu kama likondoo kulota kuchinjibhwa ku machinjioni; ni kama likondoo agudeme kinunu, afunguililepi kinywa kya muene.
33 Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa: Nani ataeleza kizazi chake? maisha yake yameondolewa katika nchi.”
Kwa huzunishibhwa kwa muene hukumu jha muene jhabhosibhu, niani jha ibetakujhelesya kizazi kya muene? maisha muene ghabhosibhu munchi.”
34 Hivyo towashi akamwuliza Filipo, na kusema, “nakuomba, ni nabii yupi ambaye anaongelewa habari zake, ni kuhusu yeye, au za mtu mwingine”?
Hivyo towashi akan'kota Filipo, ni kujobha, “nikus'oka, nabii jholeku ilongelibhwa habari sya muene, ni kuhusu muene au sya munu jhongi”?
35 Filipo alianza kuongea, alianza kwa andiko hili la Isaya kumhubiria habari za Yesu.
Filipo ajhandikulongela, abhwanji kwa andiko e'le lya Isaya kun'hubirira habari sya Yesu.
36 Wakiwa njiani, wakafika penye maji,' towashi akasema, “Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,
Bhobhajhe munjela, bhakafika pa masi,' towashi akajobha, “Langayi, pajheni masi apa kheleku kizuila nisibatisibhu?”
37 maneno haya, “Hivyo Muethiopia akajibu “naamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,” hayamo kwenyemaandiko ya kale). Ndipo Muethiopia akaamuru gari lisimame.
Malobhi agha, “Hivyo Muethiopia akajibu “Nikiera kujha Yesu Kristu ndo mwana ghwa K'yara,” ghajhelepi mu maandiku gha muandi). Ndipo Muethiopia akaamuru ligari lijhemayi.
38 Walikwenda ndani ya maji, pamoja Filipo na towashi, Filipo akambatiza.
Bhakalota mugati mu masi, pamonga ni Filipo ni towashi, Filipoakambatisya.
39 Wakati walipotoka kwenye maji, Roho wa Bwana ikampeleka Filipo mbali; towashi hakumwona, akaenda njia yake akishangilia.
Wakati bhofobhwiki mu masi, Roho ghwa Bwana jhampeliki Filipo patali; tawashi ambwene lepi, akalota njela jha muene khoni ishangilila.
40 Lakini Philipo akatokea Azoto. Alipita katika mkoa ule na kuhubiri injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.
Lakini Filipo akahomela Azoto. Apetili mu mkoa bhola ni kuhubiri injili mu miji ghioha mpaka bho afikili Kaisaria.