< Matendo 6 >

1 Sasa katika siku hizi, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa inaongezeka, lalamiko la Wayahudi wa Kiyunani lilianza dhidi ya Waebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa wanasahaulika katika mgao wa kila siku wa chakula.
A v těch dnech, když se rozmnožovali učedlníci, stalo se reptání Řeků proti Židům proto, že by zanedbávány byly v přisluhování vezdejším vdovy jejich.
2 Mitume kumi na wawili waliwaita kusanyiko lote la wanafunzi na kusema, “Siyo sahihi kwetu kuliacha neno la Mungu na kuhudumia mezani.
Tedy dvanácte apoštolů, svolavše množství učedlníků, řekli: Není slušné, abychom my, opustíce slovo Boží, přisluhovali stolům.
3 Kwa hiyo, ndugu, chagueni, wanaume saba, kutoka miongoni mwenu, watu wema, waliojaa Roho na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi huduma hii.
Protož, bratří, vybeřte z sebe mužů sedm dobropověstných, plných Ducha svatého a moudrosti, jimž bychom poručili tu práci.
4 Na sisi, tutaendelea daima katika kuomba na katika huduma ya neno.”
My pak modlitby a služby slova Páně pilni budeme.
5 Hotuba yao ikaupendeza mkutano wote. Hivyo, wakamchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena, na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
I líbila se ta řeč všemu množství. I vyvolili Štěpána, muže plného víry a Ducha svatého, a Filipa, a Prochora, a Nikánora, a Timona, a Parména, a Mikuláše Antiochenského, k víře vnově obráceného.
6 Waumini waliwaleta watu hawa mbele ya mitume, walioomba na badaye wakawawekea mikono yao.
Ty postavili před obličejem apoštolů, kteřížto pomodlivše se, vzkládali na ně ruce.
7 Hivyo, neno la Mungu lilienea; na idadi ya wanafunzi ilizidi kuongezeka huko Yesrusalem; na idadi kubwa ya makuhani wakaitii imani.
I rostlo jest slovo Boží, a rozmáhal se počet učedlníků v Jeruzalémě velmi. Mnohý také zástup kněží poslouchal víry.
8 Na Stefano, aliyejaa neema na nguvu, alikuwa akifanya maajabu na ishara kubwa miongoni mwa watu.
Štěpán pak, jsa plný víry a moci, činil divy a zázraky veliké v lidu.
9 Lakini hapo wakainuka baadhi ya watu wafuasi wa Sinagogi liitwalo Sinagogi la Mahuru, na la Wakirene na la Waeskanderia, na baadhi kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa walikuwa wakihojiana na Stefano.
I povstali někteří z školy, kteráž sloula Libertinských, a Cyrenenských, a Alexandrinských, a těch, kteříž byli z Cilicie a Azie, hádajíce se s Štěpánem.
10 Lakini, hawakuweza kushindana na hekima na Roho ambayo Stefano alikuwa akitumia katika kuzungumza.
A nemohli odolati moudrosti a Duchu Páně, kterýž mluvil.
11 Kisha waliwashawishi baadhi ya watu kwa siri kusema, “Tumesikia Stefano akizungumza maneno ya kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mungu.”
Tedy lstivě nastrojili muže, kteříž řekli: My jsme jej slyšeli mluviti slova rouhavá proti Mojžíšovi a proti Bohu.
12 Waliwashurutisha watu, wazee, na waandishi, na kumwendea Stefano, wakamkamata, na kumleta mbele ya baraza.
A tak zbouřili lid a starší i zákoníky, a obořivše se na něj, chytili jej, a vedli do rady.
13 waliwaleta mashahidi wa uongo, waliosema, “mtu huyu haachi kunena maneno mabaya dhidi ya eneo hili takatifu na sheria.
I vystavili falešné svědky, kteříž řekli: Èlověk tento nepřestává mluviti slov rouhavých proti místu tomuto svatému i proti Zákonu.
14 Kwani tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi tulizokabidhiwa na Musa.”
Nebo jsme slyšeli jej, an praví: Že ten Ježíš Nazaretský zkazí místo toto, a promění ustanovení, kteráž nám vydal Mojžíš.
15 Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano, nao wakauona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika.
A pilně patříce na něj všickni, kteříž seděli v radě, viděli tvář jeho, jako tvář anděla.

< Matendo 6 >