< Matendo 4 >
1 Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masadukayo waliwaendea.
ยสฺมินฺ สมเย ปิตรโยหเนา โลกานฺ อุปทิศตสฺตสฺมินฺ สมเย ยาชกา มนฺทิรสฺย เสนาปตย: สิทูกีคณศฺจ
2 Walikuwa wameudhika sana kwa sababu Petro na Yohana walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
ตโยรฺ อุปเทศกรเณ ขฺรีษฺฏโสฺยตฺถานมฺ อุปลกฺษฺย สรฺเวฺวษำ มฺฤตานามฺ อุตฺถานปฺรสฺตาเว จ วฺยคฺรา: สนฺตสฺตาวุปาคมนฺฯ
3 Waliwakamata na kuwaweka gerezani hadi asubuhi iliyofuata, kwani tayari ilikuwa jioni.
เตา ธฺฤตฺวา ทินาวสานการณาตฺ ปรทินปรฺยฺยนนฺตํ รุทฺธฺวา สฺถาปิตวนฺต: ฯ
4 Lakini watu wengi waliokuwa wamesikia ujumbe waliamini; na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini walikadiliwa kuwa elfu tano.
ตถาปิ เย โลกาสฺตโยรุปเทศมฺ อศฺฤณฺวนฺ เตษำ ปฺราเยณ ปญฺจสหสฺราณิ ชนา วฺยศฺวสนฺฯ
5 Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoja walikusanyika Yerusalemu.
ปเร'หนิ อธิปตย: ปฺราจีนา อธฺยาปกาศฺจ หานนนามา มหายาชก:
6 Anasi kuhani mkuu alikuwepo, na Kayafa, na Yohana, na Iskanda, na wote waliokuwa ni ndugu wa kuhani mkuu.
กิยผา โยหนฺ สิกนฺทร อิตฺยาทโย มหายาชกสฺย ชฺญาตย: สรฺเวฺว ยิรูศาลมฺนคเร มิลิตา: ฯ
7 Walipokuwa wamewaweka Petro na Yohana katikati yao, waliwauliza, “Kwa uwezo gani, au kwa jina gani mmefanya hili?”
อนนฺตรํ เปฺรริเตา มเธฺย สฺถาปยิตฺวาปฺฤจฺฉนฺ ยุวำ กยา ศกฺตยา วา เกน นามฺนา กรฺมฺมาเณฺยตานิ กุรุถ: ?
8 Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akawaambia, “Ninyi wakuu wa watu, na wazee,
ตทา ปิตร: ปวิเตฺรณาตฺมนา ปริปูรฺณ: สนฺ ปฺรตฺยวาทีตฺ, เห โลกานามฺ อธิปติคณ เห อิสฺราเยลียปฺราจีนา: ,
9 kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima?
เอตสฺย ทุรฺพฺพลมานุษสฺย หิตํ ยตฺ กรฺมฺมากฺริยต, อรฺถาตฺ, ส เยน ปฺรกาเรณ สฺวโสฺถภวตฺ ตจฺเจทฺ อทฺยาวำ ปฺฤจฺฉถ,
10 Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel, kwamba kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye mlimsulibisha, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, ni kwa njia yake kwamba mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa mwenye afya.
ตรฺหิ สรฺวฺว อิสฺราเยลียโลกา ยูยํ ชานีต นาสรตีโย โย ยีศุขฺรีษฺฏ: กฺรุเศ ยุษฺมาภิรวิธฺยต ยศฺเจศฺวเรณ ศฺมศานาทฺ อุตฺถาปิต: , ตสฺย นามฺนา ชโนยํ สฺวสฺถ: สนฺ ยุษฺมากํ สมฺมุเข โปฺรตฺติษฺฐติฯ
11 Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.
นิเจตฺฤภิ รฺยุษฺมาภิรยํ ย: ปฺรสฺตโร'วชฺญาโต'ภวตฺ ส ปฺรธานโกณสฺย ปฺรสฺตโร'ภวตฺฯ
12 Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote. Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu, ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.”
ตทฺภินฺนาทปราตฺ กสฺมาทปิ ปริตฺราณํ ภวิตุํ น ศกฺโนติ, เยน ตฺราณํ ปฺราเปฺยต ภูมณฺฑลสฺยโลกานำ มเธฺย ตาทฺฤศํ กิมปิ นาม นาสฺติฯ
13 Sasa walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu, walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana wamekuwa pamoja na Yesu.
ตทา ปิตรโยหโนเรตาทฺฤศีมฺ อกฺเษภตำ ทฺฤษฺฏฺวา ตาววิทฺวำเสา นีจโลกาวิติ พุทฺธฺวา อาศฺจรฺยฺยมฺ อมนฺยนฺต เตา จ ยีโศ: สงฺคิเนา ชาตาวิติ ชฺญาตุมฺ อศกฺนุวนฺฯ
14 Kwa sababu walimwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
กินฺตุ ตาภฺยำ สารฺทฺธํ ตํ สฺวสฺถมานุษํ ติษฺฐนฺตํ ทฺฤษฺฏฺวา เต กามปฺยปรามฺ อาปตฺตึ กรฺตฺตํ นาศกฺนุนฺฯ
15 Lakini walipokuwa wamekwisha kuwaamuru mitume waondoke mbele ya mkutano wa baraza, walizungumza wao kwa wao.
ตทา เต สภาต: สฺถานานฺตรํ คนฺตุํ ตานฺ อาชฺญาปฺย สฺวยํ ปรสฺปรมฺ อิติ มนฺตฺรณามกุรฺวฺวนฺ
16 Walisema, tutawafanyaje watu hawa? Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu; hatuwezi kulikataa hilo.
เตา มานเวา ปฺรติ กึ กรฺตฺตวฺยํ? ตาเวกํ ปฺรสิทฺธมฺ อาศฺจรฺยฺยํ กรฺมฺม กฺฤตวนฺเตา ตทฺ ยิรูศาลมฺนิวาสินำ สรฺเวฺวษำ โลกานำ สมีเป ปฺรากาศต ตจฺจ วยมปโหฺนตุํ น ศกฺนุม: ฯ
17 Lakini, ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu, hebu tuwaonye wasinene tena kwa mtu yeyote kwa jina hili.
กินฺตุ โลกานำ มธฺยมฺ เอตทฺ ยถา น วฺยาปฺโนติ ตทรฺถํ เตา ภยํ ปฺรทรฺศฺย เตน นามฺนา กมปิ มนุษฺยํ โนปทิศตมฺ อิติ ทฺฤฒํ นิเษธาม: ฯ
18 Waliwaita Petro na Yohana ndani na kuwaamuru kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la Yesu.
ตตเสฺต เปฺรริตาวาหูย เอตทาชฺญาปยนฺ อิต: ปรํ ยีโศ รฺนามฺนา กทาปิ กามปิ กถำ มา กถยตํ กิมปิ โนปทิศญฺจฯ
19 Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, “Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe.
ตต: ปิตรโยหเนา ปฺรตฺยวทตามฺ อีศฺวรสฺยาชฺญาคฺรหณํ วา ยุษฺมากมฺ อาชฺญาคฺรหณมฺ เอตโย รฺมเธฺย อีศฺวรสฺย โคจเร กึ วิหิตํ? ยูยํ ตสฺย วิเวจนำ กุรุตฯ
20 Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”
วยํ ยทฺ อปศฺยาม ยทศฺฤณุม จ ตนฺน ปฺรจารยิษฺยาม เอตตฺ กทาปิ ภวิตุํ น ศกฺโนติฯ
21 Baada ya kuwaonya sana Petro na Yohana, waliwaacha waende. Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetendeka.
ยทฆฏต ตทฺ ทฺฤษฺฏา สรฺเวฺว โลกา อีศฺวรสฺย คุณานฺ อนฺววทนฺ ตสฺมาตฺ โลกภยาตฺ เตา ทณฺฑยิตุํ กมปฺยุปายํ น ปฺราปฺย เต ปุนรปิ ตรฺชยิตฺวา ตาวตฺยชนฺฯ
22 Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji alipata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.
ยสฺย มานุษไสฺยตตฺ สฺวาสฺถฺยกรณมฺ อาศฺจรฺยฺยํ กรฺมฺมากฺริยต ตสฺย วยศฺจตฺวารึศทฺวตฺสรา วฺยตีตา: ฯ
23 Baada ya kuwaacha huru, Petro na Yohana walikuja kwa watu wao na kuwataarifu yote ambayo makuhani wakuu na wazee walikuwa wamewaambia.
ตต: ปรํ เตา วิสฺฤษฺเฏา สนฺเตา สฺวสงฺคินำ สนฺนิธึ คตฺวา ปฺรธานยาชไก: ปฺราจีนโลไกศฺจ โปฺรกฺตา: สรฺวฺวา: กถา ชฺญาปิตวนฺเตาฯ
24 Walipoyasikia, walipaza sauti zao kwa pamoja kwa Mungu na kusema, “Bwana, wewe uliyeumba mbingu na dunia na bahari na kila kitu ndani yake,
ตจฺฉฺรุตฺวา สรฺวฺว เอกจิตฺตีภูย อีศฺวรมุทฺทิศฺย โปฺรจฺไจเรตตฺ ปฺรารฺถยนฺต, เห ปฺรโภ คคณปฺฤถิวีปโยธีนำ เตษุ จ ยทฺยทฺ อาเสฺต เตษำ สฺรษฺเฏศฺวรสฺตฺวํฯ
25 wewe ambaye, kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema, “Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
ตฺวํ นิชเสวเกน ทายูทา วากฺยมิทมฺ อุวจิถ, มนุษฺยา อนฺยเทศียา: กุรฺวฺวนฺติ กลหํ กุต: ฯ โลกา: สรฺเวฺว กิมรฺถํ วา จินฺตำ กุรฺวฺวนฺติ นิษฺผลำฯ
26 Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake.”
ปรเมศสฺย เตไนวาภิษิกฺตสฺย ชนสฺย จฯ วิรุทฺธมภิติษฺฐนฺติ ปฺฤถิวฺยา: ปตย: กุต: ๚
27 Ni hakika, wote Herode na Pontio Pilato, pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika kwa pamoja katika mji huu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimpaka mafuta.
ผลตสฺตว หเสฺตน มนฺตฺรณยา จ ปูรฺวฺว ยทฺยตฺ สฺถิรีกฺฤตํ ตทฺ ยถา สิทฺธํ ภวติ ตทรฺถํ ตฺวํ ยมฺ อถิษิกฺตวานฺ ส เอว ปวิโตฺร ยีศุสฺตสฺย ปฺราติกูเลฺยน เหโรทฺ ปนฺตียปีลาโต
28 Walikusanyika kwa pamoja kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru tangu awali kabla hayajatokea.
'นฺยเทศียโลกา อิสฺราเยโลฺลกาศฺจ สรฺวฺว เอเต สภายามฺ อติษฺฐนฺฯ
29 Sasa, Bwana, yaangalie matisho yao, na ukawajaalie watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri wote. Ili
เห ปรเมศฺวร อธุนา เตษำ ตรฺชนํ ครฺชนญฺจ ศฺฤณุ;
30 kwamba unaponyosha mkono wako kuponya, ishara na maajabu viweze kutokea kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.”
ตถา สฺวาสฺถฺยกรณกรฺมฺมณา ตว พาหุพลปฺรกาศปูรฺวฺวกํ ตว เสวกานฺ นิรฺภเยน ตว วากฺยํ ปฺรจารยิตุํ ตว ปวิตฺรปุตฺรสฺย ยีโศ รฺนามฺนา อาศฺจรฺยฺยาณฺยสมฺภวานิ จ กรฺมฺมาณิ กรฺตฺตุญฺจาชฺญาปยฯ
31 Walipomaliza kuomba, eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa, na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno la Mungu kwa ujasili.
อิตฺถํ ปฺรารฺถนยา ยตฺร สฺถาเน เต สภายามฺ อาสนฺ ตตฺ สฺถานํ ปฺรากมฺปต; ตต: สรฺเวฺว ปวิเตฺรณาตฺมนา ปริปูรฺณา: สนฺต อีศฺวรสฺย กถามฺ อกฺโษเภณ ปฺราจารยนฺฯ
32 Idadi kubwa ya wale walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja: na hakuna hata mmoja wao aliyesema kwamba chochote alichomiliki kilikuwa cha kwake mwenyewe; badala yake walikuwa na vitu vyote shirika.
อปรญฺจ ปฺรตฺยยการิโลกสมูหา เอกมนส เอกจิตฺตีภูย สฺถิตา: ฯ เตษำ เกปิ นิชสมฺปตฺตึ สฺวียำ นาชานนฺ กินฺตุ เตษำ สรฺวฺวา: สมฺปตฺตฺย: สาธารเณฺยน สฺถิตา: ฯ
33 Kwa nguvu kubwa mitume walikuwa wakiutangaza ushuhuda wao kuhusu ufufuo wa Bwana Yesu, na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
อนฺยจฺจ เปฺรริตา มหาศกฺติปฺรกาศปูรฺวฺวกํ ปฺรโภ รฺยีโศรุตฺถาเน สากฺษฺยมฺ อททุ: , เตษุ สรฺเวฺวษุ มหานุคฺรโห'ภวจฺจฯ
34 Hapakuwa na mtu yeyote miongoni mwao aliyepungukiwa na mahitaji, kwa sababu watu wote waliokuwa na hati za viwanja au nyumba, waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
เตษำ มเธฺย กสฺยาปิ ทฺรวฺยนฺยูนตา นาภวทฺ ยตเสฺตษำ คฺฤหภูมฺยาทฺยา ยา: สมฺปตฺตย อาสนฺ ตา วิกฺรีย
35 na kuviweka chini ya miguu ya mitume. Na mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
ตนฺมูลฺยมานีย เปฺรริตานำ จรเณษุ ไต: สฺถาปิตํ; ตต: ปฺรเตฺยกศ: ปฺรโยชนานุสาเรณ ทตฺตมภวตฺฯ
36 Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume (hiyo ikitafasiriwa, ni mwana wa faraja).
วิเศษต: กุโปฺรปทฺวีปีโย โยสินามโก เลวิวํศชาต เอโก ชโน ภูมฺยธิการี, ยํ เปฺรริตา พรฺณพฺพา อรฺถาตฺ สานฺตฺวนาทายก อิตฺยุกฺตฺวา สมาหูยนฺ,
37 Akiwa na shamba, aliliuza na akaleta fedha, akaziweka chini ya miguu ya mitume.
ส ชโน นิชภูมึ วิกฺรีย ตนฺมูลฺยมานีย เปฺรริตานำ จรเณษุ สฺถาปิตวานฺฯ