< Matendo 3 >
1 Sasa Peter na Yohana walikuwa wanaelekea katika hekalu wakati wa maombi, saa tisa.
tRtIyayAmavelAyAM satyAM prArthanAyAH samaye pitarayohanau sambhUya mandiraM gacchataH|
2 Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu uitwao mzuri, ili aweze kuomba sadaka kutoka kwa watu waliokuwa wakielekea hekaluni.
tasminneva samaye mandirapravezakAnAM samIpe bhikSAraNArthaM yaM janmakhaJjamAnuSaM lokA mandirasya sundaranAmni dvAre pratidinam asthApayan taM vahantastadvAraM Anayan|
3 Alipowaona Petro na Yohana wanakaribia kuingia hekaluni, aliomba sadaka.
tadA pitarayohanau mantiraM praveSTum udyatau vilokya sa khaJjastau kiJcid bhikSitavAn|
4 Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, alisema,”tutazame sisi.”
tasmAd yohanA sahitaH pitarastam ananyadRSTyA nirIkSya proktavAn AvAM prati dRSTiM kuru|
5 Kiwete akawatazama, akitazamia kupokea kitu fulani kutoka kwao.
tataH sa kiJcit prAptyAzayA tau prati dRSTiM kRtavAn|
6 Lakini Petro akasema, “fedha na dhahabu mimi sina, lakini kile nilichonacho nitatoa kwako. Katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, tembea.”
tadA pitaro gaditavAn mama nikaTe svarNarUpyAdi kimapi nAsti kintu yadAste tad dadAmi nAsaratIyasya yIzukhrISTasya nAmnA tvamutthAya gamanAgamane kuru|
7 Petro akamchukua kwa mkono wake wa kulia, na akamwinua juu: mara moja miguu yake na vifundo vya mifupa yake vikapata nguvu.
tataH paraM sa tasya dakSiNakaraM dhRtvA tam udatolayat; tena tatkSaNAt tasya janasya pAdagulphayoH sabalatvAt sa ullamphya protthAya gamanAgamane 'karot|
8 Akiruka juu, mtu kiwete alisimama na akaanza kutembea; akaingia hekaluni pamoja na Petro na Yohana, akitembea, akiruka, na kumsifu Mungu.
tato gamanAgamane kurvvan ullamphan IzvaraM dhanyaM vadan tAbhyAM sArddhaM mandiraM prAvizat|
9 Watu wote walimwona akitembea na akimsifu Mungu.
tataH sarvve lokAstaM gamanAgamane kurvvantam IzvaraM dhanyaM vadantaJca vilokya
10 Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu ambaye alikuwa akikaa akiomba sadaka kwenye mlango mzuri wa hekalu; walijawa na mshangao na kustaajabu kwa sababu ya kile kilichotokea kwake.
mandirasya sundare dvAre ya upavizya bhikSitavAn saevAyam iti jJAtvA taM prati tayA ghaTanayA camatkRtA vismayApannAzcAbhavan|
11 Namna alivyokuwa amewashikilia Petro na Yohana, watu wote kwa pamoja wakakimbilia kwenye ukumbi uitwao wa Sulemani, wakishangaa sana.
yaH khaJjaH svasthobhavat tena pitarayohanoH karayordhTatayoH satoH sarvve lokA sannidhim Agacchan|
12 Petro alipoliona hili, yeye akawajibu watu, “Enyi watu wa Israel, kwa nini mnashangaa? Kwa nini mnayaelekeza macho yenu kwetu, kama kwamba tumemfanya huyu atembee kwa nguvu zetu wenyewe au uchaji wetu?”
tad dRSTvA pitarastebhyo'kathayat, he isrAyelIyalokA yUyaM kuto 'nenAzcaryyaM manyadhve? AvAM nijazaktyA yadvA nijapuNyena khaJjamanuSyamenaM gamitavantAviti cintayitvA AvAM prati kuto'nanyadRSTiM kurutha?
13 Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu. Huyu ndiye ambaye ninyi mlimkabidhi na kumkataa mbele ya uso wa Pilato, japo yeye alikuwa ameamua kumwachia huru.
yaM yIzuM yUyaM parakareSu samArpayata tato yaM pIlAto mocayitum ecchat tathApi yUyaM tasya sAkSAn nAGgIkRtavanta ibrAhIma ishAko yAkUbazcezvaro'rthAd asmAkaM pUrvvapuruSANAm IzvaraH svaputrasya tasya yIzo rmahimAnaM prAkAzayat|
14 Mlimkataa Mtakatifu na Mwenye Haki, na badala yake mkataka muuaji aachwe huru.
kintu yUyaM taM pavitraM dhArmmikaM pumAMsaM nAGgIkRtya hatyAkAriNamekaM svebhyo dAtum ayAcadhvaM|
15 Ninyi mlimuua Mfalme wa uzima, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu - Sisi ni mashahidi wa hili.
pazcAt taM jIvanasyAdhipatim ahata kintvIzvaraH zmazAnAt tam udasthApayata tatra vayaM sAkSiNa Asmahe|
16 Sasa, kwa imani katika jina lake, mtu huyu ambaye mnamwona na kujua, alifanywa kuwa na nguvu. Imani ambayo inapitia kwa Yesu imempa yeye afya hii kamilifu, mbele yenu ninyi nyote.
imaM yaM mAnuSaM yUyaM pazyatha paricinutha ca sa tasya nAmni vizvAsakaraNAt calanazaktiM labdhavAn tasmin tasya yo vizvAsaH sa taM yuSmAkaM sarvveSAM sAkSAt sampUrNarUpeNa svastham akArSIt|
17 Sasa, Ndugu, najua kwamba mlitenda katika ujinga, ndivyo pia walivyofanya viongozi wenu.
he bhrAtaro yUyaM yuSmAkam adhipatayazca ajJAtvA karmmANyetAni kRtavanta idAnIM mamaiSa bodho jAyate|
18 Lakini mambo ambayo Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote, kwamba huyu Kristo atateseka, sasa ameyatimiza.
kintvIzvaraH khrISTasya duHkhabhoge bhaviSyadvAdinAM mukhebhyo yAM yAM kathAM pUrvvamakathayat tAH kathA itthaM siddhA akarot|
19 Kwa hiyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana;
ataH sveSAM pApamocanArthaM khedaM kRtvA manAMsi parivarttayadhvaM, tasmAd IzvarAt sAntvanAprApteH samaya upasthAsyati;
20 na kwamba aweze kumtuma Kristo ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu, Yesu.
punazca pUrvvakAlam Arabhya pracArito yo yIzukhrISTastam Izvaro yuSmAn prati preSayiSyati|
21 Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn )
kintu jagataH sRSTimArabhya Izvaro nijapavitrabhaviSyadvAdigaNona yathA kathitavAn tadanusAreNa sarvveSAM kAryyANAM siddhiparyyantaM tena svarge vAsaH karttavyaH| (aiōn )
22 Hakika Musa alisema, 'Bwana Mungu atainua nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu. Mtamsikiliza kila kitu ambacho atawaambia ninyi.
yuSmAkaM prabhuH paramezvaro yuSmAkaM bhrAtRgaNamadhyAt matsadRzaM bhaviSyadvaktAram utpAdayiSyati, tataH sa yat kiJcit kathayiSyati tatra yUyaM manAMsi nidhaddhvaM|
23 Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa atoke kati ya watu.'
kintu yaH kazcit prANI tasya bhaviSyadvAdinaH kathAM na grahISyati sa nijalokAnAM madhyAd ucchetsyate," imAM kathAm asmAkaM pUrvvapuruSebhyaH kevalo mUsAH kathayAmAsa iti nahi,
24 Ndiyo, na manabii wote tokea Samweli na wale waliofuata baada yake, walizungumza na walitangaza siku hizi.
zimUyelbhaviSyadvAdinam Arabhya yAvanto bhaviSyadvAkyam akathayan te sarvvaeva samayasyaitasya kathAm akathayan|
25 Ninyi ni wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alilifanya pamoja na mababu, kama alivyosema kwa Abrahamu, 'Katika mbegu yako familia zote za dunia zitabarikiwa.'
yUyamapi teSAM bhaviSyadvAdinAM santAnAH, "tava vaMzodbhavapuMsA sarvvadezIyA lokA AziSaM prAptA bhaviSyanti", ibrAhIme kathAmetAM kathayitvA IzvarosmAkaM pUrvvapuruSaiH sArddhaM yaM niyamaM sthirIkRtavAn tasya niyamasyAdhikAriNopi yUyaM bhavatha|
26 Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza, ili awabariki ninyi kwa kugeuka kutoka katika uovu wenu.”
ata Izvaro nijaputraM yIzum utthApya yuSmAkaM sarvveSAM svasvapApAt parAvarttya yuSmabhyam AziSaM dAtuM prathamatastaM yuSmAkaM nikaTaM preSitavAn|