< Matendo 3 >
1 Sasa Peter na Yohana walikuwa wanaelekea katika hekalu wakati wa maombi, saa tisa.
Henu Petro ni Yohana bhakajha bhitola kuhekalu bhwakati wa maombi, saa tisa.
2 Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu uitwao mzuri, ili aweze kuomba sadaka kutoka kwa watu waliokuwa wakielekea hekaluni.
Munu fulani, kiwete kuhomela kuhogoleka akajha ip'endibhwa kila ligono kugonekibhwa pa ndiangu ghwa hekalu bhukutibhwege mzuri, ili abhwesiajhi kus'oka sadaka kuh'oma kwa bhanu bhabheloleghe mu hekalu.
3 Alipowaona Petro na Yohana wanakaribia kuingia hekaluni, aliomba sadaka.
Bhoabhhwene Petro ni Yohana bhikaribila kujhingila mu hekalu, as'okili sadaka.
4 Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, alisema,”tutazame sisi.”
Petro, akan'kesila mihu, pamonga ni Yohana, ajobhili, “tu langayi tete.”
5 Kiwete akawatazama, akitazamia kupokea kitu fulani kutoka kwao.
Kiwete akabhalanga, akajha elolelela kukabha khenu fulani kuhoma kwa bhene.
6 Lakini Petro akasema, “fedha na dhahabu mimi sina, lakini kile nilichonacho nitatoa kwako. Katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, tembea.”
Lakini Petro akajobha, “hela ni dhahabu nene njelepi nafu, lakini kyani jhenaku kuhomesya kwabhebhe. Katika lihina lya Yesu Kristu ghwa Nazareth, gendaya.”
7 Petro akamchukua kwa mkono wake wa kulia, na akamwinua juu: mara moja miguu yake na vifundo vya mifupa yake vikapata nguvu.
Petro akan'tala kwa kibhoko kya muene kya kulia, ni kunjinula kunani: mara jhejhuejhu magologha muene ni fifundo fya mafupa gha muene fyakabhi nghofu.
8 Akiruka juu, mtu kiwete alisimama na akaanza kutembea; akaingia hekaluni pamoja na Petro na Yohana, akitembea, akiruka, na kumsifu Mungu.
Aruki kunani, munu kiwete ajhemili ni kujhanda kugenda. Akajhingila mu hekalu pamonga ni Petro ni Yohana akajhaigenda, iruka, ni kun'sifu K'yara.
9 Watu wote walimwona akitembea na akimsifu Mungu.
Bhanu bhoha bhambwene igenda ni kun'sifu K'yara.
10 Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu ambaye alikuwa akikaa akiomba sadaka kwenye mlango mzuri wa hekalu; walijawa na mshangao na kustaajabu kwa sababu ya kile kilichotokea kwake.
Bhakamanya kujha ajhele munu jhola ambajhe ajhe atameghe ni kus'oka sadaka pa ndiangu ghunofu ghwa hekalu. Bhajhe ni mshangao ni kustaajabu kwa ndabha jhakhela kya kihomili kwa bhene.
11 Namna alivyokuwa amewashikilia Petro na Yohana, watu wote kwa pamoja wakakimbilia kwenye ukumbi uitwao wa Sulemani, wakishangaa sana.
Namna kya abhakemulili bha Petro ni Yohana bhanu bhoha kwa pamonga bhakajumbilila mu ukumbi bhwabhukutibhweghe bhwa Sulemani bhakajha bhishangale sana.
12 Petro alipoliona hili, yeye akawajibu watu, “Enyi watu wa Israel, kwa nini mnashangaa? Kwa nini mnayaelekeza macho yenu kwetu, kama kwamba tumemfanya huyu atembee kwa nguvu zetu wenyewe au uchaji wetu?”
Petro bho alibhwene e'le, muene akabhajibu bhanu, “Enyi bhanu bha Israrel, kwandajhekiki mwishangala? Kwandajhakiki mukaghalasya mihu gha jhomu kwa tete, kama kwamba tumbombili ajha agendayi kwa nghofu sya jhoto bhene au uchaji bhwa jhoto?”
13 Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu. Huyu ndiye ambaye ninyi mlimkabidhi na kumkataa mbele ya uso wa Pilato, japo yeye alikuwa ameamua kumwachia huru.
K'yara ghwa Ibrahimu, ni ghwa Isaka, ni ghwa Yakobo, K'yara ghwa bha dadi hitu, an'tukuisi n'tumishi ghwa muene Yesu. Ojho ndo ambajhe muenga mwan'kabidhi ni kum'bela mbele jha mihu gha Pilato, japo muene aamuli kundeka huru.
14 Mlimkataa Mtakatifu na Mwenye Haki, na badala yake mkataka muuaji aachwe huru.
Mwam'belili n'takatifu ni mwenye haki ni badala jhiake mkalonde n'komi alekibhwayi huru.
15 Ninyi mlimuua Mfalme wa uzima, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu - Sisi ni mashahidi wa hili.
Muenga mwan'komili mfalme ghwa uzima ambajhe K'yara amfufuili kuhomela kwa bhafu-tete ndo mashahidi bha e'le.
16 Sasa, kwa imani katika jina lake, mtu huyu ambaye mnamwona na kujua, alifanywa kuwa na nguvu. Imani ambayo inapitia kwa Yesu imempa yeye afya hii kamilifu, mbele yenu ninyi nyote.
Henu kwa imani kwa lihina lya muene, munu ajho ambajhe mukambona ni kumanya, abhombiki kujha ni nghofu. Imani ambajho jhip'otela kwa Yesu impelili muene afya ejhe kamilifu, mbele jha muenga mwebhoha.
17 Sasa, Ndugu, najua kwamba mlitenda katika ujinga, ndivyo pia walivyofanya viongozi wenu.
Henu, ndongo, nimanyili kujha mwabhombili katika ujinga, ndiyo kya bha bhabhombili bhalongosi bha jhomu.
18 Lakini mambo ambayo Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote, kwamba huyu Kristo atateseka, sasa ameyatimiza.
Lakini mambo ambagho K'yara abhajobhili manyata kwa vinywa fya manabii bhoha, kwamba Kristu ojhu ibetakuteseka, henu aghatimisi.
19 Kwa hiyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana;
Kwa hiyo mutubuajhi na mgeukayi, ili kwamba dhambi sya muenga sibhwesiajhi kubhosibhwa kabisa, kusudi sihidayi nyakati sya kuburudika kutokana na uwepo bhwa Bwana;
20 na kwamba aweze kumtuma Kristo ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu, Yesu.
ni kwamba abhwesiajhi kun'tuma Kristu ambajhe ataulibhu kwa ndabha jhinu, Yesu.
21 Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn )
Muene ndo ambajhe lazima mbingu simpokelayi mpaka bhwakati bhwa kukerusibhwa kwa fenu fyoha ambafyo K'yara alonelili muandi kwa finywa fya manabii bha takatifu. (aiōn )
22 Hakika Musa alisema, 'Bwana Mungu atainua nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu. Mtamsikiliza kila kitu ambacho atawaambia ninyi.
Hakika musa ajobhili; Bwana k'yara ibetakujhinula nabii kama nene kuh'omela kwa bhalongobhinu. Mwibeta kump'elekesya khita khenu ambakyo ibeta kubhajobhela muenga.
23 Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa atoke kati ya watu.'
Jhibeta kutokela kujha khila munu ambahe ip'elekesya lepi kwa nabii. Ojho ibeta kujhangamisi bhwa kabisa abhokayi kkati jhe bhanu.
24 Ndiyo, na manabii wote tokea Samweli na wale waliofuata baada yake, walizungumza na walitangaza siku hizi.
Ena, ni manabii bhoha kuhomela Samweli ni bhala bhabhakesisi baada jha muene, bhalongelili ni kutangasya magono agha.
25 Ninyi ni wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alilifanya pamoja na mababu, kama alivyosema kwa Abrahamu, 'Katika mbegu yako familia zote za dunia zitabarikiwa.'
Muenga mwe bhana bha manabii ni bha agano ambalyo K'yara alibhombili pamonga ni mababu, kama kya ajobhili kwa Abrahamu katika mbeyu jha bhebhe familia syoha sya dunia sibetakubarikibhwa.'
26 Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza, ili awabariki ninyi kwa kugeuka kutoka katika uovu wenu.”
Baada jha K'yara kunjinula n'tumishi ghwa muene, an'daghisi kwa muenga hotiili abbabarikiayi muenga kwa kugeuka kuhomela mu uovu bha muenga.”