< Matendo 27 >

1 Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
Ye valaghile kuuti tulondua ku ghenda mu malenga kuluta ku Italia, vakam'pelile u Paulo nava kungua avange kwa m'baha jumo ughwa kipugha kimo ikya va Roma juno itambulua Julio, ava kipugha ikya Agustani.
2 Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
Tukapandile imeli kuhuma ku Adramitamu, jino jikale jighenda mulubale mu pwani ija Asia. Pa uluo pe tukingila mu nyanja. Aristaka kuhuma Thesolanike ija ku Makedonia akaluta palikimo nusue.
3 Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
Ikighono kino kikavingilile tukima mulikaja ilya Sidoni, pano u Julio aka m'bombile u Paulo nhu vuhugu kange aka n'tavwile kuluta ku vamanyani va mwene ku kwupila uvuhugu vu vanave.
4 Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
Kuhuma pala tukaluta kunyanja tukaghendagha ku syuta ikiponge ikya Kipro kino kikale kisigha imepo, ulwakuuva imepo jikale jikutukong'ania.
5 Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
Ye tughendile mu malenga ghano ghalipipi ni Kilikia naku Pamfilia, tukisa ku Mira, mulikaja ilya Lisia.
6 Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
Pala u m'baha ughwa kipugha ikya va Roma, akajaghile i meli kuhuma ku Alexandria jino jighenda kuluta ku italia. Akatutosia Mu n'kate.
7 Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
Ye ighenda molamola mu fighono ifinga pe tukafikile nu lupumuko pipi na ku Kinidas, imepo najikatutavwile kange kuluta mu sila ijio, pe tukaghenda mulubale mukimughighi ikya ku Krete ye tusigha imepo, m'bading'ani naku Salmone.
8 Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
Tukaghenda mulubale kuvu talamu, m'paka tukalutile pakimenyule kino kitanmbulua Fari Haveni jino jilipipi nilikaja ilya Lasi.
9 Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
Tukatolile un'siki n'kome nkyongo, nu n'siki ughwa n'kungua ughwa Kiyahudi ghukakilile kange, liino pelukale ulutalamu. Pa uluo u Paulo akatupavile,
10 na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
na kuuti, “Vghosi, nivona lughendo luno tulonda pitola luva nuvunangifu kange nuvu luvumbulilo lwinga, nambe ku masigho ni meli, looli kange nuvukalo vwitu.”
11 Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
Looli um'baha ughwa kipugha kya va Roma akam'pulikisia kyongo u Mutua ghwa mwene nunya meli, kukila amasio ghala ghano ghalyajovilue nu Paulo.
12 Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
U lwakuva i bandari napalyale pahugu pikukala un'siki ughw ng'ala, avaghendesia meli vinga vakatuhigha tuvuke kuhuma pala, ulwakuuti fifino luvisaghe pikulifikila ilikaja lya Foinike, tukale pala un'siki ghwa ng'aala. I Foinike bandali ja ukuo ku Krete, kange jilola kunena na kuvuhumo na kumavemba kuvuhumo.
13 Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
I mepo ja kumavemba ye jitengwile kugugula lukeluke, ava ghendesia meli vasagha kuuti kila kino vakalondagha. Vakavusia ikimilo kya meli nakughenda mulubale mu Krete pipi na mu mwani.
14 Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
Looli un'siki n'debe ye ghukilile imepo inyinga, jino jikatambuluagha kuvuhumo ku nena, jikatengula kutusukania kumwambo ku kiponge.
15 Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
Un'siki ghuno imeli jilya kunilue na kukunua kukujitola imepo, tukiting'ana nu luveelo uluo, tukapindua na veene.
16 Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
Tukakimbila kukila ulubale luuo luno lukasighagha imepo ija kiponge kino kitambulua Kauda; na kupumuka kyongo tukakagula pikughupoka ikivoti.
17 Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
Pano vakati vajikwesile, valyakungule imeli nu lughoji. Valyoghuipe kuuti tunoghile piluta kuno lilikuo ilihanga linga ilya Syiti, apuo pe vakisia inanga kange vakaghendelagha mulubale.
18 Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
Tulya gasivue kyongo nama vingu, apuo ikighono kino kilya vingilile avaghendesia meli vakatengula kutagha amasigho kuhuma mu meli.
19 Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
Ikighono ikya vutatu, avaghendesia meli vakatengula pihumia amalenga namavoko ghavanave.
20 Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
Un'siki ghuno ili juva ni nondue nafilya tumulikile fighono finga ghalya jighe amavingu amavaha ghikutugasia, nuluhuvilo ulwakuuti ndeponu tupokua lulwavukile
21 Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
Vakaati vaghendile ulughendo lutali kisila kyakulia, apuo pe u Paulo akima pakate na kati pavaghendesia meli akaati, “Vaghosi, lunoghile mu mulikisie, kange natuvele tuvusisie inanga kuhuma ku Kret, neke pe tupate imumuko isita luvumbulilo.
22 Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
Lino pe nikuvanyasia, ulwakuva nakwekuva kusovia uvwumi vwinu, looli tusofisie ji meli.
23 Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
Ulwakuva ikilo jino jikilile umunyamola gha Nguluve, juno ujuo u Nguluve une nilighwa mwene, kange ghwejuno nikufunya kwa mwene - umunyamola ghwa mwene avele imile mulubale mulyune
24 na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
na kuuti, “Nuloghopagha Paulo. Lukunoghile kukwima pavulongolo pa Kaisari, lolagha u Nguluve mu vuhugu vwa mwene akupelile ava vooni vano vighenda palikimo nuve.
25 Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
Pa uluo, avaghosi, mugudaghe, ulwakuva mukumwitika u Nguluve, kuuti luva ndavule nivele nivulilue.
26 Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
Looli lutunoghile kupumuka mulwa ku tovua mu fimonga ifi ponge.”
27 Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
Ye jifikile ikilo ija kijigho na fine, pano tuvele mulunjughanjugha ulwa kuno na kuno mu nyanja ija Adratik, ndavule ikilo n'kate n'diki, avaghendesia meli valyasaghile kuuti vaseghelile ku mwani.
28 Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
Valyavombile amasio kulola uvutali uvwa malenga pasi vakasagha imita fijigho fitatu n'tanda, ye ghukilile un'siki n'debe vakapima kange vakasivona imita ifijigho fivili ni lekela lubale.
29 Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
Valyoghwipe taasi kuuti tunogile kubumala muma nalavue, apuo pe vakisia inanga inne kuhuma pano palyavikilue pakuvika inanga pe vakifunya kuuti ilwakilavo hwene jise ng'aning'ani.
30 Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
Avaghendesia meli vava valyale vilonda pikujilekelesia i meli jila pe vakisisie mumalenga amavoli amadebe isa kuvapoka ku vwumi vwave, vakivika kuuti hwene vitagha inanga kuvulongolo kumavoti.
31 Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
Looli u Paulo akam'bula jula un'sikali gha kipugha ikya vasikari ava kiroma nava sikar vala, “Namungapokue looli avaanhu ava vasighale mu meli”.
32 Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
Apuo ava sikari vala pe vakadumula ingoji sa livoti lila pe jikalekua jitolue na malenga.
33 Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
Un'siki ghuno kulyale ku tema pa lwakilavo, u Paulo akavapelepesia vooni kuuti valie padebe. Akaati, “Umusyughu kighono kya kijigho na fine mughula kisila kulia, namulile kimonga.
34 Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Pe nikuvavula mutole ikyakulia ikidebe, ulwakuva vwimila uvu avwa kukala kulyumue; nakwelile nambe ilinyele limo mumatue ghiinu lino lisova.
35 Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
Ye ajoovile aghuo akatola un'kate akamuhongesia u Nguluve pavulongolo pa maso muunhu ghweeni. pe akamenyula un'kate akatengula kulia.
36 Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
Pa uluo vooni vakakangasivua inumbula na veene vakatola ikyakulia.
37 Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
Tulyale avaanhu 276 mun'kate mu meli.
38 Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
Yevalile fikwiline, vakajivombile imeli jive m'mepe ku tagha ingano mun'kate mu nyanja.
39 Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
Ye mwisi, navakajitambuile iisi, looli pe vakalola iisi jino jingile mu malenga jino jilyale nilihanga linga vakapuling'ana ndavule vanoghile kughendesia imeli kuluta apuo.
40 Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
Pa uluo vakalegesia inanga vakasileka mu nyanja. Mun'siki ghughuhuo vakasilegesia ingoji isa tanga pevakinula kuvulongolo kuluta ku mepo pe vakaluta mulihanga ilinga.
41 Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
Looli vakisa pala pano amakuja ghavili agha malenga ghitang'ana, ni meli jikaluta kulihanga. Napala pavulongolo pa meli jikima pala najikanoghile ku vuka, looli pavulongolo pa meli pakatengula kudenyeka ulwakuva amaviingu ghakale ni ngufu.
42 Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
Uvutavike vwa va sikari ghukale kuvabuda avakungua, ulwakuuti na kwale juno ikwoghela na kudyegha.
43 Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
Looli un'sikari jula ughwa kipugha ikya va Roma alyalondile kukumwavula u Paulo, pe akamwimia uvutavike vuvanave, kange akavalaghila vala vano vanoghile kukwoghela, vajumbe kuhuma mu meli valute mu iisi.
44 Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.
Pa uluo ava ghosi avange vivingilila, avange mufighave ifya mbavo nakange avange mufinu ifinge kuhuma mu meli. Musila iji jihumile kuuti vooni vafike vunofu ku iisi

< Matendo 27 >