< Matendo 27 >

1 Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
Mpokwalasuminishiweti twenga ku Italiya mubwato, Paulo pamo ne bakaili nabambi balabikwa mumakasa amukulene wa bashilikali mwanda lina lyakendi Juliyasi, wamulikoto lyalikukwiweti, “Bashilikali ba Mwami waku Loma.”
2 Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
Twalatanta bwato bwalafumina ku Adilamitayo bwalikuya ku bito bya mucishi ca Asiya. Twalikuba pamo ne Alisitako walafuma ku Tesalonika mu cimpansha ca Makedoniya.
3 Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
Busuba bwalakonkapo, twalashika ku Sidoni. Juliyasi walamunyumfwila nkumbo Paulo, walamusuminisha kuya kubona banendi kwambeti, bamupengonga bintu bilayandikinga palyendiye.
4 Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
Mpotwalafuma uko, kayi pacebo cacipupu calikubako, twalapitila kwalikubula cipupu kunsa kwansumbu ya Saipulasi.
5 Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
Lino panyuma pa kwenda mumbali mulwenje pepi ne cishi ca Kilikiya ne Pamfuliya, twalashika ku munshi wa Mula mucishi ca Lukiya.
6 Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
Uko mukulene wa bashilikali mwanda, nkwalacana bwato bunene bwalikufuma ku Alekisandiliya bwalikuya ku Italiya, emwalatutantika.
7 Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
Twalikwenda pang'anapang'ana kwa masuba angi mwakupenga penga kwambeti tushike pepi ne munshi wa Sinido. Lino mpotwalaboneti lukupwe lunene lulafumunga nkotwalikuya, twalalilwa kwenda. Twalapita kulubasu nkotwalashinkililwako ne nsumbu ya Kelete, yalangana ne Salimoni.
8 Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
Twalenda mwa kupengapenga mu mbali mwa nsumbu, mpaka twalashika pamusena walikukwiweti “Bito Byaina,” Pepi ne munshi wa Laseya.
9 Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
Twalataya cindi citali mu bulwendo, cakwinseti busuba bwa kulikanisha kulya bwalikuba bulapiti kendi. Cindico calaboneketi nitukumane ne bintu biyosha mu bulwendo bwetu. Neco Paulo walabacenjesheti,
10 na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
“Mobaname, ame ndabonongeti kufuma pano bulwendo bwetu bwakuya kuntangu nitukumane ne bintu biyosha. Bintu bingi nibyonongeke ne kutaika, ntebyo bintu byonka ne bwato sobwe, nsombi ne buyumi bwetu.”
11 Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
Nomba nendi mukulene wa bashilikali mwanda, walanyumfwila mukulene wa basebenshi ba bwato ne mwine bwato, kupita maswi ngalamba Paulo.
12 Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
Cito ico nkacalikuba caina kwikalapo cindi ca mupewo. Neco bantu bangi balayeya kufumapo pacito ico, ne kuya pantanguko kwambeti mpani ngabashika kucito ca Foinike, ne kwikalako pa cindico. Cito ici ciliku Kelete, calangila kumusansa cakumbonshi kayi ne kunyika cakumbonshi.
13 Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
Popelapo cipupu cabomba calafumina kumusansa, calatatika kupupula, neco bantu balayeyeti bapitilishe bulwendo bwabo mpaka kuya kushika ku Foinike. Balacikwela cinshimbi cinene cishikwimanika bwato, ne kutatika kwendela mu mbali mwakuma nsumbu ya Kelete.
14 Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
Nsombi paliya kupita cindi citali sobwe, lukupwe lwalikukwiweti, “Lukupwe lwa kunyika ca kucwe” Lwalikufumina pansumbu lwalakonempa cangofu.
15 Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
Ulu lukupwe lwalesa kuma ku bwato cakwinseti calala kuya kwalikufumina lukupwe. Neco twalabuleka kabuya kunyakwa ne lukupwe.
16 Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
Twaleshikilwako ne nsumbu ing'ana ya Kauda, mpotwalenda ku lubasu lwa kumusansa. Kopeloko mukupenga penga, twalacikonsha kukwabilila kabwato kang'ana kali kukwelwa ne bwato bunene.
17 Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
Kabwato kang'ana balakakwelela mubwato bunene. Balasunga ntambo bwato bunene kwambeti kabuta pausuka. Balikutineti mpani ngabuya buma pa museya waku Siriti mu mbali mwacishi ca Libya. Neco balalasha byombesho bya mu bwato ne kubuleka kabuya kuselaukowa ne lukupwe.
18 Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
Twalasunkanwa ne lukupwe lwangofu lwalapitilisha kupupula. Mpobwalaca, balatatika kufunya bintu mbyebalikuba bamanta ne kubiwala mulwenje.
19 Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
Pabusuba bwatutatu, balawala mu menshi nabimbi byombesho bya mu bwato.
20 Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
Kwa masuba angi nkatwalikulibona lisuba nambi nyenyenshi. Lukupwe lwalapitilisha kupupula cangofu, cakwinseti kupembelela sha kupuluka nkotwalikukute kwalapwa.
21 Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
Bantu mpobalekala masuba angi kwakubula kulya cakulya, Paulo walemana pakati pabo ne kwambeti, “Mobanse bame, nshinga ne mwalanyumfwa maswi ngondalambeti katutafuma pa Kelete, ne tulabulu kutaikilwa bintu bingi cisa.
22 Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
Nikukabeco ndamusengengeti muyumishe myoyo, paliya muntu naba umo eshafwe, bwato bonka bweti bonongeke.
23 Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
Ndicinshici, pakwinga lelo mashiku, mungelo wa Lesa uyo kayi e Mwami wakame ngonkute kukambilila langa lesa kuli njame,
24 na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
lambeti, ‘Kotatina Paulo! Ulenga kwimana pamenso pa Mwami waku Loma. Lesa munkumbo shakendi elashomesheti nupuluke, pamo ne bantu bonse mbolinabo mu bulwendobu.’
25 Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
Neco mobanse bame, yumishani myoyo pakwinga ndashometi byonse nibinshike mbuli ncalamba mungelo wa Lesa.
26 Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
Nikukabeco nituye tucinke pansumbu njotuteshi.”
27 Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
Mashiku abusuba mbotwalakwanisha nsondo shibili kufumina mpolwalatatika lukupwe lwacipupu, twalikatuya kwempauka ne lukupwe palwenje lwa Medeteleniya. Pakati pa mashiku basebenshi ba mu bwato bunene balikuyeyeti tuli pepi ne kumutunta.
28 Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
Popelapo balalasha lutambo mu menshi lwalikuba lwasungwako cinshimbi kwakumako, kwambeti babone na nipatali aconi kuya panshi mu menshi apo mpobalikuba. Balacaneti palikuba ntamwa makumi ana kuya panshi. Mpobalendako pang'ana kayi balapima, balacaneti pali ntamwa makumi atatu.
29 Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
Apa balatineti bwato bunene ngabuya buma pamabwe. Neco balalasha binshimbi byalema bishikwimanika bwato bina byalikuba byasungwa kunyuma kwa bwato, balatatika kupaileti kabuca bwangu.
30 Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
Basebenshi ba mu bwato balikuyanda kuloboka. Neco balaselusha kabwato kang'ana mu menshi, kababoneketi balabikinga binshimbi bishikwimanika bwato bunene, byalikuba byasungwa kuntangu kwa bwato.
31 Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
Mwabwangu bwangu, Paulo walambila mukulene wabashilikali mwanda, ne bashilikali nabambi mbobalikuba nabo pamo kwambeti, “Na basebenshi ba mu bwato muno bafumemo, nteti mupulukepo sobwe.”
32 Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
Popelapo bashilikali balatimbula ntambo shalikuba shasungwako kabwato ako ne kukaleka kakaya kusela pamenshi.
33 Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
Kabutana buca, Paulo walabasenga bonse kwambeti balye cakulya. Walabambileti, “Alakwana masuba likumi ne ana, mwapembelelangowa kwakubula kulya kantu kalikonse.
34 Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Lino ndamusengengeti kamulyani cakulya kwambeti mube ne ngofu sha kupuluka, nteti mulilingepo sobwe.”
35 Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
Mpwalapwisha kwamba Paulo walamanta shinkwa walatembaula Lesa pamenso abantu, walakomonako walalya.
36 Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
Popelapo bonse balaliyuminisha myoyo balatatika kulya.
37 Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
Twense twalikuba mu bwatomo twalikuba myanda ibili, ne makumi asanu ne abili, ne bantu basanu ne umo.
38 Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
Bonse mpobalekuta, balawala bifunta bya museke mu menshi byalikuba bilashala mu bwato kwambeti bupubeko.
39 Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
Mumene mpobwalaca, basebenshi bamubwato bunene balabona mutunta nomba baliya kuwinshiba. Mpobalabona cisapa camuseya balayeyeti benga bemanike bwato popelapo na kacikonsheka.
40 Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
Balatimbula ntambo shekata bishimbi byalema bishikwimanika bwato, ne kubilekela mu menshi, kayi balasungulula ntambo kwalikuba kwasungililwa bitondo byakunyonena bwato. Balakweleka cikwisa cishi kwikata lukupwe calikuba kuntangu kwa bwato kwambeti lukupwe lubatwalanyenga kuntangu. Neco twalabukuba ne kuya ku cisapa.
41 Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
Nomba bwato bwalakacinka pa museya walikuba mu menshi, popelapo bwalemana. Cimpansha cakuntangu calakapatila mu museya calala kucendesha. Calo cimpansha cakunyuma calapasauka ne mankape alikwisa cangofu.
42 Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
Pacindici bashilikali balapanganeti bashine bakaili bonse, kwambeti kapataba naba umo eshasambe nyambwe kutampukila kutala ne kuloboka.
43 Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
Mukulene wabashilikali mwanda walikuyanda kupulushako Paulo. Pacebo ico walabakanisha ncebalikuyanda kwinsa. Lino walambila bakaili bonse bacinshi kusamba nyambwe kwambeti batangune kuliwala pamenshi benga kutala.
44 Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.
Panyuma pakendi walambila nabambi bonseti baliwale pamenshi, kabali bekatilila ku mapulanga ne bintu nabimbi byalapasauka ku bwato. Umu emotwalatampukila ku mutunta ne kupuluka kwakubula kulilinga.

< Matendo 27 >