< Matendo 27 >
1 Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
Italy taka rukuonga se rangin kin masat lehan, Paul le intângna ina om senkhatngei hah “Rom râlmi pâl” ulien Julius kuta an bang ngeia.
2 Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
Adramyttium renga rukuonga kin sea Asia ramhuol sûnga rukuong inngamna mâk rangin ânthoka male Aristarkus Macedonia rama Thessalonika khuo mi kin kôm a oma.
3 Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
Anangtûka chu Sidon kin tunga. Julius han Paul hah lungkham a mua, male a malngei vântongpui rangin phalna a pêka a nângngei an lei pêk theina rangin.
4 Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
Ma renga han kin se nôka, male phâivuon anôk tieng mi hong sêm sikin Cyprus tuihuola kâirêng omna tieng kin se zoia.
5 Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
Cilicia rama tuikhanglien kin rakâna male Pamphylia le Lycia rama Myra kin hong zoi.
6 Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
Mahan râlmi ulien han rukuong inkhat Alexandria renga hong Italy rama se rang a mua, masikin mahan mi min chuong zoi.
7 Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
Nikhuo tamtak thâmin jâm jâmin kin sea male intak takin Cnidus khopuia kin tunga, phâivuo han ma tieng han mi min se thei maka, masikin kâirêng omna Crete tuihuol tieng asukin kin sea, Cape Salmone kin tung zoi.
8 Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
Tuipâng kin vanâia male intak takin Rukuong Inngamna Hoi, an ti hah kin hong tunga, Lasea khopui renga hah labâk mak.
9 Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
Mahan nikhuo tamtak kin min hek zoi sikin rukuong dêna se nôk rang hah chi a oma, Ratanna Nikhuo alei vun zoia, Masikin Paul'n hima rilna hih a pêk ngeia.
10 na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
“Miriem ngei, atûn renga ei mântieng hi chu asân chi aom ti ku mua, sietna le inmangna lientak rukuong le a neinunngei chunga le ei ringna khom ânmang thei.”
11 Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
Aniatachu râlmi ulienpu han Paul chong jôm nêkin rukuonga ulienpu le rukuong pumangei chong a mindon ngei uola.
12 Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
Rukuong inngamna hah phalbia omna rangin asaloi sikin mi tam uolin an omna renga sea, Phoenix an tung theia anin chu la tunga ma muna han phalbi la min hek rangin a min sûka. Phoenix chu Cret tuihuola rukuong inngamna inkhat thang-mâr le sak-mâr maiinthak ani.
13 Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
Thang phâivuo jâmin ahong lechu an mintuo tak ha an tho thei rangin an bôka, thîrrûi ha a kaisuoa Crete tuipâng tienga han nâi theidôra nâiin an jâpa.
14 Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
Aniatachu chomolte ani lechu phâivuo râttak “Sak-sim” an ti ngâi hah tuihuol renga ajuong sêma.
15 Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
Rukuong hah ajuong tokthapa, phâivuo mâithakin kin se thei khâiloi tena chu pût khâi makme phâivuon rukuong ha asemna titieng mi chôia.
16 Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
Cauda tuihuol saktieng kin khêl lechu kâirêng chînte kin mana. Mahan, intak takin, rukuong sûnga rukuong chînte hah kin kêlsuo theia.
17 Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
An kêlsuo nûkin insanna rûi lehan rukuong nuoitieng an thunga an khitbela. Libya tuipânga sietsâia mi nôngpai atih, ti an chi sikin puonjâr hah an min nuoia, male phâivuon ajôtna titieng amin sêma.
18 Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
Phâivuo hah ala rât tit sikin anangtûka chu neinun hah senkhat an vôr paia,
19 Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
male hatûknôka chu rukuonga mangruo neinunngei ha an vôrpai nôka.
20 Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
Nikhuo tamtak nisa, ârsingei khom inlang khâiloiin phâivuopui râtin ahong sêm tit sikin amongnataka chu ring rang khomin in sabei khâi makmea.
21 Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
Masuole bunêk loia zora sôttak an om nûkin, Paul'n an motona ândinga male, “Miriemngei, ko chong hah nin rangâia Cret tuihuol renga ei juong khâiloi nirese chu hi sietna le inmangna hi tong loi rang ei nia.
22 Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
Aniatachu atûn hin nangni ke ngên ratha inngamtakin om roi! tute nin ringna machân uol no tunui, rukuong hi vai kêng machânin aom rang.
23 Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
Ata ki nia, a sin ki sin bang ngâipu Pathien vântîrton inkhat jânin han ko kôm a juonga.
24 na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
‘Paul, chi no roh! Caesar makunga lânding ngêt ni tih. Male Pathien asatna sikin rukuonga na champuingei ringna khom hôi pe ngei atih.’
25 Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
Masikin miriem ngei rathângamtakin om roi! Pathien ka sabei sikin mi juong ril angin nîng atih.
26 Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
Aniatachu kho tuihuol pânga makhata mi chôi atih.”
27 Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
Mediterranean tuipuia jân sômleiminli phâivuopuiin mi chôi suo nûkin, jânchimripa rukuongpungei hah tânga suok thei rangin an mindona.
28 Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
Masikin anni ngei han tui minkhina le an minkhia metres 40 ânthûka; chomolte suole chu ma angdên han an thoa metres 30 an man nôka.
29 Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
Kho lungkâra makhat mi juong nông nih ti an chi sikin rukuong remei tieng thîrrûi minli dôr an juong mathâka khuovâr rang ngâklalin chubai an tho.
30 Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
Hanchu rukuongpu ngei han, rukuong renga rotpai rang an pûta; rukuong chînte hah tuia an mathâka, rukuong moton tienga han thîrrûingei mathâk inlêmin an thoa.
31 Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
Aniatachu, Paul'n râlmi ulienpu kôm le râlmingei kôm, “Rukuongpungei hah rukuong chunga an om nônchu nin ring rangin sabeina om mak,” a tia.
32 Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
Masikin, râlmingei han rukuong chînte rûi hah an âtsata, an min se zoi.
33 Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
Khuo ahong vâr vângin, Paul'n, bunêk rangin a ngên ngeia: “Aviensûn ten hin sûn sômleiminli nin ngâkna ani zoia, male madôr zora sôt hi khoite sâkloi nêkloia nin om ani zoi.
34 Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Bunêk rangin nangni ke ngên, nin ring theina rangin. Nin lua samsang inkhat luo inmang no nih” a tia.
35 Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
Mahi a ti suole, Paul'n vâipôl senkhat a lâka anrênga makunga han Pathien kôm râisânchong a rila, a khoia an sâk phut zoi.
36 Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
Anni ngei khom han an ratha ânngama an rêngin bu an nêk zoi.
37 Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
Rukuonga miriem hah kin rêngin 276 kin ni.
38 Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
Mitinin an khop dôr an nêk suole chu rukuong hah ajâng theina rangin bungei hah tuikhangliena an vôrpai zoi.
39 Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
Khuo ahong vârin chu, rukuongpungei han kho mun mini rietthei mak ngeia, aniatachu, tui inkilna mun inkhat sietsâibil an mua, anithei nisenla chu ma mun han rukuong hah tâng makhâi ngêt rang an pûta.
40 Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
Masika han thîrrûingei hah an âtsata, male tuikhangliena han an minngima, an jâpna thîrrûingei khom madên han an sûta, mântieng puon an mazara phâivuon ajôtna titieng atuong thei rang lam takin an min sânga sietsâibil an va muna tieng han an pan zoia.
41 Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
Aniatachu tuisou inik inchunna taka kin lûta rukuong lu han tâng ava sika rukuong lu hah singinsa thei khâiloiin ân-ôk tita, rukuong remei tieng hah tuidârinsokin ahong suka akoi zoi.
42 Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
Intângna ina intâng ngei hah tui inlieiin lei rot ni ngei ti sika han râlmingei han anrêngin that let rang an mintuoa.
43 Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
Aniatachu, râlmi ulienpu han Paul hah mojôk rang a nuoma masikin hima anga an tho hah a khap ngeia, manêkin tui inliei thei ngei kai chu tui inlieia tâng lei kâi rangin;
44 Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.
adangngei khom thingpêk chunga aninônchu rukuong hârngei lehan tâng lei kâi rangin chong a pêk ngeia. Ma anghan kin rêngin damtakin tâng kin kâi zoi ani.