< Matendo 27 >

1 Ilipoamuliwa kwamba tunatakiwa tusafiri kwa maji kwenda Italia, walimkabidhi Paulo na wafungwa wengine kwa afisa mmoja wa jeshi la Kiroma aliyeitwa Julio, wa Kikosi cha Agustani.
Yejile yalamulwa ati kuchiile chigende mu lugendo lwa maji okuja Italia, nibhamuyana Paulo nabhabhoywa abhandi KU mukulu umwi wa abhasilikale abhe chirumi unu abhilikilwaga Julio, owe chise cha Agustani.
2 Tukapanda meli kutoka Adramitamu, ambayo ilikuwa isafiri kandokando ya pwani ya Asia. Hivyo tukaingia baharini. Aristaka kutoka Thesolanike ya Makedonia akaenda pamoja nasi.
Nichilinya mu meli okusoka Adramitamu, inu yaliga niyenda okulabha mu mbhalama ya injejekela ya Asia. Kwibhyo nichingila mu nyanja. Aristaka okusoka Thesalonike eya Makedonia nagenda amwi neswe.
3 Siku iliyofuata tukatua nanga katika mji wa Sidoni, ambapo Julio alimtendea Paulo kwa ukarimu na akamruhusu kwenda kwa rafiki zake kupokea ukarimu wao.
Olunaku olwo lwalubhie nichilasa inanga mu musi gwa Sidoni, kenu Julio amukolee Paulo kwo bhwila no kumwikilisisha okuja ku bhasani bhae kwo kulamila obhwila bhwebhe.
4 Kutoka hapo tukaenda baharini tukasafiri kuzunguka kisiwa cha Kipro ambacho kilikuwa kimeukinga upepo, kwa sababu upepo ulikuwa ukitukabili.
Okusoka ao nichigenda nichilabha mu nyanja no kwiinda kwisinga lya Kipro linu ligukingilisishe omuyaga, kwa insonga omuyaga gwaliga niguchisoka imbele.
5 Baada ya kuwa tumesafiri katika maji yaliyo karibu na Kilikia na Pamfilia, tukaja Mira, mji wa Lisia.
Chejile chikaja mu lugendo nichilabha mu maji ganu galiga gali ayei na Kilikia na Pamfilia, nichija mila, Omusi gwa Lisia.
6 Pale yule afisa wa jeshi la Kiroma, akaikuta meli kutoka Alexandria ambayo ilikuwa isafiri kuelekea Italia. Akatupandisha ndani yake.
Alia omukulu ulya owa abhasilikale bhe chiloma, naisanga Imeli okusoka Alexandria eyo yaliga niyenda okugenda Italia. Nachinyisha munda yayo.
7 Baada ya kuwa tumesafiri polepole kwa siku nyingi na hatimaye tukawa tumefika kwa taabu karibu na Kinidas, upepo haukuturuhusu tena kuelekea njia hiyo, hivyo tukasafiri kandokando ya kivuli cha Krete tukiukinga upepo, mkabala na Salmone.
Chejile chikea nichigenda mulugendo malamala kwa naku nyafu kubhutelo nichikinga kwa jinyako ayei na kinidas, omuyaga gwa chiganyishe lindi okugendelela injila eyo, kutyo nichigenda mulugendo katoto ya lilengesi cha Krete nichigukilisha omuyanga, nichilolelela na salmone.
8 Tukasafiri kandokando ya pwani kwa ugumu, mpaka tukafika mahali palipoitwa Fari Haveni ambayo iko karibu na mji wa Lasi.
Nichija mulugendo nichibhalama kujejekela ya inyanja kwo bhukomee, Nio nichikinga Anu aliga natogwa Fari Haveni enyo ili ayei no musi gwa Lasi.
9 Tulikuwa tumechukua muda mwingi sana, na muda wa mfungo wa Kiyahudi ulikuwa umepita pia, na sasa ilikuwa ni hatari kuendelea kusafiri. Hivyo Paulo akatuonya,
Chaliga chagegere mwanya mwafu muno, no mwanya gwe chisibho gwe chiyaudi gwliga gwatulile one, na oli yaliga ili nyako okugendelela mulugendo. Kwibhyo Paulo nachigonya,
10 na kusema, “Wanaume, naona safari ambayo tunataka tuichukue itakuwa na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mizigo na meli, lakini pia ya maisha yetu.”
No kwaika, “Bhalume, enilola olugendo olwo echenda okulugega echitula okufyilwamo no bhuuta bhwafu, bhutalila bhe mijingo na imeli, nawe one no bhulame bhweswe.”
11 Lakini afisa wa jeshi la Kiroma akamsikiliza zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko mambo yale ambayo yalizungumzwa na Paulo.
Mbe nawe omukulu wa bhasilikale bhe chiloma nibhamutegelesha muno esebhugenyi wae kanya meli, okusiga emisango jilya ejo jaikilwe na Paulo.
12 Kwa sababu bandari haikuwa sehemu rahisi kukaa wakati wa baridi, mabaharia wengi wakashauri tusafiri kutoka pale, ili kwa namna yoyote tukiweza kuufikia mji wa Foinike, tukae pale wakati wa baridi. Foinike ni bandari huko Krete, na inatazama kaskazini mashariki na kusini mashariki.
KU songa echigobho chaliga chitakondele okwikala omwanya gwa imbeo, abhafugi bhafu nibhaika chigende chisokeo aliya, koleleki kwa njila yona yona chikatula okugukingila Omusi gwa Foinike, chiyanje eyo omwanya gwa imbeo. Foinike Ni chigobho eyo Krete, na eilola mubhuanga ebhutulika esubha na mumalimbe ge bhutuluka esubha.
13 Upepo wa kusini ulipoanza kuvuma polepole, mabaharia wakafikiri wamepata kile ambacho walikuwa wanakihitaji. Wakang'oa nanga na kusafiri kandokando ya Krete karibu na pwani.
Omuyaga gwa malimbe gwejile gwamba okuyebha malamala, abhafugi nibheganilisha bhabhona chinu bhaliga bhakenele. Nibhakola inanga no kulabha kumbali ya Krete ayei na kunjejekela.
14 Lakini baada ya muda mfupi upepo mkali, ulioitwa Wa kaskazini mashariki, ukaanza kutupiga kutoka ng'ambo ya kisiwa.
Mbe nawe mwanya mufui niguyemba omuyaga, mwafu ogwe chiule, gunu gwaliga nigubhilikilwa gwa ikomaji, nigwamba okuchibhuma nigusoka ku mbali ya lisinga.
15 Wakati meli ilipolemewa na kushindwa kuukabili upepo, tukakubaliana na hali hiyo, tukasafirishwa nao.
Wejile imeli yatabhwa no kuigwa okulosha mu bhutwe, Mbe nichikilishanya nejo nichigenda nabho.
16 Tukakimbia kupitia ule upande uliokuwa unaukinga upepo wa kisiwa kiitwacho Kauda; na kwa taabu sana tulifanikiwa kuuokoa mtumbwi.
Nichilukila kwo kulabha kumbhali anu chaliga nichikinga omuyaga gwa lisinga linu lyatogwaga Kauda; na kulwa Jinyako muno nichisakilwa okubhukisha obhwato.
17 Baada ya kuwa wameivuta, walitumia kamba kuifunga meli. Waliogopa kwamba tungeweza kwenda kwenye eneo la mchanga mwingi la Syiti, hivyo wakashusha nanga na waliendeshwa kandokando.
Wejile bhamala okuikulula, bhagegele jingoye ejokuibhoyela imeli. Bhobhaile ati bhasiga kuja kwi bhala lyo musenyi mwafu ogwa inoto, kwibho nibhesa inanga nibhasilwa kunjejekela.
18 Tulipigwa kwa nguvu sana na dhoruba, hivyo siku iliyofuata mabaharia wakaanza kutupa mizigo kutoka melini.
Chabhumilwe muno no muyaga gwe chiule, kwibho olunaku olwo lwalubhie abhafugisha nibhamba okwesa ebhinu bhinu bhaliga bhaikile mu meli.
19 Siku ya tatu, mabaharia wakaanza kuyatoa maji kwa mikono yao wenyewe.
Olunaku lwa kasatu, abhafugisha bha mu meli nibhamba okusabhula amaji kwa amabhoko gebhwe abhene.
20 Wakati ambapo jua na nyota hazikutuangazia kwa siku nyingi, bado dhoruba kubwa ilitupiga, na matumaini kwamba tungeokolewa yalitoweka.
Mu mwanya ogwo lisubha na jinyota bhitachisekanie kwa naku nyafu, no muyaga gwe chiule nigugendelela-la okuchibhuma, okwiikanya ati echija okukisibhwa nikuwao.
21 Baada ya kuwa wameenda muda mrefu bila chakula, hapo Paulo akasimama katikati ya mabaharia akasema, “Wanaume, mlipaswa mnisikilize, na tusingengo'a nanga kutoka Krete, ili kupata haya madhara na hasara.
Wejile gwagendelela mwanya mulela obhutalya bhilyo, ao Paulo nemelegulu agati- gati ya abhafugisha bhalya naika, “Bhalume, sanga munyiile muntegeleshe, na chitakasokele krete, koleleki chitakabhwene mauta ganu no kufwilwamo kunu.
22 Na sasa nawafariji mjitie moyo, kwa sababu hakutakuwa upotevu maisha kati yenu, isipokuwa hasara ya meli tu.
Wolyanu enibhasilisha musimbagilile emyoyo, kwa insonga atalio unu alabhusha bhulame mwime, atali okufwilwamo-ela imeli.
23 Kwa sababu usiku uliopita malaika wa Mungu, ambaye huyo Mungu mimi ni wake, na ambaye ninamwabudu pia - malaika wake alisimama pembeni mwangu
Kunsonga mungeta inu yatulile Malaika wa Nyamuanga, unu Ali Nyamuanga anye nili wae, na unu enimulamya one - Malaika wae emeleguyu kumbali yanye
24 na kusema, “Usiogope Paulo. Lazima usimame mbele ya Kaisari, na tazama, Mungu katika wema wake amekupa hawa wote ambao wanasafiri pamoja nawe.
no kwaika, “Wasiga kubhayana Paulo. Nibhusi-bhusi wimelegulu imbhele ya Kaisari, na Lola, Nyamuanga mu bhwekisi bhae akuyanile bhanu bhona bhanu oulibhata amwi nabho mulugendo.
25 Hivyo, wanaume, jipeni moyo, kwa sababu namwamini Mungu, kwamba itakuwa kama nilivyoambiwa.
Kwibhyo, bhalume, mukomele, kunsonga enimwikilisha Nyamuanga, ati ejijokubha lwa kutyo nabhwilwa.
26 Lakini lazima tuumie kwa kupigwa katika baadhi ya visiwa.”
Mbe nawe Ni bhusi-bhusi muutasibhwe kwo kubhumwa mu bhisiga ebhindi.”
27 Ulipofika usiku wa kumi na nne, tulipokuwa tukiendeshwa huko na huko kwenye bahari ya Adratik, kama usiku wa manane hivi, mabaharia walifikiri kwamba wamekaribia nchi kavu.
Yejile yakinga ingeta ye kumi na kana, anu chaliga nichisilwa eyo neyo munyanja ya Adratik, kuti mugeta agati bhwile bukulu kutya, abhafugisha bha mu meli bhalya nibhelisha ati bhalebhelee ku chalo.
28 Walitumia milio kupima kina cha maji na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mfupi wakapima tena wakapata mita ishirini na saba.
Nibhalenga obhulela ebhita bhya maji nibhabhona bhita ekumi na munana, okumala mwanya mufui nibhalenga lindi nibhabhona bhita munana na inusu.
29 Waliogopa kwanza tunaweza kugonga miamba, hivyo wakashusha nanga nne kutoka katika sehemu ya kuwekea nanga na wakaomba kwamba asubuhi ingekuja mapema.
Bhobhaile okwamba ati echitula okuyalila ku mabhui, kwibhyo nibhesha amasikyo gana okusoka mu mabhala go kutelako amasikyo na nibhasabhwa ati nibhuche bhwangu.
30 Wale mabaharia walikuwa wanatafuta namna ya kuitelekeza ile meli na walizishusha majini boti ndogo ndogo za kuokolea maisha, na wakajifanya kwamba wanatupa nanga kutoka sehemu ya mbele ya boti.
Abhafugisha bhalya bhaliga nibhaiga lwa kutyo bhalaisiga imeli ilya nibhesha ebhyato bhitoto-toto ebhyo kwelulilamo obhulame, na nibhekola uti abhenda kwisha amasikyo okusoka mu mabhala ga imbele yo bhwato.
31 Lakini Paulo akamwambia yule askari wa jeshi la Kiroma na wale askari, “Hamuwezi kuokoka isipokuwa hawa watu wanabaki kwenye meli”.
Mbe nawe Paulo namubhwila omukulu ulya wa bhasilikale bhe chiloma na abhasilikale bhalya, “Mutakutula kukila atali abhanu bhanu bhalasigala ku meli.”
32 Kisha wale askari wakakata kamba za ile boti na ikaachwa ichukuliwe na maji.
Okumala abhasilikale bhalya nibhagenga jingoye jiliya ejo bhwato na ngasigwa koleleki gagegwe na maji.
33 Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza, Paulo akawasihi wote angalau wale kidogo. Akasema, “Hii ni siku ya kumi na nne mnasuburi bila kula, hamjala kitu.
Omwanya gwo bhwelu bhwa katondo gwjile gwamba okubhonekana, Paulo nabhelembeleja bhona nolwo ati bhalyeko kutoto. Naika, Lelo Ni lunaku lwe kumi na kana lunu mwaliga nimulindilila obhutalya, muchali kulya chinu.
34 Hivyo nawasihi mchukue chakula kidogo, kwa sababu hii ni kwa ajili ya kuishi kwenu; na hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Kwibhyo enibhelembeleja mugege ebhilyo bhitoto, kunsonga inu kubheile okulama kwemwe; na lutalio Nolwo lufwili lumwi ku mitwe jemwe lunu olutula okubhula.
35 Alipokwisha kusema hayo, akachukua mkate akamshukuru Mungu mbele ya macho ya kila mtu. Kisha akaumega mkate akaanza kula.
Ejile amala okwaika ago, nagega omukate namusima Nyamuanga imbhele ya meso ga bhuli munu. Okumala nagumonyolako omukate namba okulya.
36 Kisha wote wakatiwa moyo na wao wakachukua chakula.
Okumala bhona nibhasimbagilila emyoyo na bhene nibhagega ebhilyo.
37 Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
Chaliga bhanu magana gabhili na makumi musanju na mukaga bhanu chaliga mu meli.
38 Walipokwisha kula vya kutosha, waliifanya meli nyepesi kwa kutupa ngano ndani ya bahari.
Bhejile bhamala okulya ebhyokubheya, nibhaikola imeli kubha nyangu kwokwesa intanda ya ingano mu nyanja.
39 Ilipokuwa mchana, hawakuitambua nchi kavu, lakini wakaona sehemu ya nchi kavu iliyoingia majini iliyokuwa na mchanga mwingi. wakajadiliana kama wanaweza kuiendesha meli kuelekea hapo.
Bhwejile bhwacha, bhatachimenyele echalo echo, nawe nibhalola libhala lye chalo linu lyaliga lili ekonda lingie mu maji linu lyaliga lyo musenyi mwafu. Nibhaikana ati alabha abhatula okuisila imeli awo.
40 Hivyo wakazilegeza nanga wakaziacha baharini. Katika muda huo huo wakazilegeza kamba za tanga na wakaiinua sehemu ya mbele kuelekea kwenye upepo, hivyo wakaelekea kwenye hiyo sehemu ya mchanga mwingi.
Kwibhyo nibhagasulumula amasikyo nibhagasiga mu nyanja. Mu mwanya ogwo ogwo nibhatatilila jingoe eja litanga na nibhenamusha libhala elya imbhele okulolelesha mu muyaga, kwibhyo nibhagenda mwi bhala elyo musenyi mwafu.
41 Lakini wakaja mahali ambapo mikondo miwili ya maji inakutana, na meli ikaelekea mchangani. Na ile sehemu ya mbele ya meli ikakwama pale na haikuweza kutoka, lakini sehemu ya mbele ya meli ikaanza kuvunjika kwa sababu ya ukali wa mawimbi.
Mbe nawe nibhaja mu lubhala lwa jingeji ebhili eja maji Anu ejibhonanila, imeli nija Kunsenyi. Na lilya libhala lya imbele elya imeli niyalila alya na itatulile kusokao, nawe libhala elya imbele ya imeli nilyamba okubhutuka kunsonga yo bhwafu bwa amakonjo.
42 Mpango wa wale askari ulikuwa ni kuwaua wafungwa, ili kwamba hakuna ambaye angeogelea na kutoroka.
Abhasilikale bhalya nibhalwaja lwa kutyo bhalabheta abhabhoywa, koleleki ati atalio unu akatulile okuuga no kwiluka.
43 Lakini yule askari wa jeshi la Kiroma alitaka kumwokoa Paulo, hivyo akausimamisha mpango wao; na akawaamuru wale ambao wanaweza kuogelea, waruke kutoka melini kwanza na waende nchi kavu.
Mbe nawe ulya omukulu wa abhasilikale bhe chiloma aliga nenda okumukisha Paulo, kwibhyo nabhaganya; No kubhalagilila bhalya bhanu abhatula okuuga, bhejunge okusoka mu meli okwamba na bhaje ku chalo.
44 Kisha wanaume wengine watafuata, wengine juu ya vipande vya mbao na wengine juu ya vitu vingine kutoka kwenye meli. Kwa njia hii ikatokea kwamba wote tutafika salama nchi kavu.
Okumala abhalume abhandi abhabhalubha, abhandi ingulu ye ebhibhalala bhya jimbau na abhandi ingulu ye bhinu ebhindi okusoka mu meli. Ku njila inu nijibhonekana ati bhona echijokukinga ku chalo kwo bhwana bhwana.

< Matendo 27 >