< Matendo 26 >
1 Hivyo, Agripa akamwambia Paulo, `Unaruhusiwa kujitetea. ' Ndipo Paulo akanyoosha mkono wake akajitetea hivi.
Efyo, Agripa akan'jobhela Paulo, `Wiruhusibhwa kwitetela. 'Ndipo Paulo akanyosya kibhoko kya muene akakitetela naha.
2 “Najiona mwenye furaha, Mfalme Agripa, ili kufanya kesi yangu mbele yako leo dhidi ya mashtaka yote ya Wayahudi.
'Nikibhona nihobhwiki, Mfalme Agripa, ili kubhomba kesi jha nene mbele jha bhebhe dhidi jha mashtaka ghoha gha bhayahudi.
3 Hasa, kwa sababu wewe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na maswali. Hivyo naomba unisikilize kwa uvumilivu.
Hasa, kwandabha bhebhe ghwe n'taalamu ghwa desturi sya bhajhahudi ni maswali. Hivyo nisoka unipelekesiajhi kwa uvumilivu.
4 Kweli, Wayahudi wote wanajua jinsi nilivyoishi tangu ujana wangu katika taifa langu huko Yerusalemu.
Kweli, Bhayahudi bhoha bhamanyili jinsi kyaniishili kuhoma ujana bhwangu mu taifa lyangu okhu Yerusalemu.
5 Wananijua tangu mwanzo na wanapaswa kukubali kwamba niliishi kama Mfarisayo, dhehebu lenye msimamo mkali kwenye dini yetu.
Bhanimanyili kuh'omela kubhuandu na bhilondeka kujhedekela kujha naiishili kama Mfarisayo, dhehebu lenye msimamo n'kali ku dini jhitu.
6 Sasa nimesimama hapa nihukumiwe kwa sababu mimi naliangalia ahadi ambayo Mungu aliifanya na baba zetu.
Henu nijhemili apa nihukumulibhwayi kwandabha nene nalangili ahadi ambajho K'yara abhombili ni bha dadi jhitu.
7 Hii ni ahadi ambayo makabila yetu kumi na mbili yanatumaini kupokea kama wakimwabudu Mungu kwa bidii usiku na mchana. Ni kwa ajili ya tumaini hili, mfalme Agripa, kwamba Wayahudi wananishitaki.
Ejhe ndo ahadi ambajho makabila ghitu kumi na mbili ghinoghela kupokela kama bhakamwabudu K'yara kwa bidii kiru ni musi. Ndo kwandabha jha tumaini e'le, mfalme Agripa, kujha Bhayahudi bhakanishtaki.
8 Kwa nini yeyote kati yenu anafikiri ni ajabu kwamba Mungu hufufua wafu?
Kwandajhakiki jhejhioha kati jhinu ifiki kujha ajabu kwamba K'yara ifufula bhafu?
9 Wakati mmoja nilifikiria mwenyewe kwamba ningefanya mambo mengi dhidi ya jina la Yesu wa Nazareti.
Wakati umonga nafikiri ne muene kujha nganibhombili mambo ghamehele dhidi jha lihina lya Yesu ghwa Nazareti.
10 Nilifanya haya katika Yerusalemu; Niliwafunga waamini wengi gerezani, na nilikuwa na mamlaka kutoka kwa wakuu wa makuhani kufanya hivyo; na wakati wanauawa, nilipiga kura dhidi yao.
Nabhombi agha ku Yerusalemu; Nabhafungili bhaamini bhingi mu ligereza na najhele ni mamlaka kuhoma kwa bhabhaha bha makuhani kubhomba naha; na wakati bhikomibhwa, napigili kura dhidi jha bhene.
11 Mara nyingi niliwaadhibu katika masinagogi yote na nilijaribu kuwafanya waikane imani yao. Nilikuwa na hasira sana juu yao na niliwafukuza hata katika miji ya ugenini.
Mara nyingi nabhatobhili mu masinagogi ghoha na najaribu kubhabhomba bhaibelayi imani jha bhene. Najhele ni ligoga sana juu jha bhene na nabhabhengili ata mu miiji jha kubhuhesya.
12 Wakati nilipokuwa nikifanya haya, nilienda Dameski, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu;
Wakati nibhomba agha, nalotili Dameski, nikajha ni mamlaka ni malaghisu kuhoma kwa makuhani ni bhabhaha;
13 nilipokuwa njiani wakati wa mchana, Mfalme, niliona mwanga kutoka mbinguni uliokuwa mkali kuliko jua na uling'aa kutuzunguka mimi na watu waliokuwa wakisafiri pamoja nami.
bho nijhele munjhela wakati wa pamusi, Mfalme, nabhubhwene muanga kuhoma kumbinguni bhwajhele n'kali kuliko kijobha na bhwang'aniri kutusyongoka nene ni bhanu bhabhasafiriaghe pamonga ni nene.
14 Sisi sote tulipoanguka chini, nalisikia sauti ikizungumza na mimi ikisema katika lugha ya Kiebrania: `Sauli, Sauli! Kwa nini unanitesa? Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo.
Twebhona bho tubinili pasi, napeliki sauti jhilongela ni nene jhikajha jhijhoba kwa lugha jha Kiebrani: `Sauli, Sauli! Kwandajhakiki ukanitesya? Ni panonono kwa bhebhe kutobha liteke ni chokoo.
15 Ndipo nikasema, 'Wewe ni nani, Bwana?' Bwana akajibu, 'Mimi ni Yesu ambaye unanitesa.
Ndipo nikajobha, 'Bhebhe we niani, Bwana?' Bwana akajibu, 'Nene ne Yesu ambajhe ukanitesya.
16 Sasa inuka usimame kwa miguu yako; sababu kwa kusudi hili mimi nimeonekana kwako, nimekuteua kuwa mtumishi na shahidi juu ya mambo ambayo unajua kuhusu mimi sasa na mambo nitakayokuonyesha baadaye;
Henu jhinukayi ujhemayi kwa magolo gha jhobhi; ndabha kwa kusudi e'le nene nibhonekene kwa jhobhi, nikuteuili kujha m'tumishi ni shahidi juu jha mambo ambagho umanyili kuhusu nene henu ni mambo ghanibetakulasya baadajhe;
17 na Nitakuokoa kutoka kwa watu na watu wa Mataifa ambapo ninakutuma,
na Nibetakuokola kwa bhanu ni bhanu bha mataifa ambapo nibetakulaghisya,
18 kufungua macho yao na kuwatoa gizani kwenda kwenye mwanga na kutoka kwenye nguvu za shetani wamgeukie Mungu; ili wapate kupokea kutoka kwa Mungu msamaha wa dhambi na urithi ambao nimewapa wale niliowatenga kwa imani iliyo kwangu.
kufungula mihu gha bhene ni kubhapisya mu ngisi kulota kwa muanga ni kuhoma ku nghofu sya syetani bhan'geukilayi K'yara; ili bhabhwesyajhi kupokela kuhoma kwa K'yara msamaha bhwa dhambi ni urithi ambao nibhapeli bhala bhanibhatengili kwa imani jhaijhe kwa nene.
19 Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuasi maono ya mbinguni,
Hivyo, mfalme Agripa, nabhwesilepi kuasi maono gha kumbinguni,
20 lakini, kwa wale walio katika Dameski kwanza, na kisha Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine, nilihubiri kwamba watubu na kumgeukia Mungu, wafanye matendo yanayostahili toba.
lakini, kwa bhala bhabhajhele ku Dameski hoti, ni kisha Yerusalemu ni nchi jhioha jha Yudea, kabhele ni kwa bhanu bha mataifa ghangi, nahubiri kujha bhatubuajhi ni kun'geukila K'yara, bhabhombayi matendo gha ghikastahili toba.
21 Kwa sababu hiyo Wayahudi walinikamata hekaluni, wakajaribu kuniua.
Kwa ndabha ejhu Bhajhahudi bhanikamuili mu lihekalu, bhakajaribu kunikoma.
22 Mungu amenisaidia mpaka sasa, hivyo nasimama na kushuhudia kwa watu wa kawaida na kwa wale wakubwa juu ya yale ambayo manabii na Musa walisema yatatokea na si vingine;
K'yara anitangili mpaka henu, hivyo ni jhema ni kushuhudila kwa bhanu bha kawaida ni kwa bhala bhabhaha juu jha ghala ambagho manabii ni Musa bhajobhili ghitokel na sio fenge;
23 kwamba Kristo lazima atateseka na atakuwa wa kwanza kufufuka kutoka kwa wafu na kutangaza mwanga kwa Wayahudi na watu wa mataifa.
kwamba Kristu lazima ibetakutesibhwa na ibetakujha gwa kuanza kufufuka kuhoma kwa bhafu ni kutangasya mwanga kwa Bhayahudi ni bhanu bha mataifa.
24 Paulo alipomaliza kujitetea, Festo alisema kwa sauti kubwa, 'Paulo, wewe ni mwendawazimu! masomo yako yamekufanya uwe mwendawazimu.
Paulo akamala kwitetela, Festo akajobha kwa sauti mbaha, 'Paulo, bhebhe ndo mwendawazimu! masomo gha bhebhe ghakubhombili ujhelayi ghwe silola.
25 Lakini Paulo akasema, Mimi si mwendawazimu, mheshimiwa Festo; lakini kwa ujasiri nasema maneno ya ukweli mtupu.
Lakini Paulo akajobha, Nene namwendawazimu lepi, mheshimiwa Festo; lakini kwa ujasiri nijobha malobhi gha ukweli tu.
26 Kwa kuwa mfalme anajua kuhusu mambo haya; na hivyo, ninaongea kwa uhuru kwake, kwa maana nina hakika kwamba hakuna lolote lililofichwa kwake; kwa kuwa hili halijafanywa pembeni.
Kwa kujha mfalme umanyili kuhusu mambo agha; na hivyo, nilongela kwa uhuru kwa muene, kwa maana nijhe ni hakika kujha lijhelepi lyolyoha lya libetakufighibhwa; kwa kujha e'le libhombiki lepi pa pembeni.
27 Je, unaamini manabii, Mfalme Agripa? Najua kwamba unaamini. '
Je, ghwikiera manabii, Mfalme Agripa? Nimanyi kujha wiamini.'
28 Agripa akamwambia Paulo, 'Kwa muda mfupi unaweza kunishawishi mimi na kunifanya Mkristo?
Agripa akan'jobhela Paulo, 'Kwa muda mfupi wibhwesya Mkristu?
29 Paulo akasema, '“Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu, bali pia wote wanaonisikia leo, wawe kama mimi, lakini bila hii minyororo ya gerezani.”
Paulo akajobha, “Nikan'soka K'yara kujha, kwa mda mfupi au n'tali, sio bhebhe tu, bali bhoha bhabhakanipelekesya lelu, bhebhe kama nene, lakini bila ejhe minyororo ghya mu gereza.”
30 Ndipo mfalme alisimama, na liwali, na Bernike pia, na wale waliokuwa wamekaa pamoja nao,
Ndipo mfalme akajhema, ni liwali, ni Bernike kabhele, ni bhala bhabhajhele bhatami pamonga nabhu,
31 walipoondoka ukumbini, walizungumzia wao kwa wao na kusema, 'Mtu huyu hastahili kifo wala kifungo.'
bho bhabhokili pa ukumbi, bhalongili bhene kwa bhene ni kujobha, 'Munu ojho akastahili lepi kifo wala kifungu.'
32 Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeweza kuwekwa huru kama asingekata rufani kwa Kaisari.”
Agripa akan'jobhela Festo, “Munu ojho jhilondeka ajhelayi huru kama ngaakatilepi rufani kwa Kaisari.”