< Matendo 25 >

1 Ndipo Festo alipoingia katika jimbo hilo na baada ya siku tatu alienda toka Kaisaria hadi Yerusalemu.
Hanu, Fesitasi avengili mu chikiliti, mi hakuhita mazuva otatwe, ava yendi ku kazwa kwa caesariya mbwita kwa Jerusalema.
2 Kuhani mkuu na Wayahudi mashuhuri walileta shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo, na walizungumza kwa nguvu kwa Festo.
Mu prisita mukulwana ni machaziva va majuda vava leti inyazo zavo kuamana ni Paulusi kwa Fesitasi, mi vava wambi chokukoza kwa Fesitasi.
3 Na walimwomba Festo fadhili juu ya habari za Paulo apate kumwita Yerusalemu ili waweze kumwua njiani.
Mi vava kumbili Fesitasi chisemo kuamana ni Paulusi, kuti awole kumusumpila kwa Jerusalema njokuti va mwihaye mukati kenzila.
4 Lakini Festo alijibu kwamba Paulo alikuwa mfungwa katika Kaisaria, na kwamba yeye mwenyewe atarudi huko haraka.
Kono Fesitasi avetavi kuti Paulusi avali musuminwe mwa kaeseria, mi kuti iye mwine chava kwina hafuhi ni kuvola kwateni.
5 Alisema “Kwa hiyo, wale ambao wanaweza, wanaweza kwenda huko na sisi. Kama kuna kitu kibaya kwa mtu huyu, mnapaswa kumshtaki.”
“Cwalehe, avo va wola,' cha wamba,' vaswanela kuyenda kwateni oko naswe. Haiva kwina chi fosahele ni mukwame, muswanela kumunyasa.”
6 Baada ya kukaa siku nane au kumi zaidi, akarudi Kaisaria. Na siku iliyofuata akakaa katika kiti cha hukumu na kuamuru Paulo aletwe kwake.
Ha mana kwikala mazuva amana iyanza ni minwe yone kapa mazuva e kumi, chayenda kwa kaisera. Mi kwi zuva lyi chilila, chekala mu chipula che nkatulo ni kulaela Paulusi aletwe kwali.
7 Alipofika, Wayahudi kutoka Yerusalemu wakasimama karibu, Wakatoa mashtaka mengi mazito ambayo hawakuweza kuyathibitisha.
Heza kusika, ma Juda vakwa Jerusalema vava kuzimene hembali, mi vavaleti inyazo mikando mingi isena ivava kuwola ku paka.
8 Paulo alijitetea na kusema, 'Si dhidi ya jina la Wayahudi, si juu ya hekalu, na si juu ya Kaisari, nimefanya mabaya.'
Paulusi chalizimanina iye mwine niku wamba,'”kakwina chinapanga chifosahele kuamana ni mulao wa ma Juda, kapa kuamana ni tempele, kapa kuamana ni caesar.”
9 Lakini Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, na hivyo akamjibu Paulo kwa kusema, 'Je, unataka kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa na mimi kuhusu mambo haya huko?'
Kono Fesitasi avakusaka ku wana chisemo ku majuda, mi he chetava Paulusi niku wamba,'”Usaka kuyenda kwa Jerusalema mi nikuka atulwa kwangu kuamana nezi zintu kuna?”
10 Paulo alisema, 'ninasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari ambapo napaswa kuhukumiwa. Sijawakosea Wayahudi, kama wewe ujuavyo vema.
Paulusi chawamba, “ni zimana havusu bwe chipula che nkatulo ya caesar hani swanela kuka atulelwa. Kena niva fosekezi mujuda, sina mo wizivile hande nenwe.
11 Ikiwa nimekosa na kama nimefanya kinachostahili kifo, sikatai kufa. Lakini kama shutuma zao si kitu, hakuna mtu anaweza kunikabidhi kwao. Ninamwomba Kaisari. '
Kono haiva niva fosi, mi niva pangi chiswanela ifu, kani kani kufwa, Kono haiva kuhambiliza kwavo kahena, kakwina yata ni tambike kuvali. Nisumpa caesar.”
12 Baada ya Festo kuongea na baraza akajibu, “unamwomba Kaisari; utaenda kwa Kaisari.”
Fesitasi hamana kuwamba ni venkuta, che tava, “wa sumpa caesar,' moyende kwa caesar.”
13 Baada ya siku kadhaa, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisaria kufanya ziara rasmi kwa Festo.
Hanu hakuhita mazuva, Murena Agrripa ni Bernice chiveza kusika kwa caesarea kwiza kumupotela Fesitasi chokusepahala.
14 Baada ya kukaa hapo kwa siku nyingi, Festo aliwasilisha kesi ya Paulo kwa mfalme; Akasema, 'Mtu mmoja aliachwa hapa na Feliki kama mfungwa.
Hachamana kwikala uko chamazuva mangi, Fesitasi cheza kuzala indava ya Paulusi ku Murena; cha wamba, “mukwame zumwi ava siiwa ku masule kunu nji Felixi sina suminwa.
15 Nilipokuwa Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walileta mashtaka juu ya mtu huyu kwangu, nao waliuliza juu ya hukumu dhidi yake.
Hani vakwina mwa Jerusalema, mu prista mukulwana ni va kulwana va majuda vavaleti milandu kuamana uzu mukwame kwangu, mi vava kumbili inkatulo hali.
16 Kwa hili mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu kwa upendeleo badala yake, mtuhumiwa anapaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili washitaki wake na kujitetea dhidi ya tuhuma hizo.
Kwezi nivetavi kuti kena mulao ni Maroma kutambika muntu uvu chisemo; kono, muntu yo hambilizwe uswanela kuhewa chivaka chokuvonana navo va muzekisa mi niku lizimanina mu mizeko yakwe.
17 Kwa hiyo, walipokuja pamoja hapa, sikuweza kusubiri, lakini siku iliyofuata niliketi katika kiti cha hukumu na kuamuru mtu huyo aletwe ndani.
Cwale aho, hava keza hamwina kunu, mi kena niva lindizi, kono izuva lichilila nive kali mu chipula che nkatulo, mi niku laela mukwame aletwe kwangu,
18 Wakati washitaki waliposimama na kumshtaki, nilifikiri kwamba hakuna mashtaka makubwa yaliyoletwa dhidi yake.
Vahambilizi hava zimana niku muhambiliza, seke ni tele kuti kakwina ku milandu iva muhambiliza yo vutokwa.
19 Badala yake, walikuwa na mabishano fulani pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu Yesu ambaye alikuwa amekufa, lakini Paulo anadai kuwa yu hai.
Kono, kuvavi niku salizuwa kuamana ni ntumero zavo ni kuamana ni Jesu yavafwi, uzo Paulusi wata kuti uhala.
20 Nilikuwa nimefumbwa jinsi ya kuchunguza suala hili, na nikamwuliza kama angeenda Yerusalemu kuhukumiwa kuhusu mambo haya.
Niva kuziyelehete kaku sakisisa iyi ndava, mi niva muvuzi heva uwola kuyenda kwa Jerusalema kuka atulelwa kwateni kuamana nezi zintu.
21 Lakini Paulo alipoitwa awekwe chini ya ulinzi kwa ajili ya uamuzi wa Mfalme, niliamuru awekwe hata nitakapompeleka kwa Kaisari. '
Kono Paulusi hava sumpwa kuka vikwa mu mpavalelo ye nkatulo yo Murena, china mulaela kuti akavikwe haisi hasa mutuminwe kwa Caesar.”
22 Agripa alizungumza na Festo, “ningependa pia kumsikiliza mtu huyu.” “Festo, akasema, “kesho utamsikiliza.”
Agrippa cha wamba kwa Fesitasi, “seni saka neme kuteka kozu mukwame.” “Izona,” Fesitasi cha wamba, “ko muzuwe.”
23 Hivyo kesho yake, Agripa na Bernike walifika na sherehe nyingi; walifika katika ukumbi na maafisa wa kijeshi, na watu mashuhuri wa mji. Na Festo alipotoa amri, Paulo aliletwa kwao.
Cwale hezuva lyi chilila, Agrippa ni Bernice vavakezi ni mukiti mukando; vavakezi mumakopanelo ni mapokola niva kwame va sepahala vamwi ve ntolopo. Mi Fesitasi ha wamba intaelo, Paulusi avaletwa kuvali.
24 Festo akasema, “Mfalme Agripa, na watu wote ambao wapo hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu; jumuiya yote ya Wayahudi huko Yerusalemu na hapa pia wametaka niwashauri, na wao wakapiga kelele kwangu kwamba asiishi.
Fesitasi cha wamba, “Murena Agrippa, nenwe vakwame vena umu naswe, mubwene uzu mukwame; iveza ku zekisa ma juda vangi kwangu mwa Jerusalema no kunu konse chiva huweleza kwangu kuti kasiswaneli kuhala.
25 Naliona kwamba hakufanya lolote linalostahili kifo; lakini kwa sababu amemwita Mfalme, niliamua kumpeleka kwake.
Niva lituti kuti kakwina ma fosisa a panga aswanela ifu; kono kakuli ava sumpi ku murena, niva atuli kuti va mutumine.
26 Lakini sina kitu dhahiri cha kuandika kwa Mfalme. Kwa sababu hii, nimemleta kwako, hasa kwako wewe, Mfalme Agripa, ili nipate kuwa na kitu cha kuandika kuhusu kesi.
Kono kanina chintu chovuniti cho kuñola ku murena. Kelyi vaka, na muleta kwako, sihulu kwako, Murena Agrippa, njokuti nive ni chimwi chingi chokuñola kuama iyi indava.
27 kwa kuwa naona haina maana kumpeleka mfungwa na bila kuonyesha mashitaka yanayomkabili.
Kaho ku voneka kusava ni vaka kutumina musuminwa mi hape niku sawamba mulandu hakwe.”

< Matendo 25 >