< Matendo 25 >
1 Ndipo Festo alipoingia katika jimbo hilo na baada ya siku tatu alienda toka Kaisaria hadi Yerusalemu.
Vuu ufesto ainghile mukhilungha khila watmile ifigono fidatu pwakhaluta khu kaisali akhafika khu yelusalemu.
2 Kuhani mkuu na Wayahudi mashuhuri walileta shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo, na walizungumza kwa nguvu kwa Festo.
Untwa umbaha uva va yahudi undwanchiwa vakhang'elikhila inongwa iya pavuli khwa festo, pwu vakhanchova vakholehencha nchoninamakha khwa festo.
3 Na walimwomba Festo fadhili juu ya habari za Paulo apate kumwita Yerusalemu ili waweze kumwua njiani.
Vakhandoova ufesto nikhisa khu mamenyu agha pavuli ukhuta amwielange khu yelusalemu ukhuva vinogwa ukhumbuuda upavuli munjiela.
4 Lakini Festo alijibu kwamba Paulo alikuwa mfungwa katika Kaisaria, na kwamba yeye mwenyewe atarudi huko haraka.
U Festo akhavavula akhata upavuli akhungiwe mukaisari, nukhuta navope ayivuya khukhukwa imbieve.
5 Alisema “Kwa hiyo, wale ambao wanaweza, wanaweza kwenda huko na sisi. Kama kuna kitu kibaya kwa mtu huyu, mnapaswa kumshtaki.”
Anchovile “ulwakhuva, vala aviwesya, ukhuluta ukwa nufwe. inave khukhile ikhinu ikhivivi khumunu uyuu, mlondiwa ukhung'iega.”
6 Baada ya kukaa siku nane au kumi zaidi, akarudi Kaisaria. Na siku iliyofuata akakaa katika kiti cha hukumu na kuamuru Paulo aletwe kwake.
Vuvatamile ifighono nane nukhulutila, akavuya ukaisari. ikhighono ikyankongile akhatama pakhighoda ikyavuhieghi nukhulamula ukhuta vandete upavuli khumwene.
7 Alipofika, Wayahudi kutoka Yerusalemu wakasimama karibu, Wakatoa mashtaka mengi mazito ambayo hawakuweza kuyathibitisha.
Avile afikhe avayahudi ukhuhuma khu yelusalemu vakhima pawipi, pwu vakhanchova imbombo inongw inchieluteilile inchakhumbikha mbuhiegi vvuvivi nchimanyile.
8 Paulo alijitetea na kusema, 'Si dhidi ya jina la Wayahudi, si juu ya hekalu, na si juu ya Kaisari, nimefanya mabaya.'
Upavuli akhabela akhanchova, sanchakhulitawa ilya vayahudi, sanchakesari, nivombile imbivi.'
9 Lakini Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, na hivyo akamjibu Paulo kwa kusema, 'Je, unataka kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa na mimi kuhusu mambo haya huko?'
Ulwakhuva ufesto anogwagwa ukhuta avoneeke inonu kuvayahudi, pwu akhamwanda upavuli akhata, nawigwa ukhuluta kuyelusalemu khuhiegiwa nune khumbombo inchi?
10 Paulo alisema, 'ninasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kaisari ambapo napaswa kuhukumiwa. Sijawakosea Wayahudi, kama wewe ujuavyo vema.
Upavuli akhanda akhanchova, “nikwiema pavulongolo pakhigoda ikyavuhieghi ikya kaisari upwupilondiwa une ukhuhighiwa. sanievakhosehinche avayahudi nduvulumanyile.
11 Ikiwa nimekosa na kama nimefanya kinachostahili kifo, sikatai kufa. Lakini kama shutuma zao si kitu, hakuna mtu anaweza kunikabidhi kwao. Ninamwomba Kaisari. '
Inave nielininongwa pwu ienghave nivombile nilondiwa ukhuhigiwa ukhufwa, sanibela ukhufwa. ulwakhuva uvuhieghi wa veine khulyune vusikhuli, asikhuli umunu uviwesya unkhunglielikakhuvene. nikhundova ukaisali.
12 Baada ya Festo kuongea na baraza akajibu, “unamwomba Kaisari; utaenda kwa Kaisari.”
Ufesto wa nchovile navahiegi akhamula, “vukhundova ukaisali, uyuwiluta khwa kaisari.”
13 Baada ya siku kadhaa, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisaria kufanya ziara rasmi kwa Festo.
Vufilutile ifigoono, untwa uaglipa nu belnike vakhincha kukaisalia, ukhugeendela ufesto.
14 Baada ya kukaa hapo kwa siku nyingi, Festo aliwasilisha kesi ya Paulo kwa mfalme; Akasema, 'Mtu mmoja aliachwa hapa na Feliki kama mfungwa.
Vuvatamile apo ifigono fingi, ufesto akhahilikha inongwa ya pavuli khu ntwa, akhata, “umunu yuoma vakhandekhile apha pha feliki ndumunu uvakhungiwe.
15 Nilipokuwa Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walileta mashtaka juu ya mtu huyu kwangu, nao waliuliza juu ya hukumu dhidi yake.
Upwunikale khuyelusalemu avantwa avavaha na avaghogholo avakivu vayahudi vakhaleta inongwa incha munu ouyu khulyune, navene pwuvaliekhuvuncha ukhuhigiwa khumuuyu umuvahigiele.
16 Kwa hili mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu kwa upendeleo badala yake, mtuhumiwa anapaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili washitaki wake na kujitetea dhidi ya tuhuma hizo.
Une nikhavamula nikhata salulaghilelo ulya valoma ukhung'umya umunu vusapanogilele ukhung'umya.
17 Kwa hiyo, walipokuja pamoja hapa, sikuweza kusubiri, lakini siku iliyofuata niliketi katika kiti cha hukumu na kuamuru mtu huyo aletwe ndani.
Pwu vavile vinchile apa pupaninie, saniekhawesye ukhupulikiela, apange ikhigono ikhikhankongile nikhatama pakhigoda ikyavuhiegi nukhulamula ukhuta umunu uywa vagheighe mughati.
18 Wakati washitaki waliposimama na kumshtaki, nilifikiri kwamba hakuna mashtaka makubwa yaliyoletwa dhidi yake.
Unsiekhi avansitakhagha vuviemile nukhunchova, nikhasaga nikhata nchisikhuli inongwa imbaha inchakungliegha nchincho valetiele inchakhung'ega umunu uyu.
19 Badala yake, walikuwa na mabishano fulani pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu Yesu ambaye alikuwa amekufa, lakini Paulo anadai kuwa yu hai.
Puvakava, nukhubenchana numwene khulwiedikho ulwavene ulwa yesu uviafwile, hange upavuli akhavavula ukhuta mwumi.
20 Nilikuwa nimefumbwa jinsi ya kuchunguza suala hili, na nikamwuliza kama angeenda Yerusalemu kuhukumiwa kuhusu mambo haya.
Niekhale ninisisilile ukhunchinghahiencha ienongwa ieyi, nikhambuncha iengave ayiluta khu yelusalemu khuhiegiwa khunongwa inchi.
21 Lakini Paulo alipoitwa awekwe chini ya ulinzi kwa ajili ya uamuzi wa Mfalme, niliamuru awekwe hata nitakapompeleka kwa Kaisari. '
Upavuli vuielangiwa ukhuva vambikhe pavuloleili vuvipulikhila uvulamunchi wa ntwa.
22 Agripa alizungumza na Festo, “ningependa pia kumsikiliza mtu huyu.” “Festo, akasema, “kesho utamsikiliza.”
Uaglipa akhanchova nu Festo “nikhanogilwa ukhumpulihiencha umunu uyu” ufesto akanchova, akhata “khilavo uyuvukhumulihincha”.
23 Hivyo kesho yake, Agripa na Bernike walifika na sherehe nyingi; walifika katika ukumbi na maafisa wa kijeshi, na watu mashuhuri wa mji. Na Festo alipotoa amri, Paulo aliletwa kwao.
pwu intondo, uaglipa nu belnike vakhincha nuluhekhelo lwingi; vakhafika khuliboma ilyavavaha avasikali avaligoha, na vanu avanyamakha pakhiluga. nu ufesto wahuminche ululagielo, ulwakhundeta upavuli khuvene.
24 Festo akasema, “Mfalme Agripa, na watu wote ambao wapo hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu; jumuiya yote ya Wayahudi huko Yerusalemu na hapa pia wametaka niwashauri, na wao wakapiga kelele kwangu kwamba asiishi.
Ufesto akhanchova, “untwa uaglipa, na vanu voni vavo pwuvale apa pwupaninie nufwe, mukhumbona umunu uyu; ululundamano lwoni ulwa vayahudi ulya khu yelusalemu napa vanogile ukhuta nivatange, na vene pwu vakhatoncha ilimenyu ukhuta umunu uyu vakhufwa.
25 Naliona kwamba hakufanya lolote linalostahili kifo; lakini kwa sababu amemwita Mfalme, niliamua kumpeleka kwake.
nikhavona sakhavombe khinu ikyakhunanga ukhuta nifwe; ulwakhuva amwilangi untwa, nikhalamwile ukhumbika khumwene.
26 Lakini sina kitu dhahiri cha kuandika kwa Mfalme. Kwa sababu hii, nimemleta kwako, hasa kwako wewe, Mfalme Agripa, ili nipate kuwa na kitu cha kuandika kuhusu kesi.
Nilivuvule khitu ikyakwandika khuntwa. ulwakhuva une niendetile khulyuve uve, vintwa viegbipa, ukhuva nive nikhinu ikyakhusimba khunongwa ieyi.
27 kwa kuwa naona haina maana kumpeleka mfungwa na bila kuonyesha mashitaka yanayomkabili.
Ulwakhuva nilola nivona sakhulikhinu ikyakhuhilika unkungwa walivuvule inchakhung'iega ukhuhiegiwa.