< Matendo 24 >
1 Baada ya siku tano, Anania kuhani mkuu, baadhi ya wazee na msemaji mmoja aitwaye Tertulo, wakaenda pale. Watu hawa wameleta mashtaka dhidi ya Paulo kwa gavana.
Após cinco dias, o sumo sacerdote, Ananias, desceu com certos anciãos e um orador, um Tertullus. Eles informaram o governador contra Paulo.
2 Paulo alipo simama mbele ya gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kusema kwa gavana, “kwa sababu yako tuna amani kuu; na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu;
Quando ele foi chamado, Tertullus começou a acusá-lo, dizendo: “Vendo que por você desfrutamos de muita paz, e que a prosperidade está chegando a esta nação por sua visão,
3 basi kwa shukurani yote tunapokea kila kitu ukifanyacho, Wasalam mheshimiwa Feliki.
nós a aceitamos de todas as maneiras e em todos os lugares, o mais excelente Félix, com toda a gratidão.
4 Lakini nisikuchoshe zaidi, nakusihi unisikilize maneno machache kwa fadhili zako.
Mas que eu não o atrase, suplico-lhe que nos acompanhe e ouça algumas palavras.
5 Kwa maana tumempata mtu huyu mkorofi, na anasababisha Wayahudi wote kuasi duniani. Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo. (Zingatia: Sehemu ya maneno ya mstari huu 24: 6
Pois encontramos este homem como uma praga, um instigador de insurreições entre todos os judeus do mundo, e um líder da seita dos nazarenos.
6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi hivyo tukamkamata., haumo kwenye nakala bora za kale). (Zingatia: Mstari huu
Ele até tentou profanar o templo, e nós o prendemos.
7 Lisiasi, afisa, alikuja na akamchukua kwa nguvu mikononi mwetu., haumo kwenye nakala bora za maandiko ya kale).
8 Ukimwuliza Paulo kuhusu mambo haya, hata utaweza kujifunza ni kitu gani tumemshtakia.”
Examinando-o você mesmo pode verificar todas estas coisas das quais o acusamos”.
9 Wayahudi nao wakamshtaki Paulo, wakisema kwamba haya mambo yalikuwa kweli.
Os judeus também se juntaram ao ataque, afirmando que estas coisas eram assim.
10 Liwali alipompungia mkono ili Paulo aongee, Paulo alijibu, “Ninajua ya kwamba kwa miaka mingi umekua mwamuzi wa taifa hili, na nina furaha kujieleza mwenyewe kwako.
Quando o governador lhe acenou para falar, Paulo respondeu: “Porque sei que você tem sido juiz desta nação por muitos anos, eu alegremente faço minha defesa,
11 Waweza kuhakikisha kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda kuabudu Yerusalemu.
seeing que você pode verificar que não faz mais de doze dias desde que subi para adorar em Jerusalém.
12 Na waliponikuta katika hekalu, sikubishana na mtu yeyote, na sikufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji;
No templo, eles não me encontraram disputando com ninguém ou agitando uma multidão, nem nas sinagogas nem na cidade.
13 na wala hawawezi kuhakikisha kwako mashitaka wanayoyashitaki dhidi yangu.
Nem podem provar as coisas de que agora me acusam.
14 Ila nakiri hili kwako, ya kwamba kwa njia ile ambayo wanaiita dhehebu, kwa njia iyo hiyo ninamtumikia Mungu wa baba zetu. Mimi ni mwaminifu kwa yote yaliyoko kwenye sheria na maandiko ya manabii.
Mas isto vos confesso, que segundo o Caminho, que eles chamam de seita, assim sirvo ao Deus de nossos pais, acreditando em todas as coisas que estão de acordo com a lei, e que estão escritas nos profetas;
15 Nina ujasiri ule ule kwa Mungu ambao hata hao nao wanaungojea, kuja kwa ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na wasio na haki pia;
tendo esperança para Deus, que eles mesmos também buscam, que haverá uma ressurreição dos mortos, tanto dos justos como dos injustos.
16 na kwa hili, ninafanya kazi ili niwe na dhamira isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu kupitia mambo yote.
nisto eu também pratico sempre ter uma consciência vazia de ofensa para com Deus e para com os homens.
17 Sasa Baada ya miaka mingi nimekuja kuleta msaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha.
Agora depois de alguns anos, vim trazer presentes para os necessitados de minha nação, e ofertas;
18 Nilipofanya hivi, Wayahudi fulani wa Asia wakanikuta ndani ya sherehe ya utakaso ndani ya hekalu, bila kundi la watu wala ghasia.
no meio do qual certos judeus da Ásia me encontraram purificado no templo, não com uma multidão, nem com tumulto.
19 Watu hawa ambao imewapasa kuwapo mbele yako sasa hivi na waseme kile walichonacho juu yangu kama wana neno lo lote.
Eles deveriam ter estado aqui antes de vocês e fazer acusações se tivessem algo contra mim.
20 Au watu hawa wenyewe na waseme ni kosa gani waliloliona kwangu niliposimama mbele za baraza la kiyahudi;
Ou então que estes mesmos homens digam que injustiça encontraram em mim quando me apresentei perante o conselho,
21 isipokuwa kwa ajili ya kitu kimoja nilichokisema kwa sauti niliposimama katikati yao, ' ni kwa sababu ya ufufuo wa wafu ninyi mnanihukumu.”'
unless é por esta única coisa que eu clamei entre eles: “Quanto à ressurreição dos mortos, hoje estou sendo julgado diante de vocês”!
22 Feliki alikuwa ametaarifiwa vizuri kuhusu njia, na akauahirisha mkutano. Akasema, “Lisia jemedari atakapokuja chini kutoka Yerusalemu nitatoa maamuzi dhidi ya mashitaka yenu.”
Mas Félix, tendo um conhecimento mais exato sobre o Caminho, adiou-os, dizendo: “Quando Lysias, o comandante, descer, eu decidirei seu caso”.
23 Ndipo akamwamuru akida amlinde Paulo, ila awe na nafasi na hata asiwepo mtu wakuwakataza marafiki zake wasimsaidie wala wasimtembelee.
Ele ordenou ao centurião que Paulo fosse mantido em custódia e que tivesse alguns privilégios, e que não proibisse nenhum de seus amigos de servi-lo ou de visitá-lo.
24 Baada ya siku kadhaa, Feliki akarudi na Drusila mkewe aliyekuwa Myahudi, akatuma kumwita Paulo na akasikiliza toka kwake habari za imani ndani ya Kristo Yesu.
Depois de alguns dias, Félix veio com Drusilla, sua esposa, que era judia, e mandou chamar Paulo e o ouviu a respeito da fé em Cristo Jesus.
25 Ila Paulo alipokuwa akijadiliana naye kuhusu haki, kuwa na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akapata hofu akajibu, “nenda mbali kwa sasa, ila nikipata muda tena, nitakuita.”
Enquanto ele raciocinava sobre justiça, autocontrole e o julgamento que viria, Félix ficou aterrorizado e respondeu: “Siga seu caminho para este tempo, e quando for conveniente para mim, eu o convocarei”.
26 Muda uo huo, alitegemea kwamba Paulo atampa fedha kwa hiyo alimwita mara nyingi akaongea naye.
Meanwhile, ele também esperava que o dinheiro lhe fosse dado por Paulo, para que ele pudesse libertá-lo. Por isso, também mandou chamá-lo mais vezes e conversou com ele.
27 Ila miaka miwili ilipopita, Porkio Festo akawa Liwali baada ya Feliki, ila Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, hivyo akamwacha Paulo chini ya uangalizi.
Mas quando dois anos foram cumpridos, Félix foi sucedido por Porcius Festus, e desejando ganhar o favor dos judeus, Félix deixou Paulo em títulos.