< Matendo 24 >
1 Baada ya siku tano, Anania kuhani mkuu, baadhi ya wazee na msemaji mmoja aitwaye Tertulo, wakaenda pale. Watu hawa wameleta mashtaka dhidi ya Paulo kwa gavana.
Baada jha magono mahanu, Anania kuhani mbaha, baadhi jha bhaseya ni n'jobhaji mmonga jhaakutibhweghe Tertulo, bhakalota pala. Bhanu abha bhaletili mashataka dhidi jha Paulo kwa Gavana.
2 Paulo alipo simama mbele ya gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kusema kwa gavana, “kwa sababu yako tuna amani kuu; na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu;
Paulo bho ajhemili palongolo pa gavana, Tertulo akajhanda kun'takila ni kujobha kwa gavana, “kwandabha jha bhebhe tujhe ni imani nibaha; ni kwa maono ghe jhobhi ghileta mageuzi manofu mu taifa lya jhoto;
3 basi kwa shukurani yote tunapokea kila kitu ukifanyacho, Wasalam mheshimiwa Feliki.
Basi kwa shukurani jhioha twipokela shukurani jhioha khila khenu kya wibhomba, Wasalam mheshimibhwa Feliki.
4 Lakini nisikuchoshe zaidi, nakusihi unisikilize maneno machache kwa fadhili zako.
Lakini nisikutondesi zaidi, nikusihi unipelekesiajhi malobhi madusu kwa fadhili jha jhobhi.
5 Kwa maana tumempata mtu huyu mkorofi, na anasababisha Wayahudi wote kuasi duniani. Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo. (Zingatia: Sehemu ya maneno ya mstari huu 24: 6
Kwandabha tun'kabhili munu ojho n'korofi, na isababisya bhayahudi bhoha kuasi pa dunia. Kabhele ndo ndongosi ghwa madhehebu gha Bhanazorayo. (Zingatilati: Sehemu jha malobhi gha n'sitari obhu 24: 6
6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi hivyo tukamkamata., haumo kwenye nakala bora za kale). (Zingatia: Mstari huu
Na kabhele ajaribu kulisoppa hekalu unajisi hivyo tukan'kamula, ujhelepi mu nakala sinofu sya muandi). (Zingatilayi: N'stari obho
7 Lisiasi, afisa, alikuja na akamchukua kwa nguvu mikononi mwetu., haumo kwenye nakala bora za maandiko ya kale).
Lisiasi, afisa, akahida na akan'tola kwa nghofu mu mabhoko gha tete, ujhelepi mu nakala sinofu sya majhandiku gha muandi).
8 Ukimwuliza Paulo kuhusu mambo haya, hata utaweza kujifunza ni kitu gani tumemshtakia.”
Lekan'kotayi Paulo kuhusu mambo agha, hata wibetakusimanyisya ni khenu gani tun'takili.”
9 Wayahudi nao wakamshtaki Paulo, wakisema kwamba haya mambo yalikuwa kweli.
Bhayahudi ni bhene bhakan'takila Paulo, bhakajobha kujha mambo agha gha bhukweli.
10 Liwali alipompungia mkono ili Paulo aongee, Paulo alijibu, “Ninajua ya kwamba kwa miaka mingi umekua mwamuzi wa taifa hili, na nina furaha kujieleza mwenyewe kwako.
Liwali bho ampungili kibhoko ili Paulo alongelayi, Paulo ajibili, “Nimanyili kujha kwa miaka mingi ujhe ghwa mwamuzi ghwa taifa ele, na nijhe ni furaha kwijhelesya nejhoni kwa bhebhe.
11 Waweza kuhakikisha kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda kuabudu Yerusalemu.
Wibhwesya kuhakikisya kujha ghapetilepi zaidi jha magono kumi na mbili tangia nikwelili kulota kuabudu Yerusalemu.
12 Na waliponikuta katika hekalu, sikubishana na mtu yeyote, na sikufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji;
Na bhobhanikolili mu hekalu, nabishenelepi ni munu jhejhioha, na nabhombi lepi fuju pa mkutano, wala ku masinagogi wala mugati mu mji;
13 na wala hawawezi kuhakikisha kwako mashitaka wanayoyashitaki dhidi yangu.
na bhibhwesya lepi kuhakikisha kwa bhebhe mashitaka gha bhakanitakila dhidi jha nene.
14 Ila nakiri hili kwako, ya kwamba kwa njia ile ambayo wanaiita dhehebu, kwa njia iyo hiyo ninamtumikia Mungu wa baba zetu. Mimi ni mwaminifu kwa yote yaliyoko kwenye sheria na maandiko ya manabii.
Ila nikiri e'le kwa bhebhe, jha kujha kwa njela jhela ambayo bhakajhikuta dhehebu, kwa njela jhejhu ejhu nikantumikila K'yara ghwa dadi jhitu. Nene ne mwaminifu kwa ghoha mu sheria ni maandikhu gha manabii.
15 Nina ujasiri ule ule kwa Mungu ambao hata hao nao wanaungojea, kuja kwa ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na wasio na haki pia;
Nijhe ni bhujasiri bholabhola kwa K'yara ambabho hata abhu nabhene bhakaulendela, kuhida kwa ufufuo kwa bhafu, kwa bhoha bhenye haki na bhabhabelikujha ni haki kabhele;
16 na kwa hili, ninafanya kazi ili niwe na dhamira isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu kupitia mambo yote.
ni kwa e'le, nibhomba mbombo ili nijhelayi ni dhamiri jhajhibelikujha ni hatia mbele jha K'yara ni mbele jha bhanu kupetela mambo ghoha.
17 Sasa Baada ya miaka mingi nimekuja kuleta msaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha.
Henu baada jha miaka mingi nihidili kuleta msaada kwa taifa lya nene ni zawadi jha hela.
18 Nilipofanya hivi, Wayahudi fulani wa Asia wakanikuta ndani ya sherehe ya utakaso ndani ya hekalu, bila kundi la watu wala ghasia.
Bho nibhombi naha, Bhayahudi fulani bha Asia bhanikolili mugati mu sherehe jha utakaso mugati mu hekalu, bila likundi lya bhanu wala ghasia.
19 Watu hawa ambao imewapasa kuwapo mbele yako sasa hivi na waseme kile walichonacho juu yangu kama wana neno lo lote.
Bhanu abha ambabho jhilondeka bhajhelayi mbele jha bhebhe henu apa na bhajobhayi khela kyabhajhenaku juu jha nene kama bhajhe ni lilobhi lyolyoha.
20 Au watu hawa wenyewe na waseme ni kosa gani waliloliona kwangu niliposimama mbele za baraza la kiyahudi;
Au bhanu abha bhene na bhajobhayi likosa leleku lyabhalibhwene kwa nene bho nijhemili palongolo pa baraza lya kiyahudi;
21 isipokuwa kwa ajili ya kitu kimoja nilichokisema kwa sauti niliposimama katikati yao, ' ni kwa sababu ya ufufuo wa wafu ninyi mnanihukumu.”'
Isipokujha kwa ndabha jha khenu kimonga kyanakijobhili kwa sauti bho nijhemili katikati jha bhene, 'kwandabha jha ufufuo bhwa bhafu muenga mukanihukumu.”
22 Feliki alikuwa ametaarifiwa vizuri kuhusu njia, na akauahirisha mkutano. Akasema, “Lisia jemedari atakapokuja chini kutoka Yerusalemu nitatoa maamuzi dhidi ya mashitaka yenu.”
Feliki ajhele ataarifibhu kinofu kuhusu njela, ni kubhuairisha mkutano. Akajobha, “Lisia jemedari paibeta kuhida pasi kuhoma Yerusalemu nibetakubisya maamuzi dhidi jha mashitaka gha muenga.”
23 Ndipo akamwamuru akida amlinde Paulo, ila awe na nafasi na hata asiwepo mtu wakuwakataza marafiki zake wasimsaidie wala wasimtembelee.
Ndipo akaamuru akida andendayi Paulo, ili ajhelayi ni nafasi na sijhi munu wakubhabesya bharafiki bha muene bhasin'tangatili wala kun'gendela.
24 Baada ya siku kadhaa, Feliki akarudi na Drusila mkewe aliyekuwa Myahudi, akatuma kumwita Paulo na akasikiliza toka kwake habari za imani ndani ya Kristo Yesu.
Baada jha magono kadhaa, Feliki akakerebhuka ni Drusila n'dala munu jha ajhe Myahudi, akalaghisya kun'kuta Paulo ni kupelekesya kuhomela kwa muene habari sya imani mugati mwa Kristu Yesu.
25 Ila Paulo alipokuwa akijadiliana naye kuhusu haki, kuwa na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akapata hofu akajibu, “nenda mbali kwa sasa, ila nikipata muda tena, nitakuita.”
Ila Paulo bho ajhele ijadiliana ni muene kuhusu haki kujha ni kiasi ni hukumu jhajhibeta kuhida, Feliki akakabha hofu akajibu, “lotayi patali kwa henu, ila nikakabhayi muda kabhele, nibetakukuta.”
26 Muda uo huo, alitegemea kwamba Paulo atampa fedha kwa hiyo alimwita mara nyingi akaongea naye.
Muda bhobhuobhu, ategemili kujha Paulo ibeta kumpela hela kwa hiyo ankutili mara simehele kulongela naku.
27 Ila miaka miwili ilipopita, Porkio Festo akawa Liwali baada ya Feliki, ila Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, hivyo akamwacha Paulo chini ya uangalizi.
Ila miaka mibhele jhajhipetili, Porkio Festo akajha Liwali baada jha Feliki, ila Feliki alondeghe kwipendekesya kwa bhayahudi, efyo akandeka Paulo chini jha uangalizi.