< Matendo 24 >
1 Baada ya siku tano, Anania kuhani mkuu, baadhi ya wazee na msemaji mmoja aitwaye Tertulo, wakaenda pale. Watu hawa wameleta mashtaka dhidi ya Paulo kwa gavana.
with/after then five day to come/go down the/this/who high-priest Ananias with/after (the/this/who *k*) elder: Elder (one *NO*) and spokesman Tertullus one who/which to show the/this/who ruler according to the/this/who Paul
2 Paulo alipo simama mbele ya gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kusema kwa gavana, “kwa sababu yako tuna amani kuu; na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu;
to call: call then it/s/he be first to accuse the/this/who Tertullus to say much peace to obtain/happen through/because of you and (reformation *N(K)O*) to be the/this/who Gentiles this/he/she/it through/because of the/this/who you foresight
3 basi kwa shukurani yote tunapokea kila kitu ukifanyacho, Wasalam mheshimiwa Feliki.
always and/both and everywhere to receive excellent Felix with/after all thankfulness
4 Lakini nisikuchoshe zaidi, nakusihi unisikilize maneno machache kwa fadhili zako.
in order that/to then not upon/to/against greater you to impede to plead/comfort to hear you me concisely the/this/who you gentleness
5 Kwa maana tumempata mtu huyu mkorofi, na anasababisha Wayahudi wote kuasi duniani. Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo. (Zingatia: Sehemu ya maneno ya mstari huu 24: 6
to find/meet for the/this/who man this/he/she/it pestilence and to move (uprising *N(K)O*) all the/this/who Jew the/this/who according to the/this/who world ringleader and/both the/this/who the/this/who Nazareth sect
6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi hivyo tukamkamata., haumo kwenye nakala bora za kale). (Zingatia: Mstari huu
which and the/this/who temple to test/tempt: try to profane which and to grasp/seize (and according to the/this/who I/we law to will/desire to judge *K*)
7 Lisiasi, afisa, alikuja na akamchukua kwa nguvu mikononi mwetu., haumo kwenye nakala bora za maandiko ya kale).
(to pass by then Lysias the/this/who military officer with/after much force out from the/this/who hand me to lead away *K*)
8 Ukimwuliza Paulo kuhusu mambo haya, hata utaweza kujifunza ni kitu gani tumemshtakia.”
(to order the/this/who accuser it/s/he to come/go upon/to/against you *K*) from/with/beside which be able it/s/he to investigate about all this/he/she/it to come to know which me to accuse it/s/he
9 Wayahudi nao wakamshtaki Paulo, wakisema kwamba haya mambo yalikuwa kweli.
(to join in making an attack *N(k)O*) then and the/this/who Jew to claim this/he/she/it thus(-ly) to have/be
10 Liwali alipompungia mkono ili Paulo aongee, Paulo alijibu, “Ninajua ya kwamba kwa miaka mingi umekua mwamuzi wa taifa hili, na nina furaha kujieleza mwenyewe kwako.
to answer (and/both *N(k)O*) the/this/who Paul to motion it/s/he the/this/who ruler to say out from much year to be you judge the/this/who Gentiles this/he/she/it to know/understand encouraging the/this/who about I/we to defend oneself
11 Waweza kuhakikisha kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda kuabudu Yerusalemu.
be able you (to come to know *N(k)O*) that/since: that no much to be me day (or *k*) (twelve *N(k)O*) away from which to ascend to worship (toward *N(k)O*) Jerusalem
12 Na waliponikuta katika hekalu, sikubishana na mtu yeyote, na sikufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji;
and neither in/on/among the/this/who temple to find/meet me to/with one to dispute or (stoppage *N(k)O*) to do/make: do crowd neither in/on/among the/this/who synagogue neither according to the/this/who city
13 na wala hawawezi kuhakikisha kwako mashitaka wanayoyashitaki dhidi yangu.
(nor *N(k)O*) to stand by be able (you *N(K)O*) about which (now *N(k)O*) to accuse me
14 Ila nakiri hili kwako, ya kwamba kwa njia ile ambayo wanaiita dhehebu, kwa njia iyo hiyo ninamtumikia Mungu wa baba zetu. Mimi ni mwaminifu kwa yote yaliyoko kwenye sheria na maandiko ya manabii.
to confess/profess then this/he/she/it you that/since: that according to the/this/who road which to say: call sect thus(-ly) to minister the/this/who ancestral God to trust (in) all the/this/who according to the/this/who law and (the/this/who in/on/among *no*) the/this/who prophet to write
15 Nina ujasiri ule ule kwa Mungu ambao hata hao nao wanaungojea, kuja kwa ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na wasio na haki pia;
hope to have/be toward the/this/who God which and it/s/he this/he/she/it to wait for/welcome resurrection to ensue to be (dead *K*) just and/both and unjust
16 na kwa hili, ninafanya kazi ili niwe na dhamira isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu kupitia mambo yote.
in/on/among this/he/she/it (and *N(k)O*) it/s/he to strive not giving offence conscience (to have/be *NK(o)*) to/with the/this/who God and the/this/who a human (through/because of *N(K)O*) (all *N(k)O*)
17 Sasa Baada ya miaka mingi nimekuja kuleta msaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha.
through/because of year then greater charity to do/make: do toward the/this/who Gentiles me to come and offering
18 Nilipofanya hivi, Wayahudi fulani wa Asia wakanikuta ndani ya sherehe ya utakaso ndani ya hekalu, bila kundi la watu wala ghasia.
in/on/among (which *N(k)O*) to find/meet me to purify in/on/among the/this/who temple no with/after crowd nor with/after commotion one then away from the/this/who Asia Jew
19 Watu hawa ambao imewapasa kuwapo mbele yako sasa hivi na waseme kile walichonacho juu yangu kama wana neno lo lote.
which (be necessary *N(k)O*) upon/to/against you be present and to accuse if one to have/be to/with I/we
20 Au watu hawa wenyewe na waseme ni kosa gani waliloliona kwangu niliposimama mbele za baraza la kiyahudi;
or it/s/he this/he/she/it to say (if *k*) which? to find/meet (in/on/among I/we *ko*) crime to stand me upon/to/against the/this/who council
21 isipokuwa kwa ajili ya kitu kimoja nilichokisema kwa sauti niliposimama katikati yao, ' ni kwa sababu ya ufufuo wa wafu ninyi mnanihukumu.”'
or about one this/he/she/it voice/sound: voice which to cry in/on/among it/s/he to stand that/since: that about resurrection dead I/we to judge today (upon/to/against *N(k)O*) you
22 Feliki alikuwa ametaarifiwa vizuri kuhusu njia, na akauahirisha mkutano. Akasema, “Lisia jemedari atakapokuja chini kutoka Yerusalemu nitatoa maamuzi dhidi ya mashitaka yenu.”
(to hear this/he/she/it *K*) to defer then it/s/he the/this/who Felix stricter to know the/this/who about the/this/who road to say when(-ever) Lysias the/this/who military officer to come/go down to decide the/this/who according to you
23 Ndipo akamwamuru akida amlinde Paulo, ila awe na nafasi na hata asiwepo mtu wakuwakataza marafiki zake wasimsaidie wala wasimtembelee.
to direct (and/both *k*) the/this/who centurion to keep: guard (the/this/who *k*) (it/s/he *N(K)O*) to have/be and/both rest and nothing to prevent the/this/who one's own/private it/s/he to serve (or to come near/agree *K*) it/s/he
24 Baada ya siku kadhaa, Feliki akarudi na Drusila mkewe aliyekuwa Myahudi, akatuma kumwita Paulo na akasikiliza toka kwake habari za imani ndani ya Kristo Yesu.
with/after then day one to come the/this/who Felix with Drusilla the/this/who (one's own/private *N(k)O*) woman: wife to be Jew to summon the/this/who Paul and to hear it/s/he about the/this/who toward Christ (Jesus *NO*) faith
25 Ila Paulo alipokuwa akijadiliana naye kuhusu haki, kuwa na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akapata hofu akajibu, “nenda mbali kwa sasa, ila nikipata muda tena, nitakuita.”
to dispute then it/s/he about righteousness and self-control and the/this/who judgment the/this/who to ensue (to be *K*) afraid to be the/this/who Felix to answer the/this/who now to have/be to travel time/right time then to partake to summon you
26 Muda uo huo, alitegemea kwamba Paulo atampa fedha kwa hiyo alimwita mara nyingi akaongea naye.
together (then *k*) and to hope/expect that/since: that money to give it/s/he by/under: by the/this/who Paul (that to loose it/s/he *K*) therefore and often it/s/he to summon to talk it/s/he
27 Ila miaka miwili ilipopita, Porkio Festo akawa Liwali baada ya Feliki, ila Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, hivyo akamwacha Paulo chini ya uangalizi.
two years then to fulfill to take successor the/this/who Felix Porcius Festus to will/desire and/both (grace *N(k)O*) to attain the/this/who Jew the/this/who Felix to leave behind the/this/who Paul to bind