< Matendo 23 >

1 Paulo akawaangalia moja kwa moja watu wa baraza na kusema, “Ndugu zangu, nimeishi mbele za Mungu kwa dhamira nzuri hadi hivi leo.”
U Paulo akhavalola avanu avahieghi nukhuta, “Valukholo lwango, nitamile phamiho ga Nguluve khumasage amanonu ukhudugha eilelo.”
2 Kuhani mkuu Anania akawaamuru wale waliosimama karibu naye wampige kinywa chake.
Untekhenchi umbaha u Anania akhavavula vala vavo avaiemile pawipi phamwene vantove pandomo ugwamwene.
3 Ndipo Paulo akamwambia, “Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Umekaa ukinihukumu kwa sheria, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sheria?”
Pwu uPavuli akhambula, “UNguluve akhuta ayikhukhutova uve, ulwimato uluvamati nu ng'angha umbalafu. Uve atamile vukhng'iegha ukhunkhongha nululaghilo, pwu vutavula ukhuta nietoviwagwe ululaghielo vusalwita?”
4 Wale waliokuwa wamesimama karibu naye wakasema, “Hivi ndivyo unavyomtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
Vala avaiemile pawipi numwene vakhanchova, “vumuhkudhukha ewo undongonchi umbaha uva Nguluve?”.
5 Paulo akasema, “ndugu zangu, mimi sikujua kwamba huyu ni kuhani mkuu. Kwa kuwa imeandikwa, hutazungumza vibaya juu ya mtawala wa watu wako.”
upavuli akhanchova, “valukhololwango, une saniekhalumanye ukhuta uyu vintwa umbaha, ulwakhuva liesimbiwe, salanchova fivi khuvalongonchi vavanu vako.”
6 Paulo alipoona ya kwamba upande mmoja wa baraza ni Masadukayo na wengine Mafarisayo, akapaza sauti na kusema, “ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Ni kwa sababu hii nategemea kwa ujasiri ufufuo wa wafu ninao hukumiwa nao.”
Upavuli avielealumanyile uluvafu lumo lolile akhavona vamasadukhayo na avange vama falisayo, akhatoncha iliemunyu nukhunchova, “valukhololwango, line nili falisayo, nili nswambe va mafalisayo, pa inchi nihuvila khumakha uluvonekelo ulwa avafwile uvunihiegiwa nawo”.
7 Alipoyasema haya, malumbano makubwa yakatokea baina ya Mafarisayo na Masadukayo, na mkutano ukagawanyika.
Avile anchove aaga, eisongelehinie imbaha yikhahumila khuva mafalisayo nava masadukayo, na avalundamine vakhagavika.
8 Kwani Masadukayo husema hakuna ufufuo, malaika wala hakuna roho, ila Mafarisayo husema haya yote yapo.
Kuva masadudukayo vita lusikhuli uluvonekhelo, avasukhwa vasikuli munumbula, apange ava mafalisayo incho ukhuta punchile.
9 Ghasia kubwa ikatokea na baadhi ya waandishi waliokuwa upande wa Mafarisayo wakasimama na kujadili, wakisema, “hatujaona chochote kibaya dhidi ya mtu huyu. Vipi kama roho au malaika ameongea na yeye?”
Ukhupuliehana khukhava khusikhuli muvasimib uvuvale khuluvafu ulwava mafalisayo vakhima nukhu nchova, valikhuta, “satukhiwene khinu iekhivivi muugaati munu uyu, ndakhikhi ingave umepo apange unsuhwa anchovile numwene? “.
10 Wakati kulitokea hoja kubwa, mkuu wa majeshi aliogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipande vipande na wao, hivyo akaamuru wanajeshi washuke chini na kumchukua kwa nguvu kutoka kwa wajumbe wa baraza, na kumleta katika ngome.
Unsiekhi upwulukhahumile ulupango uluvaha, umbaha va ligoha adwadile ukhuva upavuli vakhale vikhubuda nukhukhegetania na vene, pwa akhamu khuvasikhali vikhe pasi vakhampiembe khumakha ukhuhuma kuvahiegi valibalasya, nukhunglilikha kuboma.
11 Usiku uliofuata Bwana alisimama karibu naye na kusema, “Usiogope, kwa kuwa umenishuhudia katika Yerusalemu, hivyo utatoa ushahidi pia katika Roma.”
Ikhilo iyakhongile linkuludeva akhiem pawipi numwene akhanchora,” uladwadaga, ulwakhuva unchovile mu yelusalamu, pwu nayufue tunchivonesya uvulweli mu roma inongwa incha khubudiwa khwa pavuli.”
12 Kulipokucha, baadhi ya Wayahudi walifanya agano na kuita laana juu yao wenyewe: walisema ya kwamba hawatakula wala kunywa chochote mpaka watakapomuua Paulo.
vuvukhile, avayahudi avanghe vakhijiagha nukhwikho tila vavoi vakhata svakhalye nu ukhunywa khinu upwuvakhieva vibudu khw pavuli.
13 Kulikuwa na watu zaidi ya arobaini ambao walifanya njama hii.
Khwale na vanu avalutilile khuatobini vavo valondagha injila inchakhubuuda.
14 wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee na kusema, “Tumejiweka wenyewe kwenye laana kuu, tusile chochote hadi tutakapomwua Paulo.
Vakhaluta khuvavaha va vantwa na vaghogholo nukhunchova, “twiviekhi ijufwe mundukhoto uluvaha, tulekhe ukhulya khinu impakha upwakhiva tubudile kwa pavuli.
15 Hivyo sasa, baraza limwambie jemadari mkuu amlete kwenu, kana kwamba mnaamua kesi yake kwa usahihi. Kwetu sisi tuko tayari kumwua kabla hajaja hapa.”
Lieno, avahieghi vambule lindoghonchi umbaha avalighoha andete upavuli khuvene, ndumunu uviilamula ukhumala ienongwa ijamwene vunonu ufwe tupulikhela twietesaniche ukhumbuda vusafike upwutuliepho pwapha.”
16 Lakini mtoto wa dada yake na Paulo akasikia kwamba kulikuwa na njama, akaenda akaingia ndani ya ngome na kumwambia Paulo.
Ulwakhuva umwana vang'anchave va pavuli akhapulika ukhuta vilonda ukhubuda, akhaluta akhingila mughaati muboma akhambula upavuli.
17 Paulo akamwita akida mmoja akasema, “Mchukue kijana huyu kwa jemadari; maana ana neno la kumwambia.”
Upavuli akhamwilangha umbaha yumo akhanchova, “mntole udiemi uyu khwa kumbahu valigoha, ulwakhuva alienilimenyu ilyakhumbula.”
18 Basi akida akamchukua yule kijana akampeleka kwa jemedari mkuu akamwambia, “Paulo yule mfungwa aliniita akataka nikuletee kijana huyu kwako. Ana neno la kukuambia.”
Pwu umbaha akhantola udiemu akhang'ielika khumbaha valigooha akhambula, “upavuli uvyakhungiwe anyielanghele niekhugeghe vindiemi uve khulyuve. alinilimenyu ilyakhukhuvula.”
19 Yule jemadari mkuu akamshika kwa mkono akajitenga naye kando, na akamwuliza, “Ni kitu gani unachotaka kuniambia?”
Ula undongonchi umbaha akhamwibata eikhivoko akhima nave palukanji, nukhumbuncha, “khinu khikhi ikhiwinogwa ukhumbula?”
20 Kijana yule akasema, “Wayahudi wamepatana kukuomba umlete Paulo kesho kwenye baraza kana kwamba wanataka kupata habari zake kwa usahili zaidi.
Udiemu ulakanchova, “avayahudi vanchovie ukhukhudova uvahilikhile khilavo upavuli khuvuhighi ndukhuva vinogwa ukhunchimanya inongwa nchamwene mumbulweli.
21 Basi wewe usikubali kwa maana watu zaidi ya arobaini wanamvizia. Wamejifunga kwa laana, wasile wala wasinywe hata watakapomwua. Hata sasa wako tayari, wakisubiria kibali toka kwako.”
Uve ulekhe ukwidika ulwakhuva khuvale avanu valutilile khuarobaini vieyuvilile. vikhungile ulukhoto, ukhuleka ukhulya na khukhunywa amaghaasi iempaka vabude. ata uluu valiemiho vipuliekhila, uve uvatavulile.
22 Basi yule jemadari mkuu akamwacha kijana aende zake, baada ya kumwagiza “usimwambie mtu yeyote ya kwamba umeniarifu haya.”
Pwu umbaha valighoha akhandeka undiemi ula aghodokhage akhambuli “ulekhe ukhumbu umunu uviavenchagha ukhuta umbulile inchi”.
23 Akawaita maakida wawili akasema watayarisheni askari mia mbili kwenda Kaisaria na askari wapanda farasi sabini, na wenye mikuki mia mbili, mtaondoka zamu ya tatu ya usiku.
Akhavitanga avatongonchi vavile akhavula mukhavatesanie avasikali avamia avile ukhuluta khukaisaria na vasikhali avakhimanyile ukhutoghaifarasi sabini, avanyangoha avamia vavile, mwuehege pakhilo unsienki ugwaa isaa idatu.
24 Akawaambia kuweka wanyama tayari ambaye Paulo atamtumia na kumchukua salama kwa Feliki Gavana.
Akhavavula vatesanie ifikha nu fifyo upavuli ayivombela nukhuvitola vunonu khw feliki untwa.
25 Akaandika barua kwa namna hii,
Akhasima ikalata ndee.
26 Klaudio Lisia kwa Liwali mtukufu Feliki, salamu.
Klaudio lisia kuntwa limbalanche feliki, lighonile.
27 Mtu huyu alikamatwa na wayahudi wakawa karibu kumwua, ndipo nikaenda pamoja na kikosi cha askari nikamwokoa, nilipopata habari ya kuwa yeye ni raia wa kirumi.
Umunu uywa aibatiwana vayahudi alondiwe ukhubudiwa, punikhaluta nikhipuga ikya vasikhali nikhampokha, navile nipulikhe ukhuta munu va khutoma.
28 Nilitaka kujua kwa nini wamemshtaki, hivyo nikampeleka kwenye baraza.
Nanoghile ukulu manya ukhuta khikhi vikhungilega, pwu nikhang'ieka khuvuhighi.
29 Nikaona kwamba alikuwa ameshitakiwa kwa ajili ya maswali ya sheria yao, wala hakushitakiwa neno lolote la kustahili kuuawa wala kufungwa.
Nikavono akhahigiwagwa kundaghilo nchavene, sakhasitakhiwe khulimenyu ilyavienchaga ilyakhuta abudiwagwe nukhukungiwa.
30 Kisha ikajulikana kwangu kwamba kuna njama dhidi yake, hivyo kwa haraka nikamtuma kwako, na kuwaagiza wanaomshitaki pia walete mashitaka dhidi yake mbele yako. Wakaagana.”
Pwu nchikhavonike pavuvalafu palyune ukhuta une nene nilonda injila inchakhumbuda umwene, pwanikhansuhile khulyuve iembive, pwunikhavasukhile avikhung'iega valete inchuvikhunghegha umwene pavulongoto pako. valikhubielukha.”
31 Basi wale askari wakatii amri: wakamchukua Paulo wakampeleka hata Antipatri usiku.
Pwu vala avasikhali vakhidikha ululagilo, vakhantola upavuli vakhangielikha khu antipathi pakhilo.
32 Siku iliyofuata, maaskari wengi wakawaacha wale wapanda farasi waende pamoja naye, nao wakarudi zao ngomeni.
Ikhigono ikhikhakhongile, avasikari vingi vakhavatekha vala avikhetoga ifalasi valutage pwupaninie mumwene, ewene vakhagoodoka khuvene ukhuvitama.
33 Na wapanda farasi walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.
Avikietoka ifalasi vavile vafike khu kaisali, nukumpa untwa ikalata, vakhangielika upavuli pavulongo pamwene.
34 Naye liwali alipoisoma barua, alimuuliza Paulo alitokea jimbo gani; alipojua ya kwamba ni mtu wa Kilikia,
Untwa vuiembi ikalata, akhambuncha upavuli ahumile ikhilunga khilikhu; Avile alumanyile ukkhuta munu va khu kilika,
35 akasema, “Nitakusikia wewe watakapo kuja wale waliokushitaki,” akaamuru awekwe katika ikulu ya Herode.
akhanchova, “nikhukhu pulihinchaga uve akhieva vikijincha avakhakhusitakhile”, akhavatavula vambikhe mu nyumba iyantwa herode.

< Matendo 23 >