< Matendo 23 >

1 Paulo akawaangalia moja kwa moja watu wa baraza na kusema, “Ndugu zangu, nimeishi mbele za Mungu kwa dhamira nzuri hadi hivi leo.”
Pawluh naw kawngci jah bük lü, “Ka püi Isarele, Tungawi cäpa Pamhnama hmaia ngcimcaihkia mlungmthin am ka xüngseiki” a ti.
2 Kuhani mkuu Anania akawaamuru wale waliosimama karibu naye wampige kinywa chake.
Ktaiyü ngvai Anani naw a peia ngdüikie üng Pawluha mpyawng ami kbei vaia a jah mtheh.
3 Ndipo Paulo akamwambia, “Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Umekaa ukinihukumu kwa sheria, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sheria?”
Acunüng, Pawluh naw, “Nang abawk am hluka lung, Mhnam naw ni kbei khai; ngthumkhyah khaia ngawh lü, am kcang khaia thum pawh lü ami na kbei vaia na pyenki” a ti.
4 Wale waliokuwa wamesimama karibu naye wakasema, “Hivi ndivyo unavyomtukana kuhani mkuu wa Mungu?”
A peia kae naw, “Pamhnama ktaiyü ngvai na ksekhanaki aw?” ami ti.
5 Paulo akasema, “ndugu zangu, mimi sikujua kwamba huyu ni kuhani mkuu. Kwa kuwa imeandikwa, hutazungumza vibaya juu ya mtawala wa watu wako.”
Pawluh naw, “Ka püi Isarele aw, ktaiyü ngvaia akya am ksing veng; ‘Na khyang jah upki käh na ksekhanak vai’ tia Cangcim naw pyenki” a ti.
6 Paulo alipoona ya kwamba upande mmoja wa baraza ni Masadukayo na wengine Mafarisayo, akapaza sauti na kusema, “ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Ni kwa sababu hii nategemea kwa ujasiri ufufuo wa wafu ninao hukumiwa nao.”
Pawluh naw, avang Sadukee, avang Pharisee tia ksing lü, “Ka püi Isarele aw, kei Pharisea ka kyaki, Pharisea cakpaa pi ka kyaki; khyangkthi tho be khai tia ka äpeia phäh, ahikba nami na kcetki” a ti.
7 Alipoyasema haya, malumbano makubwa yakatokea baina ya Mafarisayo na Masadukayo, na mkutano ukagawanyika.
Cunüng, acuna ngthu a pyen law päng ja, Pharisee ja Sadukee ngcuh law u lü, ngtai lawki he.
8 Kwani Masadukayo husema hakuna ufufuo, malaika wala hakuna roho, ila Mafarisayo husema haya yote yapo.
Ami ngtainaka suilam cun, Sadukee naw, “Khyangkthia thawnak be am veki, khankhawngsä he, Ngmüimkhyae am veki” ti khawi u se; Pharisee naw, acuna lam kthum cun veki tia ami juma phäha kyaki.
9 Ghasia kubwa ikatokea na baadhi ya waandishi waliokuwa upande wa Mafarisayo wakasimama na kujadili, wakisema, “hatujaona chochote kibaya dhidi ya mtu huyu. Vipi kama roho au malaika ameongea na yeye?”
Pharise da ka thum ksinge ngdüi law u lü, “Hina a katnak i am ksing ve üng; Ngmüimkhya naw pi kyase, khankhawngsä naw pi kyase, a ngthuheipüi üng pi, ia am kya?” ami ti.
10 Wakati kulitokea hoja kubwa, mkuu wa majeshi aliogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipande vipande na wao, hivyo akaamuru wanajeshi washuke chini na kumchukua kwa nguvu kutoka kwa wajumbe wa baraza, na kumleta katika ngome.
Ngcuh law dämdäm u se, yekap ngvai säih naw, Pawluh man u lü, amte mtea ami pawh law vai kyühki naw, yekape veia cit u lü ami vei üngka naw yekapea venaka ami cehpüi vaia a jah mtheh.
11 Usiku uliofuata Bwana alisimama karibu naye na kusema, “Usiogope, kwa kuwa umenishuhudia katika Yerusalemu, hivyo utatoa ushahidi pia katika Roma.”
Acunüng, mthana Bawipa cun Pawluha peia ngdüi lü, “Käh cäi kawpi, ka ngthu Jerusalema na saksia mäiha Romaha pi na saksi khai” a ti.
12 Kulipokucha, baadhi ya Wayahudi walifanya agano na kuita laana juu yao wenyewe: walisema ya kwamba hawatakula wala kunywa chochote mpaka watakapomuua Paulo.
Khawthai law lü Judah khyange, Pawluh am ami hnima küt üng i käh eiaw khaiea, ng'yüngce u lü vekie.
13 Kulikuwa na watu zaidi ya arobaini ambao walifanya njama hii.
Acukba ng'yüngce u lü ngkhämkie cun khyang kphyükipa kthaka nungkie.
14 wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee na kusema, “Tumejiweka wenyewe kwenye laana kuu, tusile chochote hadi tutakapomwua Paulo.
Acunee cun ktaiyü ngvaie ja ngvaiea veia cit u lü, “Pawluh am kami hnima küt üng i käh kami mdep khaia kami ng'yüngceki ni.
15 Hivyo sasa, baraza limwambie jemadari mkuu amlete kwenu, kana kwamba mnaamua kesi yake kwa usahihi. Kwetu sisi tuko tayari kumwua kabla hajaja hapa.”
Acunakyase, khaw ngawia, yekap ngvai säih naw Pawluh cun nangmia veia lawpüi lü, ngkhai ngai khaia nami kcet vaia mäiha, ngvaie am atänga yekap ngvai säiha veia kthäh ua, acun üng Pawluh hnim vai ami täng. Acunüng, Pawluh nami veia am a pha law ham üng keimi cun kami hnim khaia, ngtün päng ve üng” ami ti.
16 Lakini mtoto wa dada yake na Paulo akasikia kwamba kulikuwa na njama, akaenda akaingia ndani ya ngome na kumwambia Paulo.
Acunsepi, Pawluha a naa ca naw, lama ami na maha mawng cun ngja lü, yekapea venakaa va lutki naw, Pawluh am a va mtheh.
17 Paulo akamwita akida mmoja akasema, “Mchukue kijana huyu kwa jemadari; maana ana neno la kumwambia.”
Pawluh naw, yekap ngvai mat khü lü, “Hina cawngpyang hin yekap ngvaisäiha veia cehpüia; i mä a pyen vai ve khai ni” a ti.
18 Basi akida akamchukua yule kijana akampeleka kwa jemedari mkuu akamwambia, “Paulo yule mfungwa aliniita akataka nikuletee kijana huyu kwako. Ana neno la kukuambia.”
Yekap ngvaia veia cehpüi lü, “Thawngim üng kyumkia Pawluh naw na khü lü, hina cawngpyang na veia ka lawpüi khaia, ana tüih law, na veia i mä a pyen vai ve ve” a ti.
19 Yule jemadari mkuu akamshika kwa mkono akajitenga naye kando, na akamwuliza, “Ni kitu gani unachotaka kuniambia?”
Acunüng, yekap ngvai säih naw a kut üng man lü, akcea cehpüiki naw, “I na na mtheh hlüki?” ti lü a kthäh.
20 Kijana yule akasema, “Wayahudi wamepatana kukuomba umlete Paulo kesho kwenye baraza kana kwamba wanataka kupata habari zake kwa usahili zaidi.
Ani naw “Judah ngvaie naw khaw ngawia Pawluh kawngcia na lawpüi vai ngjak'hlü ve u. Pawluha mawng cun ami naw aksing ngtea ksing hlükie hana ngsaih ve u, a ti.”
21 Basi wewe usikubali kwa maana watu zaidi ya arobaini wanamvizia. Wamejifunga kwa laana, wasile wala wasinywe hata watakapomwua. Hata sasa wako tayari, wakisubiria kibali toka kwako.”
Acunsepi, ami pyen käh jah na kcang na kawpi; khyang kphyükipa kthaka nungkie naw ani k'äih u lü ngthupkie ni, acune cun ani, am ami hnima küt üng i käh eiaw khaiea ng'yüngcekie ni; atuh na ja msangnak be vaia ngthu k'äihkie, ngtün u lü vekie ni” a ti.
22 Basi yule jemadari mkuu akamwacha kijana aende zake, baada ya kumwagiza “usimwambie mtu yeyote ya kwamba umeniarifu haya.”
Acunüng, yekap ngvaisäih naw cawngpyang cun tüih be lü, “Hina ngthu na na mtheh hin u pi käh ksingsak kawpi” a ti.
23 Akawaita maakida wawili akasema watayarisheni askari mia mbili kwenda Kaisaria na askari wapanda farasi sabini, na wenye mikuki mia mbili, mtaondoka zamu ya tatu ya usiku.
Yekap ngvai säih naw jung ngvai nghngih jah khü lü, “Tuh mü naji kaw üng, Ketarih khaw cäpa cit khaia yekap phyanghngih, ngsela ngcumki khyang khyühkip, kcei kawtki khyang phyanghngih ngsungcei u se ti lü” a jah mtheh.
24 Akawaambia kuweka wanyama tayari ambaye Paulo atamtumia na kumchukua salama kwa Feliki Gavana.
Pe uk Felika veia phyawn lü pha khaia, Pawluha ngcumnak vaia ngsela ami pet vaia pi a jah mtheh sih.
25 Akaandika barua kwa namna hii,
Ngvai naw hikba ca yu lü;
26 Klaudio Lisia kwa Liwali mtukufu Feliki, salamu.
“Kalawdih Lusik aw ami leisawnga pe uk Felik naw ning hnukset ve.
27 Mtu huyu alikamatwa na wayahudi wakawa karibu kumwua, ndipo nikaenda pamoja na kikosi cha askari nikamwokoa, nilipopata habari ya kuwa yeye ni raia wa kirumi.
Hina khyang Judahe naw man u lü ami hnim law hlü ja, ami veia yekape jah ngkhahpüi lü ka citki, Romah khyang ni tiaa ksing lü ka yung law.
28 Nilitaka kujua kwa nini wamemshtaki, hivyo nikampeleka kwenye baraza.
Acunüng, ami mkatnaka suilam ksing hlü lü, ami kawngciea veia ka cehpüi.
29 Nikaona kwamba alikuwa ameshitakiwa kwa ajili ya maswali ya sheria yao, wala hakushitakiwa neno lolote la kustahili kuuawa wala kufungwa.
Ami thum ia phäha ami mkat tia ka ksing, acunsepi ami mkatnak üng thihnak vai ja man u lü thawng üng khyum vaia anglawinak i am hmu veng.
30 Kisha ikajulikana kwangu kwamba kuna njama dhidi yake, hivyo kwa haraka nikamtuma kwako, na kuwaagiza wanaomshitaki pia walete mashitaka dhidi yake mbele yako. Wakaagana.”
Judahe naw ami hnim vaia kham hükie ni tia khyang naw a na mtheh ja, na veia ka tüih law ni, mkatkie naw pi ami mkatnaka mawng na hmaia ami pyen vaia ngthu ka jah pet ni” a ti.
31 Basi wale askari wakatii amri: wakamchukua Paulo wakampeleka hata Antipatri usiku.
Ngthu a jah peta mäiha yekape naw mthan nglunga Pawluh cun man u lü, Antipatariha ami cehpüi.
32 Siku iliyofuata, maaskari wengi wakawaacha wale wapanda farasi waende pamoja naye, nao wakarudi zao ngomeni.
A ngawi üng, ngsela ngcumkie Pawluh am jah cehsak u lü, amimät cun yekapea venaka nghlat law bekie.
33 Na wapanda farasi walipofika Kaisaria, na kumpa liwali ile barua, wakamweka Paulo mbele yake.
Ketarih ami pha law üng, ca cun pe uk Felik am pe u lü, Pawluh cun pi ami msum.
34 Naye liwali alipoisoma barua, alimuuliza Paulo alitokea jimbo gani; alipojua ya kwamba ni mtu wa Kilikia,
Pe uk naw a kheh law päng üng, Pawluha venaka khaw a kthäh. Acunüng, Kilikih khawa ka ni tia a ksing law ja,
35 akasema, “Nitakusikia wewe watakapo kuja wale waliokushitaki,” akaamuru awekwe katika ikulu ya Herode.
“Ning mkatkie ami pha law käna, na mawng ka ning ngaih pet khai” a ti. Acunüng, Pawluh cun pe uka junga ami ngäng vaia ngthu a jah pet.

< Matendo 23 >