< Matendo 22 >

1 “Ndugu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu nitakaofanya kwenu sasa.”
“Ka champui Isrealngei ki dikna thurchi nin kôm ki ril hih rangâi roi!” a tia.
2 Makutano walipo sikia Paulo akiongea nao kwa kiebrania, wakanyamaza. Akasema,
Hebrew chongin a chong ti an riet lechu an dâirek uol zoia Paul'n a ti banga.
3 “Mimi ni myahudi, nimezaliwa mji wa Tarso eneo la Kilikia, ila nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli. Nilifundishwa kulingana na njia sahihi za sheria za baba zetu. Mimi ninabidii ya Mungu, kama ninyi nyote mlivyo leo.
Hanchu Paul'n, “Juda ki ni, Cilicia rama Tarsus khuoa suok ki ni, hannirese Jerusalema Gamaliel minchuna hong seilien ki nia, ei richibulngei anga balam inngartaka lei inchu ki ni. Aviensûn hin nangni ngei angtaka Pathien tienga theidôra inpêk ke lei ni.
4 Niliwatesa kwa njia hii hadi kufa; nikawafunga wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.
Hi Lampui lei jûingei hih that rang dôra lei pûta ku nuom lei lo ngâi ki ni, pasal nupang ku sûra intâng ina lei khum ngâi ki ni.
5 Hata kuhani mkuu na wazee wote wanaweza kutoa ushahidi kwamba nilipokea barua kutoka kwao kwa ajili ya ndugu walio Dameski, kwangu mimi kusafiri kwenda huko. Ilikuwa niwalete watu Yerusalemu wa njia ile ili wafungwe na kuadhibiwa.
Ochai Inlalngei le Roijêkpungei murdi'n ko chong hih adik ti nangni ril thei an tih, an kôm renga Damascus taka Juda champuingei sûrna rang lekha ka mana, masikin ma khuo mingei hah sûra dûkmintonga zingjirûi leh khita Jerusalema hong tuong ranga se ki nia.
6 Ilitokea kwamba pale nilipokua nikisafiri nakaribia Dameski, majira ya mchana ghafla nuru kuu ikatokea mbinguni ikaanza kuniangaza.
“Hanchu ke sea, Damascus khuo kôl kin phâk le sûnchimripa inningloi rengin invân renga vârin mi juong êla.
7 Nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniambia, 'Sauli, Sauli kwanini unaniudhi?'
Hanchu nuoia kên leta, chong ki rieta, ‘Sual, Sual ithomo dûk mi ni mintonga?’ a tia.
8 Nikajibu, 'wewe ni nani, Bwana?' Akaniambia, 'Mini ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.'
Keiman, ‘Pumapa Tumo ni ni?’ tiin ke rekela, ama han ko kôm, ‘Keima Nazareth Jisua, dûk ni mintong ngâipu hah ki ni,’ a tia.
9 Wale waliokuwa na mimi waliiona nuru, ila hawakusikia sauti ya yule alie ongea na mimi.
Ko kôla miriemngei han vâr chu an mua, hannirese ko kôma chong juong tung hah chu riet mak ngei.
10 Nikasema, 'Nifanye nini, Bwana?' Bwana akaniambia, 'Simama na uingie Dameski; huko utaambiwa kila kitu unachopaswa kufanya.'
Keiman ‘Pumapa imo ko tho rang?’ ki tia, Pumapa han ko kôm ‘Inthoi inla Damascus khuo lût roh, mahan Pathien'n no tho rang ngei murdi nang lei ril atih’ a tia.
11 Sikuweza kuona kwa sababu ya muangaza wa nuru ile, ndipo nikaenda Dameski kwa kuongozwa na mikono ya wale waliokuwa na mimi.
Avâr hah avâr rai sikin ki mitngei khom ajînga, masikin ka champuingei han ku kutin min keiruoia Damascus khuoa kin lût zoi.
12 Huko nikakutana na mtu aitwaye Anania, alikuwa mtu aliyeshika sheria na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote walioishi huko.
“Ma khopuilien han mi inkhat a riming Ananias, Pathien biek mi le balam lei jûi ngâi a oma, mataka Juda omngei murdi'n an mirit sabaka.
13 Akaja kwangu, akasimama mbele yangu, na kusema, 'Ndugu yangu Sauli, upate kuona.'Kwa muda ule ule nikamuona.
Ama hah ko kôm a honga, ko kôla ândinga, Lâibung Saul hong mu thei ta roh, mi tia. Ma zora tak han ko hong muthei nôk zoia, ama hah ko hong ena.
14 Akasema, 'Mungu wa baba zetu amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake, kumuona yule mwenyehaki, na kusikia sauti itokayo kwenye kinywa chake.
Ama han, ei richibulngei Pathien lungdo ngei riet rang le mi diktak tîrlâm hah mua, a chongbâingei riet rangin nang a thang ani.
15 Kwa sababu utakuwa shahidi kwake kwa watu wote juu ya uliyoyaona na kusikia.
Nu mu le ni riet ngei angtak han mi murdi chunga rietpuipu na la ni rang sikin.
16 Basi sasa kwa nini unasubiri? Amka, ubatizwe, ukaoshe dhambi zako, ukiliita jina lake.'
Atûn reng, hi hin khoi mo na la ôt bang? Inthoi inla, baptisma chang inla ni sietnangei rusûk minsâina rangin a kôm chubaitho ta roh, a tia.
17 Baada ya kurejea Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali ndani ya hekalu, ikatokea kwamba nikapewa maono.
“Jerusalem tieng ki kîr nôka, Biekina Pathien kôm chubai ko tho lâiin inlârnân,
18 Nikamuona akiniambia, 'Hima na utoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushuhuda wako kuhusu mimi.'
Mahan Pumapa ku mua, ko kôm, ‘Inrangin Jerusalem mâk roh, ku thurchi ni misîr rang, hi muna mingeiin an modôm loi rang sikin’ a tia.
19 Nikasema, 'Bwana, wao wenyewe wanajua niliwafunga gerezani na kuwapiga wale waliokuamini katika kila sinagogi.
Hanchu keiman, ‘Pumapa, synagog murdi ngei lûta nang iempungei lei sûra lei jêm ngâipu hah ki ni tiin min riet let kêng alei ni.
20 Na damu ya Stefano shahidi wako ilipomwagwa, Mimi pia nilikuwa nimesimama karibu na kukubali na nilikuwa nalinda nguo za wale waliomwua.'
Male no chong rietpuipu Stephan an that zora han khom ko oma, an that rang hah asa lei ti puipu le ama that ngei an puonngei lei dar pepu hah ki ni,’ ki tia.
21 Lakini aliniambia, 'Enenda, kwa sababu mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa mataifa.”'
Pumapa'n, ‘Se roh, alataka Jentailngei kôm nang tîr ki tih,’” a tia.
22 Watu wakamruhusu aongee juu ya neno hili. Lakini baadaye walipaza sauti na kusema, “mwondoe mtu huyu katika nchi: kwa sababu sio sahihi aishi.”
Hanchu, ha thurchi ten hah an rangâia, masuole chu rôl inringtakin an inieka minboi pai roi! That roi! a ring rangin chuk mak an tia.
23 Walipokuwa wakipaza sauti, na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu,
Anrêngin an inieka an puonngei an vôka, pildi invân tieng an vôra.
24 jemedari mkuu akaamuru Paulo aletwe ngomeni. Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi, ili yeye mwenyewe ajue kwa nini walikuwa wanampigia kelele namna ile.
Hanchu Rom râlmi ulientakpu han Paul hah rukulpui sûng tieng ruoi rangin chong a pêka, a chunga ma angdôra an hêtsana abi riet theina rangin jêm pumin rekel tit rangin a ti pe ngeia.
25 Hata walipokuwa wamemfunga kwa kamba, Paulo akamwambia yule akida aliye simama karibu naye, “Je! ni haki kwenu kumpiga mtu aliye Mrumi na bado hajahukumiwa?”
Hannirese jêm ranga an khit suole chu, Paul'n a kôma inding râlmi razakhat ruoipu kôm han, “Rom mi adik loina khoite boi hih jêm rangin balam ani mo?” a tipea.
26 Yule akida aliposikia maneno haya, akaenda kwa jemedari mkuu na kumwambia, akisema, “Unataka kufanya nini? Kwa maana mtu huyu ni mrumi.”
Râlmi razakhat ruoipu han ha chong hah a rietin chu, râlmi ulientak kôm a sea. “Khoimo tho rang nin ti hi? Ma miriem hih Rom mi ke ani” a tipea.
27 Jemedari mkuu akaja na kumwambia, “Niambie, je wewe ni raia wa Rumi?” Paulo akasema, “Ndiyo.”
Masuole chu, râlmi ulientakpu hah Paul kôm a sea, “Rom mi ni ni mo, mi ril roh!” tiin a rekela, Paul'n “Ki ni,” a tiin a thuona.
28 Jemedari akamjibu, “Ni kupitia kiasi kikubwa cha pesa ndipo nilipata uraia.” Lakini Paulo akamwambia, “Mimi ni mrumi wa kuzaliwa.”
Râlmi ulientakpu han “Kei chu Rom mi changna rang hin sum tamtak ka thâm ok,” a tia, Aniatachu Paul'n kei chu “Rom mi nisai piela juonzir ki ni,” tiin athuona.
29 Basi wale waliokuwa tayari kwenda kumuuliza wakaondoka na kumwacha wakati huo huo. Na jemedari naye akaogopa, alipojua kuwa Paulo ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.
Voikhat rengin, Paul kôma chong rekel rang dônpu ngei murdi khom an rot let zoia. Râlmi ulientak ha khom Paul hah Rom mi ani ti a riet lechu asân a chi zoi, moton han Paul ha zingjirûi leh a lei thung zoi sikin.
30 Siku iliyofuatayo, jemedari mkuu alitaka kujua ukweli kuhusu mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo. Hivyo akamfungua vifungo vyake akaamuru wakuu wa makuhani na baraza lote wakutane. Akamleta Paulo chini, na kumweka katikati yao.
Hanchu, anangtûka chu râlmi ulien han, Judangei itho sikin mo Paul an nônna riet rang a nuom sikin, a zingjirûi khitna an sût pea, ochaisingei le roijêkpungei murdi lei intûp rangin chong a pêka, masuole chu Paul ha a tuonga an makunga a minding zoi.

< Matendo 22 >