< Matendo 22 >
1 “Ndugu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu nitakaofanya kwenu sasa.”
Anu henu nan ankaco, rikani ti toi ikunna ubura um u aye a hira a shime aname.
2 Makutano walipo sikia Paulo akiongea nao kwa kiebrania, wakanyamaza. Akasema,
Sa ni ori na nabo wakunna tize ti bulus ini hem na ibraniyawa wadusa watatonno tek, magu.
3 “Mimi ni myahudi, nimezaliwa mji wa Tarso eneo la Kilikia, ila nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli. Nilifundishwa kulingana na njia sahihi za sheria za baba zetu. Mimi ninabidii ya Mungu, kama ninyi nyote mlivyo leo.
Me ubayahude mani uwatu usamirika anabo ini ikiliya, anyimo amanyanga mu gamaliyal a pokum aje ni, a kuri abezizi abinime kang inu gunno itarsi una u inko utize ta cokoro aro, izin nu inko iriba atize ta Asere kasi shime sa izin tini.
4 Niliwatesa kwa njia hii hadi kufa; nikawafunga wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.
Ma mensi anabo in husi ma kuri in tirzi ahana aruma nan na a ēh in han we ati gomo a tuburko we udenge unirere.
5 Hata kuhani mkuu na wazee wote wanaweza kutoa ushahidi kwamba nilipokea barua kutoka kwao kwa ajili ya ndugu walio Dameski, kwangu mimi kusafiri kwenda huko. Ilikuwa niwalete watu Yerusalemu wa njia ile ili wafungwe na kuadhibiwa.
Anime ani unu udang ukayuma ka Asere na nu wadi nya u inpo amaro inu guna ma kabi nikara nitize tu inko u watu ushi barki ni henu sa wa rani damascu, barki idusa abirko, katuma kam kani i tarsi adesa wa tarsa una ugino me, i en we anyimo urshalima barki a tarsi we.
6 Ilitokea kwamba pale nilipokua nikisafiri nakaribia Dameski, majira ya mchana ghafla nuru kuu ikatokea mbinguni ikaanza kuniangaza.
Uganiya mara anyimo atanu, inkuri in ha ma mu nan damascu, inu wui ace uganiya u inde masaa madangdang usuro Asere u pokino ma ketum.
7 Nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniambia, 'Sauli, Sauli kwanini unaniudhi?'
In rizi adizii uganiya madusa ma kunna ni gmyirang ni gusa me, 'shawulu, shawulu, barki nyanini yawuna uzin nu kunna um iwono?'
8 Nikajibu, 'wewe ni nani, Bwana?' Akaniambia, 'Mini ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.'
In babirikame, 'aveni hu ugomo Asere?' magun me, 'immani Yeso ubanazarat unigesa uzin nu nya ume uzito ugino me.'
9 Wale waliokuwa na mimi waliiona nuru, ila hawakusikia sauti ya yule alie ongea na mimi.
Anuge besa wazi nigo nan me wa iri masaa me, idaki warosi niggmyirang na veni mazin tize me ba.
10 Nikasema, 'Nifanye nini, Bwana?' Bwana akaniambia, 'Simama na uingie Dameski; huko utaambiwa kila kitu unachopaswa kufanya.'
Ma gu, 'nyanini indi wuzi hu ugomo Asere?' Ugomo Asere magume, 'magu me ihire idusa anyimo damascu, abini me ani adi boki we imum ikadure sa udi wuzi.
11 Sikuweza kuona kwa sababu ya muangaza wa nuru ile, ndipo nikaenda Dameski kwa kuongozwa na mikono ya wale waliokuwa na mimi.
Idaki iri ahira me ba barki umilme u masa, idusa anyimo damascu u watu u tarsa andebesa wazi ni go nan me.
12 Huko nikakutana na mtu aitwaye Anania, alikuwa mtu aliyeshika sheria na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote walioishi huko.
Abirko me ani ma kem uye unaniz ni ananiya, una biyyau ba Asere ahira u inko utize, tini kobbo nanni zani rere aje ayahudawa as wa ciki abirko me.
13 Akaja kwangu, akasimama mbele yangu, na kusema, 'Ndugu yangu Sauli, upate kuona.'Kwa muda ule ule nikamuona.
Ma eh ahira am magu, ni henu shawulu, kaba uhira unipen, rep na nu ganiya ginu me iri me.
14 Akasema, 'Mungu wa baba zetu amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake, kumuona yule mwenyehaki, na kusikia sauti itokayo kwenye kinywa chake.
Uganiya magu, 'Asere aka co uro sa mazauka we inu gunna urosi imumbe sa me ma nyara wa ira unu iriba ishew iginome, kunna tize tige besa ti suso anyo ameme.
15 Kwa sababu utakuwa shahidi kwake kwa watu wote juu ya uliyoyaona na kusikia.
Udi cukuno unu impo amaru ame barki timumum sa wa ira nan ti gebe sa wa kunna tini.
16 Basi sasa kwa nini unasubiri? Amka, ubatizwe, ukaoshe dhambi zako, ukiliita jina lake.'
Aname nyanini uzin nu nyargame? hira azoro we akuri akpici we madini ma we me, unu tisa anyimo aniza nu meme.
17 Baada ya kurejea Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali ndani ya hekalu, ikatokea kwamba nikapewa maono.
Uganiya sa ma kuri urushalima uganiya mazin im birigara anyimo udenge me ina makabi tiro.
18 Nikamuona akiniambia, 'Hima na utoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushuhuda wako kuhusu mimi.'
Ma irime magun me, 'wuza dibe-dibe u ceki urushalima a-a na me, barki wada kaba me u impo amaru imumbe sa udi boki ini ahira am ba.
19 Nikasema, 'Bwana, wao wenyewe wanajua niliwafunga gerezani na kuwapiga wale waliokuamini katika kila sinagogi.
Uganiya sa azin nu kponko umaye munu impo amaru aweme istifanus, maturi izin nu impo amaru, in kuri in hiri tironga ta desa wa hume.
20 Na damu ya Stefano shahidi wako ilipomwagwa, Mimi pia nilikuwa nimesimama karibu na kukubali na nilikuwa nalinda nguo za wale waliomwua.'
Magu, 'ugomo Asere, we ina ce awe warusa uwuna sa ma wuweni udenge uni rere in kuri intiri aye desa wa nya muruba muwe sa wa kabi we atidenge ti biringara.
21 Lakini aliniambia, 'Enenda, kwa sababu mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa mataifa.”'
Manno magu me, 'dusa, barki idi tumu we abirko ahira anu amaree.
22 Watu wakamruhusu aongee juu ya neno hili. Lakini baadaye walipaza sauti na kusema, “mwondoe mtu huyu katika nchi: kwa sababu sio sahihi aishi.”
Anabu wa ceki me ma wuzi tize nan nu hana uganiya, barki anime wa dusa wa yeze agmyinrang wazi nu gusa na kari kunu kuginu me, anyimo unee, daki ya wuna urii acekime makese ba.
23 Walipokuwa wakipaza sauti, na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu,
Uganiya sa wazin nu yeze agmyinrang wa vingizi tironga tu we wa hirziza usuru u pebu.
24 jemedari mkuu akaamuru Paulo aletwe ngomeni. Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi, ili yeye mwenyewe ajue kwa nini walikuwa wanampigia kelele namna ile.
Unu udandang uma soja ma nya nikara ahamme in bulus ahira sa ma cikin, madusa ma nya magu a ikime a gunguzunu me in ni sisari barki wa rosi imum sa ya wuna izin me iti hunu ishina.
25 Hata walipokuwa wamemfunga kwa kamba, Paulo akamwambia yule akida aliye simama karibu naye, “Je! ni haki kwenu kumpiga mtu aliye Mrumi na bado hajahukumiwa?”
Uganiya sa w tirzi me ini sere, bulus magu ana dandang me sa wazi mamu nan me, ''nani ya wuna anime e wuna inko utize awu u barome a wuzi me tize tu inko a hume sarki ucoboo?''
26 Yule akida aliposikia maneno haya, akaenda kwa jemedari mkuu na kumwambia, akisema, “Unataka kufanya nini? Kwa maana mtu huyu ni mrumi.”
Sa una je ma kunna anime ma ha ahira unu udandang nyanini n nyara u wuzi, ''unu uginu me una nu roma mani.''
27 Jemedari mkuu akaja na kumwambia, “Niambie, je wewe ni raia wa Rumi?” Paulo akasema, “Ndiyo.”
Unu udandang uma soja ma ē magu me, ''bukam hu una nu roma mani?'' bulus magu, ''anime ani.''
28 Jemedari akamjibu, “Ni kupitia kiasi kikubwa cha pesa ndipo nilipata uraia.” Lakini Paulo akamwambia, “Mimi ni mrumi wa kuzaliwa.”
Unu udandang uma soja makabrika me, ''adi kpi ucukuno vana umanyanga ini ikirfi igbardang.'' ine ini bulus magu, ''aymo uma manyanga mu roma.''
29 Basi wale waliokuwa tayari kwenda kumuuliza wakaondoka na kumwacha wakati huo huo. Na jemedari naye akaogopa, alipojua kuwa Paulo ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.
Aye wa ē ugizo ume wa dusa wa ceki me daki wade ba, unu udandang uma soja ma kunna biyyau sa ma tinka unu gunna bulus u yoo wanu roma uni, sa mamu tirza me.
30 Siku iliyofuatayo, jemedari mkuu alitaka kujua ukweli kuhusu mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo. Hivyo akamfungua vifungo vyake akaamuru wakuu wa makuhani na baraza lote wakutane. Akamleta Paulo chini, na kumweka katikati yao.
Sa ahira asana, unu dandang uma soja me ma nyari marusi kadure kimum be sa ya wu awuzi anime ayahudawa wa wuzi anice ni bulus. Ma dusa ma soppi me anyimo tisere me, ma kuri ma nya unu dandang ukatuma kadandang ka Asere nan na nu ira wa gurna ma dusa ma en bulus atii aweme.