< Matendo 22 >

1 “Ndugu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu nitakaofanya kwenu sasa.”
Britheren and fadris, here ye what resoun Y yelde now to you.
2 Makutano walipo sikia Paulo akiongea nao kwa kiebrania, wakanyamaza. Akasema,
And whanne sum herden that in Ebrew tunge he spak to hem, thei yauen the more silence.
3 “Mimi ni myahudi, nimezaliwa mji wa Tarso eneo la Kilikia, ila nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli. Nilifundishwa kulingana na njia sahihi za sheria za baba zetu. Mimi ninabidii ya Mungu, kama ninyi nyote mlivyo leo.
And he seide, Y am a man a Jew, borun at Tharse of Cilicie, nurischid and in this citee bisidis the feet of Gamaliel, tauyt bi the treuthe of fadris lawe, a louyere of the lawe, as also ye alle ben to dai.
4 Niliwatesa kwa njia hii hadi kufa; nikawafunga wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.
And Y pursuede this weie til to the deth, byndynge and bitakinge `in to holdis men and wymmen,
5 Hata kuhani mkuu na wazee wote wanaweza kutoa ushahidi kwamba nilipokea barua kutoka kwao kwa ajili ya ndugu walio Dameski, kwangu mimi kusafiri kwenda huko. Ilikuwa niwalete watu Yerusalemu wa njia ile ili wafungwe na kuadhibiwa.
as the prince of prestis yeldith witnessyng to me, and alle the grettest in birth. Of whom also Y took pistlis to britheren, and wente to Damask, to bring fro thennys men boundun in to Jerusalem, that thei schulden be peyned.
6 Ilitokea kwamba pale nilipokua nikisafiri nakaribia Dameski, majira ya mchana ghafla nuru kuu ikatokea mbinguni ikaanza kuniangaza.
And it was don, while Y yede, and neiyede to Damask, at myddai sudeynli fro heuene a greet plente of liyt schoon aboute me.
7 Nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniambia, 'Sauli, Sauli kwanini unaniudhi?'
And Y felde doun to the erthe, and herde a voice fro heuene, seiynge to me, Saul, Saul, what pursuest thou me? It is hard to thee to kike ayens the pricke.
8 Nikajibu, 'wewe ni nani, Bwana?' Akaniambia, 'Mini ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.'
And Y answeride, Who art thou, Lord? And he seide to me, Y am Jhesu of Nazareth, whom thou pursuest.
9 Wale waliokuwa na mimi waliiona nuru, ila hawakusikia sauti ya yule alie ongea na mimi.
And thei that weren with me sien but the liyt, but thei herden not the vois of hym, that spak with me.
10 Nikasema, 'Nifanye nini, Bwana?' Bwana akaniambia, 'Simama na uingie Dameski; huko utaambiwa kila kitu unachopaswa kufanya.'
And Y seide, Lord, what schal Y do? And the Lord seide to me, Rise thou, and go to Damask; and there it schal be seid to thee, of alle thingis which it bihoueth thee to do.
11 Sikuweza kuona kwa sababu ya muangaza wa nuru ile, ndipo nikaenda Dameski kwa kuongozwa na mikono ya wale waliokuwa na mimi.
And whanne Y saye not, for the clerete of that liyt, Y was led bi the hond of felowis, and Y cam to Damask.
12 Huko nikakutana na mtu aitwaye Anania, alikuwa mtu aliyeshika sheria na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote walioishi huko.
And a man, Ananye, that bi the lawe hadde wytnessyng of alle Jewis dwellinge in Damask,
13 Akaja kwangu, akasimama mbele yangu, na kusema, 'Ndugu yangu Sauli, upate kuona.'Kwa muda ule ule nikamuona.
cam to me, and stood niy, and seide to me, Saul, brother, biholde. And Y in the same our biheelde in to hym.
14 Akasema, 'Mungu wa baba zetu amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake, kumuona yule mwenyehaki, na kusikia sauti itokayo kwenye kinywa chake.
And he seide, God of oure fadris hath bifor ordeyned thee, that thou schuldist knowe the wille of him, and schuldist se the riytful man, and here the vois of his mouth.
15 Kwa sababu utakuwa shahidi kwake kwa watu wote juu ya uliyoyaona na kusikia.
For thou schalt be his witnesse to alle men, of tho thingis that thou hast seyn and herd.
16 Basi sasa kwa nini unasubiri? Amka, ubatizwe, ukaoshe dhambi zako, ukiliita jina lake.'
And now, what dwellist thou? Rise vp, and be baptisid, and waische awei thi synnes, bi the name of hym clepid to help.
17 Baada ya kurejea Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali ndani ya hekalu, ikatokea kwamba nikapewa maono.
And it was don to me, as Y turnede ayen in to Jerusalem, and preyede in the temple, that Y was maad in rauysching of soule,
18 Nikamuona akiniambia, 'Hima na utoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushuhuda wako kuhusu mimi.'
and Y siy him seiynge to me, Hiye thou, and go out faste of Jerusalem, for thei schulen not resseyue thi witnessing of me.
19 Nikasema, 'Bwana, wao wenyewe wanajua niliwafunga gerezani na kuwapiga wale waliokuamini katika kila sinagogi.
And Y seide, Lord, thei witen, that Y was closing togidir `in to prisoun, and betinge bi synagogis hem that bileueden `in to thee.
20 Na damu ya Stefano shahidi wako ilipomwagwa, Mimi pia nilikuwa nimesimama karibu na kukubali na nilikuwa nalinda nguo za wale waliomwua.'
And whanne the blood of Steuene, thi witnesse, was sched out, Y stood niy, and consentide, and kept the clothis of men that slowen hym.
21 Lakini aliniambia, 'Enenda, kwa sababu mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa mataifa.”'
And he seide to me, Go thou, for Y schal sende thee fer to naciouns.
22 Watu wakamruhusu aongee juu ya neno hili. Lakini baadaye walipaza sauti na kusema, “mwondoe mtu huyu katika nchi: kwa sababu sio sahihi aishi.”
And thei herden him til this word; and thei reiseden her vois, and seiden, Take awei fro the erthe siche a maner man; for it is not leueful, that he lyue.
23 Walipokuwa wakipaza sauti, na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu,
And whanne thei crieden, and kesten awei her clothis, and threwen dust in to the eir,
24 jemedari mkuu akaamuru Paulo aletwe ngomeni. Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi, ili yeye mwenyewe ajue kwa nini walikuwa wanampigia kelele namna ile.
the tribune comaundide hym to be led in to castels, and to be betun with scourgis, and to be turmentid, that he wiste, for what cause thei crieden so to him.
25 Hata walipokuwa wamemfunga kwa kamba, Paulo akamwambia yule akida aliye simama karibu naye, “Je! ni haki kwenu kumpiga mtu aliye Mrumi na bado hajahukumiwa?”
And whanne thei hadden boundun hym with cordis, Poul seide to a centurien stondinge niy to hym, Whether it is leueful to you, to scourge a Romayn, and vndampned?
26 Yule akida aliposikia maneno haya, akaenda kwa jemedari mkuu na kumwambia, akisema, “Unataka kufanya nini? Kwa maana mtu huyu ni mrumi.”
And whanne this thing was herd, the centurien wente to the tribune, and telde to hym, and seide, What art thou to doynge? for this man is a citeseyn of Rome.
27 Jemedari mkuu akaja na kumwambia, “Niambie, je wewe ni raia wa Rumi?” Paulo akasema, “Ndiyo.”
And the tribune cam niy, and seide to hym, Seie thou to me, whether thou art a Romayn?
28 Jemedari akamjibu, “Ni kupitia kiasi kikubwa cha pesa ndipo nilipata uraia.” Lakini Paulo akamwambia, “Mimi ni mrumi wa kuzaliwa.”
And he seide, Yhe. And the tribune answeride, Y with myche summe gat this fredom. And Poul seide, And Y was borun a citeseyn of Rome.
29 Basi wale waliokuwa tayari kwenda kumuuliza wakaondoka na kumwacha wakati huo huo. Na jemedari naye akaogopa, alipojua kuwa Paulo ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.
Therfor anoon thei that schulden haue turmentid hym, departiden awei fro hym. And the tribune dredde, aftir that he wiste, that he was a citeseyn of Rome, and for he hadde boundun hym.
30 Siku iliyofuatayo, jemedari mkuu alitaka kujua ukweli kuhusu mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo. Hivyo akamfungua vifungo vyake akaamuru wakuu wa makuhani na baraza lote wakutane. Akamleta Paulo chini, na kumweka katikati yao.
But in the dai suynge he wolde wite more diligentli, for what cause he were accusid of the Jewis, and vnbounde hym, and comaundide prestis and al the counsel to come togidir. And he brouyte forth Poul, and sette hym among hem.

< Matendo 22 >