< Matendo 22 >

1 “Ndugu na baba zangu, sikilizeni utetezi wangu nitakaofanya kwenu sasa.”
Men brothers and fathers, do hear of me the to you (now *N(k)O*) defense.
2 Makutano walipo sikia Paulo akiongea nao kwa kiebrania, wakanyamaza. Akasema,
Having heard then that in the Hebrew language he was addressing them, even more they became quiet. And he says;
3 “Mimi ni myahudi, nimezaliwa mji wa Tarso eneo la Kilikia, ila nilipata elimu katika mji huu, miguuni pa Gamalieli. Nilifundishwa kulingana na njia sahihi za sheria za baba zetu. Mimi ninabidii ya Mungu, kama ninyi nyote mlivyo leo.
I myself (indeed *k*) am a man Jewish born in Tarsus of Cilicia, brought up however in city this at the feet of Gamaliel instructed according to [the] exactness of the of our Fathers law, a zealous one being for God even as all you yourselves are this day,
4 Niliwatesa kwa njia hii hadi kufa; nikawafunga wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.
who this Way persecuted as far as death binding and betraying to prisons men both and women,
5 Hata kuhani mkuu na wazee wote wanaweza kutoa ushahidi kwamba nilipokea barua kutoka kwao kwa ajili ya ndugu walio Dameski, kwangu mimi kusafiri kwenda huko. Ilikuwa niwalete watu Yerusalemu wa njia ile ili wafungwe na kuadhibiwa.
as also the high priest bears witness to me and all the elderhood, from whom also letters having received to the brothers to Damascus I was on my way going to bring also those there being bound to Jerusalem in order that they may be punished.
6 Ilitokea kwamba pale nilipokua nikisafiri nakaribia Dameski, majira ya mchana ghafla nuru kuu ikatokea mbinguni ikaanza kuniangaza.
It happened however to me journeying and drawing near to Damascus about noon suddenly out of heaven shining a light great around me myself;
7 Nikaanguka chini na kusikia sauti ikiniambia, 'Sauli, Sauli kwanini unaniudhi?'
I fell then to the ground and heard a voice saying to me; Saul Saul, why Me persecute you?
8 Nikajibu, 'wewe ni nani, Bwana?' Akaniambia, 'Mini ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.'
I myself then answered; Who are You Lord? He said then to me; I myself am Jesus of Nazareth whom you yourself are persecuting.
9 Wale waliokuwa na mimi waliiona nuru, ila hawakusikia sauti ya yule alie ongea na mimi.
Those then with me myself being the indeed light beheld (and terrified they were *K*) the however voice not did they hear the [One] speaking to me.
10 Nikasema, 'Nifanye nini, Bwana?' Bwana akaniambia, 'Simama na uingie Dameski; huko utaambiwa kila kitu unachopaswa kufanya.'
I said then; What shall I do Lord? And the Lord said to me; Having risen up do go to Damascus, and there and there you it will be told concerning all things that it has been appointed you to do.
11 Sikuweza kuona kwa sababu ya muangaza wa nuru ile, ndipo nikaenda Dameski kwa kuongozwa na mikono ya wale waliokuwa na mimi.
While now not I was seeing because of the brightness of the light that, being led by the hand by those being with me I came to Damascus.
12 Huko nikakutana na mtu aitwaye Anania, alikuwa mtu aliyeshika sheria na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote walioishi huko.
Ananias then certain, a man (devout *N(k)O*) according to the law, borne witness to by all the dwelling [there] Jews,
13 Akaja kwangu, akasimama mbele yangu, na kusema, 'Ndugu yangu Sauli, upate kuona.'Kwa muda ule ule nikamuona.
having come to me and having stood by [me] he said to me; Saul brother, do receive sight. And I myself And I myself on the same hour looked up at him.
14 Akasema, 'Mungu wa baba zetu amekuchagua wewe upate kujua mapenzi yake, kumuona yule mwenyehaki, na kusikia sauti itokayo kwenye kinywa chake.
And he said; The God of the fathers of us has appointed you to know the will of Him and to see the Righteous One and to hear [the] voice out of the mouth of Him;
15 Kwa sababu utakuwa shahidi kwake kwa watu wote juu ya uliyoyaona na kusikia.
For you will be a witness for Him to all men of what you have seen and heard.
16 Basi sasa kwa nini unasubiri? Amka, ubatizwe, ukaoshe dhambi zako, ukiliita jina lake.'
And now why delay you? Having arisen do yourself be baptized and do yourself wash away the sins of you calling on the name (of Him. *N(K)O*)
17 Baada ya kurejea Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali ndani ya hekalu, ikatokea kwamba nikapewa maono.
It happened then to me having returned to Jerusalem and praying by me in the temple falling I into a trance
18 Nikamuona akiniambia, 'Hima na utoke Yerusalemu haraka, kwa sababu hawatakubali ushuhuda wako kuhusu mimi.'
and seeing Him saying to me; do make haste and do go away with speed out of Jerusalem, because not they will receive your (*k*) testimony about Me.
19 Nikasema, 'Bwana, wao wenyewe wanajua niliwafunga gerezani na kuwapiga wale waliokuamini katika kila sinagogi.
And I myself And I myself said; Lord, they themselves know that I myself was imprisoning and beating in each of those synagogues those believing on You;
20 Na damu ya Stefano shahidi wako ilipomwagwa, Mimi pia nilikuwa nimesimama karibu na kukubali na nilikuwa nalinda nguo za wale waliomwua.'
And when was poured out the blood of Stephen the witness of You, also I myself was already standing by and consenting (to the killing of him *K*) and watching over the garments of those executing him.
21 Lakini aliniambia, 'Enenda, kwa sababu mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa mataifa.”'
And He said to me; do go, for I myself to [the] Gentiles far away will send you.
22 Watu wakamruhusu aongee juu ya neno hili. Lakini baadaye walipaza sauti na kusema, “mwondoe mtu huyu katika nchi: kwa sababu sio sahihi aishi.”
They were listening now to him until this word and they lifted up the voice of them saying; Away from the earth [with] such; Not for (it was proper *N(k)O*) [for] him to live!
23 Walipokuwa wakipaza sauti, na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu,
(While shouting out *NK(o)*) (then *N(k)O*) they and casting off the garments and dust throwing into the air
24 jemedari mkuu akaamuru Paulo aletwe ngomeni. Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi, ili yeye mwenyewe ajue kwa nini walikuwa wanampigia kelele namna ile.
Ordered the commander (to be brought in *N(k)O*) him into the barracks having directed by flogging to be examined him, so that he may know for what cause like this they were crying out against him.
25 Hata walipokuwa wamemfunga kwa kamba, Paulo akamwambia yule akida aliye simama karibu naye, “Je! ni haki kwenu kumpiga mtu aliye Mrumi na bado hajahukumiwa?”
As however (they stretched forward *N(k)O*) him with the straps, said to the already standing by centurion Paul; If a man a Roman and uncondemned it is lawful to you to flog?
26 Yule akida aliposikia maneno haya, akaenda kwa jemedari mkuu na kumwambia, akisema, “Unataka kufanya nini? Kwa maana mtu huyu ni mrumi.”
Having heard then the centurion having gone to the commander he reported [it] saying; (do you see *K*) what are you going to do? for man this a Roman is.
27 Jemedari mkuu akaja na kumwambia, “Niambie, je wewe ni raia wa Rumi?” Paulo akasema, “Ndiyo.”
Having come near then the commander said to him; do tell me, (if *k*) you yourself a Roman are? And he was saying; Yes.
28 Jemedari akamjibu, “Ni kupitia kiasi kikubwa cha pesa ndipo nilipata uraia.” Lakini Paulo akamwambia, “Mimi ni mrumi wa kuzaliwa.”
Answered (then *N(k)O*) the commander; I myself with a great sum citizenship this bought. But Paul was saying; I myself however even has been born [so].
29 Basi wale waliokuwa tayari kwenda kumuuliza wakaondoka na kumwacha wakati huo huo. Na jemedari naye akaogopa, alipojua kuwa Paulo ni Mrumi, na kwa sababu amemfunga.
Immediately therefore departed from him those being about him to examine. and the commander also was afraid having ascertained that a Roman he is and because him he had having bound.
30 Siku iliyofuatayo, jemedari mkuu alitaka kujua ukweli kuhusu mashtaka ya Wayahudi dhidi ya Paulo. Hivyo akamfungua vifungo vyake akaamuru wakuu wa makuhani na baraza lote wakutane. Akamleta Paulo chini, na kumweka katikati yao.
On the now next day desiring to know for certain why he is accused (by *N(k)O*) the Jews, he unbound him (from the chains *K*) and commanded (to assemble *N(k)O*) the chief priests and (all *N(k)O*) the council (of them, *k*) And having brought down Paul he set [him] among them.

< Matendo 22 >