< Matendo 20 >

1 Baada ya ghasia kumalizika, Paulo aliwaita wanafunzi na kuwatia moyo. Kisha kuwaaga na akaondoka kwenda Makedonia.
Když se rozruch utišil, svolal Pavel shromáždění, povzbuzoval efezské křesťany a zároveň se s nimi loučil; rozhodl se totiž pokračovat ve své misijní cestě.
2 Naye akiishakupita mikoa hiyo na alikuwa akiwatia moyo waamuni, akaingia Uyunani.
Vydal se do Makedonie a Řecka a cestou dodával skupinám křesťanů odvahu a naději.
3 Baada ya yeye kuwa pale kwa muda wa miezi mitatu, njama ziliundwa dhidi yake na Wayahudi alipokuwa akikaribia kusafiri kwa njia ya bahari kuelekea Shamu, hivyo aliazimu kurudi kupitia Makedonia.
V Řecku se zdržel čtvrt roku a potom chtěl odplout zpátky, přímo do Sýrie. Dozvěděl se však, že židé hlídají přístavy a chtějí se ho zmocnit, a tak se rozhodl pro zpáteční cestu zase přes Makedonii.
4 Walioandamana naye hadi Asia walikuwa Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea; Aristariko na Sekundo, wote kutoka waamini wa Wathesalonike; Gayo wa Derbe; Timotheo; Tikiko na Trofimo kutoka Asia.
Někteří z Pavlových spolupracovníků se přeplavili napřed do Troady a čekali tam na nás. Byli to Sopatros z Beroje, Aristarchos a Sekundus z Tesaloniky, Gájus a Timoteus z Derbe, Tychikos a Trofimos ze západní Malé Asie.
5 Lakini watu hawa wamekwisha tangulia na walikuwa wanatungojea kule Troa.
6 kwa njia ya Bahari kutoka Filipi baada ya siku za mikate isiyotiwa chachu, na katika siku tano tukawafikia huko Troa. Tulikaa huko kwa siku saba.
My s Pavlem jsme nasedli ve Filipách po Velikonocích na loď a po pěti dnech jsme se s nimi sešli v Troadě, kde jsme se zdrželi týden.
7 Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekusanyika pamoja ili kuumega mkate, Paulo alizungumza na Waamini. Alikuwa akipanga kuondoka kesho yake, hivyo akaendelea kuongea hadi usiku wa manane.
V neděli večer se tamní sbor sešel ke svaté večeři Páně. Pavel kázal, a protože to bylo slovo na rozloučenou, mluvil až do půlnoci.
8 Kulikuwa na taa nyingi katika chumba cha juu ambapo tulikuwa tumekusanyika pamoja.
V místnosti hořelo mnoho lamp a byla plná lidí, takže tam bylo horko. Mládenci se proto posadili do oken.
9 Katika dirisha alikuwa amekaa kijana mmoja jina lake Utiko, ambaye alielemewa na usingizi mzito. Hata Paulo alipokuwa akihutubu kwa muda mrefu, kijana huyu, akiwa amelala, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu na aliokotwa akiwa amekufa.
Jak se shromáždění protáhlo, jeden z nich, Eutychos, usnul a vypadl z třetího poschodí na dvůr. Běželi k němu, ale ležel tam mrtev.
10 Lakini Paulo alishuka chini, alijinyoosha yeye mwenyewe juu yake, akamkumbatia. Kisha akasema, “Msikate tamaa, kwa kuwa yu hai.”
Pavel k němu poklekl, vzal ho do náruče a po chvíli řekl: „Nedělejte si starosti, žije.“
11 Kisha akapanda tena ghorofani na akaumega mkate, akala. Baada ya kuzungumza nao kwa muda mrefu hadi alfajiri, akaondoka.
Vrátili se nahoru a pokračovali ve večeři Páně. Pavel k nim mluvil celou noc a teprve za svítání se rozloučili.
12 Wakamleta yule kijana akiwa hai wakafarijika sana.
Eutycha přivedli zase zdravého a všichni z toho měli radost.
13 Sisi wenyewe tulitangulia mbele ya Paul kwa meli na tukaelekea Aso, ambapo sisi tulipanga kumchukua Paul huko. Hiki ndicho yeye mwenyewe alitaka kufanya, kwa sababu alipanga kwenda kupitia nchi kavu.
Pavel nás poslal lodí napřed do přístavu Assos, ale sám tam šel po souši.
14 Alipotufikia huko Aso, tukampakia kwenye Meli tukaenda Mitilene.
V Assu nastoupil k nám. Po přistání v Mityléně a po obeplutí ostrovů Chios a Samos jsme třetí den zakotvili v Milétu.
15 Kisha sisi tukatweka kutoka huko na siku ya pili tulifika upande wa pili wa kisiwa cha Kio. Siku iliyofuata, tukawasili kisiwa cha Samo, na kesho yake tukafika mji wa Mileto.
16 Kwa sababu Paulo alikuwa ameamua kusafiri kupitia Efeso, ili kwamba asitumie muda wowote katika Asia; kwa maana alikuwa na haraka ya kuwahi Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya Pentekoste, kama ingeliwezekana yeye kufanya hivyo.
Pavel se úmyslně vyhnul Efezu, protože se bál zdržení. Spěchal totiž, aby byl na svátek Letnic v Jeruzalémě.
17 Kutoka Mileto akatuma watu hadi Efeso na akawaita wazee wa Kanisa.
Pozval si však do Milétu představené efezského sboru
18 Walipofika kwake, akawaambia, ninyi wenyewe mwajua tangu siku ya kwanza nilipokanyaga hapa Asia, jinsi nilivyokuwa kwenu muda wote.
a řekl jim: „Jistě si pamatujete, že jsem po celý čas u vás sloužil Pánu se vší skromností, ale přesto s velikými obtížemi a úklady ze strany židů.
19 Nimemtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote na kwa machozi, na mateso yaliyonipata mimi kwa hila za Wayahudi.
20 Mwajua jinsi ambavyo sikujizuia kutangaza kwenu kitu chochote ambacho kilikuwa muhimu, na jinsi mimi nilivyowafundisha wazi wazi na pia kwenda nyumba kwa nyumba.
Neopomněl jsem nic, co jste měli slyšet, hlásal jsem to veřejně i v soukromých domech.
21 Mnajua jinsi mimi nilivyoendelea kuwaonya Wayahudi na Wayunani juu ya toba kwa Mungu na imani katika Bwana wetu Yesu.
Židům i pohanům jsem stejně zdůrazňoval, že musejí vyznat Bohu své hříchy a uvěřit v Ježíše Krista jako Pána nás všech.
22 Na sasa, angalieni, mimi, nikiwa ninamtii Roho Mtakatifu kuelekea Yerusalemu, nisiyajue mambo ambayo yatanitokea mimi huko,
Teď mne však Duch svatý posílá do Jeruzaléma a já nevím, co mne tam potká.
23 ila kwa kuwa Roho Mtakatifu hunishuhudia mimi katika kila mji na anasema kwamba minyororo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
V každém sboru, kde jsme se zastavili, mně bratři z Božího vnuknutí předpovídali, že mě tam čeká vězení a těžkosti.
24 Lakini mimi si kufikiria kwamba maisha yangu ni kwa njia yoyote ya thamani kwangu, ili niweze kumaliza mwendo wangu na huduma niliyopokea kutoka kwa Bwana Yesu, kuishuhudia injili ya neema ya Mungu.
Ale já si tolik nezakládám na životě. Jde mi především o to, abych doběhl závod až do konce a splnil úkol, který mi Pán Ježíš dal: být nositelem radostné zvěsti o Boží lásce.
25 Na sasa, tazama, najua kwamba wote, miongoni mwa wale nilioenda kuwahubiri Ufalme, hamtaniona uso tena.
Dnes naposled hovořím k vám, kterým jsem tolikrát mluvil o Božím království.
26 Kwa hiyo nawashuhudia leo hii, kwamba sina hatia kwa damu ya mtu yeyote.
Mohu říci, že mou vinou nikdo neztratí věčný život.
27 Kwa maana sikujizuia kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.
Všechno, co mi Bůh pro vás dal, jsem vyřídil.
28 Kwa hiyo iweni waangalifu juu yenu ninyi wenyewe, na juu ya kundi lolote ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi. Iweni waangalifu kulichunga kusanyiko la Bwana, ambalo alilinunua kwa damu yake mwenyewe.
Teď je na vás, abyste si dobře počínali a jako pastýři vedli stádo, které vám Duch svatý svěřil. Pamatujte, že Kristus za ně prolil svou krev!
29 Najua kwamba baada ya kuondoka kwangu, mbwa mwitu wakali wataingia kwenu, na wasilihurumie kundi.
Vím, že po mém odchodu se mezi vás vplíží jako draví vlci falešní učitelé a nadělají ve stádu škody.
30 Najua kwamba hata miongoni mwenu wenyewe baadhi ya watu watakuja na kusema mambo mapotovu, ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao.
Dokonce z vašeho vlastního středu povstanou lidé, kteří budou překrucovat pravdu a přetahovat lidi na svou stranu.
31 Kwa hiyo muwe macho. Kumbukeni kwamba kwa miaka mitatu sikuweza kuacha kuwafundisha kila mmoja wenu kwa machozi usiku na mchana.
Buďte na stráži a pamatujte, že po tři roky jsem ve dne v noci na každém osobně pracoval, i když to nebylo lehké.
32 Na sasa mimi nawakabidhi kwa Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliowekwa wakfu kwa Mungu.
Teď vás tedy poroučím Bohu a jeho milostivému slovu, které má sílu vás zdokonalovat a zajistit vám dědický podíl mezi jeho věrnými.
33 Sikutamani fedha, dhahabu, au mavazi.
Nikdy jsem od vás nežádal peníze ani oděv;
34 Mnajua ninyi wenyewe kwamba mikono hii imenipatia mahitaji yangu mwenyewe na mahitaji ya wale waliokuwa pamoja nami.
svýma rukama jsem si na všechno vydělával pro sebe i pro své pomocníky.
35 Katika mambo yote niliwapa mfano wa jinsi inavyopasa kuwasaidia wanyonge kwa kufanya kazi, na jinsi mnavyopaswa kukumbuka maneno ya Bwana Yesu, maneno ambayo yeye mwenyewe alisema: “Ni heri kutoa kuliko kupokea.”
Snažil jsem se dát vám příklad: vaší povinností je ujímat se slabých a pracovat pro ně. Vždycky mějte na paměti slova Pána Ježíše: Větší radost je dávat než dostávat!“
36 Baada ya kusema namna hii, alipiga magoti akaomba pamoja nao.
Po těch slovech s nimi poklekl a modlil se.
37 Wote wakalia sana na kumwangukia Paulo shingoni na kumbusu.
Loučení se neobešlo bez slz a bylo mnoho objímání a bratrských polibků.
38 Walihuzunika zaidi ya yote kwa sababu ya kile ambacho alikuwa amesema, kwamba kamwe hawatauona uso wake tena. Kisha wakamsindikiza merikebuni.
Nejvíce je zarmoutilo, že by se už neměli s Pavlem vidět. Nakonec ho doprovodili až k lodi.

< Matendo 20 >