< Matendo 2 >

1 Ilipofika siku ya Pentekoste, wote walikuwa pamoja sehemu moja.
In ko je popolnoma prišel Binkoštni dan, so bili vsi soglasni na enem kraju.
2 Ghafla ikatokea muungurumo kutoka mbinguni kama upepo mkali. ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
In nenadoma je prišel z neba šum kakor besneč mogočen veter ter napolnil vso hišo, kjer so sedeli.
3 Hapo zikawatokea ndimi, kama ndimi za moto zimegawanyika, zikawa juu yao kila mmoja wao.
In prikazali so se jim razcepljeni jeziki, podobni ognjenim ter sedli na vsakogar izmed njih.
4 Wao wote wakajazwa na Roho Mtakatifu na wakaanza kusema kwa lugha zingine, kama vile Roho alivyowajalia kusema.
In vsi so bili izpolnjeni s Svetim Duhom in začeli so govoriti z drugimi jeziki, kakor jim je Duh dajal izgovarjati.
5 Sasa walikuwapo wayahudi waliokuwa wanaishi Yerusalemu, wacha Mungu, kutoka kila taifa chini ya mbingu.
V Jeruzalemu pa so prebivali Judje, predani možje, iz vsakega naroda pod nebom.
6 Ngurumo hizi ziliposikiwa, kundi la watu likaja pamoja na wakiwa na wasiwasi kwa sababu kila mtu aliwasikia wakiongea kwa lugha yake mwenyewe.
Torej, ko se je to razglasilo naokoli, so prišle skupaj množice in bili so zbegani, zato ker jih je vsakdo slišal govoriti v svojem lastnem jeziku.
7 waliduwaa na kushangazwa, wao walisema, “Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
In vsi so bili osupli ter se čudili in drug drugemu govorili: »Glejte, ali niso vsi ti, ki govorijo, Galilejci?
8 Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo?
In kako mi vsakega človeka slišimo v svojem lastnem jeziku, kjer smo bili rojeni?
9 Waparthia na Wamedi na Waelamu, na hao waishio Mesopotamia, Uyahudi, na Kapadokia, na katika Ponto na Asia,
Parti in Medijci in Elámci in prebivalci v Mezopotamiji in v Judeji in Kapadokiji, v Pontu in Aziji,
10 katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ya Libya hata Kirene, na wageni kutoka Rumi,
Frigiji in Pamfiliji, v Egiptu in v libijskih krajih okoli Cirene in tujci iz Rima, Judje in spreobrnjenci,
11 Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunawasikia wakizungumza katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza wa Mungu.”
Krečani in Arabci, mi jih v svojih jezikih slišimo govoriti čudovita Božja dela.«
12 Wote walikuwa wameduwaa na kutatanishwa; walisemezana wao kwa wao, “Hii ina maana gani?”
In vsi so bili osupli in bili so v dvomu, govoreč drug drugemu: »Kaj to pomeni?«
13 Lakini wengine walidhihaki wakisema, “Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya.”
Drugi so zasmehljivo rekli: »Ti ljudje so polni novega vina.«
14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti, akawaambia, “Watu wa Yudea na wote mnaoishi hapa Yerusalemu, hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
Vendar je Peter, ko je javno nastopil z enajsterimi, povzdignil svoj glas in jim rekel: »Vi ljudje iz Judeje in vsi vi, ki prebivate v Jeruzalemu, to vam bodi znano in prisluhnite mojim besedam,
15 Watu hawa hawajalewa kama mnavyodhani, sababu saa hizi ni asubuhi saa tatu.
kajti ti niso pijani, kakor vi mislite, glede na to, da je šele tretja dnevna ura.
16 Lakini hili lilikuwa limesemwa kupitia kwa nabii Yoeli:
Ampak to je to, kar je bilo rečeno po preroku Joélu:
17 Itakuwa katika siku za mwisho; Mungu asema, nitamwaga Roho wangu kwa watu wote. Wana wenu na binti zenu watatoa unabii, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
›In zgodilo se bo v poslednjih dneh, govori Bog: ›Izlil bom od svojega Duha na vse meso, in vaši sinovi in vaše hčere bodo prerokovali in vaši mladeniči bodo videli videnja in vaši starci bodo sanjali sanje;
18 Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
in na svoje služabnike in na svoje pomočnice bom v tistih dneh izlil od svojega Duha in bodo prerokovali;
19 Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.
in pokazal bom čudeže zgoraj na nebu in znamenja spodaj na zemlji: kri in ogenj in dimne meglice;
20 Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana.
sonce se bo spremenilo v temo in luna v kri, preden pride ta veliki in opazni dan Gospodovega prihoda.
21 itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'
In zgodilo se bo, da kdorkoli se bo skliceval na Gospodovo ime, bo rešen.‹‹
22 Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara ambazo Mungu kupitia Yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua-
Vi, možje Izraelci, prisluhnite tem besedam. Jezus Nazarečan, mož med vami, po čudežnih močeh, čudežih in znamenjih potrjen od Boga, ki jih je Bog po njem storil v sredi med vami, kakor tudi vi sami veste;
23 Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu, alitolewa, na ninyi, kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua,
njega, ki je bil izročen po določeni nameri in vnaprejšnjem védenju Boga, ste vi prijeli in po zlobnih rokah križali ter umorili,
24 ambaye Mungu alimwinua, akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
ki ga je Bog dvignil in odvezal bolečin smrti; ker ni bilo mogoče, da bi ga ta zadržala.
25 Hivyo Daudi anasema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa.
Kajti David glede njega govori: ›Vedno sem slutil Gospoda pred svojim obrazom, kajti on je na moji desnici, da ne bi bil omajan.
26 Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika ujasiri.
Zato se je moje srce veselilo in moj jezik je bil vesel; poleg tega bo tudi moje meso počivalo v upanju,
27 Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
ker moje duše nočeš pustiti v peklu niti nočeš trpeti, da bi tvoj Sveti videl trohnenje. (Hadēs g86)
28 Wewe umedhihirisha kwangu njia za uzima; utanifanya nijae furaha mbele ya uso wako.'
Spoznati si mi dal poti življenja; s svojim obličjem me boš napravil polnega radosti.‹
29 Ndugu, ninaweza kuzungumza kwenu kwa ujasiri kuhusu baba yetu Daudi: yeye alikufa na akazikwa, na kaburi lake liko pamoja nasi hata hivi leo.
Možje in bratje, naj vam odkrito spregovorim o očaku Davidu, da je tako mrtev kakor pokopan in njegov mavzolej je med nami do današnjega dne.
30 Hivyo, alikuwa nabii na alijua kuwa Mungu alishaapa kwa kiapo kwake, kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi.
Ker je bil torej prerok in je vedel, da mu je Bog prisegel s prisego, da bo od sadu njegovih ledij, glede na meso, vzdignil Kristusa, da sedi na njegovem prestolu;
31 Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
in ker je to videl vnaprej, je govoril o Kristusovem vstajenju, da njegova duša ni ostala v peklu niti njegovo meso ni videlo trohnenja. (Hadēs g86)
32 Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi.
Tega Jezusa je Bog vzdignil, o čemer smo mi vsi priče.
33 Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.
Torej je bil z Božjo desnico povišan in je od Očeta prejel obljubo Svetega Duha, ki ga je razlil, kakor sedaj vidite in slišite.
34 Kwani Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, 'BWANA alisema kwa Bwana wangu,
Kajti David ni dvignjen v nebesa, toda on sam pravi: › Gospod je rekel mojemu Gospodu: ›Sedi na mojo desnico,
35 “keti mkono wangu wa kulia, mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako.
dokler ne naredim tvojih sovražnikov [za] tvojo pručko.‹‹
36 Kwa hiyo nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu amemfanya Yeye kuwa Bwana na Kristo, huyu Yesu ambaye mlimsulibisha.”
Zato naj vsa Izraelova hiša brez dvoma ve, da je Bog tega istega Jezusa, ki ste ga vi križali, naredil tako Gospoda kakor Kristusa.«
37 Sasa waliposikia hivyo, wakachomwa katika mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, “Ndugu, tufanyeje?”
Torej ko so to slišali, so bili v svojem srcu spodbujeni ter rekli Petru in ostalim apostolom: »Možje in bratje, kaj naj storimo?«
38 Na Petro akawaambia, “Tubuni na Mbatizwe, kila mmoja wenu, katika jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zenu, na mtapokea zawadi ya Roho Mtakatifu.
Potem jim je Peter rekel: »Pokesajte se in vsak izmed vas naj bo krščen v imenu Jezusa Kristusa v odpuščanje grehov in prejeli boste dar Svetega Duha.
39 Kwani kwenu ni ahadi na kwa watoto wenu na kwa wale wote walioko mbali, watu wengi kwa kadri Bwana Mungu wetu atakavyowaita.”
Kajti obljuba je dana vam in vašim otrokom in vsem, ki so daleč stran, celó tolikim, kolikor jih bo poklical Gospod, naš Bog.«
40 Kwa maneno mengi alishuhudia na kuwasihi; alisema, “Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu.”
In z mnogimi drugimi besedami je pričeval ter spodbujal, rekoč: »Rešite se iz tega sprijenega rodu.«
41 Ndipo wakayapokea maneno yake na wakabatizwa, hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama nafsi elfu tatu.
Potem so bili tisti, ki so z veseljem sprejeli njegovo besedo, krščeni in istega dne se jim je dodalo okoli tri tisoč duš.
42 Wakaendelea katika mafundisho ya mitume na ushirikiano, katika kuumega mkate na katika maombi.
In neomajno so nadaljevali v apostolskem nauku in družbi in v lomljenju kruha ter v molitvah.
43 Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume.
In strah je prišel nad vsako dušo; in po apostolih je bilo storjenih mnogo čudežev in znamenj.
44 Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja,
In vsi, ki so verovali, so bili skupaj in vse stvari so imeli skupne;
45 na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
in prodajali so svoje posesti ter dobrine in jih delili vsem ljudem, kolikor je vsak potreboval.
46 Hivyo siku baada ya siku waliendelea wakiwa na lengo moja katika hekalu, na walimega mkate kwenye kaya, na walishiriki chakula kwa furaha na unyenyekevu wa moyo;
In vsak dan so soglasno nadaljevali v templju in od hiše do hiše lomili kruh [in] z veseljem in iskrenim srcem jedli svojo hrano,
47 walimsifu Mungu na wakiwa na kibali na watu wote. Bwana aliwaongeza siku kwa siku ambao walikuwa wakiokolewa.
ter slavili Boga in imeli naklonjenost pri vseh ljudeh. Gospod pa je k cerkvi dnevno dodajal takšne, ki naj bi bili rešeni.

< Matendo 2 >