< Matendo 2 >
1 Ilipofika siku ya Pentekoste, wote walikuwa pamoja sehemu moja.
Ligono la Pentekoste palahikili vamsadika voha vakonganiki pandu pamonga.
2 Ghafla ikatokea muungurumo kutoka mbinguni kama upepo mkali. ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
Chighafula, lwami lukayuwanika kuhuma kunani ngati chimbungululu chivaha, chikamema nyumba yoha yevatamili.
3 Hapo zikawatokea ndimi, kama ndimi za moto zimegawanyika, zikawa juu yao kila mmoja wao.
Kangi, vikahumila vindu vyevyawonikini ngati lulimi lwa motu, lukalekengana na kutula panani ya kila mmonga wavi.
4 Wao wote wakajazwa na Roho Mtakatifu na wakaanza kusema kwa lugha zingine, kama vile Roho alivyowajalia kusema.
Voha vakamemeswa Mpungu Msopi na kutumbula kujova luga ndalindali ngati Mpungu cheavahotwisi.
5 Sasa walikuwapo wayahudi waliokuwa wanaishi Yerusalemu, wacha Mungu, kutoka kila taifa chini ya mbingu.
Na ku Yelusalemu kwavi na Vayawudi, vandu vevakumtopesa Chapanga vevahumila kila likabila pamulima.
6 Ngurumo hizi ziliposikiwa, kundi la watu likaja pamoja na wakiwa na wasiwasi kwa sababu kila mtu aliwasikia wakiongea kwa lugha yake mwenyewe.
Pevayuwini lwami lula, msambi uvaha wa vandu ukakonganeka. Voha vakakenyemuka neju muni kila mmonga wavi avayuwini vandu vala vijova kwa luga yaki mwene.
7 waliduwaa na kushangazwa, wao walisema, “Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
Vakavya na chinamtiti na kukangasa vakajova, “Wu, ava vetikuvayuwana, lepi vakolonjinji va ku Galilaya!
8 Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo?
Hinu, yivi wuli, tete kuvayuwana kila mmonga ijova kwa luga yaki mwene?
9 Waparthia na Wamedi na Waelamu, na hao waishio Mesopotamia, Uyahudi, na Kapadokia, na katika Ponto na Asia,
Pagati yitu vavi vandu kuhuma ku Paliti vangi ku Medi na vangi ku Elami na vangi vakolonjinji va Mesopotamia na Yudea na Kapodokia na Ponto na Asia,
10 katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ya Libya hata Kirene, na wageni kutoka Rumi,
Flugia na Pamfulia na Misili na vangi kuhuma Libiya papipi na Kulene na vangi vitu ndi vayehe kuhuma ku Loma,
11 Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunawasikia wakizungumza katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza wa Mungu.”
Vayawudi na vangalikuvya Vayawudi, nambu vilanda njila ya kumuyupa Chapanga ya Vayawudi, vangi vahumili ku Kilete na Alabia. Tavete tikuvayuwana vijova kwa luga zitu ndi matendu gakulu ga Chapanga.”
12 Wote walikuwa wameduwaa na kutatanishwa; walisemezana wao kwa wao, “Hii ina maana gani?”
Voha vakakangasa na kuvagaya kuni vikotana, “Yeniyi mana yaki kiki?”
13 Lakini wengine walidhihaki wakisema, “Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya.”
Nambu vangi vakavavevesa vakajova, “Vandu ava vagalili ugimbi!”
14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti, akawaambia, “Watu wa Yudea na wote mnaoishi hapa Yerusalemu, hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
Kangi Petili akayima pamonga na vamitumi kumi na mmonga vala akatumbula kuvakokosela vandu. Valongo Vayawudi na mwavoha nyenye mwemwitama ku Yelusalemu, myuwanila malovi gangu.
15 Watu hawa hawajalewa kama mnavyodhani, sababu saa hizi ni asubuhi saa tatu.
Lepi chemwihololela vandu ava vagalili muni ndi saa yidatu ya lukela.
16 Lakini hili lilikuwa limesemwa kupitia kwa nabii Yoeli:
Nambu lijambu lenili ndi chakaka lelalongaliki na Yoeli mweavili mlota wa Chapanga.
17 Itakuwa katika siku za mwisho; Mungu asema, nitamwaga Roho wangu kwa watu wote. Wana wenu na binti zenu watatoa unabii, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
Bambu ijova, mumagono gala gamwishu, nikuvamemesa Mpungu wangu vandu voha, vana vinu vagosi na vadala yati vilota ulota wa Chapanga, vasongolo vinu yati vilola maono, na vagogo vinu yati vilota munjozi.
18 Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
Ena, hati vatumisi vangu, voha vagosi na vadala, yati nikuvapela Mpungu wangu navene yati vilotela.
19 Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.
Yati nikita gachinamtiti kunani, na kukita milangisu pahi pamulima. Yati kwiva na ngasi, motu na lyohi litopanu.
20 Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana.
Lilanga yati ligubikwa na chitita, na mwehi walavya mdung'u ngati ngasi, kwakona kuhumila ligono likulu la ukulu wa Bambu.
21 itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'
Mewawa mundu yoyoha mweiyupa kwa liina la Bambu yati isanguliwa.
22 Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara ambazo Mungu kupitia Yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua-
“Vandu va Isilaeli myuwanila! Yesu wa ku Nazaleti avi mundu, uhotola waki wa uchapanga walangisi kwinu kwa gachinamtiti na makangaso na milangisu. Chapanga yeahengili kwa nyenye kwa njila yaki, ngati mwavene chemwimanya.
23 Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu, alitolewa, na ninyi, kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua,
Ndava ya mpangu waki mwene Chapanga, amali kuhamula kuvya Yesu agotolewa kwa nyenye, na mwavene mwamkomili kwa kuvaleka vandu vahakau vamkoma na kumvamba mu msalaba.
24 ambaye Mungu alimwinua, akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
Nambu Chapanga amyukisi kuhuma kwa vevafwili, amsangwili kuhuma mu mvinisu wa lifwa, ndava muni yihotoleka lepi lifwa limkunga.
25 Hivyo Daudi anasema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa.
Muni Daudi ajovili aga kumvala mwene, ‘Namuwene Bambu palongolo yangu lukumbi lwoha, avi pamonga na nene upandi wa kulyelela, hati ninyugusika lepi.
26 Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika ujasiri.
Ndi muni mtima wangu waganisiwi, na kululuta kwa luheku. Hati higa yangu, yati yitama kwa kuhuvalila,
27 Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs )
Ndava nakuuleka mpungu wangu kulitinda, wala kumlekekesa Msopi waku awola. (Hadēs )
28 Wewe umedhihirisha kwangu njia za uzima; utanifanya nijae furaha mbele ya uso wako.'
Unilangisi njila za wumi, ndava ya kuvya kwaku unimemisi luheku.’”
29 Ndugu, ninaweza kuzungumza kwenu kwa ujasiri kuhusu baba yetu Daudi: yeye alikufa na akazikwa, na kaburi lake liko pamoja nasi hata hivi leo.
“Valongo vangu, nigana kuvajovela hotohoto kumvala mambu gegampatili gogo witu Daudi. Mwene afwili na kuzikiwa na litinda laki livii kwitu mbaka lelu.
30 Hivyo, alikuwa nabii na alijua kuwa Mungu alishaapa kwa kiapo kwake, kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi.
Nambu Daudi ndava avili mlota wa Chapanga amanyili kuvya Chapanga amlapakisi kwa lilaganu yati akumhagula mmonga wa chiveleku waki kuvya nkosi pahali paki.
31 Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs )
Daudi agaweni kwakona mambu aga gegihengeka na Chapanga, hinu akajova ndava ya kuyuka kwa Kilisitu, lukumbi peajovili, ‘Nakulekewa mu litinda la mbugu, higa yaki yawoli lepi.’ (Hadēs )
32 Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi.
Chapanga amyukisi Yesu na tavoha tete ndi vetijova ndava ya lijambu lenilo.
33 Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.
Yesu peamali kukweswa na kuvikwa upandi wa kulyelela wa Chapanga ndi akapokela kuhuma kwa Dadi, Mpungu Msopi yula mweatiahidi, atimemimisi Mpungu wene. Chenicho ndi chetikuchiwona hinu na kuyuwana.
34 Kwani Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, 'BWANA alisema kwa Bwana wangu,
Muni Daudi nakukwela mbaka kunani kwa Chapanga, muni ngamwene ajovili, ‘Bambu amjovili Bambu wangu, tama upandi wangu wa kulyela,
35 “keti mkono wangu wa kulia, mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako.
mbaka penikuvavika makoko gaku kuvya chigoda cha kuvikila magendelu gaku.’”
36 Kwa hiyo nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu amemfanya Yeye kuwa Bwana na Kristo, huyu Yesu ambaye mlimsulibisha.”
“Vandu voha va Isilaeli viganikiwa kumanya kwa uchakaka kuvya Yesu mwenuyo mwevamkomili na kumvamba mu msalaba, ndi Chapanga amviki kuvya Bambu na Kilisitu.”
37 Sasa waliposikia hivyo, wakachomwa katika mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, “Ndugu, tufanyeje?”
Hinu, vandu pavagayuwini genago, mitima yawavinili, vakavakota Petili na pamonga na vamitumi vayaki. “Valongo vitu tikita wuli?”
38 Na Petro akawaambia, “Tubuni na Mbatizwe, kila mmoja wenu, katika jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zenu, na mtapokea zawadi ya Roho Mtakatifu.
Petili akavayangula, “Mumuwuyila Chapanga na kila mmonga winu abatiziwa kwa liina la Yesu Kilisitu, muni mulekekesewayi kubumdila Chapanga na kupokela njombi yila ya Mpungu Msopi.
39 Kwani kwenu ni ahadi na kwa watoto wenu na kwa wale wote walioko mbali, watu wengi kwa kadri Bwana Mungu wetu atakavyowaita.”
Muni lilaganu lila lavi ndava yinu na ndava ya vana vinu na ndava ya voha vevitama kutali ndava ya kila mundu mweikemiwa na Bambu Chapanga witu.”
40 Kwa maneno mengi alishuhudia na kuwasihi; alisema, “Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu.”
Kwa malovi gangi gamahele, Petili avajovili hotohoto vandu “Vajisangula na chiveleku ichi chihakau.”
41 Ndipo wakayapokea maneno yake na wakabatizwa, hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama nafsi elfu tatu.
Vamahele pagati yavi vagasadiki malovi ga Petili na kubatiziwa, na vandu vevayonjokisiki vavi ngati elufu zidatu ligono lenilo.
42 Wakaendelea katika mafundisho ya mitume na ushirikiano, katika kuumega mkate na katika maombi.
Venavo voha vayendalili kujiwula kuhuma kwa vamitumi na kutama pamonga cha lukolo, kulya pamonga na kumuyupa kwa Chapanga.
43 Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume.
Gachinamtiti na makangaso gamahele gahengiki munjila ya vamitumi hati kila mmonga akakangaswa.
44 Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja,
Vamsadika voha vayendalili kuvya chindu chimonga na vindu vyavi vatangatilanayi kwa pamonga.
45 na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
Vavi mukugulisa kila chindu pamonga na kangi kugavana mashonga kuwanangana ngati avi na la liganu la mmonga wavi.
46 Hivyo siku baada ya siku waliendelea wakiwa na lengo moja katika hekalu, na walimega mkate kwenye kaya, na walishiriki chakula kwa furaha na unyenyekevu wa moyo;
Kila ligono vayendalili kukonganeka pamonga Munyumba ya Chapanga. Mewa lukumbi lwa kulya vakonganiki pamonga munyumba zavi na vilya kwa luheku na mtima wa msopi.
47 walimsifu Mungu na wakiwa na kibali na watu wote. Bwana aliwaongeza siku kwa siku ambao walikuwa wakiokolewa.
Vakamulumbalila Chapanga, vakaganwa na vandu voha. Kila ligono Bambu akavayonjokesela mu msambi vandu vevasanguliwi.