< Matendo 2 >
1 Ilipofika siku ya Pentekoste, wote walikuwa pamoja sehemu moja.
Bho jhifikili ligono lya Pentekoste, bhoha bhajhele pamonga sehemu jhimonga.
2 Ghafla ikatokea muungurumo kutoka mbinguni kama upepo mkali. ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
Ghafla bwatokili muungurumo kuhomela kumbinguni kama mp'ongo n'kali.
3 Hapo zikawatokea ndimi, kama ndimi za moto zimegawanyika, zikawa juu yao kila mmoja wao.
Ukameme mu nyumba jhioha mwa bhatamili. Apo syabhatokili ndimi kama ndimi sya muoto sigabhwanyiki, sikajha panani pa bhene kwa khila mmonga.
4 Wao wote wakajazwa na Roho Mtakatifu na wakaanza kusema kwa lugha zingine, kama vile Roho alivyowajalia kusema.
Bhene bhoha bhakamemesibhwa ni Roho mtakatifu na bhakayanda kujobha kwa lugha s'enge, kama vile Roho mtakatifu kya abhajalili kujobha.
5 Sasa walikuwapo wayahudi waliokuwa wanaishi Yerusalemu, wacha Mungu, kutoka kila taifa chini ya mbingu.
Henu, bhahele bhayahudi bhabatameghe Yerusalemu, Bhacha K'yara kuhoma kila taifa pasi pa mbingu.
6 Ngurumo hizi ziliposikiwa, kundi la watu likaja pamoja na wakiwa na wasiwasi kwa sababu kila mtu aliwasikia wakiongea kwa lugha yake mwenyewe.
Ngurumo e'se bho sipelekibhu, likundi lya bhanu bhakahida pamonga ni bhakajha ni wasiwasi kwandabha khila munu abhapeliki bhilongela kwa kila munu ni lugha jha muene.
7 waliduwaa na kushangazwa, wao walisema, “Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
Bhaduele ni kusyangasibhwa, bhene bhajobhili, “Kweli abha bhoha bhilongela bha Galilaya lepi mbona?
8 Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo?
Kwa ndaya kiki tete tukabhap'heleka, kila mmonga ku lugha sya tuhogoliki nasu?
9 Waparthia na Wamedi na Waelamu, na hao waishio Mesopotamia, Uyahudi, na Kapadokia, na katika Ponto na Asia,
Bhapartia ni Bhamedi ni Bhaelamu, niabhu bhabitama Mesopotamia, Uyahudi, ni Kapodokia ni mu Ponto ni Asia,
10 katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ya Libya hata Kirene, na wageni kutoka Rumi,
ku Frigia, Pamfilia, ku Misri ni sehemu jha Libya hata Kerene, nibhahesya kuh'omelaRumi,
11 Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunawasikia wakizungumza katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza wa Mungu.”
Bhayahudi ni Bhaongofu Bhakrete ni Bhaarabu, tukabhap'eleka bhilongela kwa lugha sya tete kuhusu mbombo sya uweza bhwa K'yara.”
12 Wote walikuwa wameduwaa na kutatanishwa; walisemezana wao kwa wao, “Hii ina maana gani?”
Bhoha bhaduele ni kutatanisibhwa; bhajobhesene bhene kwa bhene, “Ejhe ijhe ni maana gani?”
13 Lakini wengine walidhihaki wakisema, “Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya.”
Lakini bhangi bhadhihakili bhakajobha, “Abha bhajasibhu kwa mvinyo mpya.”
14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti, akawaambia, “Watu wa Yudea na wote mnaoishi hapa Yerusalemu, hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
Lakini Petro akjhema pamonga ni bhala kumi na moja, akakwesya sauti, akajobha, “Bhanu bha Yudea na bhoha bha mwitema apa Yerusalemu, e'le limanyikanayi kwa muenga, mup'elekesiajhi kwa makini malobi gha nene.
15 Watu hawa hawajalewa kama mnavyodhani, sababu saa hizi ni asubuhi saa tatu.
Bhanu abha bhagalilepi kama kya mwidhanila kwa ndabha henu lukhela saa tatu
16 Lakini hili lilikuwa limesemwa kupitia kwa nabii Yoeli:
Lakini lyajhele limalikujobhibhwa kup'etela nabii Yoeli:
17 Itakuwa katika siku za mwisho; Mungu asema, nitamwaga Roho wangu kwa watu wote. Wana wenu na binti zenu watatoa unabii, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
Ibetakujha katika magono ghwa kumuishu, K'yara ijobha nibeta kujihitisya Roho bha jhoni kwa bhanu bhoha. Bhana bhinu ni bhali bhinu bhibeta kuhomesya unabii, Bhasoni golo bhibeta kulola maono, ni bhaseya bhinu bhibeta kulota ndoto.
18 Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
Felafela juu jha bhatumishi bhangu nibhatumishi bhangu bhadala katika magono aghu, nibeta kujhatisya Roho bha jhoni, na bhene bhibeta kutabiri.
19 Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.
Nibeta kulasya maajabu kunani ni ishara pasi pa duniani, damu, muoto, ni mafusho gha liosi.
20 Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana.
Nilijobha libeta kubadilisibhwa kujha ngisi ni mwesi kujha damu, kabla jhakuhida ligono libhaha ni lya ajabu jha Bwana.
21 itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'
Ibeta kujha kila mmonga ambajhe akalikuta lihina lya Bwana ibeta kuokoka.
22 Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara ambazo Mungu kupitia Yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua-
Bhanu bha Israeli, mup'elekayi malobhi agha. Yesu gha Nazareti mwanadamu jha athibitishibhu ni K'yara kwa muenga kwa matendo gha uweza ni maajabu, ni ishara ambasyo K'yara kup'etela muene katikati jha muenga, kama mwejhomu kya mumanyili.
23 Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu, alitolewa, na ninyi, kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua,
Kwa ndabha jha mpango ambajho ghwa kusudidibhu kuh'omela kubhuandu. Ni maarifa gha K'yara abhosibhu, ni muenga, kwa mabhobho gha bhanu bhahalifu, mwan'sulubishji ni kun'koma,
24 ambaye Mungu alimwinua, akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
ambajhe K'yara an'jhiuili, akaubhosya uchungu bhwa mauti kwa muene, kwa ndabha jhabhwesekene lepi kwa muene kumilikibhwa ni obhu.
25 Hivyo Daudi anasema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa.
Hivyo Daudi ijobha kuhusu muene, nana bwene Bwana daima mbele jha mihu ghanghu, muene ajhele kibhoko kyangu kya kulia hivyo basi nibetalepi kuhegelesibhwa.
26 Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika ujasiri.
Kwa hiyo muoyo bhwa nene bhwa hobhwiki ni lumilu lwa nene ghwafurahishibhu. Pia mbele bhwangu wibeta kuishi mu bhujasiri.
27 Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs )
Wibetalepi kujhileka nafsi jha nene jhilotayi kuzimu, wala wibetalepi kuruhusu mtakatifu ghwa jhobhi kulola uozo. (Hadēs )
28 Wewe umedhihirisha kwangu njia za uzima; utanifanya nijae furaha mbele ya uso wako.'
Bhebhe udhihirishi kwa nene jhele jha uzima; wibeta kunibhomba nijhela ni furaha pamihu pa jhobhi.
29 Ndugu, ninaweza kuzungumza kwenu kwa ujasiri kuhusu baba yetu Daudi: yeye alikufa na akazikwa, na kaburi lake liko pamoja nasi hata hivi leo.
Ndongo, nibhwesya kulongela kwa muenga kwa bhujasiri kuhusu dadi hitu Daudi: muene lijhele pamonga natu hadi lelu.
30 Hivyo, alikuwa nabii na alijua kuwa Mungu alishaapa kwa kiapo kwake, kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi.
Hivyo, ajhele nabii na amanyili kujha k'yara amalikupaa kwa kiapo kya muene, kwamba ibeta kubheka mmonga katika uzao bhwa muene pa kiti kya enzi.
31 Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs )
Alibhwene e'le manyata ni kujobha kuhusu ufufuo bhwa Kristu, wala alekibhulepi kuzimu, wala mbele ghwa muene ghwa bholi lepi. (Hadēs )
32 Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi.
Yesu Ojho - K'yara amfufuili ambajhe twebhoha mashahidi.
33 Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.
Henu bho ajhinulibhu ku kibhoko kya kuume kya K'yara ni kupokela ahadi jha Roho mtakatifu kuh'omela kwa Dad, muene amimi ni ahadi ejhe, ambajhe muenga mwilola ni kup'eleka.
34 Kwani Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, 'BWANA alisema kwa Bwana wangu,
Kwani Daudi apai lepi kulota kumbinguni, lakini ijobha, 'BWANA ajobhili kwa Bwana ghwa nene,
35 “keti mkono wangu wa kulia, mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako.
“tamayi kibhoko kyangu kya kulia, mpaka panibeta kubhabhomba maadui bha jhobhi kigoda kwa ndabha jha magolo gha jhobhi.
36 Kwa hiyo nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu amemfanya Yeye kuwa Bwana na Kristo, huyu Yesu ambaye mlimsulibisha.”
Kwa hiyo nyumba jhioha jha Israeli na imananyayi kwa hakika kwamba K'yara ambombili muene kujha Bwana ni Kristu, Ojho Yesu ambajhe mwan'sulubisi.”
37 Sasa waliposikia hivyo, wakachomwa katika mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, “Ndugu, tufanyeje?”
Henu bho bhap'eliki nahu, bhahomibhu mu miteema gha bhene bhakan'jobhela Petro ni mitume bhangi, “Ndongo, tuketabhuli?
38 Na Petro akawaambia, “Tubuni na Mbatizwe, kila mmoja wenu, katika jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zenu, na mtapokea zawadi ya Roho Mtakatifu.
Ni Petro atabhajobhela, “Mutubuayi na mubatisibhwayi, khila mmonga bhinu, kwa lihina lya Yesu Kristu kwa ndabha jha msamaha ghwa dhambi sya muenga na mwibeta kupokela zawadi jha Roho mtakatifu.
39 Kwani kwenu ni ahadi na kwa watoto wenu na kwa wale wote walioko mbali, watu wengi kwa kadri Bwana Mungu wetu atakavyowaita.”
kwani kwa jhomo ndo ahadi ni kwa bhana bhinu ni kwa bhala bhoha bhabhahe kutali, bhanu bhingi na kwa kadri Bwana K'yara ghwelu pa ibeta kubhakuta.”
40 Kwa maneno mengi alishuhudia na kuwasihi; alisema, “Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu.”
Kwa malobhi mingi ashuhudili ni kubhasihi ajobhili, “mwikiokolayi mbokayi mukizazi e'le kiovu.”
41 Ndipo wakayapokea maneno yake na wakabatizwa, hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama nafsi elfu tatu.
(ndipo bhakaghepokela malobhi gha muene ni kubatisibhwa, hapo bhakajhongeseka mu ligono e'le kama nafsi elfu tatu.
42 Wakaendelea katika mafundisho ya mitume na ushirikiano, katika kuumega mkate na katika maombi.
Bhakayendelela ni mafundisu gha mitume ni ushirikiano, katika kuumetula n'kate ni mu maombi.
43 Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume.
Hofu ikahida juu jha khila nafsi ni maajabu ghamehele ni ishara sikabhombibhwa kup'etela mitume.
44 Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja,
bhohe bhabhakyeri'ri pamonga ni kujha ni fenu fya bhene kwa pamonga,
45 na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
na bhahemelisi fenu ni miliki sya bhene ni kugabhwanya kwa bhoha kul'engana ni hitaji lya khila mmonga.
46 Hivyo siku baada ya siku waliendelea wakiwa na lengo moja katika hekalu, na walimega mkate kwenye kaya, na walishiriki chakula kwa furaha na unyenyekevu wa moyo;
Hivyo ligono baada jha ligono bhajhendilili bhakajha ni lengo limonga mu hekalu, na bhametuili n'kate mu kaya, na bhashirki kya kulya kwa furaha ni unyenyekevu bhwa miteema.
47 walimsifu Mungu na wakiwa na kibali na watu wote. Bwana aliwaongeza siku kwa siku ambao walikuwa wakiokolewa.
Bhan'sifili K'yara na bhajhele ni kibali ni bhanu bhoha. Bwana abhajhongisi ligono kwa ligono ambabho bhajhele bhiokoliwa.