< Matendo 2 >

1 Ilipofika siku ya Pentekoste, wote walikuwa pamoja sehemu moja.
Unu uwui Ufentacus wa eh vat uwe wa orno a hira inde.
2 Ghafla ikatokea muungurumo kutoka mbinguni kama upepo mkali. ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
Wa dusa wa kunna u gumurka u ire mu gusi ni pupur ni dusa ni myina a kura me sa cikini.
3 Hapo zikawatokea ndimi, kama ndimi za moto zimegawanyika, zikawa juu yao kila mmoja wao.
Are myiran kasi urah a harzina, atu, ani ceh ni konda avi anyimo a we me.
4 Wao wote wakajazwa na Roho Mtakatifu na wakaanza kusema kwa lugha zingine, kama vile Roho alivyowajalia kusema.
Wa myica in bibe bi riri vat uwe wa tunguno u boo a myiran me sa a harsi we ni.
5 Sasa walikuwapo wayahudi waliokuwa wanaishi Yerusalemu, wacha Mungu, kutoka kila taifa chini ya mbingu.
Ayimo urishlima are a yahudawa rani anu. tarsa Asere, ko da ba anyimo uneh.
6 Ngurumo hizi ziliposikiwa, kundi la watu likaja pamoja na wakiwa na wasiwasi kwa sababu kila mtu aliwasikia wakiongea kwa lugha yake mwenyewe.
Sa wa kunna ugumurka ugino me, vat nigoru na nu me orno ahira a inde barki wa ko a vi ma zin in tize in ni myiran nu me.
7 waliduwaa na kushangazwa, wao walisema, “Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
Imum me i cukuno we i bosa utize, wnagu,' kadura, na vat u weme sa wa zin tize ti geme da anu uGalatiya wani ba.
8 Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo?
Aneni ti kunna weh, konda vi ma boo nyiran na hira me sa ayo meni.
9 Waparthia na Wamedi na Waelamu, na hao waishio Mesopotamia, Uyahudi, na Kapadokia, na katika Ponto na Asia,
Haru be anu, ufaritiya, wan anu Elamawa nan anu Ubagadaza wan anu Uyahudiya, wan anu Fantus nan Asiya.
10 katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ya Libya hata Kirene, na wageni kutoka Rumi,
Nan anu Firijiya, wan anu Banfiliya, nan anu Nasar, nan adesa wa ra ati kira ti Kurane a mayanga mu Libiya, nan na genu sa wa suri Uroma, ma Yahudawa an de sa wa ribe ati Yahudanci.
11 Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunawasikia wakizungumza katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza wa Mungu.”
Makaritawa wan ma Larabawa vat ta kuna we wa zin unu boo abanga Asre inti lem ti ti pin turu.
12 Wote walikuwa wameduwaa na kutatanishwa; walisemezana wao kwa wao, “Hii ina maana gani?”
Vat uwe biyau ba mekibwe, wa gusi acece nyanini ya zige me.
13 Lakini wengine walidhihaki wakisema, “Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya.”
Aye wa wuzi ni basa wa gu,” wa sa ubere uni.
14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti, akawaambia, “Watu wa Yudea na wote mnaoishi hapa Yerusalemu, hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
Bitrus ma hiri ma tunno anu ukirau unu inde, ma nyeze ni myira, magu we,” Anu yahudiya nan a de sa wa ra a Urushalima, rusani imum igeme, rikani titui a tize tum.
15 Watu hawa hawajalewa kama mnavyodhani, sababu saa hizi ni asubuhi saa tatu.
Ana geme dawa sa ubere ba kasi u hira ushi me.
16 Lakini hili lilikuwa limesemwa kupitia kwa nabii Yoeli:
Imum be sa Yowel ma gu.
17 Itakuwa katika siku za mwisho; Mungu asema, nitamwaga Roho wangu kwa watu wote. Wana wenu na binti zenu watatoa unabii, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
Asere a gu, indi wuu bi be bi riri a nyimo anabu vat, ahana wan na ruma vat wadi buu tize tum, i nyani i shi me wadi iri imumu i ge sa wa mu ira ba, Cukoro wadi wuzi ti ro.
18 Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
A tiye ti geme indi wu we bi be biriri wadi buu imum sa i eze aje aru.
19 Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.
Indi bezi we imum idandang ya sesere wani ige sa ira adizi, maye, urah, matum wan mu cingo.
20 Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana.
Zuwui udi gamirka ucukuno Maree, Upeh uhana Maye, Uwui Ogomo Asere uku eh, uwui udang u gino me.
21 itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'
Abine ani koda avi madi wuzi biringara anyimo aniza na Asere unu bura uru.
22 Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara ambazo Mungu kupitia Yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua-
Anu Isaraila, kuna ni, Yesu unu Unazarat, de sa Asere a nya shi barki uhem ume, ahira imum idang wan imum i busa itize sa ma wuzi anyimo a shi me, kasi urusa ushi me.
23 Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu, alitolewa, na ninyi, kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua,
Yesu ugino me Aserea nya shi me unu rusa ume shi igankirka me utiti, a tari tanu zatu urusa Asere.
24 ambaye Mungu alimwinua, akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
De sa Asere a hirza me unu ui, ma sopi me iwono iginome, barki iwono ya bari i inta me ba.
25 Hivyo Daudi anasema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa.
Dauda magu, vat uganiya in hirsa Asere aje am, ma ra atari ti na ree tm barki kti in urno.
26 Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika ujasiri.
Barki ani me, iriba im izi pau, in zin ini riba i rum sarki i binani, in ra anyimo ani pum, indi wuzi ivai sarki ibinani.
27 Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
Barki mada hem in mi “iriba im iribe u ra ba, uda kuri hem iriba i we me iwici ba. (Hadēs g86)
28 Wewe umedhihirisha kwangu njia za uzima; utanifanya nijae furaha mbele ya uso wako.'
Wa be zum una iuai, udi kuri u wum i myinca ini riba irum a mu henu mu we me.
29 Ndugu, ninaweza kuzungumza kwenu kwa ujasiri kuhusu baba yetu Daudi: yeye alikufa na akazikwa, na kaburi lake liko pamoja nasi hata hivi leo.
Ni henu, in da ki in boo shi tize in riba ka inde an ce ni ucokoro uru Dauda, ma wi vat me, kani igeme icau imeme ira ahira aru.
30 Hivyo, alikuwa nabii na alijua kuwa Mungu alishaapa kwa kiapo kwake, kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi.
Barki ani me, mazi unu kurzizo utize ta Asere mani, Asere a toniko me, madi tari uye a nyimo ni kura nu meme ahira ti cukun ta Asere.
31 Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
Ma ira ma kuri mabuki abanga uhira u Yesu a nyimo iwono, agi madi ceki me anyimo ura ba,”ni pum nu meme ni da wicu ba. (Hadēs g86)
32 Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi.
Yesu ugeme, sa Asere a hirza me, unu rusa uru.
33 Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.
Barki sa a yeze me ma cukuno atari tina reh ta Asere, anyimo a bibe bi riri ahira aco, ma kwonko bi be biriri unu kunna ushime.
34 Kwani Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, 'BWANA alisema kwa Bwana wangu,
Da Dauda mani ma nyene Asere ba, ma eh inice nu mume ma gu,”Asere a gunna Asere am cukuno a tari tina reh tum.
35 “keti mkono wangu wa kulia, mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako.
Sede sa mapalki ana nu eru nu meme.
36 Kwa hiyo nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu amemfanya Yeye kuwa Bwana na Kristo, huyu Yesu ambaye mlimsulibisha.”
Barki ane ani ani, na vat akura Isaraila wa rusi Asere akurzo me ma cukuno Asere nan unu bura uru de sa ya gankirka me.
37 Sasa waliposikia hivyo, wakachomwa katika mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, “Ndugu, tufanyeje?”
Sa wa kunna imum igeme, tize me ti tumi we a muriba mu we me, wa gu Butrus wan nu kasu anu tarsa UYesu,”Ni henu nyanini tidi wuzi?
38 Na Petro akawaambia, “Tubuni na Mbatizwe, kila mmoja wenu, katika jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zenu, na mtapokea zawadi ya Roho Mtakatifu.
Bitrus ma gu we, kabirka ni tize ta Sere a zoro shi, koda avi a nyimo ni za ni Yesu unu ubura uru madi kwiji ma dini vat, idi kabi u nyanki ubi be biriri.
39 Kwani kwenu ni ahadi na kwa watoto wenu na kwa wale wote walioko mbali, watu wengi kwa kadri Bwana Mungu wetu atakavyowaita.”
Ubuka ugino me bark shewani, wan na ahana ashime, nan andesa wa zi pit, an desa Ogomo Asere aru ma titi we.
40 Kwa maneno mengi alishuhudia na kuwasihi; alisema, “Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu.”
Ma boo we tize gwardang, ma boo ma kingizini be mag” Bura ni ace ashime uneh uneh ubari ugeme.
41 Ndipo wakayapokea maneno yake na wakabatizwa, hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama nafsi elfu tatu.
Ba wa kabi tizeme, a zorowe wa kinki in na nu akura- kuri a taru.
42 Wakaendelea katika mafundisho ya mitume na ushirikiano, katika kuumega mkate na katika maombi.
Wa dusa wa ri ajenan anu tarsa uYesu wan anu dungara uni henu a nyimo a tanume, wan upusa ubiredi nan biringara.
43 Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume.
Biyau bi meki kodi ya unu, imumu i basa u tize gwardan anu tarsa u Yesu wa wuzi.
44 Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja,
Vat adesa wa hem wa zi ni gome wa kurinwa wuzi imumu inde me.
45 na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
Wa zi zizi ti runga tu we me, wa hari konda vi ikirfi me, i binani u nyara u konda avi.
46 Hivyo siku baada ya siku waliendelea wakiwa na lengo moja katika hekalu, na walimega mkate kwenye kaya, na walishiriki chakula kwa furaha na unyenyekevu wa moyo;
Kondi uya uwui wadi ha anyimo udenge Asere, wa pusi ubiredi ati kura ini riba i inde wa ri ini riba irum wanu toto iriba.
47 walimsifu Mungu na wakiwa na kibali na watu wote. Bwana aliwaongeza siku kwa siku ambao walikuwa wakiokolewa.
Wa nonzo Asere, wa kuri wa zin in mayee ma rum ahira anu. Asere a kinkiwe adesa a bura sa we a nyimo ni za ni Yesu kondi uya uwui.

< Matendo 2 >