< Matendo 19 >

1 Ikawa kwamba Apolo alipokuwa Korintho, Paulo akapita nyanda za juu na kufika katika mji wa Efeso, na akakuta wanafunzi kadhaa huko.
A ni ansau Apolus mi Korint, Paulus kotin kakan sili sap en pali poa kan, ap lele dong Episus wasa a diarada tounpadak kai.
2 Paulo akawaambia, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?” Wakamwambia, “Hapana, hatukuweza hata kusikia kuhusu Roho Mtakatifu.”
A kotin masani ong irail: Komail aleer Ngen saraui ni omail posonlar? Irail potoan ong i: Se sota man rong, me Ngen saraui mia.
3 Paul alisema, “Sasa ninyi mlibatizwaje?” Wakasema, “Katika ubatizo wa Yohana.
A ap kotin masani: A is, me komail paptais ong? Irail inda: Ong paptais en Ioanes.
4 Basi Paulo akajibu, “Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba. Akawaambia wale watu kwamba wanapaswa kumwamini yule ambaye angekuja baada yake, yaani, Yesu.”
Paulus masani: Ioanes paptais ki paptais en kalula, ni a masani ong aramas akan, me ren poson i me pan pwarado mur i, i Iesus.
5 Watu waliposikia habari hii, wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
Irail lao rongadar met, re ap paptais ong mar en Kaun Iesus.
6 Na ikawa Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao na wakaanza kunena kwa lugha na kutabiri.
Paulus lao kotin pwil po’rail lim a kan, Ngen saraui ap kotidi po’rail, irail ari lokaia ngil toror pasang o deideikop.
7 Jumla yao walikuwa wanaume wapatao kumi na wawili.
A ir ol oko me ekriamen.
8 Paulo alienda katika sinagogi akanena kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu. Alikuwa akiongoza majadiliano na kuwavuta watu kuhusu mambo yanayohusu ufalme wa Mungu.
I ari kotin purepure nan sinakoke o aima padapadak saunipong silu, kapakaparok o kawewedar meakan duen wein Kot.
9 Lakini Wayahudi wengine walikuwa wakaidi na wasiotii, walianza kusema mabaya kuhusu njia ya Kristo mbele ya umati. Basi Paulo aliachana nao na akawatenga waaminio mbali nao. Naye alianza kuongea kila siku katika ukumbi wa Tirano.
A akai lao kapitakailar, o so poson, o lokelokaia sued ong aramas akan duen lamalam, a ap saupei sang irail o katorela tounpadak kan, o padapadaki ong irail nan im en padak en Tiranus
10 Hii iliendelea kwa miaka miwili, kwa hiyo wote waliokuwa wanaishi katika Asia walisikia neno la Bwana, wote Wayahudi na Wayunani.
Mepukat wiauier saunpar riau; toun Asien karos ari rongada masan en Kaun o, men Sus o men Krik karos.
11 Mungu alikuwa akifanya matendo makuu kwa mikono ya Paulo,
O Kot me kotin wia kida lim en Paulus manaman kapuriamui akan.
12 kwamba hata wagonjwa waliponywa, na roho chafu waliwatoka, wakati walipochukua leso na nguo zilizotoka mwilini mwa Paulo.
Re pil aleer lim en pudo o likau moa sang pali war a, pwilikidi ong me somau kan, somau o ap sare sang, o ngen sued akan keredi sang.
13 Lakini palikuwapo Wayahudi wapunga pepo wakisafiri kupitia eneo hilo, wakilitumia jina la Yesu kwa ajili ya matumizi yao wenyewe. Wakiwaambia wale walikuwa na pepo wachafu; Wakisema, “Ninawaamuru mtoke kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri.”
Men Sus widingok kai, me kin koko sili kati ani, ap song sakaraki dong irail, me tanwar en ngen sued kai, mar en Kaun Iesus, indada: Kit kaukilang komail Iesus, me Paulus kin padapadak due.
14 Waliofanya haya walikuwa wana saba wa kuhani Mkuu wa Kiyahudi, Skewa.
A ol isimen mia nain samaro lapalap Skepas, ol en Sus amen, me wiadar mepukat.
15 Roho wachafu wakawajibu, “Yesu namjua, na Paulo namjua; lakini ninyi ni nani? “
A ngen sued sapeng irail indada: I asa Iesus, o i asa duen Paulus, a komail, is komail?
16 Yule roho mchafu ndani ya mtu akawarukia wapunga pepo na akawashinda nguvu na kuwapiga. Ndipo wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na kujeruhiwa.
A aramas o, me ngen sued mi poa, ap luse dong irail o kaloe irail edi. Ir ari tanga sang nan im o kiliso o kili olar.
17 Jambo hili likajulikana kwa wote, Wayahudi na Wayunani, ambao waliishi huko Efeso. Wakawa na hofu sana, na jina la Bwana likazidi kuheshimiwa.
A met lok sili ren men Sus o Krik akan, me kauson Episus. O masak kipa irail edi, o mar en Kaun Iesus me lomuinlar kaualap.
18 Pia, wengi wa waumini walikuja na wakaungama na wakidhihirisha matendo mabaya waliyoyafanya.
O me iang posonlar me toto kodo weokadar o kasaledar arail wiawia kan.
19 Wengi waliokuwa wakifanya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya kila mtu. Wakati wao walipohesabu thamani ya vitu hivyo, ilikuwa vipande hamsini elfu vya fedha.
O pil me toto, me kati ani, wa pena nairail puk o isik ir ada mon karos; ir ari wadok pwain ar o diar, me a dok ong moni limenen.
20 Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika nguvu.
Masan en Kaun ari pwaidar kaualap.
21 ya Paulo kukamilisha huduma yake kule Efeso, Roho akamwongoza kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya; Akasema, “Baada ya kuwako huko, yanipasa kuiona Rumi pia.”
Murin mepukat Paulus ap kotin inong iong ni ngen e kakan sili wein Masetonien o Akaia, ap kotilang Ierusalem masanidar: I lao milar wasa o, i pil pan kilang Rom.
22 Paul akawatuma Makedonia wanafunzi wake wawili, Timotheo na Erasto, ambao walikuwa wamemsaidia. Lakini yeye mwenyewe akabaki Asia kwa muda.
I ari kadarala Masetonien riamen, kisan me papa i: Timoteus o Erastus. A pein i kotikoteta mas nan Asien.
23 Wakati huo kulitokea ghasia kubwa huko Efeso kuhusu ile Njia.
I ansau me moromorong laud wiauier pweki lamalam.
24 Sonara mmoja jina lake Demetrio, ambaye aliyetengeneza visanamu vya fedha vya mungu Diana, alileta biashara kubwa kwa mafundi.
Pwe amen, me ad a Demetrius, saunmata amen, me kin wiada im en kaudok silper kan ong Diana, me kare ong irail, me kin wiawiada, moni toto.
25 Hivyo akawakusanya mafundi wa kazi hiyo na kusema, “Waheshimiwa, mnajua kwamba katika biashara hii sisi tunaingiza pesa nyingi.
I ap kapokon irail pena o toun dodok en song ota indada: Maing ko, komail asa, me dodok wet meid kadepa ong kitail, pwe i me kitail kapwapwaki.
26 Mnaona na kusikia kwamba, si tu hapa Efeso, bali karibia Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuwageuza watu wengi. Anasema kwamba hakuna miungu ambayo imefanywa kwa mikono.
A komail kilekilang o rongerong, me Paulus men et kin kaloedi o kawukila aramas toto a kaidin nan Episus eta, pwe pil koren iong nan Asien pon, ni a kin padaki ong aramas akan, me dene kaidin irail kot akan, me wiaui pan pa en aramas akan.
27 Na si tu iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa haihitajiki tena, lakini pia na hekalu la mungu mke aliye mkuu Diana anaweza kuchukuliwa kuwa hana maana. Tena angeweza hata kupoteza ukuu wake, yeye ambaye Asia na dunia humwabudu.”
Mepukat meid apwal ong kitail. Pwe kaidin atail dodok eta me pan kamala, pwe pil im kaudok en kot Diana lapalap o a lingan, me toun Asien o sappa karos kin kaudoki ong pan sorela.
28 Waliposikia haya, walijawa na hasira na wakapiga kelele, wakisema, “Diana wa Waefeso ni mkuu.”
Irail lao ronger mepukat, re ap makara kida kaualap o weriweradar indada: Meid lapalap Diana en men Episus!
29 Mji wote ukajaa ghasia, na watu wakakimbia pamoja ndani ya ukumbi wa michezo. wakawakamata wasafiri wenzake na Paulo, Gayo na Aristariko, waliotoka Makedonia.
A karos toun kanim o ap pingidar, wiaki eu, tangalang im en madong, tangaki Kaios o Aristarkus men Masetonien, me waroki ong Paulus oko.
30 Paulo alitaka kuingia katika umati wa watu, lakini wanafunzi walimzuia.
A Paulus lao pan kotilong nan pokon o, tounpadak kan ap sota mueid ong i.
31 Pia, baadhi ya maafisa wa mkoa wa Asia ambao walikuwa marafiki zake wakampelekea ujumbe kwa nguvu kumwomba asiingie katika ukumbi wa michezo.
O saumas en Asien kai, me kompokepa kan, ilake dong i, panaui i, ender kotilang im en madong o.
32 Baadhi ya watu walikuwa wakisema kitu hiki na wengine jambo lile, kwa sababu umati wa watu ulikuwa umechanganyikiwa. Wengi wao hawakuweza hata kujua kwa nini walikuja pamoja.
Ari, akai wia eu song en lokaia, a akai eu, pwe pokon o pingidar. A me toto re’rail sasa karep en ar pokon pena.
33 Wayahudi wakamleta Iskanda nje ya umati wa watu na kumuweka juu mbele ya watu. Iskanda akatoa ishara kwa mkono wake kutoa maelezo kwa watu.
Irail sikon sang nan pokon o Aleksander; Sus oko me sikonla i. A Aleksander olol ong irail, ap men sapeng pokon o.
34 Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa muda wa saa mbili, “Diana ni mkuu wa Wafeso.”
Irail lao asa, me i kisan Sus oko, re ap wiaki eu weriwerada auer riau: Meid lapalap Diana en men Episus!
35 Baada ya karani wa mji kuunyamazisha umati, alisema, 'Enyi wanaume wa Efeso, ni nani asiyejua kwamba mji huu wa Efeso ni mtunzaji wa hekalu la Diana mkuu na ile picha ilivyoanguka kutoka mbinguni?
A sauninting en kanim o lao kadukiedi pokon o, ap indada: Komail ol oko en Episus, is aramas, me sasa, me kanim en men Episus kin kaukaudoki ong Diana lapalap o dikedik, me pupedi sang nanlang?
36 Kuona Basi kwamba mambo haya hayatawezekana, tunapaswa kuwa na utulivu na msifanye chochote kwa haraka.
A ma sota, me pan kak kalikame mepukat, komail en nenenla o der wiada me sapung!
37 Kwa maana mmewaita watu hawa hapa mahakamani ambao si wezi wa hekalu wala si wenye kumkufuru mungu wetu mke.
Pwe komail ukedo ol pukat, me sota kin kuliada im en kaudok o, pil sota lalaue omail kot li.
38 Kwa hiyo, kama Demetrio na mafundi waliopamoja naye wana mashtaka dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na maliwali wapo. Na waletwe mbele ya shauri.
A ma Demetrius o iang a kan mauki meakot ren amen, kapung ap pan wiaui, pwe saunkapung kai mia, ren kapukapung re’rail.
39 Lakini kama wewe ukitafuta chochote kuhusu mambo mengine, yatashughurikiwa katika kikao halali.
A ma komail mauki eu song toror, i me pan kapungala nan kapung o.
40 Kwa kweli tuko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu ghasia siku hii. Hakuna sababu ya machafuko haya, na hatutakuwa na uwezo wa kuyaeleza.
Pwe kitail pan pukoki morong en ran wet, pwe sota karepen, me kitail en kapungki pokon wet ar tangatang pena.
41 Baada ya kusema haya, aliwatawanya makutano.
A lao masani ong irail mepukat, ap kadar pasang pokon o.

< Matendo 19 >