< Matendo 19 >

1 Ikawa kwamba Apolo alipokuwa Korintho, Paulo akapita nyanda za juu na kufika katika mji wa Efeso, na akakuta wanafunzi kadhaa huko.
Kubatendahali buti kuti Apolosi nena kwa Korinte, paulusi abahiti kwiulu lyekanda mi abezi kwa Efese, mi nicheza kuwana barutwana bamwi kwateni.
2 Paulo akawaambia, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?” Wakamwambia, “Hapana, hatukuweza hata kusikia kuhusu Roho Mtakatifu.”
Paulusi nichati kubali, “Mubatambuli luhuho lujolola na hamubazumini?” Chibamucho kuti, “Nee, kakwina mane ni chitubazuwi kuamana ni Luhuho Lujolola.”
3 Paul alisema, “Sasa ninyi mlibatizwaje?” Wakasema, “Katika ubatizo wa Yohana.
Paulusi abati, “Linu mubakolobezwa muchinzi?” Ni chibati, “Munkolobezo ya Joani,
4 Basi Paulo akajibu, “Yohana alibatiza kwa ubatizo wa toba. Akawaambia wale watu kwamba wanapaswa kumwamini yule ambaye angekuja baada yake, yaani, Yesu.”
Linu Paulusi netaba, “Joani abakolobezi chenkolobezo yenswalelo. Abawambili bantu kuti bayelele kuzumina kumuntu yokeza mwisule lyakwe, kokuta kuti, nji kwa Jesu.”
5 Watu waliposikia habari hii, wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
Bantu habazuwa bulyo, nibakolobezwa mwizina lya Simwine Jesu.
6 Na ikawa Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao na wakaanza kunena kwa lugha na kutabiri.
Imi linu Paulusi habatula mayanza hewulu, Luhuho Lujolola nichilwabenjila mi nibawamba mundimi zisiyenesiyene mi nibatanikiza zikezite.
7 Jumla yao walikuwa wanaume wapatao kumi na wawili.
Kuhindilila bonse ibali bakwame babali kulikana ikumi ni bobele.
8 Paulo alienda katika sinagogi akanena kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu. Alikuwa akiongoza majadiliano na kuwavuta watu kuhusu mambo yanayohusu ufalme wa Mungu.
Paulusi nenjila mwisinagoge mi nawamba chabundume munako ikwanisa myezi yotatwe. Abaetelele ziambantu ni ku kutolokla bantu kuti bazuwisise kuamana nimubuso we Ireeza.
9 Lakini Wayahudi wengine walikuwa wakaidi na wasiotii, walianza kusema mabaya kuhusu njia ya Kristo mbele ya umati. Basi Paulo aliachana nao na akawatenga waaminio mbali nao. Naye alianza kuongea kila siku katika ukumbi wa Tirano.
Nihaike majuda kana babakuzuwisisa nikusatwaliza cibatanga ku wambi zivi ni kulyefula Kreste. Paulusi cabasiya nikuzwila habusu nibabazumini. Catanga kuwamba izuba nizuba munzubo yakulutila ya Tyrannus.
10 Hii iliendelea kwa miaka miwili, kwa hiyo wote waliokuwa wanaishi katika Asia walisikia neno la Bwana, wote Wayahudi na Wayunani.
Abazwili habusu kuwamba zilimo zobele kuti mane nibantu bekala mwa Asia, Judea ni mwa Greek bazuwe linzwi lye Ireeza.
11 Mungu alikuwa akifanya matendo makuu kwa mikono ya Paulo,
Ireeza aba kupanga zimpangaliko zijolola ca mayanza a Paulusi,
12 kwamba hata wagonjwa waliponywa, na roho chafu waliwatoka, wakati walipochukua leso na nguo zilizotoka mwilini mwa Paulo.
mane ni balwala babali kuhola, Niluhuho lubilala luba kuzwa kubali, Habahinda kataulo ni ka apron hamubili wa Paulusi.
13 Lakini palikuwapo Wayahudi wapunga pepo wakisafiri kupitia eneo hilo, wakilitumia jina la Yesu kwa ajili ya matumizi yao wenyewe. Wakiwaambia wale walikuwa na pepo wachafu; Wakisema, “Ninawaamuru mtoke kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri.”
Kubena Majuda baba likwina mulieto lya kuyabuyenda muzilalo kulola babahindi izina lya Jesu kulisebelisa mubasakila abobene, Baba kukabuiwamba kubantu bana bena luhuho lubilala feela; Cibawamba, “Nimilaela cha Jesu yabali kuwambiwa kwa Paulusi kuti muyende.”
14 Waliofanya haya walikuwa wana saba wa kuhani Mkuu wa Kiyahudi, Skewa.
Baba tendi izo babali bakwame batenda iyanza ni bobele bana ba mupurita mukulwana wa majuda, wezina lya Sceva.
15 Roho wachafu wakawajibu, “Yesu namjua, na Paulo namjua; lakini ninyi ni nani? “
Luhuho lubilala lubabetabi, “Nizi Jesu, ni Paulusi; cwale iwe njewe ni?”
16 Yule roho mchafu ndani ya mtu akawarukia wapunga pepo na akawashinda nguvu na kuwapiga. Ndipo wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na kujeruhiwa.
Luhuho lubilala lubena kumuntu cilwa mukoma kumubulisa ziho cawila hanzi ni kubakaba. Cibazwa munzubo nibasazabele hamubili ni kuholofala.
17 Jambo hili likajulikana kwa wote, Wayahudi na Wayunani, ambao waliishi huko Efeso. Wakawa na hofu sana, na jina la Bwana likazidi kuheshimiwa.
Iyo indaba ciyezibahala kubantu bonse, nibahala mwa Judea, mwa Greek, nimwa Efese. Imi baba tiyi ahulu, mane nizina lya Simwine Jesu ciba tanga kulikuteka.
18 Pia, wengi wa waumini walikuja na wakaungama na wakidhihirisha matendo mabaya waliyoyafanya.
Imi hape, bantu bonse babazumini kubakela zive nikuzumina kuzintu zibi zibaba pangi.
19 Wengi waliokuwa wakifanya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya kila mtu. Wakati wao walipohesabu thamani ya vitu hivyo, ilikuwa vipande hamsini elfu vya fedha.
Bonse babali kupangite za mabibo cibaleta invuka zabo imi cizahisiwa mumenso abantu bonse. Haba zibala zonse, inteko yateni ibabi makumi amayanza azikiti zaziemba emba ze silivela.
20 Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika nguvu.
Njikuti linzwi lye Ireeza liba ambalakani munzila ikolete.
21 ya Paulo kukamilisha huduma yake kule Efeso, Roho akamwongoza kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya; Akasema, “Baada ya kuwako huko, yanipasa kuiona Rumi pia.”
Paulusi hamana musebezi wakwe mwa Efese, cahupula caluhuho lujolola kuti ahite ya Macedonia ni mwa Achaia munzila yakwe yakuya mwa Jelusalema; Cawamba, “Acinazwa munu, niswanela kukabona kwa Roma.”
22 Paul akawatuma Makedonia wanafunzi wake wawili, Timotheo na Erasto, ambao walikuwa wamemsaidia. Lakini yeye mwenyewe akabaki Asia kwa muda.
Paulusi catuma batumiwa bakwe bobele baba mutusi, Timothy ni Erastus kwa Macedonia. Kono iye abali kusikala mwa Asia inako.
23 Wakati huo kulitokea ghasia kubwa huko Efeso kuhusu ile Njia.
Mweyo inako cikwabuka cifoyoyo mwa Efese kuamana ni Nzila.
24 Sonara mmoja jina lake Demetrio, ambaye aliyetengeneza visanamu vya fedha vya mungu Diana, alileta biashara kubwa kwa mafundi.
Demetrius yopanga isilivela ya Diana, Cikwaba ni bisinisi kubantu babeza.
25 Hivyo akawakusanya mafundi wa kazi hiyo na kusema, “Waheshimiwa, mnajua kwamba katika biashara hii sisi tunaingiza pesa nyingi.
Cakopanya babeleki bonse bamusebezi wa kubeza ni kuwamba, “Nfumwangu, wizi kuti mowunu musebezi tupanga masheleni mangi.
26 Mnaona na kusikia kwamba, si tu hapa Efeso, bali karibia Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuwageuza watu wengi. Anasema kwamba hakuna miungu ambayo imefanywa kwa mikono.
Mubwene ni kuzuwa kuti, kanji mwa Efese monke kono ni mwa Asia yonse, Paulusi caba kukuweza niku bawambila. kuti kakwina Ireeza yopangiwa ca mayanza.
27 Na si tu iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa haihitajiki tena, lakini pia na hekalu la mungu mke aliye mkuu Diana anaweza kuchukuliwa kuwa hana maana. Tena angeweza hata kupoteza ukuu wake, yeye ambaye Asia na dunia humwabudu.”
Imi kana bukabo bwabo bonke kono niswe zintu zetu kese zisakahale kubantu, mane ni tempele ya mufumahali Diana Ireeza mukando muibule maata. Imi naye mwamaninwe bukando bwakwe mwa Asia ni mwinkanda yonse.”
28 Waliposikia haya, walijawa na hasira na wakapiga kelele, wakisema, “Diana wa Waefeso ni mkuu.”
Habazuwa bulyo, bababengi ni kulila, Cibawamba, “Bukando bwina ha Diana yozwa mwa Efese.”
29 Mji wote ukajaa ghasia, na watu wakakimbia pamoja ndani ya ukumbi wa michezo. wakawakamata wasafiri wenzake na Paulo, Gayo na Aristariko, waliotoka Makedonia.
Muleneñi onse babalyangani, cibahwei kucibaka cazizanino. Paulusi ni basindikizi bakwe mumusipili wabo, Gaius ni Aristarchus bazwa kwa Macedonia.
30 Paulo alitaka kuingia katika umati wa watu, lakini wanafunzi walimzuia.
Paulusi abali kusaka kwinjila mukati kenyangela kono batumiwa baba musilelezi.
31 Pia, baadhi ya maafisa wa mkoa wa Asia ambao walikuwa marafiki zake wakampelekea ujumbe kwa nguvu kumwomba asiingie katika ukumbi wa michezo.
Bonse batompeha ba cilalo ca Asia balikani bakwe cibamutumina liñusa kumukumbila kuti sanzi enjili mucibaka ca zizanino.
32 Baadhi ya watu walikuwa wakisema kitu hiki na wengine jambo lile, kwa sababu umati wa watu ulikuwa umechanganyikiwa. Wengi wao hawakuweza hata kujua kwa nini walikuja pamoja.
Bamwi bantu baba kuhuwana cintu conke, mane inyangela ciba lyangene, Bungi bwabo kana baba kwizi kuti cinzi habakeza bonse bonse.
33 Wayahudi wakamleta Iskanda nje ya umati wa watu na kumuweka juu mbele ya watu. Iskanda akatoa ishara kwa mkono wake kutoa maelezo kwa watu.
Majuda cibaleta Alexander habusu bwe nyangela. Alexander abali kulila mumayanza kutolokela inyangela.
34 Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa muda wa saa mbili, “Diana ni mkuu wa Wafeso.”
kono habeza kulemuha kuti Mujuda, bonse cibalila ca linzwi nyonke inhola zobele, “Bukando nji bwa Diana yozwa mwa Efese.”
35 Baada ya karani wa mji kuunyamazisha umati, alisema, 'Enyi wanaume wa Efeso, ni nani asiyejua kwamba mji huu wa Efeso ni mtunzaji wa hekalu la Diana mkuu na ile picha ilivyoanguka kutoka mbinguni?
Muñoli we tolopo hawamba ni nyangela, Cawamba, “Inwe bantu ba Efese, njeni yasezi kuti muleneñi wa Efese mwasebeleza mukando Diana ni ciswaniso cibawili hansi kuzwa kwiwulu?
36 Kuona Basi kwamba mambo haya hayatawezekana, tunapaswa kuwa na utulivu na msifanye chochote kwa haraka.
Hamubona izi zintu zipangahala, muswanela kutontola niku sahwelela zintu.
37 Kwa maana mmewaita watu hawa hapa mahakamani ambao si wezi wa hekalu wala si wenye kumkufuru mungu wetu mke.
Bantu bamwaleta kumulawo kana basa bamwi tempele kapa kuwamba zibi kuamana ni Ireeza wetu.
38 Kwa hiyo, kama Demetrio na mafundi waliopamoja naye wana mashtaka dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na maliwali wapo. Na waletwe mbele ya shauri.
Heba, Demetriusi ni mubeleki yobeza kabazuwani, mulao kuwina wiyalukite. Mubasiye bazekisane.
39 Lakini kama wewe ukitafuta chochote kuhusu mambo mengine, yatashughurikiwa katika kikao halali.
Kono heba kwina zimwi zilukela kuambolwa, muzilukiswe hande comulao.
40 Kwa kweli tuko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu ghasia siku hii. Hakuna sababu ya machafuko haya, na hatutakuwa na uwezo wa kuyaeleza.
kakuti kwina inkozi kuamana nindaba za pangahala sunu, kakwina intatululo iwambiwe kuamana nei indaba, kese tuwole kuitatulusa.”
41 Baada ya kusema haya, aliwatawanya makutano.
Hamana kuwamba izo calukulula bantu.

< Matendo 19 >