< Matendo 17 >
1 Na walipopita katika miji ya Amfipoli na Apolonia, walikuja mpaka mji wa Thesalonike ambao kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
Hangi nai akakila mu isali nia Amfipoli ni Apolonia, ai azile kupikiila kisali nika Thesalonike naza likoli i tekeelo nila Ayahudi.
2 Kama ilivyo kawaida ya Paulo, alienda kwao, na kwa muda wa siku tatu za Sabato alijadiliana nao juu ya maandiko.
Anga ni yili ntendo ang'wa Paulo, wakalongola kitalao, nu ku itungo nila mahiku ataatu nia luhiku nula kusupya ai witambuuye nienso migilya a ukilisigwa.
3 Alikuwa akiwafungulia maandiko na kuwaeleza kuwa, ilimpasa Kristo ateseke na kisha kufufuka tena kutoka kwa wafu. Aliwaambia, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake ndiye Kristo”
Ai watulaa uku akunukuilya u ukilisigwa nu kuaganuila kina, ai imutakile uKristo wagishe ni uugwa kiuka hangi kupuma ku ashi. Ai uatambuie, “Uyu uYesu nikumutambuila i nkani niakwe yuyo Kristo.”
4 Baadhi ya Wayahudi walishawishika na kuungana na Paulo na Sila, pamoja na Wagiriki wachamungu, akinamama wengi waongofu na kundi kubwa la watu.
Ang'wi nia Ayahudi ai apemekile nu kihanguila nu Paulo nu Sila, palung'wi ni Agiriki akulya Itunda, asungu idu aokole ni idale ikulu nila antu.
5 Lakini baadhi ya Wayahudi wasioamini, waliojawa na wivu, walienda sokoni na kuwachukuwa baadhi ya watu waovu, wakakusanya umati wa watu pamoja, na kusababisha ghasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Jason, wakitaka kuwakamata Paulo na Sila ilikuwaleta mbele za watu.
Kuiti ang'wi a Ayahudi ni shanga ahuiie, nai izuiwe nu wilu, ai alongoe ki isoko nu kuahola ang'wi a antu ni abibi, akalundiila iumbi nila antu palung'wi, nu kusasha minyomo mu kisali, uugwa akaligilinkiilya ito nilang'wa Jason, aze aloilwe kua amba uPaulo nu Sila iti kualeta ntongeela ya antu.
6 Lakini walipowakosa, walimkamata Yasoni na baadhi ya ndugu wengine na kuwapeleka mbele ya maofisa wa mji, wakipiga kelele, “Hawa wanaume walioupindua ulimwengu wamefika mpaka huku pia,
Kuiti nai aka aulya, ai amuambile u Yasoni ni ang'wi a anyandugu auya nu kuatwala ntogeela a aofisa nia kisali, azekua iyogo, “Awa i agoha naza aupiue u unkumbigulu apika kupikiila kunu ga.
7 Wanaume hawa waliokaribishwa na Yasoni wanaihalifu sheria ya Kaisari, wanasema kuna mfalme mwingine anayeitwa Yesu”
Agoha awa naza asingiigwe nu Yasoni akulitumuila ilagiilyo lang'wa Kaisari, akuligitya ukoli mutemi mungiiza nuitangwaa Yesu.”
8 Umati na maofisa wa mji waliposikia mambo hayo, waliingiwa na wasiwasi.
Iumbi ni a ofisa nia kisali nai akija i makani nanso, ai ingiiwe nu mitumbo.
9 Baada ya kuwa wamekwisha kuchukua fedha ya thamani ya ulinzi kutoka kwa Yason na wengine, waliwaachia waende.
Ze yakilaa kutula akondya kuhola i mpia nia nsailo a usunja kupuma kung'wa Yason ni auya, ai a alekee alongole.
10 Usiku ule ndugu walimtuma Paulo na Sila Beroya. Na walipofika kule walikwenda katika sinagogi la Wayahudi.
Utiku nuanso anya ndugu ai amulagiiye uPaulo nu Sila ku Beroya. Hangi nai akapika kung'wanso akalongola mi itekeelo nila Ayahudi.
11 Watu wale walikuwa wenye werevu mkubwa kuliko wale watu wa Thesalonike, kwa sababu walikuwa na utayari wa kulipokea neno kwa akili zao, na kuchunguza maandiko kila siku ili kuona kama maneno yaliyonenwa ndivyo yalivyo.
Antu awo ai atula akete u ulingi ukulu kukila i antu awo nia ku Thesalonike, ku nsoko ai akete nu ukondaniili nua kusingiilya u lukani ku mahala ao, nu kupukania u ukilisigwa kila mahiku iti kihenga anga ize imakani nai aganuwe uu nili.
12 Kwa hiyo wengi wao waliamini, wakiwemo wanawake wenye ushawishi mkubwa wa Kigiriki na wanaume wengi.
Ku lulo idu ao ai ahuiie, aze amoli asungu niakete u upemi ukulu nua Kigiriki ni agoha idu.
13 Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipogundua kwamba Paulo anatangaza neno la Mungu huko Beroya, walienda huko na kuchochea na kisha kuanzisha ghasia kwa watu.
Kuiti Ayahudi nia ku Thesalonike nai akalinga kina uPaulo ukutanantya lukani lang'wa Itunda uko ku Beroya, ai alongoe kuko nu kukinyiila ni uugwa nu kandiilya minyomo ku antu.
14 Kwa haraka, ndugu wakampeleka Paulo kwa njia ya ziwa, lakini Sila na Timotheo wakabaki pale.
Ku ukau, i aluna akamutwala uPaulo ku nzila a luzi, kuiti uSila nu Timotheo akasaga pang'wanso.
15 Wale ndugu waliompeleka Paulo walienda naye hadi Athene, walipomwacha Paulo huko, walipokea maagizo kutoka kwake kuwa, Sila na Timotheo waje kwake kwa haraka iwezeanavyo.
Awo i anya ndugu nai amutwae uPaulo ai alongoe nu ng'wenso kupikiila ku Athene, nai akamuleka uPaulo kuko, ai asingiiye i malagiilyo kupuma kitalakwe kina, uSila nu Timotheo apembye kitalakwe ku ukau ni ihumikile.
16 Na wakati akiwasubiri huko Athene, roho yake ilikasirishwa ndani yake kwa jinsi alivyouona mji ulivyojaa sanamu nyingi.
Ni itungo nai ualindiie uko ku Athene, nkolo akwe ikatakigwa mukati akwe ku iti nai wihengile i kisali nai kizue i adudu idu.
17 Hivyo akajadiliana katika sinagogi na wayahudi wale waliomcha Mungu na kwa wale wote aliokutana nao kila siku sokoni.
Itigwa akitambulya mu itekeelo ni Ayahudi awo nai amukiye Itunda nu ku awo ihi nai utankanile ni enso kila luhiku mi soko.
18 Lakini baathi ya Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. Na wengine wakasema, “Ni nini anachokisema huyu mwongeaji mchanga? Wengine wakasema, “inaonekana anahubiri habari ya mungu mgeni,” kwasababu anahubiri habari ya Yesu na ufufuo.
Kuiti ang'wi a alingi nia a Aepikureo ni Astoiko akamukungiilya. Ni auya akaligitya, “Ingi ki ntuni ukukiligitya uyu u muligitya nu mudabu? iAuya akaligitya, “Yigeelekile ukutanantya nkani niang'wa Itunda muziila.” ku nsoko ukutanantya nkani yang'wa Yesu nu wiukigwa.
19 Wakamchukua Paulo na kumleta Areopago, wakisema, “Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea?
Akamohola uPaulo nu kumuleta ku Areopago, azeligitya, “Kuhumile kulinga uwu umanyisigwa uziila nuku uligitya?
20 Kwasababu unaleta mambo mapya katika masikio yetu. Kwahivyo tunataka kujua haya mambo yana maana gani?”
Ku nsoko ukuleta makani maziila mu akutwi itu. Ku iti kuloilwe kulinga makani aya akete ndogoelyo kii?”
21 (Na watu wote wa Athene pamoja na wageni waliopo kwao, hutumia muda wao aidha katika kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya.)
(Ni antu ihi nia ku Athene palung'wi ni aziila ni amoli kitalao, itumila itungo nilao ang'wi mu uligitya nu kutegeelya migulya a ikani ni iziila.)
22 Kwa hiyo Paulo akasimama katikati ya watu wa Areopago na kusema, “Enyi watu wa Athene, naona kuwa ninyi ni watu wa dini kwa kila namna,
Ku lulo uPaulo akimika pakati a antu nia ku Areopago nu kuligitya, Unyenye antu aku Athene, kihenga kina ingi antu a ikumbiko ku kila mpyani,
23 Kwani katika kupita kwangu na kuangalia vitu vyenu vya kuabudu, nimeona maneno yalioandikwa kwenye moja ya madhabahu yenu, ikisema “KWA MUNGU ASIYEJULIKANA”. Hivyo basi, huyo mnayemwabudu pasipokujua, ndiye ninayewajulisha ninyi.
Kuiti mu ukili nua ki talane nu kugoza i intu nianyu nia kipoelya, nihengile makani nakilisigwe mu ling'wi ikumbikilo lanyu, likuligitya “KUNG'WA ITUNDA NI SHANGA UKUMUKILE.” Itigwa, nuanso ni mukumipolya ize shanga mulingile, yuyo niku mupikilya unyenye.
24 Mungu aliyeumba dunia na kila kitu kilichoko ndani, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hawezi kukaa katika mahekalu yaliyotengenezwa na mikono.
Itunda nai u umbile ihi ni kila i kintu ni kikoli mukati, kunsoko ingi Mukulu nua ilunde ni ihi, shanga uhumile kikie mu matekeelo nazipigwe ni mikono.
25 Na pia hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu kwao, kwani yeye mwenyewe huwapa watu uzima na pumzi na vitu vingine vyote.
Hangi shanga wi ailigwa ga ni mikono a ana adamu anga kina uloilwe kintu kitalao, kuiti u ng'wenso mukola wi inkiilya antu upanga ni mihupo ni intu ingiiza yihi.
26 Kupitia mtu mmoja, alifanya mataifa yote ya watu waishio juu ya uso wa dunia, na akawawekea nyakati na mipaka katika maeneo wanaoishi.
Ku kiila muntu ung'wi, ai uzipilye u ingu wihi ni antu ni ikiie migulya a usu nui ihi, hangi waka aikilya matungo ni mimbi mu nkika ni ikiie.
27 Kwa hiyo, wanatakiwa kumtafuta Mungu, na yamkini wamfikie na kumpata, na kwa uhakika hayupo mbali na kila mmoja wetu.
Ku iti, atakiwe kumuduma Itunda, ni tai amupikiile nu kumulija, hangi ku kulu kuulu wikutili kuli ni kila ung'wi nu itu.
28 Kwake tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu, kama vile mtunzi wenu mmoja wa shairi aliposema 'tu wazaliwa wake.'
Ki talakwe kikie, kigendaa nu kutula nu upanga nuitu, anga iti mutungi nuanyu ung'wi nua ilumbiilyo nai uligitilye 'ki atuugwa akwe.'
29 Kwa hiyo, ikiwa sisi ni wazaliwa wa Mungu, hatupaswi kufikiri kuwa uungu ni kama dhahabu, au shaba, au mawe, sanamu iliyochongwa kwa ustadi na mawazo ya watu.
Ku lulo anga itule usese ingi atuugwa ang'wa Itunda, shanga kutakiwe kusiga kina u itunda ingi anga zahabu, ang'wi shaba, ang'wi magwe, adudu nu sesilwe ku ulingi ni masigo a antu.
30 Kwa hiyo, Mungu alinyamazia nyakati zile za ujinga, lakini sasa anaamuru watu wote kila mahali wapate kutubu.
Ku lulo, Itunda ai ukilagiiye i matungo ayo na upungu, kuiti itungili ulagiiye antu ihi kila kianza ile itunu.
31 Hii ni kwa sababu ameweka siku atakayo ihukumu dunia kwa haki kwa mtu ambaye alimchagua. Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu kwa kila mtu pale alipomfufua katoka kwa wafu.
Iki ingi ku nsoko uikile luhiku nuika milamula ihi ku tai ane ku muntu naiza ai umuholanilye. Itunda ai upumilye i kulu kuulu na mumtu uyu ku kila muntu pang'wanso nai umiukilye kupuma kuashi.
32 Na watu wa Athene waliposikia habari ya kufufuliwa kwa wafu, baadhi yao wakamdhihaki Paulo, ila wengine wakasema “Tutakusikiliza tena kwa habari ya jambo hili”
Ni antu a Athene nai akija inkani nia kiukigwa ku ashi, ang'wi ao akamukuna uPaulo, ila i auya akaligitya, “Ku ukutegeelya hangi ku nkani nia ikani ili.”
33 Baada ya hapo, Paulo akawaacha.
Ze yakilaa pang'wanso, uPaulo aka aleka.
34 Lakini baadhi ya watu waliungana naye wakaamini, akiwemo Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari na wengine pamoja nao.
Kuiti ang'wi a antu ai ihanguie nu ng'wenso akahuiila, waze umoli uDionisio Mwareopago, nu musungu nuitangwaa Damari ni auya palungwi ni enso.