< Matendo 17 >

1 Na walipopita katika miji ya Amfipoli na Apolonia, walikuja mpaka mji wa Thesalonike ambao kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
Pawluh ja Tilah cun Amphipolih ja Apolonih jah khe pah lü, Thesalonikah mlüha Judahea sinakoka venaka citki xawi.
2 Kama ilivyo kawaida ya Paulo, alienda kwao, na kwa muda wa siku tatu za Sabato alijadiliana nao juu ya maandiko.
Acua Pawluh cun a thum khawia mäiha, ami veia lut lü, Sabbath mhnüp kthum vei, khyange mahmah ngthäh ngkhyah u lü pyen u lü, Cangcim üngka jah mtheh lü,
3 Alikuwa akiwafungulia maandiko na kuwaeleza kuwa, ilimpasa Kristo ateseke na kisha kufufuka tena kutoka kwa wafu. Aliwaambia, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake ndiye Kristo”
Mesijah naw khuikhanak khamei khaia akyaka mawng, thinak üngkhyüh a tho be vaia mawng cun jah mthehki. “Hina Jesuh ka ning jah mtheh cun Mesijaha kyaki ni” ti lü Pawluh naw a jah mtheh.
4 Baadhi ya Wayahudi walishawishika na kuungana na Paulo na Sila, pamoja na Wagiriki wachamungu, akinamama wengi waongofu na kundi kubwa la watu.
Avang he naw jum u lü, Krik khyang khawhae ja nghnumi khawhae naw Pawluh ja Tilaha veia law u lü Mhnam mküimto lawki he.
5 Lakini baadhi ya Wayahudi wasioamini, waliojawa na wivu, walienda sokoni na kuwachukuwa baadhi ya watu waovu, wakakusanya umati wa watu pamoja, na kusababisha ghasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Jason, wakitaka kuwakamata Paulo na Sila ilikuwaleta mbele za watu.
Acunsepi, Judahe naw, k’eihei u lü, lama i käh pawhkie cun jah lawpüi u lü khyange jah ngcun lawsakie naw, mlüh avan üng suksak lawki he. Acunüng, Jasona ima ngkhäm law u lü, Pawluh ja Tilah cun khyangea hmaia ami jah cehpüi vaia ami täng.
6 Lakini walipowakosa, walimkamata Yasoni na baadhi ya ndugu wengine na kuwapeleka mbele ya maofisa wa mji, wakipiga kelele, “Hawa wanaume walioupindua ulimwengu wamefika mpaka huku pia,
Am jah hmu u lü, Jason ja jumeikie cun khyang ngvaiea hmaia jah kaihkie naw, ngpyang u lü, “Hina khyange naw avan suksak khaia Khawmdek nglatsakie cun mi mlüha lawki he;
7 Wanaume hawa waliokaribishwa na Yasoni wanaihalifu sheria ya Kaisari, wanasema kuna mfalme mwingine anayeitwa Yesu”
Jason naw jah na khin na ve, ahin xawi cun, ‘Jesuh ngming naki, sangpuxang kce veki tia, Emperoa thum am läk ni” ami ti.
8 Umati na maofisa wa mji waliposikia mambo hayo, waliingiwa na wasiwasi.
Acuna khyange naw mlüh ngvaie cun ami jah suksakei;
9 Baada ya kuwa wamekwisha kuchukua fedha ya thamani ya ulinzi kutoka kwa Yason na wengine, waliwaachia waende.
Jason ja a püie cun ngui jah tä lü jah hlät lü ami jah cehsak be.
10 Usiku ule ndugu walimtuma Paulo na Sila Beroya. Na walipofika kule walikwenda katika sinagogi la Wayahudi.
Jumeikie naw mthana, Pawluh ja Tilah cun Beriha jah cehsak u se; acua ami va pha ja, Judahea sinakoka lutki xawi.
11 Watu wale walikuwa wenye werevu mkubwa kuliko wale watu wa Thesalonike, kwa sababu walikuwa na utayari wa kulipokea neno kwa akili zao, na kuchunguza maandiko kila siku ili kuona kama maneno yaliyonenwa ndivyo yalivyo.
Acuna khaw khyange cun, Thesalonikah mlüh khyangea kthaka ana daw u se, mlung jenak am ngthu cun dokhameikie, ani ngthu pyen cun am akcang ja akcang ksingnak vaia, a mhnüp tä se, Cangcim cun büktengkie.
12 Kwa hiyo wengi wao waliamini, wakiwemo wanawake wenye ushawishi mkubwa wa Kigiriki na wanaume wengi.
Acunakyase, khyang khawha naw jum u se; Krik nghnumi kdawe ja kpamie naw pi jum lawki he.
13 Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipogundua kwamba Paulo anatangaza neno la Mungu huko Beroya, walienda huko na kuchochea na kisha kuanzisha ghasia kwa watu.
Acunsepi, Thesalonikah mlüha ka Judahe naw, Pawluh naw Berih mlüha pi Pamhnama ngthu sangki tia ami ksing üng, acua pi va cit u lü, khyange ami jah va ksük.
14 Kwa haraka, ndugu wakampeleka Paulo kwa njia ya ziwa, lakini Sila na Timotheo wakabaki pale.
Jumeikie naw, Pawluh cun tui cayea cit khaia ami tüih. Acunsepi, Tilah ja Timoti cun acua ve hütki xawi.
15 Wale ndugu waliompeleka Paulo walienda naye hadi Athene, walipomwacha Paulo huko, walipokea maagizo kutoka kwake kuwa, Sila na Timotheo waje kwake kwa haraka iwezeanavyo.
Pawluh va thakie naw, Aten mlüh cäpa cit u lü Berih da nglat law be lü Pawluh naw a jah cüka kba, Tilah ja Timoti cun naw akjanga a jah mtheh.
16 Na wakati akiwasubiri huko Athene, roho yake ilikasirishwa ndani yake kwa jinsi alivyouona mji ulivyojaa sanamu nyingi.
Pawluh naw Atena Tilah ja Timoti jah k'äih lü a ve üng, mlüh cun juktuhe am be lü a hmuha kyase, aktäa a mlung am daw.
17 Hivyo akajadiliana katika sinagogi na wayahudi wale waliomcha Mungu na kwa wale wote aliokutana nao kila siku sokoni.
Acunüng, sinakoka Judahe ja Pamhnam jumkie khyangmjükcee jah pyenpüi lü, khyang ami ngkhämnaka law nakütkia veia a mhnüp tä se a jah pyenpüi.
18 Lakini baathi ya Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. Na wengine wakasema, “Ni nini anachokisema huyu mwongeaji mchanga? Wengine wakasema, “inaonekana anahubiri habari ya mungu mgeni,” kwasababu anahubiri habari ya Yesu na ufufuo.
Epikurih ja, Stok sajae naw ani ngcuhpüikie. Avang he naw, “Hin ia am ngtäh xaki naw i pyen hlüki ni?” ami ti. Avang he naw, Jesuha mawng ja thawhnak bea mawng a pyena phäha, “Pe kcea ka mhnama mawng pyenki am ni aw” ami ti.
19 Wakamchukua Paulo na kumleta Areopago, wakisema, “Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea?
Pawluh cun man u lü, mlüh kawngci, Arepakaha hmaia lawpüi u lü, “Hina mtheimthangnak akthai na pyen hü hin na jah ksingsak thei khai aw?
20 Kwasababu unaleta mambo mapya katika masikio yetu. Kwahivyo tunataka kujua haya mambo yana maana gani?”
Akthai am kami ngjak khawi cun na sang lawki ni; acunakyase, acuna suilam kami ksing vai täng ve üng” ami ti.
21 (Na watu wote wa Athene pamoja na wageni waliopo kwao, hutumia muda wao aidha katika kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya.)
(Aten mlüha khyange ja khine cun, ngthu kthaia akyak üng, ami pyen vai ja ami ngaih vaia phäha ami kcün sumeiki he.)
22 Kwa hiyo Paulo akasimama katikati ya watu wa Areopago na kusema, “Enyi watu wa Athene, naona kuwa ninyi ni watu wa dini kwa kila namna,
Pawluh cun kawngci hmaia ngdüi lü, “Nangmi Aten khyange cun, a naküt üng jumnak aktäa nami taki ti ka ksingki.
23 Kwani katika kupita kwangu na kuangalia vitu vyenu vya kuabudu, nimeona maneno yalioandikwa kwenye moja ya madhabahu yenu, ikisema “KWA MUNGU ASIYEJULIKANA”. Hivyo basi, huyo mnayemwabudu pasipokujua, ndiye ninayewajulisha ninyi.
Ka ceh hü sawa, nami hjawkhahe ka ja bükteng üng, kpyawngkung mata khana, ‘Am ksinga Mhnama phäha’ ti lü ng’yuki ka hmuh. Acunakyase, am ksing u lü nami jumei, acuna mawng ka ning jah mthehki ni.
24 Mungu aliyeumba dunia na kila kitu kilichoko ndani, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hawezi kukaa katika mahekalu yaliyotengenezwa na mikono.
Pamhnam, khawmdek ja a k'uma veki naküt ja mhnünki cun, mce ja khana Bawia kyase kut am saka temple üng am ve.
25 Na pia hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu kwao, kwani yeye mwenyewe huwapa watu uzima na pumzi na vitu vingine vyote.
Khut bi lü a hlüei cun mi pe khai aw, amät kung cun anaküt am xünnak, ngxünak a naküt üng pekia kyaki.
26 Kupitia mtu mmoja, alifanya mataifa yote ya watu waishio juu ya uso wa dunia, na akawawekea nyakati na mipaka katika maeneo wanaoishi.
Acunüng, khawmdek khan naküt üng ve khaia, khyang mat üngka naw khyang mjüe naküt atäng tänga jah mhnün lü, ami phäha akcün ja ami venak vai phäh phähe pi a jah tak pet.
27 Kwa hiyo, wanatakiwa kumtafuta Mungu, na yamkini wamfikie na kumpata, na kwa uhakika hayupo mbali na kila mmoja wetu.
Acunakyase, Pamhnam cun ami hmuh vaia sui hükie; acunsepi, Pamhnam cun mimi üngkhyüh akthuka am ve.
28 Kwake tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu, kama vile mtunzi wenu mmoja wa shairi aliposema 'tu wazaliwa wake.'
Amäta phäha mi xüng lü, mi thoawm lü mi veki; ‘Keimi pi Mhnama a jah caea kami kyaki’ tia nangmi üng khyang mat naw pyenki.
29 Kwa hiyo, ikiwa sisi ni wazaliwa wa Mungu, hatupaswi kufikiri kuwa uungu ni kama dhahabu, au shaba, au mawe, sanamu iliyochongwa kwa ustadi na mawazo ya watu.
Acukba Pamhnama caea mi kya ua phäha, nghngicima khyaihnak am pyanga xüie, nguie, lung he lup cun Mhnam am tänga käh jah ngaih vai.
30 Kwa hiyo, Mungu alinyamazia nyakati zile za ujinga, lakini sasa anaamuru watu wote kila mahali wapate kutubu.
Ahlana Pamhnam am ksing u se, jah na hawih khawi se pi, atuh cun ahawa pi ami mkhyekatnak nghlatak vaia ngthu a jah petki,
31 Hii ni kwa sababu ameweka siku atakayo ihukumu dunia kwa haki kwa mtu ambaye alimchagua. Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu kwa kila mtu pale alipomfufua katoka kwa wafu.
akcün a na pyang päng thüp thüpa phäha, acuna mhnüp üng, a mcawna nghngicim phäh khawmdek avan cun angsunga ngthumkhyah law pe khai; acun cun Pamhnam naw thihnak üngka naw mtho be lü, khyange naküta veia angsingsak pänga kyaki” tia a pyen.
32 Na watu wa Athene waliposikia habari ya kufufuliwa kwa wafu, baadhi yao wakamdhihaki Paulo, ila wengine wakasema “Tutakusikiliza tena kwa habari ya jambo hili”
Acuna thihnak üngka naw mthawh bea ngthu Pawluh naw pyen se ami ngjak üng avange naw ami yaihei; avange naw, “Hina ngthu na pyen be vai ngja hlü ve üng” ami ti.
33 Baada ya hapo, Paulo akawaacha.
Acunüng Pawluh naw ami ngkhyumnak a jah cehtak.
34 Lakini baadhi ya watu waliungana naye wakaamini, akiwemo Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari na wengine pamoja nao.
Acunsepi, khyang avange Pawluha veia ngdawn law u lü, jumei lawki he; acunüng avange cun, Dajonutih khyang kawngci üngkaa kya u lü avange cun nghnumi mat Damarih jah khyang kcea kyakie.

< Matendo 17 >