< Matendo 16 >

1 Paulo pia alipokuja Derbe na Lystra; na tazama, pale palikuwepo na mwanafunzi aitwaye Timotheo, ni Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini na baba yake ni Mgiriki.
Paul'n Derbe le Lystra khom a sir sa, mahan Khristien inkhat a riming Timothy a oma. A nû khom Khristien dên Juda mi ania, a pa chu Greek ani.
2 Watu wa Listra na Ikonia walimshudia vizuri.
Lystra le Iconiuma iempungei murdi'n Timothy an minlut ok ngâia.
3 Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwako huko kwani wote walimjua kuwa baba yake ni Mgiriki.
Paul'n ama hah tuong rang a nuoma, ma revêla Judangei han Timothy pa hah Greek ani ti an riet sikin Timothy khom a sertan pe ani.
4 Walipokuwa wakienda walipita kwenye miji na kutoa maagizo kwa makanisa ili kuyatii maagizo hayo yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu.
Khopuingei tin an sir malamin, Jerusalema tîrtonngei le upangei balamngei masat hah iempungei an pêk tira, jôm rang khomin he an be tira.
5 Hivyo makanisa yakaimarishwa katika imani na walioamini wakaongezeka kwa idadi kila siku.
Masikin, koiindangngei hah taksônnân an rât uola nîngtin an pung titira.
6 Paulo na mwenzake wakaenda Firigia na Galatia, kwani Roho wa Mungu aliwakataza kuhubiri neno huko kwenye jimbo la Asia.
Ratha Inthiengin Asia rama thurchi misîr a khap sikin Phrygia le Galatia ram an sîra.
7 Walipokaribia Misia, walijaribu kwenda Bithinia, lakini Roho wa Yesu akawakataza.
Mysia ramri an tungin chu Bithynia rama se rang an bôka, hannirese, Jisua Ratha'n phal ngei maka.
8 Kwa hiyo wakapita Misia wakaja mpaka Mji wa Troa.
Masikin, Mysia ram khêlin Troasa an se zoia.
9 Maono yalimtokea Paulo usiku, kulikuwa na mtu wa Makedonia amesimama, akimwita na kusema “Njoni mtusaidie huku Makedonia”.
Hanchu, mani jâna han Paul'n inlârnân Macedonia rama mi inkhatin “Macedonia rama hong kâi inla, mi hong san roh,” tia ngênin a mua,
10 Paulo alipoona maono, mara tukajiandaa kwenda Makedonia, akijua kwamba Mungu alituita kwenda kuwahubiria injili.
Paul'n inlârna hi a mu suole chu Macedonia rama se rangin kin inthok kelen zoia, ha rama mingei kôma Thurchi Sa misîr rangin Pathien'n mi koi sikin.
11 Hivyo tukaondoka kutoka Troa, tukaenda moja kwa moja Samothrake, na siku iliyofuata tukafika mji wa Neapoli.
Troas renga rukuongin kin jôka, Samothrace kin thengpata, male anangtûka Neapolis kin sea.
12 Kutoka hapo tukaenda Filipi ambao ni moja ya mji wa Makedonia, mji muhimu katika wilaya na utawala wa Kirumi na tukakaa siku kadhaa.
Ha renga hah Philippia kin sea, ha khopuilien hah Macedonia; rama khuo inkhat ania, ma biela han chu khuo kâm omtak ani. Rom mingei bung ani. Ma khuoa han sûn tamtak kin châma.
13 Siku ya Sabato, tulikwenda nje ya lango kwa njia ya mto, sehemu ambayo tulidhania kutakuwa na mahali pa kufanyia maombi. Tulikaa chini na kuongea na akinamama waliokuja pamoja.
Sabbathni khopui pêntienga tuidung panga Judangei chubaithona ngâi mun ni ranga kin iema han kin sea; mahan kin insunga nupang intûp ngei kôm thurchi kin misîra.
14 Mwanamke mmoja aitwaye Lidia, muuzaji wa zambarau, kutoka katika mji wa Tiatira, mwenye kumwabudu Mungu, alitusikiliza. Bwana alimfungua moyo wake na kuweka maanani maneno yaliyosemwa na Paulo.
Ha ngei lâia mi a riming Lydia, Thyatira, khuo mi puon senduk juor ngâi, Pathiena inbei mi nupang inkhatin chong a rieta; male Paul thurchi misîr jôm rangin Pumapa'n a mulungrîl a minvâr pea.
15 Baada ya kubatizwa, yeye na nyumba yake yote, alitusihi akisema “kama mmeniona kuwa mimi ni mwaminifu katika Bwana, basi nawasihi muingie na kukaa kwangu”. Akatusihi sana.
Ama le a inmingeiin baptisma an chang zoiin chu, “Pumapa iem tatakin ni nan bêa anin chu ki ina hong tung roi tiin mi siel rîta,” ni sûr zoi.
16 Ikawa kwamba, tulipokuwa tunaenda mahali pa kuomba, msichana mmoja aliyekuwa na pepo la utambuzi akakutana nasi. Alimletea bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
Sûnkhat chu chubaithona muna kin se lâiin suok dôngmate inkhat ramkhori sûra taruosân thei kin intongpuia, amanu han taruosân a theina sika han a pu ngei sum tamtak a lo pe ngâia.
17 Mwanamke huyu alimfuata Paulo pamoja na sisi, akipiga kelele na kusema “Hawa wanaume ni watumishi wa Mungu aliye Mkuu, wanaowatangazia ninyi habari ya wokovu”.
Hanu han Paul le Keini mi jûia, “Hi mi, Sanminringna lampui nangni ril ngei hih, Ânchungtak Pathien tîrlâmngei an ni hi,” tiin âniek ngâia.
18 Alifanya hivyo kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa amekasirishwa na tendo hilo, aligeuka nyuma na kumwambia pepo, “Nakuamuru kwa Jina la Yesu umtoke ndani yake.” Naye akatoka na kumwacha mara moja.
Ma anghan, sûn tamtak a tho tenin chu Paul a mulung hoi khâi maka, a takasia. Ramkhori kôm han, “Jisua Khrista rimingin a sûng renga jôk rangin chong nang ke pêk,” a tia. Ha mitmisim kongkâr han a jôk pai kelen zoia.
19 Mabwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limeondoka, waliwakamata Paulo na Sila na kuwaburuza sokoni mbele ya wenye mamlaka.
A pumangei han an sum manna om khâi mak ti an riet lechu Paul le Silas hah an sûra, roijêkpungei kôm mipui intûpna muna an kai minlûta.
20 Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema, “Hawa wanaume ni Wayahudi na wanasababisha ghasia kubwa katika mji wetu.
Rom roijêkpungei kôm an min tungin chu, “Hi mingei hih Juda an nia, kin khopuilien sûnga bâiinkhamna an sin ngâi.
21 Wanafundisha mambo ambayo siyo sheria sisi kuyapokea wala kuyafuata kama Warumi.”
Balam dang kin balam le ânkâl, keini Rom mingei kin pom rang le kin mang ranga ânthiengloi an misîr ngâi” an tia.
22 Umati ukawainukia kinyume Paulo na Sila, mahakimu wakararua nguo zao na kuwavua na kuamuru wachapwe viboko
Mipuingei hah Paul le Silas jêm rangin an inthoka. Masuole chu roijêkpungei han Paul le Silas puon an khêr pe ngeia, jêm rangin chong an pêka.
23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, waliwatupa gerezani na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vyema.
An jêm bit suole jêl ina an khuma, a ngâkpu kôm han asân khumrap rangin chong an pêka.
24 Baada ya kupokea amri hiyo, askari wa gereza aliwatupa katika chumba cha ndani ya gereza na kuwafunga miguu yao kwenye sehemu alipowahifadhi.
Ma anghan, intâng insûng ânlâina taka a khum ngei, an kea thing kekok riktak an min bun ngeia.
25 Wakati wa usiku wa manane, Paulo na Sila wakawa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwasikiliza,
Jân lâitaka chu Paul le Silas'n Pathien kôm chubai an thoa. Minpâkna lâ an thoa, intâng ina midangngeiin an rangâia.
26 Ghafla kukatokea tetemeko kuu na misingi ya gereza ikatikiswa, milango ya gereza ikafunguka, na minyororo ya wafungwa wote ikalegezwa.
Inningloiin nîngnupui a honga; intâng in lungphûmngei tena khom ânphêt heta, voikhatrengin inkhârngei hah ân-ong leta, mitin rênrokolngei hah ânkhek rila.
27 Mlinzi wa Gereza aliamka kutoka usingizini na akaona milango yote ya gereza imefunguliwa; hivyo akachukua upanga wake maana alitaka kujiua kwa sababu alifikiri wafungwa wote walikwishatoroka,
Hanchu, angâkpu a in hah a hong hara, inkhârngei in-ong letin a mua, intâng ina intângngei an rot suo zoi tiin a bôka, khandai a kaidûka, inthat rang a thoa.
28 Lakini, Paulo akapiga kelele kwa sauti kuu, akisema “usijidhuru kwa sababu wote tuko mahali hapa”.
Hannirese Paul'n rôl inringtakin, “Ite inlo no roh, kin rêngin kin la om let” a tia.
29 Mlinzi wa gereza aliomba taa ziletwe na akaingia ndani ya gereza kwa haraka, akitetemeka na kuogopa, akawaangukia Paulo na Sila,
Ama han meiser a roka, a tâna, chi le innîk pumin Paul le Silas ke bula ânbokraka.
30 na kuwatoa nje ya gereza na kusema, “Waheshimiwa, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
Hanchu anni han a ruoi suok ngeia, “Pungei, Sanminringa ko om theina rangin imo ko tho rang?” a tia.
31 Nao wakamwambia, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.”
Anni han, “Pumapa Jisua iem inla, hanchu sanminringin om ni tih, nangma le ni inmingei leh,” tiin an thuona.
32 Walinena neno la Bwana kwake, pamoja na watu wote wa nyumbani kwake,
Masuole chu ama le a inmingei han Pumapa thurchi an misîra.
33 Mlinzi wa gereza aliwachukua usiku ule na kuwaosha sehemu walizoumia, yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa mara.
Mani jâna han, ma zora lelea han an sâbengei hah a rusûk pe ngeia; hanchu ama le a inmingei baptisma an chang kelen zoi.
34 Akawaleta Paulo na Sila nyumbani kwake na kuwatengea chakula. Naye akawa na furaha kuu pamoja na watu wa nyumbani mwake kwa sababu walimwamini Mungu.
Masuole Paul le Silas hah a ina a tuong ngeia, sâk rang a pêk ngeia Pathien an iem zoi sikin an insûng pumin an râiasân tatak zoi ani.
35 Ilipokuwa mchana, mahakimu walituma ujumbe kwa yule mlinzi wa gereza wakisema, “Waruhusu wale watu waende”,
Anangtûk jînga chu Rom roijêkpungei han, “Ha mingei hah mojôk ta roh,” ti chongpêk chôiin misûr ngâi ngei ulienngei an tîra.
36 Mlinzi wa gereza akamjulisha Paulo juu ya maneno hayo ya kuwa, “Mahakimu walituma ujumbe niruhusu mwondoke: hivyo tokeni nje na mwende kwa amani.”
Masikin a ngâkpu han Paul kôm, “Roijêkpungeiin nangni mojôk rangin chong an hong muthuon. Hong jôk ungla, rathânngamtakin se ta roi,” a tia.
37 Lakini Paulo akawaambia, “Walitupiga hadharani, watu ambao ni Warumi bila kutuhukumu na waliamua kututupa gerezani; halafu sasa wanataka kututoa kwa siri? Hapana, haitawezekana, wao wenyewe waje kututoa mahali hapa”.
Aniatachu, Paul'n misûr ngâi ulienngei kôm, “Rom miriem kêng kin ni, kin tho minchâina om le omloi luo en loiin loko makunga min jêma, intâng ina min khuma. Atûn inrûkin mi mojôk rang an ti na? Ni thei tet no nih! Anni ngêt hong rese ngei, mi hong mojôk rese ngei,” a tia.
38 Walinzi wakawajulisha mahakimu juu ya maneno hayo, mahakimu wakaogopa sana pale walipojua kuwa Paulo na Sila ni Warumi.
Misûr ngâi ulienngeiin ha chong hah roijêkpungei kôm an misîra; Rom miriem anni ti an rietin chu an chi zoia.
39 Mahakimu wakaja na kuwasihi watoke, na walipowatoa nje ya gereza, waliwaomba Paulo na Sila watoke nje ya mji wao.
Masikin an sea an vânvûia, male chu an mojôk ngeia khopuilien renga jôkpai rangin an ngêna.
40 Kwa hiyo Paulo na Sila wakatoka nje ya gereza wakaja nyumbani kwa Lidia. Paulo na Sila walipowaona ndugu, waliwatia moyo na kisha kuondoka katika mji huo.
Paul le Silas hah intâng in renga an jôka, Lydia ina an sea. Mahan iempungei hah an mua, mohôkna chong an pêk ngei suole chu an mâk ngei zoia.

< Matendo 16 >