< Matendo 16 >

1 Paulo pia alipokuja Derbe na Lystra; na tazama, pale palikuwepo na mwanafunzi aitwaye Timotheo, ni Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini na baba yake ni Mgiriki.
Przybył do Derbe i Listry. A oto był tam pewien uczeń imieniem Tymoteusz, syn pewnej Żydówki, która uwierzyła, ojca natomiast Greka.
2 Watu wa Listra na Ikonia walimshudia vizuri.
Bracia z Listry i Ikonium dawali o nim [dobre] świadectwo.
3 Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwako huko kwani wote walimjua kuwa baba yake ni Mgiriki.
Paweł chciał go zabrać ze sobą, więc obrzezał go ze względu na Żydów, którzy mieszkali w tamtych stronach. Wszyscy bowiem wiedzieli, że jego ojciec był Grekiem.
4 Walipokuwa wakienda walipita kwenye miji na kutoa maagizo kwa makanisa ili kuyatii maagizo hayo yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu.
A gdy chodzili po miastach, przekazywali im nakazy ustanowione przez apostołów i starszych w Jerozolimie, których mieli przestrzegać.
5 Hivyo makanisa yakaimarishwa katika imani na walioamini wakaongezeka kwa idadi kila siku.
I tak kościoły utwierdzały się w wierze i każdego dnia wzrastały liczebnie.
6 Paulo na mwenzake wakaenda Firigia na Galatia, kwani Roho wa Mungu aliwakataza kuhubiri neno huko kwenye jimbo la Asia.
Gdy przeszli Frygię i krainę galacką, Duch Święty zabronił im głosić słowo [Boże] w Azji.
7 Walipokaribia Misia, walijaribu kwenda Bithinia, lakini Roho wa Yesu akawakataza.
Gdy przybyli do Myzji, próbowali pójść do Bitynii, ale im Duch nie pozwolił.
8 Kwa hiyo wakapita Misia wakaja mpaka Mji wa Troa.
Przeszli więc Myzję i zeszli do Troady.
9 Maono yalimtokea Paulo usiku, kulikuwa na mtu wa Makedonia amesimama, akimwita na kusema “Njoni mtusaidie huku Makedonia”.
I w nocy Paweł miał widzenie: jakiś Macedończyk stał i prosił go: Przepraw się do Macedonii i pomóż nam!
10 Paulo alipoona maono, mara tukajiandaa kwenda Makedonia, akijua kwamba Mungu alituita kwenda kuwahubiria injili.
Zaraz po tym widzeniu staraliśmy się wyruszyć do Macedonii, będąc tego pewni, że Pan nas powołał, abyśmy im głosili ewangelię.
11 Hivyo tukaondoka kutoka Troa, tukaenda moja kwa moja Samothrake, na siku iliyofuata tukafika mji wa Neapoli.
Odpłynąwszy więc z Troady, zdążaliśmy wprost do Samotraki, a nazajutrz do Neapolu;
12 Kutoka hapo tukaenda Filipi ambao ni moja ya mji wa Makedonia, mji muhimu katika wilaya na utawala wa Kirumi na tukakaa siku kadhaa.
Stamtąd zaś do Filippi, [rzymskiej] kolonii i głównego miasta tej części Macedonii, i zostaliśmy w tym mieście przez kilka dni.
13 Siku ya Sabato, tulikwenda nje ya lango kwa njia ya mto, sehemu ambayo tulidhania kutakuwa na mahali pa kufanyia maombi. Tulikaa chini na kuongea na akinamama waliokuja pamoja.
A w dzień szabatu wyszliśmy za miasto nad rzekę, gdzie zwykle odbywały się modlitwy. Usiedliśmy i rozmawialiśmy z kobietami, które się [tam] zeszły.
14 Mwanamke mmoja aitwaye Lidia, muuzaji wa zambarau, kutoka katika mji wa Tiatira, mwenye kumwabudu Mungu, alitusikiliza. Bwana alimfungua moyo wake na kuweka maanani maneno yaliyosemwa na Paulo.
Przysłuchiwała się [temu] też pewna bogobojna kobieta, imieniem Lidia, z miasta Tiatyry, sprzedająca purpurę, której to serce otworzył Pan, aby uważnie słuchała tego, co mówił Paweł.
15 Baada ya kubatizwa, yeye na nyumba yake yote, alitusihi akisema “kama mmeniona kuwa mimi ni mwaminifu katika Bwana, basi nawasihi muingie na kukaa kwangu”. Akatusihi sana.
A gdy została ochrzczona razem ze swoim domem, poprosiła: Jeśli uznaliście mnie za wierną Panu, wejdźcie do mojego domu i zamieszkajcie w nim. I wymogła to na nas.
16 Ikawa kwamba, tulipokuwa tunaenda mahali pa kuomba, msichana mmoja aliyekuwa na pepo la utambuzi akakutana nasi. Alimletea bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
I stało się, gdy szliśmy na modlitwę, że zabiegła nam [drogę] pewna dziewczyna, która miała ducha wieszczego i swoimi wróżbami przynosiła wielki dochód swoim panom.
17 Mwanamke huyu alimfuata Paulo pamoja na sisi, akipiga kelele na kusema “Hawa wanaume ni watumishi wa Mungu aliye Mkuu, wanaowatangazia ninyi habari ya wokovu”.
A chodząc za Pawłem i za nami, wołała: Ci ludzie są sługami Boga Najwyższego i zwiastują nam drogę zbawienia.
18 Alifanya hivyo kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa amekasirishwa na tendo hilo, aligeuka nyuma na kumwambia pepo, “Nakuamuru kwa Jina la Yesu umtoke ndani yake.” Naye akatoka na kumwacha mara moja.
A robiła to przez wiele dni. Lecz Paweł, bolejąc nad tym, odwrócił się i powiedział do ducha: Rozkazuję ci w imię Jezusa Chrystusa, abyś z niej wyszedł. I w tej chwili wyszedł.
19 Mabwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limeondoka, waliwakamata Paulo na Sila na kuwaburuza sokoni mbele ya wenye mamlaka.
Gdy jej panowie zobaczyli, że przepadła nadzieja ich zysku, schwytali Pawła i Sylasa, zawlekli ich na rynek przed władzę;
20 Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema, “Hawa wanaume ni Wayahudi na wanasababisha ghasia kubwa katika mji wetu.
Stawili ich przed pretorami i powiedzieli: Ci ludzie, którzy są Żydami, sieją zamęt w naszym mieście.
21 Wanafundisha mambo ambayo siyo sheria sisi kuyapokea wala kuyafuata kama Warumi.”
I głoszą zwyczaje, których nam, jako Rzymianom, nie wolno przyjmować ani zachowywać.
22 Umati ukawainukia kinyume Paulo na Sila, mahakimu wakararua nguo zao na kuwavua na kuamuru wachapwe viboko
I wystąpił tłum przeciwko nim, a pretorzy zdarli z nich szaty i kazali wychłostać [ich] rózgami.
23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, waliwatupa gerezani na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vyema.
Po wymierzeniu wielu razów wtrącili [ich] do więzienia, przykazując strażnikowi, żeby ich dobrze pilnował.
24 Baada ya kupokea amri hiyo, askari wa gereza aliwatupa katika chumba cha ndani ya gereza na kuwafunga miguu yao kwenye sehemu alipowahifadhi.
Otrzymawszy taki rozkaz, wtrącił ich do wewnętrznego lochu, a ich nogi zakuł w dyby.
25 Wakati wa usiku wa manane, Paulo na Sila wakawa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwasikiliza,
O północy Paweł i Sylas modlili się i śpiewem chwalili Boga, a więźniowie słyszeli ich.
26 Ghafla kukatokea tetemeko kuu na misingi ya gereza ikatikiswa, milango ya gereza ikafunguka, na minyororo ya wafungwa wote ikalegezwa.
Nagle powstało silne trzęsienie [ziemi], tak że zachwiały się fundamenty więzienia. I natychmiast otworzyły się wszystkie drzwi i wszystkim rozwiązały się więzy.
27 Mlinzi wa Gereza aliamka kutoka usingizini na akaona milango yote ya gereza imefunguliwa; hivyo akachukua upanga wake maana alitaka kujiua kwa sababu alifikiri wafungwa wote walikwishatoroka,
A gdy strażnik więzienia obudził się i zobaczył otwarte drzwi więzienia, dobył miecz i chciał się zabić, sądząc, że więźniowie pouciekali.
28 Lakini, Paulo akapiga kelele kwa sauti kuu, akisema “usijidhuru kwa sababu wote tuko mahali hapa”.
Lecz Paweł zawołał donośnym głosem: Nie rób sobie nic złego, bo jesteśmy tu wszyscy.
29 Mlinzi wa gereza aliomba taa ziletwe na akaingia ndani ya gereza kwa haraka, akitetemeka na kuogopa, akawaangukia Paulo na Sila,
Wtedy zażądał światła i wskoczył do środka, a drżąc, padł [do nóg] Pawła i Sylasa.
30 na kuwatoa nje ya gereza na kusema, “Waheshimiwa, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
A wyprowadziwszy ich z więzienia, powiedział: Panowie, co mam czynić, abym był zbawiony?
31 Nao wakamwambia, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.”
A oni odpowiedzieli: Uwierz w Pana Jezusa Chrystusa, a będziesz zbawiony, ty i twój dom.
32 Walinena neno la Bwana kwake, pamoja na watu wote wa nyumbani kwake,
I głosili słowo Pańskie jemu i wszystkim jego domownikom.
33 Mlinzi wa gereza aliwachukua usiku ule na kuwaosha sehemu walizoumia, yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa mara.
Tej samej godziny w nocy wziął [ich ze sobą], obmył ich rany i natychmiast się ochrzcił, on i wszyscy jego [domownicy].
34 Akawaleta Paulo na Sila nyumbani kwake na kuwatengea chakula. Naye akawa na furaha kuu pamoja na watu wa nyumbani mwake kwa sababu walimwamini Mungu.
Wprowadził ich do swego domu, zastawił [przed nimi] stół i weselił się, uwierzywszy Bogu z całym swoim domem.
35 Ilipokuwa mchana, mahakimu walituma ujumbe kwa yule mlinzi wa gereza wakisema, “Waruhusu wale watu waende”,
Kiedy nastał dzień, pretorzy posłali służbę miejską ze słowami: Zwolnij tych ludzi.
36 Mlinzi wa gereza akamjulisha Paulo juu ya maneno hayo ya kuwa, “Mahakimu walituma ujumbe niruhusu mwondoke: hivyo tokeni nje na mwende kwa amani.”
I strażnik więzienia oznajmił Pawłowi: Pretorzy przysłali [polecenie], żeby was wypuścić. Teraz więc wyjdźcie i idźcie w pokoju.
37 Lakini Paulo akawaambia, “Walitupiga hadharani, watu ambao ni Warumi bila kutuhukumu na waliamua kututupa gerezani; halafu sasa wanataka kututoa kwa siri? Hapana, haitawezekana, wao wenyewe waje kututoa mahali hapa”.
Lecz Paweł powiedział do nich: Publicznie, bez sądu biczowali i wtrącili do więzienia nas, obywateli rzymskich, a teraz potajemnie nas wyrzucają? Nic z tego! Niech sami przyjdą i wyprowadzą nas.
38 Walinzi wakawajulisha mahakimu juu ya maneno hayo, mahakimu wakaogopa sana pale walipojua kuwa Paulo na Sila ni Warumi.
Słudzy miejscy przekazali te słowa pretorom. A gdy [tamci] usłyszeli, że są Rzymianami, przestraszyli się.
39 Mahakimu wakaja na kuwasihi watoke, na walipowatoa nje ya gereza, waliwaomba Paulo na Sila watoke nje ya mji wao.
Przyszli, przeprosili ich i wyprowadziwszy, prosili, aby opuścili miasto.
40 Kwa hiyo Paulo na Sila wakatoka nje ya gereza wakaja nyumbani kwa Lidia. Paulo na Sila walipowaona ndugu, waliwatia moyo na kisha kuondoka katika mji huo.
Kiedy wyszli z więzienia, wstąpili do [domu] Lidii, a gdy zobaczyli się z braćmi, pocieszyli ich i odeszli.

< Matendo 16 >