< Matendo 16 >
1 Paulo pia alipokuja Derbe na Lystra; na tazama, pale palikuwepo na mwanafunzi aitwaye Timotheo, ni Kijana aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi ambaye ni muumini na baba yake ni Mgiriki.
Dorazili do Derbe a pak do Lystry. Tam žil mladý věřící muž jménem Timoteus, syn křesťanské Židovky a pohanského otce.
2 Watu wa Listra na Ikonia walimshudia vizuri.
Křesťané v Lystře a Ikoniu si ho velice pochvalovali.
3 Paulo alimtaka ili asafiri naye, hivyo akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwako huko kwani wote walimjua kuwa baba yake ni Mgiriki.
Také Pavel si ho oblíbil a vybral za svého dalšího průvodce. Protože v těchto oblastech měli stále co činit s židovskými usedlíky, kteří Timotea znali a považovali ho podle otce za pohana, Pavel mu raději doporučil obřízku.
4 Walipokuwa wakienda walipita kwenye miji na kutoa maagizo kwa makanisa ili kuyatii maagizo hayo yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu.
Putovali pak společně do dalších měst a seznamovali je s dopisem apoštolů a vedoucích jeruzalémské církve.
5 Hivyo makanisa yakaimarishwa katika imani na walioamini wakaongezeka kwa idadi kila siku.
Maloasijské sbory se upevňovaly ve víře a také tam stále přibývali noví křesťané.
6 Paulo na mwenzake wakaenda Firigia na Galatia, kwani Roho wa Mungu aliwakataza kuhubiri neno huko kwenye jimbo la Asia.
Tak procestovali Frygii a obrátili se nazpět do Galacie, protože neměli vnitřní jistotu, že mají pokračovat dále na západ do provincie Asie. Pak chtěli na pobřeží Černého moře do Bytinie, ale cítili, že ani tam je Kristus neposílá.
7 Walipokaribia Misia, walijaribu kwenda Bithinia, lakini Roho wa Yesu akawakataza.
8 Kwa hiyo wakapita Misia wakaja mpaka Mji wa Troa.
Obrátili se tedy znovu k západu, bez zdržování prošli Mysií, až dorazili do Troady.
9 Maono yalimtokea Paulo usiku, kulikuwa na mtu wa Makedonia amesimama, akimwita na kusema “Njoni mtusaidie huku Makedonia”.
V noci měl Pavel sen. Stál před ním muž v makedonském kroji a prosil ho: „Přeplav se do Makedonie a pomoz nám!“
10 Paulo alipoona maono, mara tukajiandaa kwenda Makedonia, akijua kwamba Mungu alituita kwenda kuwahubiria injili.
My všichni jsme uvěřili, že tento sen byl Božím příkazem, abychom šířili zvěst o spáse také v Evropě, a hned jsme se začali připravovat na cestu.
11 Hivyo tukaondoka kutoka Troa, tukaenda moja kwa moja Samothrake, na siku iliyofuata tukafika mji wa Neapoli.
Z troadského přístavu jsme se plavili na ostrov Samotraké a na evropskou pevninu jsme vystoupili v makedonské Neapoli.
12 Kutoka hapo tukaenda Filipi ambao ni moja ya mji wa Makedonia, mji muhimu katika wilaya na utawala wa Kirumi na tukakaa siku kadhaa.
Po souši jsme pokračovali do Filip, nejvýznamnějšího města severní Makedonie, obydleného hlavně římskými kolonisty. Tam jsme se usadili na několik dní.
13 Siku ya Sabato, tulikwenda nje ya lango kwa njia ya mto, sehemu ambayo tulidhania kutakuwa na mahali pa kufanyia maombi. Tulikaa chini na kuongea na akinamama waliokuja pamoja.
Protože ve městě nebyla synagoga, vyšli jsme v sobotu za bránu na břeh řeky. Předpokládali jsme totiž, že by se tam mohli scházet místní židé a bohabojní pohané k modlitbám. Byla tam opravdu skupina žen, a tak jsme se posadili a mluvili k nim.
14 Mwanamke mmoja aitwaye Lidia, muuzaji wa zambarau, kutoka katika mji wa Tiatira, mwenye kumwabudu Mungu, alitusikiliza. Bwana alimfungua moyo wake na kuweka maanani maneno yaliyosemwa na Paulo.
Mezi posluchačkami byla také Lydie, obchodnice s purpurovými sukny, pohanka, která uvěřila v Boha. Kristovo slovo ji zaujalo a ona dychtivě naslouchala Pavlovu kázání.
15 Baada ya kubatizwa, yeye na nyumba yake yote, alitusihi akisema “kama mmeniona kuwa mimi ni mwaminifu katika Bwana, basi nawasihi muingie na kukaa kwangu”. Akatusihi sana.
Přijala s celou svou rodinou křest a přiměla nás, abychom se stali hosty v jejich domě.
16 Ikawa kwamba, tulipokuwa tunaenda mahali pa kuomba, msichana mmoja aliyekuwa na pepo la utambuzi akakutana nasi. Alimletea bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
Když jsme zase jednou šli na místo modliteb, potkala nás mladá otrokyně, která měla věštecké nadání. Její majitelé na tom pořádně vydělávali.
17 Mwanamke huyu alimfuata Paulo pamoja na sisi, akipiga kelele na kusema “Hawa wanaume ni watumishi wa Mungu aliye Mkuu, wanaowatangazia ninyi habari ya wokovu”.
Připojila se hned k nám a hlasitě vyvolávala: „Vidíte ty lidi? To jsou sluhové nejvyššího Boha a říkají nám, jak najít záchranu!“
18 Alifanya hivyo kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa amekasirishwa na tendo hilo, aligeuka nyuma na kumwambia pepo, “Nakuamuru kwa Jina la Yesu umtoke ndani yake.” Naye akatoka na kumwacha mara moja.
Tak to dělala den za dnem. Pavel to těžce nesl a jednoho dne jí přikázal: „Ve jménu Ježíše Krista, okamžitě přestaň!“Dívka se probrala ze svého vytržení a úplně tu schopnost ztratila.
19 Mabwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limeondoka, waliwakamata Paulo na Sila na kuwaburuza sokoni mbele ya wenye mamlaka.
To ovšem rozzlobilo její pány, kteří přišli o zdroj značných příjmů.
20 Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema, “Hawa wanaume ni Wayahudi na wanasababisha ghasia kubwa katika mji wetu.
Přivlekli Pavla a Silase na radnici před soudce a vznesli proti nim vážné obvinění: „To jsou židé, kteří pobuřují v našem římském městě a snaží se tu šířit svoje náboženství.“
21 Wanafundisha mambo ambayo siyo sheria sisi kuyapokea wala kuyafuata kama Warumi.”
22 Umati ukawainukia kinyume Paulo na Sila, mahakimu wakararua nguo zao na kuwavua na kuamuru wachapwe viboko
Srocený lid se také připojil k tomu obvinění a úředníci tedy dali Pavla a Silase zmrskat pruty po nahém těle.
23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, waliwatupa gerezani na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vyema.
Po krutém bičování je předali vězeňskému strážci do přísné vazby.
24 Baada ya kupokea amri hiyo, askari wa gereza aliwatupa katika chumba cha ndani ya gereza na kuwafunga miguu yao kwenye sehemu alipowahifadhi.
Ten je vsadil do nejhlubší kobky a nohy jim sevřel kládou.
25 Wakati wa usiku wa manane, Paulo na Sila wakawa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwasikiliza,
Pavel a Silas se ještě o půlnoci hlasitě modlili a zpívali Bohu chvalozpěvy, až se to rozléhalo celou věznicí.
26 Ghafla kukatokea tetemeko kuu na misingi ya gereza ikatikiswa, milango ya gereza ikafunguka, na minyororo ya wafungwa wote ikalegezwa.
Tu se zatřásla země, základy vězení byly porušeny, dveře vyvaleny a okovy se uvolnily.
27 Mlinzi wa Gereza aliamka kutoka usingizini na akaona milango yote ya gereza imefunguliwa; hivyo akachukua upanga wake maana alitaka kujiua kwa sababu alifikiri wafungwa wote walikwishatoroka,
Žalářník se probudil a viděl, co se stalo. Tasil svůj meč a chtěl se jím probodnout, protože se domníval, že vězňové utekli, a on za ně ručil svým životem.
28 Lakini, Paulo akapiga kelele kwa sauti kuu, akisema “usijidhuru kwa sababu wote tuko mahali hapa”.
Pavel na něj zavolal: „Nezabíjej se, vždyť nikdo neutekl!“
29 Mlinzi wa gereza aliomba taa ziletwe na akaingia ndani ya gereza kwa haraka, akitetemeka na kuogopa, akawaangukia Paulo na Sila,
Správce žaláře popadl pochodeň, seběhl do jejich kobky a vrhl se před nimi na kolena.
30 na kuwatoa nje ya gereza na kusema, “Waheshimiwa, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
Pak je vyvedl ven a ptal se: „Vy jste jistě bohové; co mám dělat, abych byl zachráněn?“
31 Nao wakamwambia, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.”
Řekli mu: „Bůh je Ježíš Kristus, v něho uvěř a budeš zachráněn s celou rodinou.“
32 Walinena neno la Bwana kwake, pamoja na watu wote wa nyumbani kwake,
A vyprávěli jemu a všem obyvatelům jeho domácnosti o Kristu.
33 Mlinzi wa gereza aliwachukua usiku ule na kuwaosha sehemu walizoumia, yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa mara.
Žalářník je pečlivě ošetřil a ještě v noci se dal s celou svojí rodinou i otroky pokřtít.
34 Akawaleta Paulo na Sila nyumbani kwake na kuwatengea chakula. Naye akawa na furaha kuu pamoja na watu wa nyumbani mwake kwa sababu walimwamini Mungu.
Pak zasedli ke stolu a bylo tam veselo, vždyť uvěřili v živého Boha!
35 Ilipokuwa mchana, mahakimu walituma ujumbe kwa yule mlinzi wa gereza wakisema, “Waruhusu wale watu waende”,
Ráno k němu poslali úředníci vojáka se vzkazem, aby apoštoly propustil.
36 Mlinzi wa gereza akamjulisha Paulo juu ya maneno hayo ya kuwa, “Mahakimu walituma ujumbe niruhusu mwondoke: hivyo tokeni nje na mwende kwa amani.”
Žalářník měl radost, že mohou klidně odejít,
37 Lakini Paulo akawaambia, “Walitupiga hadharani, watu ambao ni Warumi bila kutuhukumu na waliamua kututupa gerezani; halafu sasa wanataka kututoa kwa siri? Hapana, haitawezekana, wao wenyewe waje kututoa mahali hapa”.
ale Pavel si postavil hlavu: „To tedy ne! Nás, římské občany, dají bez výslechu veřejně zmrskat, vsadit do žaláře, a teď by se nás chtěli v tichosti zbavit? Ať pěkně sami přijdou a propustí nás.“
38 Walinzi wakawajulisha mahakimu juu ya maneno hayo, mahakimu wakaogopa sana pale walipojua kuwa Paulo na Sila ni Warumi.
Voják to vyřídil. Městští úředníci se polekali té skutečnosti, že Pavel a Silas jsou občany Římské říše.
39 Mahakimu wakaja na kuwasihi watoke, na walipowatoa nje ya gereza, waliwaomba Paulo na Sila watoke nje ya mji wao.
Přišli tedy s omluvami, ale prosili je, aby opustili Filipy.
40 Kwa hiyo Paulo na Sila wakatoka nje ya gereza wakaja nyumbani kwa Lidia. Paulo na Sila walipowaona ndugu, waliwatia moyo na kisha kuondoka katika mji huo.
A tak apoštolové ještě navštívili křesťanku Lydii, kde se setkali s věřícími, potěšili se navzájem a odešli z města.